Majibu ( Response ) Dr. Ellie VD. Waminian. No 34

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    CZcams : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2022

Komentáře • 21

  • @johnmasonga426
    @johnmasonga426 Před rokem +3

    Asante Dr Elie na timu nzima ya chomoza tv ila hili ni somo no. 35

    • @philbertmtalo2156
      @philbertmtalo2156 Před rokem

      Ni kwa sababu unaona ndo maana unasema hivyo unahitaji umakin my good friend

  • @merithameritha2096
    @merithameritha2096 Před rokem

    Ni kwa Neema tu.
    Ubarikiwe Doctor, what a lesson 👏

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 Před rokem

    Amen Dr uwe naafya njema

  • @jerrydenis7165
    @jerrydenis7165 Před rokem

    dr asante sana ninakushukuru sana

  • @erickymutakyawa2194
    @erickymutakyawa2194 Před rokem +2

    Ahsante Mungu kwa uwepo wako Doctor somo limenibariki sana Mwenyezi Mungu akujalie Maisha Marefu yenye afya njema na Neema unatusaidia sana

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před rokem

    Ni neema ya Mungu tu
    Asante Dr sanaaaaa Kwa kunifundisha Chochote kile nilichonacho sistahili Bali ni Neema ya Mungu, Mungu azidi kunifundisha zaidi kupitia wewe

  • @joelnderingo7444
    @joelnderingo7444 Před rokem

    Asante sana Dr na team chomoza, haya masomo yatafutiwe jukwaa maalum kwenye ngazi mbalimbali za kijamii ilikuwezesha jamii kudumisha maadili mema

  • @kingboss25
    @kingboss25 Před rokem

    ❤️

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏shukran sana sikustahili kuwahi kusikia haya yote but nineema yake mola nashukuru mubariki yote

  • @kingboss25
    @kingboss25 Před rokem

    🙏

  • @faustinemanota1198
    @faustinemanota1198 Před rokem +1

    Sistahili nilivyo ila kwa neema tu

  • @edgeranacret5455
    @edgeranacret5455 Před rokem

    Amen, Thank you team chomoza I love you

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Před rokem

    Ni kweli kabisa Dr Ellie uhusiano wa mzazi na mtoto unakuwa relative yani unaweza kuwa direct proportion hii direct proportion unakuta tabia ambazo anazo mzazi hata mtoto anazo pia au kitu anachofanya mzazi hata mtoto anafanya pia nyingine ni inversely proportion hii unakuta jinsi mzazi anavyozidi kutenda tabia flani ndo jinsi mtoto hataki kuwa kama mzazi na ya mwisho ni joint hii unakuta ipo Kwenye familia,nchi au ukoo flani unakuta wanatabia flani halafu ili la kubadilisha hali ya mtoto tukisoma MATHAYO 20:20-28 au mtu mzima unakuta ni ngumu kwa sababu unakuta mtu anashikili kile alichoambiwa tu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante

  • @philbertmtalo2156
    @philbertmtalo2156 Před rokem

    Hii ni kweli kabisa tunatakiwa kuwa humble africa ili tuendelee kama Elon Musk alivyo humble na Elon Musk ni Prince Kwenye nchi yetu unkitaka kujua hilo soma Ecclesiastes 10:7 na rais putin alikuwa ni servant wa saud Arabia(mafuta) marekani( silaa) ndo maana ya vita ambayo ipo kati ya Ukraine na urusi ukija kwa sababu unakuta Elon Musk yeye ni Prince kwenye nchi yetu na wakati unaunganisha doti usisahu kauli ya baba wa taifa alisema nchi yetu ni ndogo sana na usisahu kusoma MATHAYO 20:25-28

  • @sun-by1xb
    @sun-by1xb Před rokem

    🥰🥰🥰

  • @gracelema7816
    @gracelema7816 Před rokem

    Doctor samahani natoka nje ya mada,tunaomba kupata UFAHAMU wa meditation na spiritual kwenye maisha ya MTU ni mhimu?