Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews CZcams : www.youtube.com... #ChomozaTv#2022
Ni neema ya Mungu tu Asante Dr sanaaaaa Kwa kunifundisha Chochote kile nilichonacho sistahili Bali ni Neema ya Mungu, Mungu azidi kunifundisha zaidi kupitia wewe
Ni kweli kabisa Dr Ellie uhusiano wa mzazi na mtoto unakuwa relative yani unaweza kuwa direct proportion hii direct proportion unakuta tabia ambazo anazo mzazi hata mtoto anazo pia au kitu anachofanya mzazi hata mtoto anafanya pia nyingine ni inversely proportion hii unakuta jinsi mzazi anavyozidi kutenda tabia flani ndo jinsi mtoto hataki kuwa kama mzazi na ya mwisho ni joint hii unakuta ipo Kwenye familia,nchi au ukoo flani unakuta wanatabia flani halafu ili la kubadilisha hali ya mtoto tukisoma MATHAYO 20:20-28 au mtu mzima unakuta ni ngumu kwa sababu unakuta mtu anashikili kile alichoambiwa tu
Hii ni kweli kabisa tunatakiwa kuwa humble africa ili tuendelee kama Elon Musk alivyo humble na Elon Musk ni Prince Kwenye nchi yetu unkitaka kujua hilo soma Ecclesiastes 10:7 na rais putin alikuwa ni servant wa saud Arabia(mafuta) marekani( silaa) ndo maana ya vita ambayo ipo kati ya Ukraine na urusi ukija kwa sababu unakuta Elon Musk yeye ni Prince kwenye nchi yetu na wakati unaunganisha doti usisahu kauli ya baba wa taifa alisema nchi yetu ni ndogo sana na usisahu kusoma MATHAYO 20:25-28
Asante Dr Elie na timu nzima ya chomoza tv ila hili ni somo no. 35
Ni kwa sababu unaona ndo maana unasema hivyo unahitaji umakin my good friend
Ni kwa Neema tu.
Ubarikiwe Doctor, what a lesson 👏
Amen Dr uwe naafya njema
dr asante sana ninakushukuru sana
Ahsante Mungu kwa uwepo wako Doctor somo limenibariki sana Mwenyezi Mungu akujalie Maisha Marefu yenye afya njema na Neema unatusaidia sana
Mambo vp Erick
Mambo vp Erick
@@sanciusbatangaki2004 poa habari
Ni neema ya Mungu tu
Asante Dr sanaaaaa Kwa kunifundisha Chochote kile nilichonacho sistahili Bali ni Neema ya Mungu, Mungu azidi kunifundisha zaidi kupitia wewe
Asante sana Dr na team chomoza, haya masomo yatafutiwe jukwaa maalum kwenye ngazi mbalimbali za kijamii ilikuwezesha jamii kudumisha maadili mema
❤️
🙏🙏🙏🙏shukran sana sikustahili kuwahi kusikia haya yote but nineema yake mola nashukuru mubariki yote
🙏
Sistahili nilivyo ila kwa neema tu
Amen, Thank you team chomoza I love you
Ni kweli kabisa Dr Ellie uhusiano wa mzazi na mtoto unakuwa relative yani unaweza kuwa direct proportion hii direct proportion unakuta tabia ambazo anazo mzazi hata mtoto anazo pia au kitu anachofanya mzazi hata mtoto anafanya pia nyingine ni inversely proportion hii unakuta jinsi mzazi anavyozidi kutenda tabia flani ndo jinsi mtoto hataki kuwa kama mzazi na ya mwisho ni joint hii unakuta ipo Kwenye familia,nchi au ukoo flani unakuta wanatabia flani halafu ili la kubadilisha hali ya mtoto tukisoma MATHAYO 20:20-28 au mtu mzima unakuta ni ngumu kwa sababu unakuta mtu anashikili kile alichoambiwa tu
Asante
Hii ni kweli kabisa tunatakiwa kuwa humble africa ili tuendelee kama Elon Musk alivyo humble na Elon Musk ni Prince Kwenye nchi yetu unkitaka kujua hilo soma Ecclesiastes 10:7 na rais putin alikuwa ni servant wa saud Arabia(mafuta) marekani( silaa) ndo maana ya vita ambayo ipo kati ya Ukraine na urusi ukija kwa sababu unakuta Elon Musk yeye ni Prince kwenye nchi yetu na wakati unaunganisha doti usisahu kauli ya baba wa taifa alisema nchi yetu ni ndogo sana na usisahu kusoma MATHAYO 20:25-28
🥰🥰🥰
Doctor samahani natoka nje ya mada,tunaomba kupata UFAHAMU wa meditation na spiritual kwenye maisha ya MTU ni mhimu?