Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews CZcams : www.youtube.com... #ChomozaTv#2022
Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza
@@yamungummungulo633 duh hata mie na hamu na ivo vitabu Maana anavyo sasa hata vinauzwa wapi Hawa jamaa huwa hawajibu tukiuliza.... Labda ukipata persona number za Sasari!
Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza
Mungu awabariki sanaa 🙏🙏
Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza
Mungu azidi kuwapa kibali na heshima tunajifunza mengi sana. Dr na timu nzima mbarikiwe.
Hakika , Mungu awabariki sana🙏 tunashukuru sana kama mnavyotushukuru
Mola azidi kuwabariki muzindi kutuelemisha ...Hiki kipindi kinanisaidia sana tena sana 🙏
Mungu akubaliki sn uendelee kutupa madin
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Hakika mmetusaidia mno
Naomba mawasiliano(namba yenu tafadhali)
Ninaomba Sana kuwasiliana na Dr Elie
Asanteni sana
Asante ww na dhani ni ktk watu muhimu sna
Jaman tumwombe dr atutolee vitabu
Good lesson 🙏
What causes low memory
Dr una Madini duh
Samahan naomba kujuzwa Kama kuna kitabu dr ameshakitoa kwaniaba kutujenga kw mada yyote?
@@yamungummungulo633 duh hata mie na hamu na ivo vitabu Maana anavyo sasa hata vinauzwa wapi Hawa jamaa huwa hawajibu tukiuliza.... Labda ukipata persona number za Sasari!
Moyo wa shukurani ndio mtaji
Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza