Majibu ( Response ) Dr. Ellie VD. Waminian. No 34

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    CZcams : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2022

Komentáře • 19

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Před rokem

    Mungu awabariki sanaa 🙏🙏

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před rokem

    Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza

  • @rehemamrangu6134
    @rehemamrangu6134 Před rokem

    Mungu azidi kuwapa kibali na heshima tunajifunza mengi sana. Dr na timu nzima mbarikiwe.

  • @azizalmas7180
    @azizalmas7180 Před rokem

    Hakika , Mungu awabariki sana🙏 tunashukuru sana kama mnavyotushukuru

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před rokem

    Mola azidi kuwabariki muzindi kutuelemisha ...Hiki kipindi kinanisaidia sana tena sana 🙏

  • @mathiasspyussmilanga6894

    Mungu akubaliki sn uendelee kutupa madin

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 Před rokem +1

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu. Hakika mmetusaidia mno

  • @mamanabii_online5491
    @mamanabii_online5491 Před rokem +1

    Naomba mawasiliano(namba yenu tafadhali)

  • @tegemeawilliammsewa1950

    Asanteni sana

  • @abuuminya8746
    @abuuminya8746 Před rokem

    Asante ww na dhani ni ktk watu muhimu sna

  • @georgekweyamba5569
    @georgekweyamba5569 Před rokem

    Good lesson 🙏

  • @faithful3493
    @faithful3493 Před rokem

    What causes low memory

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před rokem

    Dr una Madini duh

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 Před rokem

      Samahan naomba kujuzwa Kama kuna kitabu dr ameshakitoa kwaniaba kutujenga kw mada yyote?

    • @johnmligo6966
      @johnmligo6966 Před rokem

      @@yamungummungulo633 duh hata mie na hamu na ivo vitabu Maana anavyo sasa hata vinauzwa wapi Hawa jamaa huwa hawajibu tukiuliza.... Labda ukipata persona number za Sasari!

    • @grasianmalango2040
      @grasianmalango2040 Před rokem

      Moyo wa shukurani ndio mtaji

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před rokem

    Hata mm Kila time ya kutaka kumsikiliza Dr Elie Moyo wangu unafarijika sana na Huwa natamani Kila siku ingekuwa Jumapili ili niwe namsikiliza tu. Mungu akubariki sana Dr Mungu amekutumia wewe kunifungua Mimi katika mambo mengi maana sikuwa hivi Kila nikikusikiliza Mungu ananifungua Mungu azidi kuwatunza team nzima ya chomoza