MAMA KARUME ATEMA NYONGO | NITAMUADABISHA MZEE MAGOMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024

Komentáře • 197

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před měsícem +2

    Yule Mzee ni Njaa tuu. 😂😂😂 Kumbe kashazoea

  • @TumpeZakaria
    @TumpeZakaria Před měsícem +6

    Shikamoo Mama ❤

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl Před měsícem +4

    Sana mam unaweza 😂😂😂😂

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter Před měsícem +7

    kweli kabisa huyo anatumiwa na watu huyo

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +5

    Nimekuelewa sana dadaangu uko sawa sana

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před měsícem +3

    Huyo magoma kafanya Nini tena😊

  • @user-lo7gu4pi2x
    @user-lo7gu4pi2x Před měsícem +2

    Ss sio watoto msicheze na akili zetu ulikua wapi hukumu ina mwaka sasa leo ndo mzee aonekane mbaya achen hizo kaen myamalize

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Hukumu ina mwaka mbona club aijui kama kuna hukumu mpaka mwezi uliopita wamefatilia wenyewe baada ya kusikia tetesi? Hiyo mahakama aijui yanga inapatikana Wapi? Kwa nini awakuhitumia club hiyo hukumu? Mzee njaa tu sijui km ushamskia akiongea utajua ni njaa tu,, Yanga taasisi kubwa nenda kaungane na huyo Magoma uhone km kitatokea chochote """

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Před měsícem +2

    Uyo ayupo pekeyake wako wengi tena ata viongozi wakubwa

  • @rashidmkomange2278
    @rashidmkomange2278 Před měsícem +1

    Huyo mama karume kaongea wapi sasa nyie nao mizinguo

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Před měsícem +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem

    Dada mchana mwenzangu Asante

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem +3

    Magoma yuko sahihi tunazugwa na ushindi. Bodi ya Wazamini imepewa fedha. Haiwezekani wakaingia mikataba ya kimangungo kuanzia miaka 5 Hadi 10, wakati watani wetu hawazidi miaka 3. Kuhusu kwenda mahakamani anakuwa na hoja nzito. Asikilzwe, Jezi zimetoka 25,000/= mpaka 70,000/= huku gawio la timu ni 1,300/= tu.

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 Před měsícem +1

      Kamnunue.chama kwa bukujero ya jezi 😂😂

    • @user-ek3mq5yv4l
      @user-ek3mq5yv4l Před měsícem

      ​@@maclaudismail6606😂😂😂

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael Před měsícem

      Wewe ni kolo,,,, huna lolote na Magoma hapati kitu pale kuwa mpole

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 Před měsícem +2

    Mama karumenndio uyo😅😅😅

  • @FarajiSinawasa
    @FarajiSinawasa Před měsícem +1

    Huyoo magoma ni shogaaa

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před měsícem +2

    Kabla ya kuruka agana na nyonga.... 😂😂😂😂😂

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y Před měsícem +9

    Sasa nyinyi wenyewe waandishi ni wa kughushi mnamzulia mama wa Rais wetu wa mwanzo Zanzibar mbona mnatukosea nyinyi

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 Před měsícem +3

    Mama umeongea pointi sana namm naamini akili yake haiko sawa au njaa tu lakini kwa hili sizani kama atakuwa na raha

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 Před měsícem +5

    Mzee afukunzwe tuu hapo jangwani mzee jinga sana hiloo

  • @ramadhanisimon
    @ramadhanisimon Před měsícem +1

    kwelii kabisa katukoseya sana huyo muzee fala kwelii huyo muzee

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +2

    MAMA KARUME UENDE MAHAKAMANI UKASEME HAYO SASA HAPO YA NN HAYO NENDA UKAMSHITAKI MAGOMA MAHAKAMANI. MBONA HAMUENDI?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 Před měsícem

      Tumia akili ww.Huyu siyo mama karume.Mwandishi ameamua kula MB zako kiwizi tu.

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm Před měsícem +3

    Magoma Yuko vyema

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem

      Inaonyesha magoma anatumiwa na madunduka

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Před měsícem +4

    Mama karume gani uyo😁😁🏃🏃🏃

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl Před měsícem +10

    Asante. Mama. Umeeleweka. Sana. Nyuma. Ya. Magoma. Kuna. Watu. Na. Mnao. Humohumo. YANGA. Wanamutumia. Kwa. Maslilahi. Yao. Binafsi. Kuweni. Macho. Na. Umakini. Unahitajika

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Před měsícem +3

    Asante dada nyie ndio wenye yanga

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y Před měsícem

    Magoma anawapiga mande mamaee😂😂

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před měsícem +4

    ACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA NA AFUNGWE ILI IWE MFANO KWA WENGINE..

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem

    Hoja kwa hoja ,,leta hoja😁

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem +4

    Mungu ndiye anajua kitakachokuja hapo baadaye. Kama yuko sahihi tutashuhudia issue fulani kwa Yanga😂😂😂

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před měsícem

      Yanı ndugu nikwamba magoma anataka kəsi na vigogo wa serikali maq kawashtaki kinamwiguru tarıma mama karume saşa magoma anaringia nini😅😅😅😅

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před měsícem +1

    Magoma ana matatizo ya kukosa hekima na busara. Kafilisika kiakili kabisaaaaa !

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 Před měsícem +1

    Kumbe Magoma bwabwa eee

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Před měsícem +2

    Magoma wasimkubalie kukaribia.clabu yayanga.wala kuja kucheza.bao hapo clabuni.huyo ni wakumuogopa kama ukoma atawatia wanachama.namashabiki wayanga matatizoniii!!!

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +1

    Nyoooo, mtajibeba Babu Mzee anaongea ukweli

    • @user-yr4pv2vj7m
      @user-yr4pv2vj7m Před měsícem

      Katobwe uko kumamayo Koro wewe hiii yanga kubwa kuriko bibi yako

  • @GabrielMyinga
    @GabrielMyinga Před měsícem +1

    Wazee wangu wa yanga nawaheshim Sana na Nina waamini kwani magoma yy ni nani mpaka achafue hali ya hewa yanga huyo tunamkabidhi kwa wazee wa yanga wamalizane nae.

  • @papykatoziking2395
    @papykatoziking2395 Před měsícem +2

    Mzee ni njaa iyo yanga msaidiyeni mjengeeni nyumba nzuri basi atatuliya

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Před měsícem +1

      Hakuna kumjengea chohote! Hata banda la tope!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem +1

      Waliomtuma wamjengee

    • @EliasNtejile
      @EliasNtejile Před měsícem

      Alikuwa wapi kujega alipokuwa kiongozi wa tawi

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem

      @@EliasNtejile hela zake alikua amefungia kwenye flaiz

    • @HadijaKiwambu
      @HadijaKiwambu Před měsícem

      Anataka ajengewe nyumba angoje nyumba ya mwisho ajengewe ye nyau mtu mkubwa onvo

  • @RabeccaAdam
    @RabeccaAdam Před měsícem

    Hogera sana mama

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Před měsícem +3

    Huyu mama karume niwakufoji

  • @ibrahimmseti
    @ibrahimmseti Před měsícem +2

    Wazee kama hawa hawafai.
    Itangazwe wazi kuwa siyo mwanachama.
    Ijulikane,ili hata akikutana na" Gen Z " wa Yanga

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Před měsícem +2

    Mama huyu anachochea uadui utakao leta madhara makubwa sana kwa mashabiki.
    Mahakama, kwenye wabobezi wa sheria wameona Eng amekosea.
    Eng anaona ugumu gani kukaa na hao wazee wskaongea kama mahakama ilivyotaka?
    Sema tu Magona kalikamua jipu mapema, ila lipo.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem

      Peka usimba huko umbea tu unakusumbua mbona nyee mlimkataa Mzee Hamisi kilomoni? Na mka muua Mzee wa watu

    • @mutakagoza4759
      @mutakagoza4759 Před měsícem

      Majinga ya makolo yanaangaika

  • @MohamediSleyum
    @MohamediSleyum Před měsícem +1

    Kazi ipo hapo yani hatuelewi nani mbaya kati ya wote waloshtaki

  • @dismasfabian2122
    @dismasfabian2122 Před měsícem +2

    Cc tunataka furaha hayo mengine mnayajua ninyi

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +1

    Washenzi nyieeeeeee😛😝😜🤪

  • @OsmanSiame-ou8ty
    @OsmanSiame-ou8ty Před měsícem +6

    Mshenzi sn huyo babu

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před měsícem +1

    Njaaa mbaya kweli

  • @MajaliwaJuma-c5g
    @MajaliwaJuma-c5g Před měsícem +3

    Anasumbuliwa nanjaa

  • @zee-ow2wr
    @zee-ow2wr Před měsícem +1

    Mbona hatoi hoja anachamba huyu mama?? Magoma kama ameghushi hzo saini s sheria zipo? Mamlaka zpo mumpeleke akafungwe?? Bas ni kwl kuna ktu hapa yanga?
    Na ww mwnye page uchwara huyo ndy mama karume? JINGA SANA

  • @MohamedyHuseni
    @MohamedyHuseni Před měsícem +1

    Mohamedy ally

  • @AmosKayega
    @AmosKayega Před měsícem

    We mama magoma Yuko sahihi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před měsícem +1

    Watu kama Magoma wanatakiwa sana watu wasijisahau kupiga hela

  • @SafinaDanieli
    @SafinaDanieli Před měsícem +1

    💚💚💚💚💚

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před měsícem +1

    😂😂😂😂 Eti huenda ana Katiba yake nyumbani

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Před měsícem +6

    Atafungwa kama pelemende

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Před měsícem +1

    Kunguru huyooo mangoma

  • @jumannemagawa5095
    @jumannemagawa5095 Před měsícem +1

    Yani hata picha yake kuoona tu popote inaleta hasira sana kwa upuuzi alio ufanya.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před měsícem +1

    Shkamoo magoma,umewapa adabu Hawa migongo waz

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Před měsícem

    Magoma pa1 na hii Media iliyoppst jina la Mama Karume wote wachkuliwe hatua za kinidhamu.Mama Karume ni Mtu Mkubwa jmn

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +1

    Magoma nakupendaa

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem +1

    Mzee Magoma ana kitu na ana maono ya mbali wacha Awashitaki hamkuwa na Nidhamu nyie

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v Před měsícem +1

    Yeye amesema mpelekeni ahakamani

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před měsícem +1

    Musimtishe mzee magoma asikilizwe

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem +1

    Utuliv wa aina gani .achen8 kutetea wapigaji.magoma kaongea facts tupu.

    • @eliyaraphael
      @eliyaraphael Před měsícem

      Katika walio comment wote ww ndo umecomment Utumbo , kati ya Injinia na Magoma MPIGAJI nani hapo kama magoma anasema yeye anataka awe anapewa pesa kdg na wakati anakwambia ada ya uanachama halipi Sasa MPIGAJI nani au we kolo unataka Yanga ipolomoke Ili Upate urahisi Bado miaka mingne minne mbele ndo uwe bingwa

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem

      Wewe ni kolo ndio maana unamtetea magoma

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Před měsícem

      @@eliyaraphael ubingwa mnachukua kwa bahasha na marefa na kudhamin team sita .ilo sina shake mtachukua kwa kua wazee wa tigo pesa .

  • @ALLYHMHANDO
    @ALLYHMHANDO Před měsícem +1

    Magoma. Onvo

  • @eliudmugendi9619
    @eliudmugendi9619 Před měsícem +1

    Issue ni kuwa anachosema ni sahihi ama sio sahihi

  • @MohdAliHaji
    @MohdAliHaji Před měsícem +1

    Sasa mbona anashinda kesi

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Před měsícem

    Asant mama kwakutufumbua macho.ukweli tumeupata Sasa kagoma kaingia chakike sana

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před měsícem +1

    Huwezi mama huyu kasema ukweli.. na mapenzi na yanga.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před měsícem +1

    Mi ni mwanachama niko Mwanza nina machungu sana na huyu zumbukuku....

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v Před měsícem +1

    Mpenihakiyake

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Před měsícem +1

    Ongea mama etuu

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem

    Team ,imeuzwa ,ila wanajificha kwenye mafanikio

  • @user-eh2tg1ss3u
    @user-eh2tg1ss3u Před měsícem

    Mama Karume tafadhali muadabishe huyu mtu,katumwa huyu kutuvuruga. Si kuadabishwa TU hata bakora apewe za kutosha. Zee zimaa LINAKERAAA. Likapige migoma huko huko!!!

  • @JafarOmar-b1u
    @JafarOmar-b1u Před měsícem +2

    anataka kuwatia shida watoto wake

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 Před měsícem +1

    Huyu mama eti hapa Magoma hela hapati

  • @saidmansoury1526
    @saidmansoury1526 Před měsícem +1

    Mm yanga damu magoma kuna ukweli tunazugwa na ushindi watu wanapiga pesa hapo awajibu hoja bali kumshambulia tu sielewi

  • @rukundorwiza5223
    @rukundorwiza5223 Před měsícem +1

    Magoma sisi yanga tunampenda

  • @agreykayombo1466
    @agreykayombo1466 Před měsícem

    Tunahitaji kauli ya Mama Karume sio huyu

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 Před měsícem +1

    Magoma.mfukuzeni yanga.kwa usalama wake amechokoza.taasisi kubwa

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Před měsícem

    Nyinyi Yanga hamjielewi aliefoji sahihi sio Magoma bali kunamtu ambae ndie aliesema anawawakilisha wadaiwa wengine na sio, mimi nipotayari kuweka dau lolote kama Magoma ataguswa kwa fojari.

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec Před měsícem +2

    Sasa si mko na mwana sheria nendeni mahakamani mka mcahalange ukweli ujulikane tu c kila mtu Ana haki

  • @AllDesigningTZ
    @AllDesigningTZ Před měsícem +1

    Chanel hii ni ya hovyo

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před měsícem +4

    Yule mzee msumbufu

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Před měsícem

    Tuonyeshen nyumban kwake uyo mzee

  • @FilipoBahava
    @FilipoBahava Před měsícem +1

    Amezoea tunaomba Serikali imwadabishe ni mzee OVYO

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před měsícem +1

    Acha hawanyosheeee

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v Před měsícem +1

    Mi nadhani asulubiwe hastahili hata kidogo mbele ya jamii

  • @jamesnyaulingo673
    @jamesnyaulingo673 Před měsícem +2

    Simba huyo

  • @FridanyoniFridanyoni
    @FridanyoniFridanyoni Před měsícem +1

    Mtoeni akwendeeee

  • @ramadhanisimon
    @ramadhanisimon Před měsícem +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem +1

    Mahakama sio wapumbav wamejiridhisha wakaona yuko sahihi.na uyu dada anachochea ugomvi kwenye maelezo yake.magoma komalia kwenye haki wataelewa tuu badae

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před měsícem +1

    Huyu Mama yupo na akili sana Yani YANGA Ina watu sana

  • @KhalfanNuhu
    @KhalfanNuhu Před měsícem +1

    Magoma fala tu njaa inampa tabu

  • @ProudNative
    @ProudNative Před měsícem

    Waandishi fanyeni utafiti wa maswali ya kuulza sio kila muda mtakuwa mnawaulza maswali kina Ali Kamwe na Ahmed Ally. Wengne wanaweza kuwapa habari za msingi

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem +1

    Uyo magoma amechoka kuixhi sio mda ataenda dampo tukamfukie😢 nasemaje yanga bingwa adi 230🙏

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y Před měsícem

    Kadange huko poch manyoya Kwan unafikir mkimua magoma ndo uhai wake mnaongezewa nyinyi Kila mtu ardhi inamsubiri nyoko ww 😂et ndo unaenda kwenye uzee si bib kabisa dooh hutak kuzeeka leta Hilo bunyanga tulisolobeke ukuni mamaee

  • @mohamedymkopi5887
    @mohamedymkopi5887 Před měsícem

    ieleweke kuwa magoma siyo aliesambaza izo taharuki waulizwe hao walipokwenda kuchukua file mahakamani wakati kess haiwahusu then kuanza kusambaza habr hz mtandaoni… ye wala hakuusika straight 🎉

  • @user-hn1ci1xs8p
    @user-hn1ci1xs8p Před měsícem +2

    Mama apewe maua yake magoma chawa tu

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před měsícem +1

    Magoma hongeraaa unajua unajua teinaaaaaaa,mwaaaaaa👍

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 Před měsícem

      Ndiyo nyinyi mpo nyuma ya magoma zeee linataka kugongwa...anafufua kesi mchwara Yanga mbovu kwani kama simba???😂😂😂😂

  • @user-vg7ph6oc4m
    @user-vg7ph6oc4m Před měsícem

    Gen z malizaneni na huyo babu jamani shabiki wa yanga kutoka 🇰🇪

  • @maimunaahmed3477
    @maimunaahmed3477 Před měsícem +1

    Mvueni uanachama huyo ni anatumwa.

  • @user-co4dx6lo9x
    @user-co4dx6lo9x Před měsícem +1

    Kwani hoja ni nini we mama nawe ndo wale wale wapigaji wewe mheshimu babako huyo we mama

  • @madarakamarumbo6102
    @madarakamarumbo6102 Před měsícem +3

    Sasa huyo ni mama Karume? Huyo ni Siza Lyimo