"Mawazo" Sehemu Ya 48 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
    Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
    Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo
    Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    CZcams : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2023

Komentáře • 45

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Před 8 měsíci +5

    Dr Eli kamakunasiku ulisha wahi fundisha nikaguswa nihapa na leo . Jehova akuzidishie maisha marefu pia team chomoza. ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @venerandahillary6062
    @venerandahillary6062 Před 6 měsíci +3

    Kila siku napita youtube naona been days. we hope you’re doing well, we miss you and we love you dearly💗

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 Před 7 měsíci +2

    We miss you Dr , we hope you’re doing well this 2 weeks without seeing you🙏🏾🙏🏾. We love you

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 Před 5 měsíci +1

    Hello, Dr. Elie alienda wapi? I looked forward to his lessons every Sunday. I hope he will come back. It's been a while! I enjoyed every lesson and they helped me change my life. Praying and hoping that he is alright.

  • @WilbardLaizer-vm4fw
    @WilbardLaizer-vm4fw Před 8 měsíci +3

    Hakuna msomi mweny akili kama huyu baba Tanzania Mungu awabariki sana.

  • @jombalee
    @jombalee Před 8 měsíci +2

    Haya mafundisho yatakuwa makubwa apo mbeleni na kuwafikiwa watu wengi duniani . God is great all the time

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 Před 8 měsíci +3

    What a great lesson! I have never failed to watch this show. It has changed my life forever. Happy new year to you too!!!!

  • @AFYAKWAWOTE-jp5eh
    @AFYAKWAWOTE-jp5eh Před 6 měsíci

    Asante sana team chomoza kwa kumchagua Dr Elie na mkafanya nae kazi muhimu na nzuri kama hii ya kutubadilisha kifkra na kimawazo,, ama kweli ni wengi tuliopotea ila kwa madini haya ,,,, hakika njia zinafunguka na tunakuwa wana wapya wenye hekma na busara zitakazofungua vyema milango yetu ya mafankio. Mungu awabariki sana na wa kwenu wote AMINA.

  • @badilikakijana4032
    @badilikakijana4032 Před 8 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu aunganishe muwe kitu kimoja as a team kufikisha ujumbe

  • @sabrinakazungu8258
    @sabrinakazungu8258 Před 7 měsíci +1

    Ishi maisha marefu Dr ur brave

  • @Rajabukanyima-fj4js
    @Rajabukanyima-fj4js Před 8 měsíci +1

    asante sana baba unajua kutuonesha njia hakika bwana mungu akubarki sana tunakupenda

  • @lionewstv6333
    @lionewstv6333 Před 8 měsíci +1

    Ahsante Dr Ellie na team chomoza Kwa kuendelea kutufungulia ulimwengu
    HAPPY NEW YEAR🎉

  • @nabsonkifuge5115
    @nabsonkifuge5115 Před 8 měsíci

    Tunaopata nafasi kuyafuata mafundisho ya Dr Ellie hakika tunapata kitu chema nimekuwa mtu wa tofauti kipitia mafundisho haya ,Mungu awabariki sana

  • @sophiabryson2735
    @sophiabryson2735 Před 4 měsíci

    🎉

  • @venerandahillary6062
    @venerandahillary6062 Před 6 měsíci

    Dr Elie, I miss you, pleaas njoo tumalizie somo letuuu🤩

  • @festongatele4440
    @festongatele4440 Před 6 měsíci

    Kaka Jimmy, tumemkumbuka Dr kwakwel ni kitambo sasa

  • @Newnormal-ch5im
    @Newnormal-ch5im Před 8 měsíci

    Ubarikiwe sana Dr.Elie, mafundisho yako ni nyeti sana, leo una mafuta sana leo

  • @eliaspeter1258
    @eliaspeter1258 Před 8 měsíci +1

    Mafunzo Muhimu sana

  • @samuelbahizire761
    @samuelbahizire761 Před 8 měsíci

    shukrani kwenu team chomoza, we love you

  • @rajabukingwande4567
    @rajabukingwande4567 Před 8 měsíci +1

    Together Dr. Elie Waminian

  • @johnchuwa1646
    @johnchuwa1646 Před 8 měsíci +1

    Dr Elli anakitu wengi Awana is Awerkening

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před 8 měsíci +1

    Happy New year to you all 🥂

  • @elineemazakaria1828
    @elineemazakaria1828 Před 8 měsíci +1

    🙏🙏🙏

  • @jombalee
    @jombalee Před 8 měsíci

    Mimi kama mwana nimejifunza kitu this year❤❤.

  • @doriskyaruzi7509
    @doriskyaruzi7509 Před 5 měsíci

    Jamani mbona mwanza haji jimmy tusaidie na mwanza aje

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 Před 7 měsíci

    Team chomoza dr ellie yuko wap jamani? Mwezi sasa unakata

  • @emergencymwanza5344
    @emergencymwanza5344 Před 7 měsíci

    Team Chomoza hongereni na kazi kwanini msingekua mnarecord then ikitokea emergency kama hii masoma yana endelea tu.

  • @pendomwaiteleke1636
    @pendomwaiteleke1636 Před 6 měsíci

    Dr ellie yuko wapi jamani kila jumapili nakuja kucheki hayupo

  • @loycemalach9662
    @loycemalach9662 Před 8 měsíci

    Hii ni mpya ckuijua nimejifunza.
    Kumbe ndo maana tunasumbuka cn tunaishi na wanaume ambao walishalaaniwa kitamboooo

  • @user-cv9mx1uj3i
    @user-cv9mx1uj3i Před 8 měsíci

    From Burundi 🇧🇮 we we love you

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo633 Před 5 měsíci

    Jimmy Dr kaenda wap? Mmekaa kimy km hakuwa mtumish wa watu bana

  • @mariapetro5052
    @mariapetro5052 Před 8 měsíci

    Dr.Ellie inbox jmn kwa ajil ya personal counselling vifo huend vikapungua vinavyosababishw na mahusiano na ndoa

  • @user-kx8ki9ct6h
    @user-kx8ki9ct6h Před 8 měsíci

    Ni kweli doctor hatuelewani sijui kwanini na nateseka sana na adiction

  • @kaiemujaya7697
    @kaiemujaya7697 Před 6 měsíci

    Dr. yuko wapi wiki ya 5 hii sijamsikia wala kumwona.

  • @barakabusima
    @barakabusima Před 7 měsíci

    Jimmy huwa unashida gani umekaa na Dr miaka zaidi ya 8 lakini hujifunzi ....unapewa mkono na dr wewe unaignore tena unasema hamtoamini kwani vita huku ukuwa serious be friendly .

  • @user-be9jt4fd2k
    @user-be9jt4fd2k Před 7 měsíci

    Week ya pili hii kimya jaman hakuna masomo tunasubiri muendelezo au somo hili limeisha?

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před 8 měsíci +1

    Sukuran sana but nina swali baba hakutaka kulea mtoto au kushulika kumtafuta ndio kwende vipi hapo?

    • @dianamachange1675
      @dianamachange1675 Před 8 měsíci

      Kwenye hili inawezekana kumtafuta.. mm nimeolewa na mume ambaye hakulelewa na baba.. ana tabia hzo hzo alizotaja dr.. na mamake alikuwa ameingilia sana na kweli nlimweka pembeni.. nikaulizia ndugu zake mpaka nikapata taarifa za baba yake.. na nlienda kumwona.. baba yake anajua uwepo wake ni anasema.mama yake ndy alikosea kutokumwambia kuhusu mm.. nimemwambia mume sasa ni kama hajataka hlo.. maisha yake ni mabovu sana sana sana.. it is possible kumfuata kwa unyenyekevu tu..

    • @aishavogelmann5021
      @aishavogelmann5021 Před 8 měsíci

      @@dianamachange1675 shukran sana

  • @HenryMizambwa-ft5qo
    @HenryMizambwa-ft5qo Před 8 měsíci

    Vipi kuhusu yatima jamani dkt mana wapoo waliokosaa neema ya wazazi wotee na kuathirika kimalezi tunawasaidiaje yatima katiks malezi

  • @lightnessdaniel5517
    @lightnessdaniel5517 Před 8 měsíci

    🙏

  • @edwinkimambo9473
    @edwinkimambo9473 Před 8 měsíci

    🙏