Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews CZcams : www.youtube.com... #ChomozaTv#2023
Shalom!,Nashukuru Mungu kwa mafundisho ya Dr Ellie yamenibadilsha na ninaendele a kuomba Mungu azidi unifinyanga.Ombi je kipindi hichi hakiwezi kuwa na marudio
Uncle Jimmy, Dr akimaliza somo hili atufundishe kuhusu nyakati za mwisho kiutabiri wa ufunuo na kitabu cha Daniel.
Shalom!,Nashukuru Mungu kwa mafundisho ya Dr Ellie yamenibadilsha na ninaendele a kuomba Mungu azidi unifinyanga.Ombi je kipindi hichi hakiwezi kuwa na marudio
Ok
Kaka MNATUBARIKI SANA KWA UTUMISHI WENU,,DR. ELLIE ANATUSAIDIA SANA,, TUNAOMBA KAMA KUNA VITABU ALIVYOANDIKA TUVIJUE NA PIA TUNUNUE
Waoo nimesubr xna ngoja tujifunze sasa❤❤❤
Nakushkuru sana dr binafc unanijeng kinoma
God bless you Dr Ellie
A truly hub of Hope
Ameen uko juu bro
Always be blessed to you all.
Barikiwa sana docta
Thanks
Nilikuwa naisubili xna🙏
Randomly😂😂😂😂'Jimmy umetupiga hapo
Tungekuwa na vichwa kama hivi WALAU kumi kila MTAA, TUNGERUDI kwenye mstari, TUISHI
Jimmy unatukera usimkatishe katishe dr, unatufanya tusielewe
Mpende mungu , mpende jirani ila chunga geti lako.
Huyu ni mwamba
Sina swali ninasikiliza alafu natulia najitafakar na mimi
Jaribu kua kimya kama evance na sasari
Hivi kwanini msipitishe namba ya Dr ili hata kama hataki ili tukiguswa tuchangie kama sadaka zetu?