🔮

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 27. 05. 2020
  • 🔮#LIVE: PIGO KWA MBOWE, VIONGOZI Wake WENGINE WAJIONDOA CHADEMA, Wamlipua - "Ni Waoga Sana"
    BAADHI ya viongozi wa Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, wametangaza kujiondoa katika chama hicho leo Mei 28....
    Na Felista Massae
    ⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫ OUR PLAYLISTS:
    ⚫ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáƙe • 242

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 Pƙed 4 lety +26

    Kazi bado sana Mbowe na kampuni yake safari hawaponi.

  • @jamesmtambo6252
    @jamesmtambo6252 Pƙed 4 lety +15

    Hujachelewa, karibu CCM

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Pƙed 4 lety +1

    Mwenyezi mungu amekubariki sana baba mbatia kwa siasa zako za kiungwana nakweli kuvuna matunda haya hongera sana.

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 Pƙed 4 lety +29

    Kama unamjua rais wa Rwanda gonga like hapo😀😀😀😀

    • @josephclement3650
      @josephclement3650 Pƙed 4 lety

      yani utafikiri ni mtu na mdg wake😂😂😂😁😁😁😁😁😀😀😀

    • @mahamudually357
      @mahamudually357 Pƙed 4 lety

      đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @richardodoyo7511
    @richardodoyo7511 Pƙed 4 lety +12

    Tatizo la mbowe anakula ruzuku za wanachama wa chadema mwenyewe karibu ccm. Tuwanyoweh

  • @alloycewilbert8848
    @alloycewilbert8848 Pƙed 4 lety +11

    Karibu CCM mkubwa ,

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 Pƙed 4 lety +8

    Chadema jiangalieni sana

  • @tz7976
    @tz7976 Pƙed 4 lety +22

    MBowe usirogwe kugombea ubunge mwaka huu utakufa na presha maana sizani kama utapata kura umejitahidi sana labda kura 2đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @lucky9285
      @lucky9285 Pƙed 4 lety

      Vipi umepanga ukamng"oe kwenye jimbo lake ??au ni mpambe wa wanamme wengine

    • @gabrielbahat9107
      @gabrielbahat9107 Pƙed 4 lety

      Kabisa aisee kwa Dar sidhani chadema kama watapata mbunge hata mmoja! Akishinda mmoja tu ni ushindi mkubwa kwao!

  • @michaelmusa7250
    @michaelmusa7250 Pƙed 4 lety +29

    Kama umeona NCCR-mageuzi kumenoga gonga like hapa👇😁

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Pƙed 4 lety +13

    Mbowe atakula bata sn kama munamwachia mapene yote mumpeleke mahakamani arudishe hela za umma kama anamatumizi mabaya ya ruzuku

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Pƙed 4 lety +19

    Chama kwishaaaaa mboe achia ngazi uwe raia tu maana huwezi kupokelewa popote

    • @husseinyusuph5458
      @husseinyusuph5458 Pƙed 4 lety

      Wee watu hatufanani ila ote wangekuwa Kama Mimi mbowe akiitisha mkutano mnaweka viti vizuri alafu kila kiti mnaweka jiwe alafu mnaondoka akija hakuti mtu

  • @ramlasalim4906
    @ramlasalim4906 Pƙed 4 lety +33

    Mbowe kajimaliza mwenyewe huwezi kua kiongozi dikteta na mbabe kwa watu ambao wao ndio source ya wewe kuwepo

  • @johnboscohava7340
    @johnboscohava7340 Pƙed 4 lety +14

    KILIVUTIA UOGOZI WA KIKWETE SIO KWA RAIS HUYU KAJITOSHEREZA HADI KEROO😂😂😂😂😂

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 Pƙed 4 lety

      Kipindi nchi imejaa mafisadi lazima ccm waachie ngazi mnafiki mkubwa

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 Pƙed 4 lety +12

    Mbowe anapiga pesa pale hakuna chama

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Pƙed 4 lety +14

    Wale wanaopata makombo hufunua midomo yao "wananunuliwa "sasa kuna mengi tutayaona kwani msimu umefika. Tumbo la chura lilipasuka kwa kushindana na ng'ombe...
    CCM DAIMAA.

    • @alihu3752
      @alihu3752 Pƙed 4 lety

      Anasema ukweli huyoo hakuna mjinga sie jua hali ilivyo chadema

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Pƙed 4 lety +20

    Mtu na akili zako unamchagua mwanamke sampuli ya Halima Mdee, Ester Bulaya kuwa mwakilishi wako bungeni! Watu wa Dar na Mara mnakosea wapi?!

  • @mwandymussa6180
    @mwandymussa6180 Pƙed 4 lety +7

    Umewapa mawazo mazuri sana ila wanajifanya wajuaji wakati vilaza umeongea vizuri tatizo wachumia tumbo

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 Pƙed 4 lety +6

    CCM 1

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Pƙed 4 lety +10

    N.C.C.R.MAGEUZI GO BACK TO NOMAL LIKE 1994..🙏🙏🙏🙏

    • @polloz77
      @polloz77 Pƙed 4 lety +2

      NCCR ni chama cha upinzani Tanzania next election

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 Pƙed 4 lety +13

    lijualikali ndio mjenga sera

  • @AbdalahKileo
    @AbdalahKileo Pƙed 4 lety +4

    Hongera Mhandisi Mustafa Muro kwa maamuzi yako ya busara.

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 Pƙed 4 lety +2

    Muache jembe JPM amepima papaya kimebabi 2020 kupima chadema corona tupu. Kweli JPM hapingani na mtu yoyote hapa duniani zawadi tumepewa na mungu. Kama Yusuf wa misiri myaka yile. Viva JPM God bless JPM God bless Tanzania đŸ‡č🇿.

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 Pƙed 4 lety +9

    Pipoooooozi Pwaaaaa!

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza5181 Pƙed 4 lety +5

    Hekima busara na unyenyekevu ndo sifa ya uongozi sema kwa mwaka huu tutayajua mengi mamaaaaaa kweli siku ukiona mgoni anasifiwa ujue mwenye mke kaharibu zaidi

  • @sarahasajile1271
    @sarahasajile1271 Pƙed 4 lety +3

    Karibu ccm

  • @alphoncemwilolezi9131
    @alphoncemwilolezi9131 Pƙed 4 lety +11

    Acha waisome no

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Pƙed 4 lety +11

    Sasa naweza amini sasa "Chadema" wanamjua nani alimpiga risasi "Lisu" kwa mwenendo huu

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Pƙed 4 lety

      Lissu alipigwa Risasi na utawala wa Magufuli hakuna mwingine anaweza ondoa walinzi kwy majengo na kwenda kufanya shambulio la mauaji

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Pƙed 4 lety

      Safari njema kuelekea NCCR MAGEUZI

  • @michaelmakori7324
    @michaelmakori7324 Pƙed 4 lety +9

    CCM no 1

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 Pƙed 4 lety +26

    JPM NI BABALAO, MAJALIWA NI BABALAO, MAKONDA NI BABALAO, WELCOME TO CCM

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Pƙed 4 lety

      😁😁😂😁😁

    • @lameckmichaelmagazi6345
      @lameckmichaelmagazi6345 Pƙed 4 lety

      đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @daudmakolo5244
      @daudmakolo5244 Pƙed 4 lety

      Haya ni mambo ya kawaida sana,yaani sana.lengo kubwa la vyama vya kiimla kama vile ccm ni kuhakikisha kwa gharama yoyote wanaendelea kutawala na sii kuongoza,ili kuficha dhambi na makosa mengi waliyoyafanya,huku wakiendelea kujificha ktk andiko kuwa hakuna mamlaka isiyotokana na Mungu.ccm wanataka kutuaminisha kuwa tz hii hakuna tatizo lolote isipokuwa tatizo ni mbowe na chadema.mbona hatusikii mrema akifuatiliwa naye ni mwenyekiti wa kudumu wa tlp.ujue huyo ameingizwa na kuukubaki mfumo.kwa watu wenye mawazo mapana kama mbowe lissu myika,hawatakiwi kabisa.bahati mbaya watz wengi ni fuata upepo,hawana misimamo.tutayumbishwa sana.nchi inamatatizo lukuki lakini tunaelekezwa kuwa tatizo ni mbowe na chadema!!!!Mungu tukumbuke watz tunahitaji msaada wako baba.

  • @michaeltarimo2241
    @michaeltarimo2241 Pƙed 4 lety +16

    Namshuri Mwamba Mbowe ajiuzulu uwenyekiti akinusuru Chama, laa sivyo atabaki yeye na familia take. Magufuli hoyeeeeeee

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 Pƙed 4 lety +10

    Meli inazidi kuzama.

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 Pƙed 4 lety +6

    Kumbe bado umebaki ukawa , bora mngeenda ccm

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 Pƙed 4 lety +6

    wazo lang laleo nahs hata tundu liss mbowe ndoalihuska ili ajinafas kwenye kula ruzuku za wenzake Ccm oyeeeeee maguful jembe

    • @maimlelwa7894
      @maimlelwa7894 Pƙed 4 lety

      Kwa hao wanavyo tafuta sababu hapo ndio wangepenya ila mmechelewa sana

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Pƙed 4 lety +1

    Pole sana kwasafari ndefu ya kisiasa

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 Pƙed 4 lety +1

    Short and clear

  • @deisdediterkomba6369
    @deisdediterkomba6369 Pƙed 4 lety +1

    Hongera kujua combo ulichopanda sio. Shuka wahi kwenye chombo imara

  • @evelina9621
    @evelina9621 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Wakati
    Una
    Me,ngi.

  • @hamadali9159
    @hamadali9159 Pƙed 4 lety +5

    Kulewa sifa umegusa sehemu sawa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Pƙed 4 lety

    Pole sana

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 Pƙed 4 lety

    Pole sana ndiyo siasa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Pƙed 4 lety +1

    Chadema wamepata laana kumbeza mzee sumaye .

  • @christiankiponda4639
    @christiankiponda4639 Pƙed 4 lety +5

    Freeman Aikaeli Mbowe, ni Mtu wa Dhuluma, na Tamaa, hasa Upande wa fedha, huyu freeman Mbowe ni Mhuni, wa Mjini, hafai hata kumkabidhi, Ukuu wa Wilaya, pia Anapenda sana Uchi, hapo kaka Uliingilia, Mapenzi ya Watu, huyu Freema amemdhulumu, Dj Gerald, Kiinua Mgogo chake, alichafanyia kazi pale kwa Miaka Mingi, dhulumu jadi yake, Na kwa nini hataki Mtu achukue kiti chake, anacho ogopa kutoka kwenye kiti, ni yale Madudu, aliyofanya, ameiba pesa nyingi za Chama.

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Pƙed 4 lety

      Ameiba pesa serikali yako ya ccm kwanini haijamkamata hadi leo toka 2004 acha upuuzi wewe

  • @emmanuelurassa4852
    @emmanuelurassa4852 Pƙed 4 lety

    Chadema hatuoni shida sna Kwanza jiwe alishasema atahakikisha mpk mwaka 2020 hakutakuwa na upinzani tz kwa hyo his no njama tu

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 Pƙed 4 lety

    tanzania upinzani hawendi mbele kwa unafiki maisha mtatawaliwa na ccm kwa ujinga wenu

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 Pƙed 4 lety +2

    Hilo genge kabisa lakini watu wakiwa zaidi ya wa3 anatakiwa ashitakiwe. Kingine mutuambie story ya Tundu lisu chadema munajuwa %85.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Pƙed 4 lety +8

    2015 mawaziri wakuu walio jiunga na chadomo walikuwa tayari mafisadi!stupid!yote tunayajua na tulikuwa tunayajua!watanzania sio wajinga kihivyo đŸ‡č🇿

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 Pƙed 4 lety

    Duh Mwamba kiboko!

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Pƙed 4 lety +1

    UNAFAA KUWA MBUNGE,UNA UWEZO WA KUJENGA HOJA.

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Pƙed 4 lety +1

    Kweri baba safii kabisa

  • @davidlucas5445
    @davidlucas5445 Pƙed 4 lety

    Etwa chadema

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 Pƙed 4 lety +4

    Maskeen MBOWE SO SAD WALLAH

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Pƙed 4 lety +2

    Tutasikia mengi

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 Pƙed 4 lety +6

    Saccos kwaeri byee ntakumis kwa vituko vyako

  • @mbonireamina6497
    @mbonireamina6497 Pƙed 4 lety +4

    Mtahama sana lakini hamtakuwa salama atakayekuwa salama ni yule atakayehamia CCM. Nia ya Magufuli iko pale pale kuvimaliza vyama vya upinzani. Ameanza na CHADEMA kitafuatia NCCR maana kitakuwa na nguvu kisha vingine vitafuatia. Hata Mbatia anapoteza mda wake labda afaidi Ruzuku. Magufuli akishammaliza MBOWE anafuatia MBATIA.

    • @lameckadusso7601
      @lameckadusso7601 Pƙed 4 lety

      Ninyi mnatetea ugali viongozi wasaliti ni ninyi Tena nawaombea mbaki msichaguliwe

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 Pƙed 4 lety +6

      Raisi wetu sio kwamba anamaliza upinzani si kweli ila wamepoteana wao kwa wao kwa kucheza na team bora kama Raisi Magufuli. Usitegemee team ya ndanda ikamshinda barcelona never na bado watahangaika sana kama wasipoungana na raisi na wananchi kwa ujumla . Rais Wetu endelea kuinyoosha nchi bado inapindapinda kidogo

    • @rogermomodesty3568
      @rogermomodesty3568 Pƙed 4 lety +1

      Umeongea pumba tu Magufuli unaemtaja ushawai kumsikia akiwaongelea upinzani hata siku moja Rais yeye anapiga Kaz tu, lakin nyinyi hamuishi kumtaja taja ndicho kinachowaua mbwa nyie

    • @Jastus100
      @Jastus100 Pƙed 4 lety +1

      Rais hana mambo ya kuongelea chama, na huwa anasema analeta maendeleo kwa watz wote sio ccm tu

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 Pƙed 4 lety +2

      Sisi tunaomuelewa rais wetu tunamuombea mazur kwa Mungu azidi kutuongoza vizur na kuipeleka nchi yetu mahali pazur zaid hii nchi ni yakwetu sote inatakiwa tumuunge mkono

  • @chrisiasbrown2208
    @chrisiasbrown2208 Pƙed 4 lety +2

    Naona wanamsafishia tu njia magufuli.. Uchanguzi huu Hawa wapinzani huenda wakaambulia patupu...

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Pƙed 4 lety +3

    KICHWA CHA NYOKA HAKIWEZI KUBEBA MZIGO, DUU FAFANUA,.
    WAOGA WA DEMOKRASIA, DEMOPHOBIA

    • @jovinusrwegoshora3206
      @jovinusrwegoshora3206 Pƙed 4 lety

      Watu muwe waelewa mtu kapata ziro form 6..hataogoza watu litoeni limbowe ndo linavulug

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 Pƙed 4 lety +2

    Sasa hivi nimekuelewa baba

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Pƙed 4 lety +1

    Chama bado kipo imara sana.....mnaondoka siyo kama dr slaha au lowasa.....
    Chama ni watu wa chini siyo juu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Pƙed 4 lety +1

    Mbowe anatakiwa afungwe. Ni muhimu, ni mwizi na mudanganyifu. Kawaibia Watanzania kodi zao. Kakaa kwenye jengo la serikali kwa miaka mingi bila ya kodi kwa mabilioni kakichukuwa chama cha Chadema kama mali yake binafsi. Wakati Dr Slaa alikuwa ni kiongozi chama hiki kilikuwa na chama cha kuheshimika. Sasa kashikikia madaraka MWIZI namba moja.

  • @stephenchelele5704
    @stephenchelele5704 Pƙed 4 lety +1

    Mwenyekit km unaitaji chama kiwe hai tunaomba ujiudhuru

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Pƙed 4 lety

    Asante bola ulivyoondoka ccm na atukutaki nenda ukouko ccm tuachie wenyewe

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Pƙed 4 lety +2

    Kwann mnafanya hayo sasa?

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Pƙed 4 lety +1

    Kwa jinsi unavyoeleza kaka nimeaminimi kweli CHADEMA ni chaka la wahuni na watekaji. Yawezekana wanatekana wao kusingizia serikali achana na hao wahuni ndugu watakuua

  • @amanirashid9011
    @amanirashid9011 Pƙed 4 lety +1

    nasema nabado

  • @justuswaziri5691
    @justuswaziri5691 Pƙed 4 lety

    Pole sana, ila akili ya kuambiwa pia ongeza na ya kwako

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 Pƙed 4 lety

    Kagame umesomeka vizuri

  • @juliananguma8981
    @juliananguma8981 Pƙed 4 lety +1

    Tulishazoea sana

  • @honestmrema5190
    @honestmrema5190 Pƙed 4 lety +1

    Njaa mbaya sana

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 Pƙed 4 lety

      Angebaki chadema asingekuwa na njaa

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 Pƙed 4 lety

      Unasema kweli mkuu matusi ni moja ya sera zao hata Wanachoma wake wameambukizwa hicho soma tu comments zao ni matusi tu utajua tu huyu ni chadomo wakifungua midomo yao utashangaa

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 Pƙed 4 lety

    Kwa hiyo kila mkivamiwa ni ccm chunguzen kwanza Kwan magufur ana plesha gani kwa mfano adi apige miguu ya mbowe jaman au kateguka kwenye vigae

  • @lauriankajugusi3971
    @lauriankajugusi3971 Pƙed 4 lety +2

    Chama ni kama dhehebu. Kasisi akikĂčudhi hutohama dhehebu, kwani huwi dhehebuni kumuabudu kasisi hiyo, Bali Muumba.Kama isingekuwa mwanasiasa malachi, usingemkimbia Mbowe, Bali ungesimamia haki zinazopokwa na mababe hao wachache,ikizingatiwa kuwa hata wao hawakuihasisi chadema. Punguzeni woga km kweli mmeamua kuwa wanasiasa.

    • @issamasimba9813
      @issamasimba9813 Pƙed 4 lety

      Wewe ni mwehu umenunuliwa ukaambiwa nenda cuf ili usijionyeshe ccm utaenda badae mbwa wewe

  • @lsakamtepamwandambo6448
    @lsakamtepamwandambo6448 Pƙed 4 lety

    Napita tu

  • @kenethmwangoka981
    @kenethmwangoka981 Pƙed 4 lety +5

    vyama vya kihuni havina utaribu wa kinidhamu wanatumia lugha za stend

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 Pƙed 3 lety

    Siuwende bhana usitupigie kelele

  • @freebeguronu5948
    @freebeguronu5948 Pƙed 4 lety

    Wewe ni mwongo wal ali ndogo

  • @mngwaliallykizangwa5888
    @mngwaliallykizangwa5888 Pƙed 4 lety +1

    Ukosefu was adabu,hilo umenena.

  • @ramadhanihaji2895
    @ramadhanihaji2895 Pƙed 4 lety

    Siasa "si hasa".

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Pƙed 4 lety +1

    Wacha waisome namba eee CCM MBELE KWA MBELE. COM MBELE KWA MBELE đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 Pƙed 4 lety

    Mɓowe naƙushauri acha ƙutia nia ÆŽa ƙugomɓea ƙaa pepeni uƙaturie ƙwanza vinginevÆŽo utaoofiƙa sana

  • @teonasijoseph3212
    @teonasijoseph3212 Pƙed 4 lety

    ila ninyi wanasiasa wote mnapigania matumbo yenu hakuna chama kilicho safi TZ.. kwa ninyi viongozi mlio kwenye hii press why hamkuondoka before mwaka wa uchaguzi, kulikua kuna mwaka jana, mwaka juzii...ACHENI NJAA

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 Pƙed 4 lety

    Mɓwowe uriƙosea ƙuchuƙua mahamuzi ƙaɓula ujayashiriƙisha wenzaƙo jua unapo ƙua ƙiongozi jua unawaongoza wanao ƙuzinɗi ata Erimu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Pƙed 4 lety

    Nakuaminia kutomung'unya maneno

  • @majidmusa309
    @majidmusa309 Pƙed 4 lety

    😹

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 Pƙed 4 lety

    ukiama chadema unakuwa yuda chapu Neno kuu chadema usaliti

  • @peternkohi8830
    @peternkohi8830 Pƙed 4 lety

    Hapo hakuna kitu

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Pƙed 4 lety

    Piga kelele kwa ccm yake mtaisoma namba

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 Pƙed 4 lety +1

    Waache wakaze shingo kama farao watapotea wote

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Pƙed 4 lety +1

    Ila angalieni na huko mnakohamia; ni mangis wale wale. Catrevi!

  • @vivianusrwezaura1245
    @vivianusrwezaura1245 Pƙed 4 lety +1

    Bando jamani

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Pƙed 4 lety

    Jamaa kuna waikato anasound kama Lowasa.

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Pƙed 4 lety

    Mangu baba lao tuliwambia mta elewatu Ila mtachelewa

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 Pƙed 4 lety +2

    Story zakutunga w utukanwe utishiwe maisha halafu usishitaki police?!

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 Pƙed 4 lety

    Mboe kwisha habar yako Chama kimekufia tatizo unakula peke yako na Ndugu zako badala ya kula na wanachama wako

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Pƙed 4 lety

    Nilifikiri kinachozungumzwa kina maana kumbe pumba tupu aise pole sana

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 Pƙed 4 lety

    Mta lopoka yote mwaka huu ccm ipo juu

  • @godfreydominic1958
    @godfreydominic1958 Pƙed 4 lety

    Ungesema naenda nccr mageuzi nasio manenomeengi.tutaona Hilo Hari jipya.

  • @nessa4899
    @nessa4899 Pƙed 4 lety

    Mimi naona chadema wangetulia tu kwanza hii korona ita wa cost sana.

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 Pƙed 4 lety

    Huyu ninani sasa

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 Pƙed 4 lety

    hivi mnaponda mbowe au Chama cha chadema naona mnatoka kwa ajili ya mbowe si kwa ajili wa katiba ya chadema kwa heri tunakutakia safari njema

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Pƙed 4 lety +1

    Unakwepa ngumi kwa kufumba macho 🙈🙈

  • @bahatimsukwa2026
    @bahatimsukwa2026 Pƙed 4 lety

    Unatamaa wew unahamahma