DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2024
- DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢
Mmmmh
Mbona kama kenya
Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe.
Dah hii dunia balaa.
Dah hili tangazo nalo kali.
Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm
Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭
Mungu atusaidie😢😢😢
Amina
Amina
Aamin Aamiin
Amiin
Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN
Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏
Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!
amina
Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏
Amen
Mungu amponye huyu mtoto jamani
Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.
Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii
Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏
Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana
Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️
Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao
Mungu asaidie namuombea apone
Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢
😢😢😢😢😢
Yaniii😢😢😢
Ni mapepoo hayoo sio Akili za kawaida
Wallah
Kuna watu ni mapepo ila mwili wa binadamu.
Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭
😢
Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno.
Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma.
Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji.
Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao.
Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana.
Mungu wetu hatatuacha.
Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya.
🙏
Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv .
Ukiwaza sana ni tabu
Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada
Maisha sahv hyna baraka
Dah Ukatili wa hali ya juu akipatikan apewe adhabu kali
😢😢😢 alafu mtoto anaonekana mwenye nizamu Mbona au dada jini
Itakuwa 😢 maana wanaonekana wastaarabu tu awa maboss
Wasichana wengine wachawi wametumwa damu za watu
Asilimia kubwa ya wadada wa kazi ni wachawi na wengine ni mapepo
Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu
Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏
Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.
Mmmmmmmm ukatili wa Hali ya juu, daah tuzidishe maombi juu ya watoto wetu
Sio maombi wanawake warudi kuwa wanawake hali itakaa shwari😢
Sasa@@gilliardgodfriend5745sasawaludi vp sema tuu tusiwaamini wadada wakazi
@@gilliardgodfriend5745wanawake warudi kuwa wanawake kivipi
SubhanaAllah 😢💔
POLENI SANA,WAZAZI,WANAFAMILIA NA MAJIRANI WOTE KWA TUKIO.HILO LA KUTISHA NA KUSIKITISHA.TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AJAALIE KWA UWEZO WAKE,MTOTO APONE,APATE NGUVU NA AFYA.MWENYEZI MUNGU AWAPE MIOYO YA SUBIRA WAZAZI NDUGU JAMAA NA MAJIRANI WOTE.POLENI SANA.
Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip
Pole sana wazazi yaani akuna kitu nachukia kama mtu amfanyie mtoto kitu chochote cha ukatili naumia sana 😭😭😭😭😭😭eeeh mwenyezi mungu nakuomba mponye huyu mtoto mpambanie uhai wake nakuombea mwanangu utasimama tena inshallah 😭😭😭😭😭😭
Tujitahidi kuonyesha upendo kwa dada wa kazi, hao viumbe hawana nguvu lakini wakiamua wanaweza kuteketeza familia,tuache roho mbaya
Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢
Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢
Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki
Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone
Jamani watu wamekua wakatiliii sana sikuiz💔😢Poleni tumuombee jaman🙏🏽
na hiz tamthilia zinachangia watu wanaona mambo ya kuchinjana ni kawaida!
Subhana Allah
Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina
Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone
Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana
Pole Mungu amtetee Mtoto.apone haraka na watu wafikirie kabla ya kutenda unapojerui au chochote kibaya hutakuwa na amani utaishiia jela faida gan unapata?
Aliezaa anaelewa jins tumbo linavy uma la uzazi😢
We acha tu so painfully
Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona
😢😢poleni Sana ndugu zetu,haya machungu kweli mungu awape nguvu ,ndio maana hawa warabu wana Sheria Kali sana Kwa watoto,ukiguza mtoto unafungwa
Jamani wa dada wakazi awapendeki baadhi yao
Unakijuwa alichofanywa yeye?
@@hajihassan5433hakuna alichfanyiwa huenda mtoto kamjibu kitu au kuna watu wameungana na huyo dada wa kazi
Wadada siku hzi hawana jema ndugu
@@hajihassan5433Ila msichana ana roho ngumu
@@hajihassan5433hata afanye nn ni ukatili mtt inamuhusu nn? Wewe ungefanya ivyo?
Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏
wanaosema mama mwenye nyumba ana shida inategemea maana kwetu tuliwahi leta mdada then baada ya wiki akapandisha mashetani akasema nataka damu akawa anatafuta kisu bahati nzuri mdogo wetu alikuwepo.Akamzuia kwa kumfungia chumbani mpaka tuliporudi mpaka leo naogopa wadada wakuletewa wengine wachawi.
Wengine hayajawakuta
Mwenyezi MUNGU amponye huyo mtoto, poleni sana wazazi na familia nzima kwa ujumla
Polen sn Kwa mthan mzito Mungu atamponya Kwa izini yeke ishallah Lakin mabos mumezid zarau na kejel Kwa wafanya Kaz wenu munawafanya km Wanyama kwasababu yaumasikin wao munasahau km nawao ni binadamu km nyny munawateteya maovu mengi san ndomana nawao hujibu mashbiliz Kwa watt wenu siamin km mdada WA Kaz unamsamin na kumpenda km mwana familia hafu afanye unyama km huo sio kweli hem kaeni nao kwawema na ihisan halafu muone km atafanya ubaya km huo
Sikubalian na hiki na kama amenyanyaswa na bossi si angeiba hata vitu vya ndani akasepa kumdhuru huyo mtt anapata faida gani, hyo mijitu ya kigoma mingi mikatili na ni kichawi na background za malezi Yao huwa ni mbayabaya wamenyanyaswa kwao wanakuja kuleta stress na depression zao kwa watu wengine akipatkana na yy achinjwe kidogo Ili aone utamu wake
Akatwe hata vidole
Halijakupata wadada wasasa nishida sana kwanza niviburi sana omba Mungu lisikupate unaleta dada wewe bosi wake unakuwa mtumwa kwake huo niujinga mbona makazini watu wanaenda wanajituma wapate mshara wao kwanini na yeye asijue wajibu wake acha kuwatetea ,wadada wanaujinga sana
Jamani ,jamani, nyie haya mambo mbona hivyo hii Dunia tunaenda wapi sisi ee molla wangu
Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu
Nimejikuta nalia naumia moyo nina uchungu sana ,najiuliza kwa hali hii tunaenda wapi kama Upendo ndo umeisha kwa kiwango hiki!!! Binafsi nilishawaacha madada wa kazi . Make nimeona mwingine anamwekea mwenye nyumba seelwearl kwenye chakula ,ila alipona, mwingine alimwekea sumu ya panya nk. Kusema kweli imani ilishaisha . Wengine
MIMI NILISEMA NITALEA WATOTO WANGU MWENYEWE SKUIZI WASCHANA WA KAZI NIWAKATILI HASWAA UKU KENYA PIA NIMEINGIA NA UONGA SANA SKUIZI..YA ALLAH TULINDIE WATOTO WETU..
Mungu akusaidie ukiweza
Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale
Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.
Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.
Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan
Kwel kabsa ase
Serikali ina mkono mrefu atakamatwa uyo.
Tena mrembo 2 huyo atapatkana kw haraka
Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢
Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo
poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen
Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu
Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani
Mungu wetu wewe hujawah kushindwa kuanzia mwanzo mpaka ufunuo kupitia hili tunaomba uonekane mfalme wa aman
Polen Sana m M Mungu amfanyie wepesi inshalah wasichana wa kigoma wanafanya kazi Sana kuna wenye upendo wengi Wana roho mbaya 😭
Mungu awatie nguvu wazzi haw
Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen
Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen
Jmn mwangalie wa dada wa kazi wanaujua majukumu anae jua uchungu sio vitoto daah 😭😭😭 Ina uma sana
Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen
Poleni jamani inauma sana poleni
Ahsante 😢
Pole fundi wangu wa nguo mungu akitie nguvu atapona mtoto
Eeh Yehova Mungu naomba umponye mtoto
Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲
Malaika
Poleni sana kwa kweli
Baba Malick na Mama ake...
Hawa wasichana wa kazi wakija tu kuanza kazi fanyeni nao interview muwa record na pia mupige nao mapicha mueke kumbu kumbu, Hata akikimbia muwe na proof..pigeni picha kama family .
Mtihani
👍👍👍
Saw
Safiiii
Nimeduwaaa sana jamani
Ya Allah mpe shifaa mtoto huyo na uwalinde wanetu popote walipo ya rabbi
Mnatuchanganya. Tumieni neno sahihi. Mtoto anaendeleaje? Binadamu na hata mnyama akichinjwa haponi!
Mungu ni mwema atamponya il
Poleni sana
Oh God heal Lovely kid completely
Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana
Sasa mtoto kama huyu jmn kamkosea nn jmn wallah ni laana hii
Mwenyez mungu nakuomba ee yarabi mponye mtoto huyu tunakuomba umponye tafadhari
Poleni japo hamsemi ukweli kwenye maisha yenu na dada wenu wa kazi.
Sema wewe ukweli unaojua
Mungu wangu bwana yesu awatie nguvu
Mungu amjalie afya apone
Mungu twakuomba utetee uhai wa huyu mtoto 🙏
Mungu amponye huyo mtoto
Lailahailah rabbi nsataraa mtt apone hili la watu w kigoma n kawaida kiuchawi n kawaida, ucpime
HAPO KUNA JAMBO BINAFSI NASEMA PAFANYWE UCHUNGUZI HAWA WAKE ZETU WANAFANYA UKATILI SANA KWAHAWA MABINTI WAKAZI,,NDOMANA NAWAO HURUDISHA KISASI KWA WANETU 😭
INSHAALLAH MUNGU ATAMPONYA 🤲
NAMI NAKUUNGA MKONO,AKINA MAMA AU WAZAZI HASA WA KIKE,HUWA NAO HAWANA MAONGEZI MAZURI NA WAFANYAKAZI WA NDANI...LUGHA YA MANENO MAKALI...KUTOKUMLIPA MSHAHARA KWA WAKATI...NK
Ata km ingekuwa ivyo ni ukatili sana unyama roho ngumu ndo umuue mtt?
@@Zuu673 ,,Ndugu yangu hivi hujawahi ona unagombana na mkeo Halafu mmoja wenu anaaza vunja vyombo
@@roggoyacny nakwambia najua lkn sio kwa kumfanyia ukatili mtoto
Me ukwel nikiona boss anazngua naaga2
Pole sana
Duu! inauma Sana tunaomba Mungu afanye wepesi wa kupona
Pole sana mzazi
Ashim mungu akupe nguvu katika kipind hiki kingum mungu amponye mtt
Fanyen uchunguzi kwa kina mpka hapo Bado hakuna uhakika kama ni dada wa kazi kumchinja inawezekana tukio limefanywa nawatu wengine na dada akawa wamemteka kwasabu wanasema Mtoto kaongea kwa shida akimtaja dada hatujui dada kimmpata nini ntapata kugugumizi kuona wenyewe mnakili dada mnaishi nae vizuri.. yote kwa yote tumuombee Mtoto apone na dada awe yupo salama
Interview haisaidii maana hata wazima wanafanya ivo vio
Sa kwanini atoroke
Kati mtoto kasema kabisa dada ndo kanichinja na kakimbia had kaweza kuvua sket iliyoloa dam na kubaki na tait ili asionekane na dam huko aendako
Mungu amponye mtoto wetu kwa harak🙏
Aisee mungu atuepushe na ibilisi wallah mm tungegawana majengo
Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka
Pole sana kaka
Jamani mtoto amefanana na babaake Mungu umponye huyu mtoto 🙏🙏
Get Well Soon Mtoto Mzuri
Eeh ahsante Mungu jmni mtoto anaendelea vzuri Mungu amponye mtoto
Pole mdogo wang utapona kwauwezo wamung
Huyo Dada wa kazi atakamatwa tu .
Allah Akbar Allah Akbar yarabiiiii Tanzania tumeingiwa na ushetani kila ck matukio Tu ya mauwaji subhanallah
Murundi usipo mlipa ela yake uwa wanalipiza kisasi cha kuua familia nzima hata akiondoka atarudi aue familia nzima