DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 647

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +15

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @NasmaMaulid-ev6md
      @NasmaMaulid-ev6md Před měsícem

      Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢

    • @maxthadeus6787
      @maxthadeus6787 Před měsícem +2

      Mmmmh

    • @maxthadeus6787
      @maxthadeus6787 Před měsícem

      Mbona kama kenya

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn Před měsícem

      Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe.
      Dah hii dunia balaa.

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn Před měsícem +1

      Dah hili tangazo nalo kali.
      Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm

  • @user-ns1dg4jd7q
    @user-ns1dg4jd7q Před měsícem +144

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭

  • @user-hm8yt9ol4c
    @user-hm8yt9ol4c Před měsícem +19

    Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Před měsícem +17

    Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏

  • @Kidotii
    @Kidotii Před měsícem +24

    Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Před měsícem +61

    Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏

  • @devothaanthony8174
    @devothaanthony8174 Před měsícem +17

    Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.

  • @user-qw6wv4hf5c
    @user-qw6wv4hf5c Před měsícem +16

    Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii

  • @user-ty1tp8ly8q
    @user-ty1tp8ly8q Před měsícem +8

    Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před měsícem +21

    Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana

  • @lucylight9341
    @lucylight9341 Před měsícem +1

    Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 Před měsícem +8

    Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao

  • @nemaJuma-u5o
    @nemaJuma-u5o Před měsícem +17

    Mungu asaidie namuombea apone

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 Před měsícem +22

    Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢

  • @user-mx9go2qs9w
    @user-mx9go2qs9w Před měsícem +12

    Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @RaylaRamadhan
    @RaylaRamadhan Před měsícem +7

    Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 Před měsícem +7

    Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno.
    Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma.
    Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji.
    Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao.
    Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana.
    Mungu wetu hatatuacha.
    Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya.
    🙏

    • @user-ug3lu2km4c
      @user-ug3lu2km4c Před měsícem

      Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv .
      Ukiwaza sana ni tabu
      Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 Před měsícem

      Maisha sahv hyna baraka

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před měsícem +17

    Dah Ukatili wa hali ya juu akipatikan apewe adhabu kali

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Před měsícem +10

    😢😢😢 alafu mtoto anaonekana mwenye nizamu Mbona au dada jini

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c Před měsícem +5

    Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o Před měsícem +2

    Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏

  • @trecygohy7847
    @trecygohy7847 Před měsícem +1

    Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.

  • @user-fo6lt4ow8p
    @user-fo6lt4ow8p Před měsícem +10

    Mmmmmmmm ukatili wa Hali ya juu, daah tuzidishe maombi juu ya watoto wetu

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 Před měsícem

      Sio maombi wanawake warudi kuwa wanawake hali itakaa shwari😢

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před měsícem

      Sasa​@@gilliardgodfriend5745sasawaludi vp sema tuu tusiwaamini wadada wakazi

    • @dorcassebastian3038
      @dorcassebastian3038 Před měsícem

      @@gilliardgodfriend5745wanawake warudi kuwa wanawake kivipi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +10

    SubhanaAllah 😢💔

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 Před měsícem +7

    POLENI SANA,WAZAZI,WANAFAMILIA NA MAJIRANI WOTE KWA TUKIO.HILO LA KUTISHA NA KUSIKITISHA.TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AJAALIE KWA UWEZO WAKE,MTOTO APONE,APATE NGUVU NA AFYA.MWENYEZI MUNGU AWAPE MIOYO YA SUBIRA WAZAZI NDUGU JAMAA NA MAJIRANI WOTE.POLENI SANA.

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Před měsícem +3

    Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip

  • @rosejeremiah-ib3qq
    @rosejeremiah-ib3qq Před měsícem +1

    Pole sana wazazi yaani akuna kitu nachukia kama mtu amfanyie mtoto kitu chochote cha ukatili naumia sana 😭😭😭😭😭😭eeeh mwenyezi mungu nakuomba mponye huyu mtoto mpambanie uhai wake nakuombea mwanangu utasimama tena inshallah 😭😭😭😭😭😭

    • @user-dp6ny5ef9h
      @user-dp6ny5ef9h Před měsícem

      Tujitahidi kuonyesha upendo kwa dada wa kazi, hao viumbe hawana nguvu lakini wakiamua wanaweza kuteketeza familia,tuache roho mbaya

  • @NaziaMudi
    @NaziaMudi Před měsícem +5

    Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @rhodajoseph2904
      @rhodajoseph2904 Před měsícem

      Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 Před měsícem

      Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki

  • @SajdahIssa
    @SajdahIssa Před měsícem

    Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone

  • @glorygratian6340
    @glorygratian6340 Před měsícem +2

    Jamani watu wamekua wakatiliii sana sikuiz💔😢Poleni tumuombee jaman🙏🏽
    na hiz tamthilia zinachangia watu wanaona mambo ya kuchinjana ni kawaida!

  • @mwanakhamisimwinyimatano1185
    @mwanakhamisimwinyimatano1185 Před měsícem +6

    Subhana Allah

  • @user-ll9so3pk4j
    @user-ll9so3pk4j Před měsícem

    Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina

  • @AminaAbdul-nr2lz
    @AminaAbdul-nr2lz Před měsícem +1

    Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone

  • @LamaribamJumbe
    @LamaribamJumbe Před měsícem +1

    Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn Před měsícem +6

    Pole Mungu amtetee Mtoto.apone haraka na watu wafikirie kabla ya kutenda unapojerui au chochote kibaya hutakuwa na amani utaishiia jela faida gan unapata?

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Před měsícem +1

    Aliezaa anaelewa jins tumbo linavy uma la uzazi😢

  • @ObediMeyan-j8c
    @ObediMeyan-j8c Před měsícem

    Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b Před měsícem

    😢😢poleni Sana ndugu zetu,haya machungu kweli mungu awape nguvu ,ndio maana hawa warabu wana Sheria Kali sana Kwa watoto,ukiguza mtoto unafungwa

  • @fatumamshindo4435
    @fatumamshindo4435 Před měsícem +11

    Jamani wa dada wakazi awapendeki baadhi yao

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Unakijuwa alichofanywa yeye?

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před měsícem

      ​@@hajihassan5433hakuna alichfanyiwa huenda mtoto kamjibu kitu au kuna watu wameungana na huyo dada wa kazi

    • @hidayakeizer924
      @hidayakeizer924 Před měsícem

      Wadada siku hzi hawana jema ndugu

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před měsícem

      ​@@hajihassan5433Ila msichana ana roho ngumu

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před měsícem +2

      ​@@hajihassan5433hata afanye nn ni ukatili mtt inamuhusu nn? Wewe ungefanya ivyo?

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 Před měsícem

    Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏

  • @neemakoka599
    @neemakoka599 Před měsícem +5

    wanaosema mama mwenye nyumba ana shida inategemea maana kwetu tuliwahi leta mdada then baada ya wiki akapandisha mashetani akasema nataka damu akawa anatafuta kisu bahati nzuri mdogo wetu alikuwepo.Akamzuia kwa kumfungia chumbani mpaka tuliporudi mpaka leo naogopa wadada wakuletewa wengine wachawi.
    Wengine hayajawakuta

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s Před měsícem

    Mwenyezi MUNGU amponye huyo mtoto, poleni sana wazazi na familia nzima kwa ujumla

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Před měsícem +2

    Polen sn Kwa mthan mzito Mungu atamponya Kwa izini yeke ishallah Lakin mabos mumezid zarau na kejel Kwa wafanya Kaz wenu munawafanya km Wanyama kwasababu yaumasikin wao munasahau km nawao ni binadamu km nyny munawateteya maovu mengi san ndomana nawao hujibu mashbiliz Kwa watt wenu siamin km mdada WA Kaz unamsamin na kumpenda km mwana familia hafu afanye unyama km huo sio kweli hem kaeni nao kwawema na ihisan halafu muone km atafanya ubaya km huo

    • @NasraSalehe-bi8sh
      @NasraSalehe-bi8sh Před měsícem

      Sikubalian na hiki na kama amenyanyaswa na bossi si angeiba hata vitu vya ndani akasepa kumdhuru huyo mtt anapata faida gani, hyo mijitu ya kigoma mingi mikatili na ni kichawi na background za malezi Yao huwa ni mbayabaya wamenyanyaswa kwao wanakuja kuleta stress na depression zao kwa watu wengine akipatkana na yy achinjwe kidogo Ili aone utamu wake

    • @NasraSalehe-bi8sh
      @NasraSalehe-bi8sh Před měsícem

      Akatwe hata vidole

    • @joycemsegea7787
      @joycemsegea7787 Před měsícem

      Halijakupata wadada wasasa nishida sana kwanza niviburi sana omba Mungu lisikupate unaleta dada wewe bosi wake unakuwa mtumwa kwake huo niujinga mbona makazini watu wanaenda wanajituma wapate mshara wao kwanini na yeye asijue wajibu wake acha kuwatetea ,wadada wanaujinga sana

  • @user-bl6rd4pq4k
    @user-bl6rd4pq4k Před měsícem +2

    Jamani ,jamani, nyie haya mambo mbona hivyo hii Dunia tunaenda wapi sisi ee molla wangu

  • @habibtynunu9340
    @habibtynunu9340 Před měsícem

    Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu

  • @user-qo8qy8zv1f
    @user-qo8qy8zv1f Před měsícem +1

    Nimejikuta nalia naumia moyo nina uchungu sana ,najiuliza kwa hali hii tunaenda wapi kama Upendo ndo umeisha kwa kiwango hiki!!! Binafsi nilishawaacha madada wa kazi . Make nimeona mwingine anamwekea mwenye nyumba seelwearl kwenye chakula ,ila alipona, mwingine alimwekea sumu ya panya nk. Kusema kweli imani ilishaisha . Wengine

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před měsícem +1

    MIMI NILISEMA NITALEA WATOTO WANGU MWENYEWE SKUIZI WASCHANA WA KAZI NIWAKATILI HASWAA UKU KENYA PIA NIMEINGIA NA UONGA SANA SKUIZI..YA ALLAH TULINDIE WATOTO WETU..

  • @RizikMahunya
    @RizikMahunya Před měsícem

    Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011

    Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Před měsícem

      Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.

  • @AshfaynahAbdul-cz9io
    @AshfaynahAbdul-cz9io Před měsícem +1

    Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan

  • @user-nm5ff3ri8k
    @user-nm5ff3ri8k Před měsícem +11

    Serikali ina mkono mrefu atakamatwa uyo.

  • @queenmunny244
    @queenmunny244 Před měsícem +3

    Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢

  • @Maliusi89Kagumisa
    @Maliusi89Kagumisa Před měsícem

    Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo

  • @graceleonardsanga3097
    @graceleonardsanga3097 Před měsícem

    poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před měsícem +3

    Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.

  • @rosengowi847
    @rosengowi847 Před měsícem

    Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Před měsícem

    Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw Před měsícem +1

    Mungu wetu wewe hujawah kushindwa kuanzia mwanzo mpaka ufunuo kupitia hili tunaomba uonekane mfalme wa aman

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Před měsícem

    Polen Sana m M Mungu amfanyie wepesi inshalah wasichana wa kigoma wanafanya kazi Sana kuna wenye upendo wengi Wana roho mbaya 😭

  • @JumaHassan-w5m
    @JumaHassan-w5m Před 29 dny

    Mungu awatie nguvu wazzi haw

  • @antiRidhia
    @antiRidhia Před měsícem

    Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen

  • @JACOBNDASHUKA
    @JACOBNDASHUKA Před měsícem

    Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen

  • @sumaya-q7i
    @sumaya-q7i Před měsícem

    Jmn mwangalie wa dada wa kazi wanaujua majukumu anae jua uchungu sio vitoto daah 😭😭😭 Ina uma sana

  • @HaithamShabani
    @HaithamShabani Před měsícem

    Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen

  • @ZainabZainab-fr7gs
    @ZainabZainab-fr7gs Před měsícem +3

    Poleni jamani inauma sana poleni

  • @AngelaKingwa
    @AngelaKingwa Před měsícem

    Pole fundi wangu wa nguo mungu akitie nguvu atapona mtoto

  • @WinifridaGregory
    @WinifridaGregory Před měsícem +1

    Eeh Yehova Mungu naomba umponye mtoto

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před měsícem

    Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 Před měsícem

    Poleni sana kwa kweli
    Baba Malick na Mama ake...

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha9976 Před měsícem +23

    Hawa wasichana wa kazi wakija tu kuanza kazi fanyeni nao interview muwa record na pia mupige nao mapicha mueke kumbu kumbu, Hata akikimbia muwe na proof..pigeni picha kama family .

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q Před měsícem

    Ya Allah mpe shifaa mtoto huyo na uwalinde wanetu popote walipo ya rabbi

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa Před měsícem +2

    Mnatuchanganya. Tumieni neno sahihi. Mtoto anaendeleaje? Binadamu na hata mnyama akichinjwa haponi!

  • @JehhusRaoul
    @JehhusRaoul Před měsícem

    Mungu ni mwema atamponya il

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem +2

    Poleni sana

  • @maryndutakamau9301
    @maryndutakamau9301 Před měsícem

    Oh God heal Lovely kid completely

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před měsícem +3

    Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před měsícem +1

    Sasa mtoto kama huyu jmn kamkosea nn jmn wallah ni laana hii

  • @Nailafussy-kg7qz
    @Nailafussy-kg7qz Před měsícem

    Mwenyez mungu nakuomba ee yarabi mponye mtoto huyu tunakuomba umponye tafadhari

  • @GervasiMwacha
    @GervasiMwacha Před měsícem

    Poleni japo hamsemi ukweli kwenye maisha yenu na dada wenu wa kazi.

  • @CarolineShirima-jv7sq
    @CarolineShirima-jv7sq Před měsícem +1

    Mungu wangu bwana yesu awatie nguvu

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Před měsícem

    Mungu amjalie afya apone

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před měsícem

    Mungu twakuomba utetee uhai wa huyu mtoto 🙏

  • @WinfridaJackson-ji8bq
    @WinfridaJackson-ji8bq Před měsícem

    Mungu amponye huyo mtoto

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem +1

    Lailahailah rabbi nsataraa mtt apone hili la watu w kigoma n kawaida kiuchawi n kawaida, ucpime

  • @roggoyacny
    @roggoyacny Před měsícem +1

    HAPO KUNA JAMBO BINAFSI NASEMA PAFANYWE UCHUNGUZI HAWA WAKE ZETU WANAFANYA UKATILI SANA KWAHAWA MABINTI WAKAZI,,NDOMANA NAWAO HURUDISHA KISASI KWA WANETU 😭
    INSHAALLAH MUNGU ATAMPONYA 🤲

    • @kesterkanyala7718
      @kesterkanyala7718 Před měsícem

      NAMI NAKUUNGA MKONO,AKINA MAMA AU WAZAZI HASA WA KIKE,HUWA NAO HAWANA MAONGEZI MAZURI NA WAFANYAKAZI WA NDANI...LUGHA YA MANENO MAKALI...KUTOKUMLIPA MSHAHARA KWA WAKATI...NK

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před měsícem

      Ata km ingekuwa ivyo ni ukatili sana unyama roho ngumu ndo umuue mtt?

    • @roggoyacny
      @roggoyacny Před měsícem

      @@Zuu673 ,,Ndugu yangu hivi hujawahi ona unagombana na mkeo Halafu mmoja wenu anaaza vunja vyombo

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před měsícem

      @@roggoyacny nakwambia najua lkn sio kwa kumfanyia ukatili mtoto

    • @GloryEmmanuel-q4f
      @GloryEmmanuel-q4f Před měsícem

      Me ukwel nikiona boss anazngua naaga2

  • @nzungizemarcel2216
    @nzungizemarcel2216 Před měsícem +1

    Pole sana

  • @IssaMwaijengo
    @IssaMwaijengo Před měsícem

    Duu! inauma Sana tunaomba Mungu afanye wepesi wa kupona

  • @JoyceKaganda
    @JoyceKaganda Před měsícem +1

    Pole sana mzazi

  • @user-sr4cx6re6r
    @user-sr4cx6re6r Před měsícem

    Ashim mungu akupe nguvu katika kipind hiki kingum mungu amponye mtt

  • @AlfaEnock-st9md
    @AlfaEnock-st9md Před měsícem +2

    Fanyen uchunguzi kwa kina mpka hapo Bado hakuna uhakika kama ni dada wa kazi kumchinja inawezekana tukio limefanywa nawatu wengine na dada akawa wamemteka kwasabu wanasema Mtoto kaongea kwa shida akimtaja dada hatujui dada kimmpata nini ntapata kugugumizi kuona wenyewe mnakili dada mnaishi nae vizuri.. yote kwa yote tumuombee Mtoto apone na dada awe yupo salama

    • @BestLife486
      @BestLife486 Před měsícem

      Interview haisaidii maana hata wazima wanafanya ivo vio

    • @nugwafortunatus3083
      @nugwafortunatus3083 Před měsícem

      Sa kwanini atoroke

    • @HawaHassani-n9l
      @HawaHassani-n9l Před měsícem +1

      Kati mtoto kasema kabisa dada ndo kanichinja na kakimbia had kaweza kuvua sket iliyoloa dam na kubaki na tait ili asionekane na dam huko aendako

    • @HawaHassani-n9l
      @HawaHassani-n9l Před měsícem

      Mungu amponye mtoto wetu kwa harak🙏

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Před měsícem

    Aisee mungu atuepushe na ibilisi wallah mm tungegawana majengo

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka

  • @DafrosaMassawe
    @DafrosaMassawe Před měsícem

    Pole sana kaka

  • @ruthbakari9173
    @ruthbakari9173 Před měsícem

    Jamani mtoto amefanana na babaake Mungu umponye huyu mtoto 🙏🙏

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa Před měsícem +1

    Get Well Soon Mtoto Mzuri

  • @user-dp7dr2zk3g
    @user-dp7dr2zk3g Před měsícem

    Eeh ahsante Mungu jmni mtoto anaendelea vzuri Mungu amponye mtoto

  • @AlexSamwel-l7u
    @AlexSamwel-l7u Před měsícem +1

    Pole mdogo wang utapona kwauwezo wamung

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +1

    Huyo Dada wa kazi atakamatwa tu .

  • @mamasalhat
    @mamasalhat Před měsícem

    Allah Akbar Allah Akbar yarabiiiii Tanzania tumeingiwa na ushetani kila ck matukio Tu ya mauwaji subhanallah

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Před měsícem +1

    Murundi usipo mlipa ela yake uwa wanalipiza kisasi cha kuua familia nzima hata akiondoka atarudi aue familia nzima