Hivi watanzania tuwe waelewa tunaomba tume huru kiongozi akiwakosea sehemu ya kumwazibu ni boski la kura ccm hawatuheshimu kwa vile wanabebwa na tume isiyo huru hii tume ni ya maelekezo usitangaze wapinzani tufe tume huru watatuheshimu watanzania ccm
Karibuni sana
Tunawaelewa sana
Kalibu saana
Kujiandaa sawa jee mkiibiwa kura mnafanyaje alafu ccm wakatangaza ushindi kwa nguvu mnafanyaje
Mmechelewa sana jaman mmechelewa sana.sana mpaka nawaonea aibu mtakapo pigwa asubuh kweupe.nchi nzima nakubak mnasema mmeibuwa
Msyerepo ukukora ikisu,
Ushidwe ww mnyakyusa kusema musyelepo
Hivi watanzania tuwe waelewa tunaomba tume huru kiongozi akiwakosea sehemu ya kumwazibu ni boski la kura ccm hawatuheshimu kwa vile wanabebwa na tume isiyo huru hii tume ni ya maelekezo usitangaze wapinzani tufe tume huru watatuheshimu watanzania ccm
Tuone namna ya kupata chanel ya mikutano live itusaidie kufikisha elimu kwa watu wengi nchini
Baada ya vita,tunabadilishana mateka
Wanajikenya tu hawa
Asante