Hongera sana mungu akubariki sana mheshimiwa lissu kiongozi wetu wa taifa walikupiga Risasi Bado wanaendelea kukufuatilia na una misimamo mizuri sana kwa sababu elimu unayo nzuri na watanzania wote Sasa hivi tunajua haki zetu
Idadi ya polisi ni ndogo kudhibiti haki ya wengi. Kuna Nchi watu wake wanapenda sana uhuru wa kupashana habari badala ya kuzuia uhuru huo wa kikatiba !! Tujitafakari watanzania kuona upendo na mshikamano unadumishwa..
@@januarysungura8119 mbona mnawaogopa kiasi hicho??. Tunaweza kupata kura za kutosha nyie CCM ni wezi wa kura na mnaogopa kuruhusu Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa maana tutawashinda. Hovyooooo
YAANI HUYU KILEMA ANGEJUA ANACHOFELI NI KUONGEA NEGATIVE KUHUSU JOHN POMBE MAGUFULI . ANGEACHANA NA HUYO MWAMBA UNAWEZA KUSUMBUA SANA , ILA UKIMUONA JPM NDIO LABDA KIKI , UTAFELI VIBAYA SANA .
Nop. Uraia ni zaidi ya maneno. Urais ni zaidi ya uzalendo wa kawaida. Ni uzalendo wa hali ya juu sana wa kuipenda nchi kwa moyo wote na akili yote na mawazo yote na kuthibitisha kwa vitendo na upendo huo. Katanguliza nchi mbele kuliko hata hasira, chuki binafsi, tamaa ya madaraka, kuwa tayari kubadilishana uongozi kwa upendo ndani ya chama, na taifa nk. Kukubali ukishindwa n.a. kushinda, kusifia mwenzio anapofanya vizuri hata kama humpendi
Kwani nyuma ni wapi? Mbona tumesharudi sana kama unazungumzia uchumi na maendeleo ya taifa? Tumesogea wapi? Hayo ni maneno ya kisiasa tu ya kumtaka kuingia ikulu kirahisi.
@@oliviaseth4652 wepi hao? FAKE NESW. Hatukubaliani na nyie. Tunajua kuna majambazi wauwaji na waporaji wa mali za watu ambao bila haya wanathubutu kumpaka magu matope kisa aliwafungia milango yote ya kuendelea kuiba kupora na kuua watu kisa wachukue mali zao kwa nguvu. Hatuwezi kusahau.....hayo ndiyo tunaita mauwaji. Au wewe utayaitaje hayo? Nahisi hukuwahi kuibiwa wewe au kupoteza mtu kutokana na ujambazi. Uliza mabenki watakupa maana ya mauwaji. Ulizia wenye maduka na pub na wateja wakuchukua hela kwenye mabank watakueleza maana halisi ya ujambazi na mauwaji. Mwamba alikomesha yote hayo ndiyo kisa cha kumpaka matope... tunajua. Pole sana kama ulikuwa na connection na majambazi wauwaji wakubwa. Walitunyanyasa na kuuuwa watu wetu wengi kila siku. Hao ndio wauwaji washenzi wakubwa. Afadhali walikomeshwa wakaacha tabia ya kutumaliza wavuja jasho kisa vijihela mtu amejitafutia kwa jasho. Sisi tuanelewa maana hatudanganyiki. Mwamba wetu alituokoa sana sana tena sana....raia wema tukasihi kwa amani na furaha bila hofu ya kuuawa na majambazi. We'llalways be thankful to him.
@@oliviaseth4652 NOT TRUE. Kuna nani? Mbona wengine hatukuona hayo wakati tunaisho hapa hapa? Acheni kumchafua Mwamba wetu...huyo hachafuki msijisumbie. Anapendwa hadi kesho.
Sema sera yako acha kuchafua watu na kaz zao mzee wangu, hata wewe ukipewa nchi wapo watakaokusema kwa mabaya na hata hao wapiga makofi hautawakumbuka, Duh Ee Mungu nipe akili nisiwe kati ya wale wanaoangamia kwa kukosa maarifa jmn🙏🙏🙏
Lakini mambo ya kusema huyo rais hajachaguliwa ni upotoshaji ya katiba yetu. Imeandikwa wazi kuwa endapo rais atafariki dunia, Makamu wake ndo atakuwa raisi kumalizia kipindi cha uongozi wa marehemu. Sasa mambo ya hajachaguliwa yanatoka wapi? Mimi sio mpenzi wa huu uongozi uliopo ila pia kwa mtu mwanasheria kuropoka ropoka hivi inanitia mashaka kama yuko sawa.🇹🇿🇹🇿
Lisu huna jipya ila kuchonga tu badala ya kuelezea sera zenu munaishia kulalamika tu. Munapoanza kuleta ubabe hiyo ndiyo faida yake . Acha kuchonga huo mdomo kulaumu hebu elezeni nini cha maendeleo munachofanya zaidi ya kulalamika tu. Jeshi wakija kivita mungekuwa na muda wa kupiga kelele hapo? Acha kudanganya vijana wetu.
Unapokoseaa apoo kumtaja mama t unaniboaa ila huyooo maguu weee mtajeee ataa mwakaaaaa maana mama hana shidaaaa asaaaaaaaa ushasemaaa mama muheshimuu tuuu❤❤😅😅
Nimeirudisha imani yangu kwa lissu kura yangu unayo mwaka ujao because ur a strong leader never seen be4 na huenda kwa karne hiii wewe ndio kiongozi mwenye msimamo mkali zaidi baada ya kuondoka kwa magufuri 👍
serikali yang2025 rais wng2025 Tanzania bora tunayaiombea watanzania wanyonge cku zote😘😘🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mungu wacmamie chadema 🙏🙏🙏 husbiya'allah waneemalwakil 😔😔☝️☝️☝️
Hakuna Vita tanzania na wala haitotokea. Na kwa uwezo wa MwenyeziMungu nchi itabaki salama na wale wote wasiyoitakia nchi mema na wabaguzi MwenyeziMungu atawaangamiza wao na nchi na watu wake watabaki salama.
Kwani CHADEMA Huwa Wana vunja au kufanya fujo why wazingirwee?? Waachwe waseme maana wana uhuru wa kusema na kusherekea........Labda kama wataleta fujo na kutishia usalama wa Nchi.
Utofanikiwa kamwe kwa kumtaja baba yangu magufuri, na watanzania wanao kusikikiza na kukuunga mkono kwasababu ya kumchafua magufuri nyote wanafiki, kwa jina la yesu utofanikiwa milele daima
Apo uko sahihi kabisa kwa wanachofanya police wanakera sana kwanini ni chama pinzani tuu. Pia vibaya sana kumsema marehemu iyo sio haki Magufuli anaingiaje apo
JPM mwacheni. Acheni kumchafua saa hizi. Acha kabisa bwana lissu. Hayupo hivyo hawezi kujitetea. Usigombane na merehemu. Wewe tupe are a na misimamo yako tukuelewe. Achana na chuki binafsi na visasi.kwa marehemu....it doesn't suit you.
Mh. Lisu wewe unacho kipaji cha jeuli, kejeli na dharau za wazi muno!! Kwa vurugu zenu hizo, mama Samia hapo unamhusisha vipi? Hakika mama huyu anacho kipaji kikubwa cha ustahamilivu! Wewe maadili hukufunzwa hakika ni mMagharibi! Huvumiliki !
Ni hatari kuongoza kitu kwa hofu ni hatari kuongoza nchi kubwa kama hii kwa hofu ni hatari kutaja demokras huku ukiwa na hofu nchi ya hofu askari wetu wamejaa hofu kwa sababu mhusika ana hofu ndani ya nchi yenye hofu
Ukiwa kiongozi wa nchi kama hii ukakutana na viongozi kama hawa wa siasa wa upinzani, yaani kama ni mimi nitakubali lawama zote lakini siwezi kubali chezewa! Wachonganishi sana hawa! Si waadilifu, na hawajali sheria, kanuni na taratibu na wako kwa maslahi yao tu! Nawashughulikia mpaka tunaongea lugha moja!!!!!!
katika mamabo kama haya mama anakosea sana,inamuongezea maadui.Kwanza kutoka kina January Nape na Mzee Kinana sidhani kama ni jambo zuri kwake.Hapa wamemshauri vibaya sicho anacho hubiri.Ni vizuri kuishi kwa kupunuza maadui,kama alivyoanza mama,sasa anawaongeza
Kama ni kumchafua Mwamba napoteza wakati. Kwanza wala hatujui kwauhakika mnataka kwenda kufanya nini ikulu. Maana sijui kama mtafikia kiwango cha juu cha kazi kama cha mzee Mwamba. Kama mnaweza mtuambie ni vipi mtafikia pale. Acheni porojo za kisiasa. Tunachukia sana mnapochafua jina la Magu.
Police ni haki kulinda amani, tatz mitusi yenu kwenye mihadhara yote mnatykana kiongozi wa Nchi ni uvujifu wa Amani,mna kauli za kichochezi,mm cna chama lkn nyie watu wa chadema mnakera Sana nakujifanya mnaonewa wakati maneno yenu hayana Amani
Iv jaman sijawah kuona jeshi la polisi limekamata watu wa ccm au mmewh kuona jaman
Hongera sana mungu akubariki sana mheshimiwa lissu kiongozi wetu wa taifa walikupiga Risasi Bado wanaendelea kukufuatilia na una misimamo mizuri sana kwa sababu elimu unayo nzuri na watanzania wote Sasa hivi tunajua haki zetu
Idadi ya polisi ni ndogo kudhibiti haki ya wengi. Kuna Nchi watu wake wanapenda sana uhuru wa kupashana habari badala ya kuzuia uhuru huo wa kikatiba !! Tujitafakari watanzania kuona upendo na mshikamano unadumishwa..
Kumziba mtu mdomo si ujanja na kufuga hasira na ghadhabu
Mungu yupo nyinyi tupandishieni nyongo itafika siku isiyofaamika. Jifunzeni Kenya.
MUNGU akubariki sana na akutangulie kwa kilaunalofanya ukosahini baba
Pamoja sana kamanda✌️✌️✌️✌️✌️✌️
Polisi wapelekwe mafunzoni hasa maofisa wakuu wahudhurie kozi kama National Defense College yaani NDC
Hao ndio Viongozi bwana❤, "No hate, No fear, No ......" ✌️✌️✌️
Hawawezi kupatauwongozi hawa
@@HanifaOman-oo4pl wewe hutoi ila Mungu ndiye arakayewapatia
@@HanifaOman-oo4pl Ka senge😅
Ww nani?@@HanifaOman-oo4pl
@@januarysungura8119 mbona mnawaogopa kiasi hicho??. Tunaweza kupata kura za kutosha nyie CCM ni wezi wa kura na mnaogopa kuruhusu Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa maana tutawashinda. Hovyooooo
YAANI HUYU KILEMA ANGEJUA ANACHOFELI NI KUONGEA NEGATIVE KUHUSU JOHN POMBE MAGUFULI . ANGEACHANA NA HUYO MWAMBA UNAWEZA KUSUMBUA SANA , ILA UKIMUONA JPM NDIO LABDA KIKI , UTAFELI VIBAYA SANA .
Sema kweli chadema wana teseka san
Nabado
@@amosiabdulallh7965IDIOT
watanzania tunaona mda utaongea pambana muheshimiwa lisu mungu awape nguvu na ujasili
TUNDU LISSU, Rais sahihi wa Tanzania 🇹🇿 👏👏👏
Ni kiongozi mzuri ila sio kuwa raisi
Tkh
Nop. Uraia ni zaidi ya maneno. Urais ni zaidi ya uzalendo wa kawaida. Ni uzalendo wa hali ya juu sana wa kuipenda nchi kwa moyo wote na akili yote na mawazo yote na kuthibitisha kwa vitendo na upendo huo. Katanguliza nchi mbele kuliko hata hasira, chuki binafsi, tamaa ya madaraka, kuwa tayari kubadilishana uongozi kwa upendo ndani ya chama, na taifa nk. Kukubali ukishindwa n.a. kushinda, kusifia mwenzio anapofanya vizuri hata kama humpendi
Respect Mwamba wetu. He was withouta any doubt a hero. You cant change that with just simple worlds.
Waovu lazima wawatese watu wema Ili maandiko yatimie
Mm sio chadema lakini kwa hili umeongea point.Tusirudi huko jamani tuendelee mbele.
Kwani nyuma ni wapi?
Mbona tumesharudi sana kama unazungumzia uchumi na maendeleo ya taifa? Tumesogea wapi?
Hayo ni maneno ya kisiasa tu ya kumtaka kuingia ikulu kirahisi.
Tanzania ya Magufuli ilikuwa Tanzania ya watanzania kimatendo na siyo kimaneno ya kisiasa.
Yan qnapo anza kumchqfua mag apo ndio qnafanya nimkatae
Magufuli kaua watu wengi sana
@@oliviaseth4652 wepi hao? FAKE NESW.
Hatukubaliani na nyie. Tunajua kuna majambazi wauwaji na waporaji wa mali za watu ambao bila haya wanathubutu kumpaka magu matope kisa aliwafungia milango yote ya kuendelea kuiba kupora na kuua watu kisa wachukue mali zao kwa nguvu. Hatuwezi kusahau.....hayo ndiyo tunaita mauwaji. Au wewe utayaitaje hayo? Nahisi hukuwahi kuibiwa wewe au kupoteza mtu kutokana na ujambazi.
Uliza mabenki watakupa maana ya mauwaji. Ulizia wenye maduka na pub na wateja wakuchukua hela kwenye mabank watakueleza maana halisi ya ujambazi na mauwaji. Mwamba alikomesha yote hayo ndiyo kisa cha kumpaka matope... tunajua. Pole sana kama ulikuwa na connection na majambazi wauwaji wakubwa. Walitunyanyasa na kuuuwa watu wetu wengi kila siku. Hao ndio wauwaji washenzi wakubwa. Afadhali walikomeshwa wakaacha tabia ya kutumaliza wavuja jasho kisa vijihela mtu amejitafutia kwa jasho.
Sisi tuanelewa maana hatudanganyiki.
Mwamba wetu alituokoa sana sana tena sana....raia wema tukasihi kwa amani na furaha bila hofu ya kuuawa na majambazi.
We'llalways be thankful to him.
@@oliviaseth4652 NOT TRUE.
Kuna nani? Mbona wengine hatukuona hayo wakati tunaisho hapa hapa?
Acheni kumchafua Mwamba wetu...huyo hachafuki msijisumbie. Anapendwa hadi kesho.
@@oliviaseth4652wataje na ushahidi kuwa aliwauwa . Acheni maneno ya vijiweni nyie.
Poleni sana wazalendo wa tanzania kuna siku Mungu ataonekana kwenu
Sema sera yako acha kuchafua watu na kaz zao mzee wangu, hata wewe ukipewa nchi wapo watakaokusema kwa mabaya na hata hao wapiga makofi hautawakumbuka, Duh Ee Mungu nipe akili nisiwe kati ya wale wanaoangamia kwa kukosa maarifa jmn🙏🙏🙏
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lakini mambo ya kusema huyo rais hajachaguliwa ni upotoshaji ya katiba yetu.
Imeandikwa wazi kuwa endapo rais atafariki dunia, Makamu wake ndo atakuwa raisi kumalizia kipindi cha uongozi wa marehemu. Sasa mambo ya hajachaguliwa yanatoka wapi?
Mimi sio mpenzi wa huu uongozi uliopo ila pia kwa mtu mwanasheria kuropoka ropoka hivi inanitia mashaka kama yuko sawa.🇹🇿🇹🇿
Halafu msomi mzima nianzie wp kuwa ccm
We kuwa huko huko na utaona utakachokipata ukiandamana utajua kuwa elim uliyo nayo
Sasa wewe kichwa maji CCM inakusaidia nini na unamchango gani ktk hili taifa
@@deniseliuter3002 we tafuta unachotaka utakavo pata😂😂😂😂c unaona una elim ya kuwa mjuaji kwa kila ktu utapotezewaaaaaa kama nyau😂😂😂😂
@@JumaYusuph-i1p ndo akili yako ilipoisha poleee sanaaa
Lisu huna jipya ila kuchonga tu badala ya kuelezea sera zenu munaishia kulalamika tu. Munapoanza kuleta ubabe hiyo ndiyo faida yake . Acha kuchonga huo mdomo kulaumu hebu elezeni nini cha maendeleo munachofanya zaidi ya kulalamika tu. Jeshi wakija kivita mungekuwa na muda wa kupiga kelele hapo? Acha kudanganya vijana wetu.
Nakuombea kwa mungu
Akupe afya njema maana nchi sasa tume fikia pabaya
Hii Nchi.. Mwenyezi Mungu Tusaidie.
Msichoke kazi mnafanya kubwa.
Yan Mimi najiuliza watu wanasherekea tu lkn nkama Kuna vita jmn dah yn nguvu kubwa ya jesh la police Aisee
Ila police wetu😅 Hata Aibu hawana na mabunduki yao
Haaaaahaaaaa
Unapokoseaa apoo kumtaja mama t unaniboaa ila huyooo maguu weee mtajeee ataa mwakaaaaa maana mama hana shidaaaa asaaaaaaaa ushasemaaa mama muheshimuu tuuu❤❤😅😅
UYO SUGU MATE YAMEMJAA HASEMI CHOCHOTE RPC NA RCO SWALA LAYULE DADA NA SUGU MLIMALIZE SUGU ALIFANYA UKATILI UPELELEZI UPO WAZI
Nimeirudisha imani yangu kwa lissu kura yangu unayo mwaka ujao because ur a strong leader never seen be4 na huenda kwa karne hiii wewe ndio kiongozi mwenye msimamo mkali zaidi baada ya kuondoka kwa magufuri 👍
Kwann Media hii usifungiwe tu mana ina uchochezi wa kuvuruga Amani ya Nchi chini ya Mama Samia Suluhu ❤️❤️
Watu mnahitaji elimu ya kidemokrasia kwa haraka
Acha uchawa wew unahisi tuaish kwa aman huku mtaan
@@GaldinusSarvatory Amani ipo yakutosha bro kama huon Amani Ama nchi 🤣🤣
@@mtembeziwadunia2023 shameless
serikali yang2025 rais wng2025 Tanzania bora tunayaiombea watanzania wanyonge cku zote😘😘🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mungu wacmamie chadema 🙏🙏🙏 husbiya'allah waneemalwakil 😔😔☝️☝️☝️
mmmmmh!!!
Ccm hoyee
Sijui ni lini nitapiga picha na Hawa viongozi nawapenda mno
These are very prophetic words from vicechairman Tundulisu&Wht went on really prove the trueth of what went on.
Acha kudanganya wewe. Unaujua unabii wewe?
@@frimatuslupimo2031 ajulie wapi?
Sa c mngekiwasha kama kenya apo wanangu😅😅😅
Hakuna Vita tanzania na wala haitotokea.
Na kwa uwezo wa MwenyeziMungu nchi itabaki salama na wale wote wasiyoitakia nchi mema na wabaguzi MwenyeziMungu atawaangamiza wao na nchi na watu wake watabaki salama.
Kama kweli Samia anahubiri 4r waliohusika na kashfa hii lazima wawajibishwe kama c hivyo basi tutaamini haya yote ni amri kutoka juu.
😢
sahihi!
Atamutawajibishaje uliemtuma???Wanatekeleza amri ya mamlaka.
Sasa huyo alovaaaa chen kweli anafaa kupewaa nafas uyo so mlevi t muhun😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Acha kuongea vibaya
Huenda amewazidi uchumi familia nzima😅😅😅😅
Huyo ni sugu boya wewe😅😅
Hongera sana baba🤝
Police wanafurahia kinoma
Kumchafua Magu unajiharibia kwa watu maana Magu ni kipenzi.cha wengi sana Tanzania na Africa yote. He is a legend....you can never erase that
Absolutely true.
You cant beat him hata all We kaburini basi ni mshindi tu.
Just leave him alone please
Legend😂😂😂😂 unamasiara
hahahaha sasa ule uhuru tunaoshehekea uhuru wa jamuhuri ya muungano au uhuru wa tanganyika sifahamu duuuu
Hii nchi inaelekea wapi?
Cc tumewachoka,bora watupishe tu.
Kwani CHADEMA Huwa Wana vunja au kufanya fujo why wazingirwee?? Waachwe waseme maana wana uhuru wa kusema na kusherekea........Labda kama wataleta fujo na kutishia usalama wa Nchi.
Viongozi Bora
umenikera sana hapo unapo ongea kuhusu magufuli kwani wewe hautakufa ? tena shukuru Mungu sana amekutangulia bila hivyo ange kupeleka mputa mputa sana
Utofanikiwa kamwe kwa kumtaja baba yangu magufuri, na watanzania wanao kusikikiza na kukuunga mkono kwasababu ya kumchafua magufuri nyote wanafiki, kwa jina la yesu utofanikiwa milele daima
Usimuweke Yesu kwenye upuuzi yule ni mkombozi Alice tumwa
Sasa amtaje kwa wema na wakati alimuumiza hata ingekuwa wewe sio rahisi kumtaja kwa wema mtu alokuumizs
unatupambaniasana lisu
Nakukubali saana mzeee 🎉🎉🎉
Hatabupewe nchi leo huwezi kufanya mambo makubwa kwa nchi hii kama Magufuli tena kwa muda mfupi......huwezi. kama unabidha tupe mikakati yako.
Mama wa Mchongo 😂
Siasa mchezo mchafu unamsema magufuli 😢 amesha kufa 😢 pambana na samia magufuli muache apumzike, siasa uchwala bwana hovyo
Kamanda mzuri sana
Namis hapo mzeee wetu kiongoz LISU DAAAH KAMANDA MUNGU ANAMAKUSUDIONYAKE KUKULINDA MPAKA LEO
Tuko pamoja sana,,, Mungu awabariki
Huyo mama unaosema hakuchaguliwa ndie aliekukowa huna shukrani namama Samia utakua na shukrani nawapiga kur
Poles mnamatatizo gani jamani
Hays tote Ni Kwa ajili ya Nini??Si mfute siasa ya vyama vyingi basi
Apo uko sahihi kabisa kwa wanachofanya police wanakera sana kwanini ni chama pinzani tuu. Pia vibaya sana kumsema marehemu iyo sio haki Magufuli anaingiaje apo
Mungu ibariki chadema,chadema viva viva viva
JPM mwacheni. Acheni kumchafua saa hizi. Acha kabisa bwana lissu. Hayupo hivyo hawezi kujitetea. Usigombane na merehemu. Wewe tupe are a na misimamo yako tukuelewe. Achana na chuki binafsi na visasi.kwa marehemu....it doesn't suit you.
Hapa ndio wanakeraga hawa jama kabisa Magufuli unamsema vibaya na hayupo hawezi jiteteya.
Mh. Lisu wewe unacho kipaji cha jeuli, kejeli na dharau za wazi muno!! Kwa vurugu zenu hizo, mama Samia hapo unamhusisha vipi? Hakika mama huyu anacho kipaji kikubwa cha ustahamilivu! Wewe maadili hukufunzwa hakika ni mMagharibi! Huvumiliki !
Ni hatari kuongoza kitu kwa hofu ni hatari kuongoza nchi kubwa kama hii kwa hofu ni hatari kutaja demokras huku ukiwa na hofu nchi ya hofu askari wetu wamejaa hofu kwa sababu mhusika ana hofu ndani ya nchi yenye hofu
Mhe Dkt tundu lisu tuna kukubari sana watanzania umetufanya tuzijue haki zetu ulijitoa kwaajili ya masilahi yetu watanzania ulipigwa lisasi kwajili ya kutetea masilahi yetu
ipo siku haki itapatikana tu🙏🇹🇿
Usimchafue Mhe. samia wewe... Afu usimseme Legend adi wenzio wamekaa kmy.... Kwenda kalale mbele au ndo ulimuuwa magufuli..
Usimchafue mama Samia Wangu
Bado hatujui nchi hii ya Tanzania Jambo ganiuliunge mkono,maana Uhuru toka tulipopokea kutoka kwamwingereza,kwasasa kunaihuri
Yani bila kumtaja magu huna Raha baba wewe unataka uongozi mwenye chuki huji kupata kamwe
Nchi hii aise.. Yaan sikukuu ya vijana inakatazwa utadhani, waharifu bhana. Binafsi wangewaacha tu
Polisi wakasome Tena wanamatatizo sana ktk nchi hii baada ya kulinda wananchi wanalinda vyeooo
Ukiwa kiongozi wa nchi kama hii ukakutana na viongozi kama hawa wa siasa wa upinzani, yaani kama ni mimi nitakubali lawama zote lakini siwezi kubali chezewa! Wachonganishi sana hawa! Si waadilifu, na hawajali sheria, kanuni na taratibu na wako kwa maslahi yao tu! Nawashughulikia mpaka tunaongea lugha moja!!!!!!
People's power 💪💪💪💪💪
😂😂😂😂Lisu nimashine mpya
katika mamabo kama haya mama anakosea sana,inamuongezea maadui.Kwanza kutoka kina January Nape na Mzee Kinana sidhani kama ni jambo zuri kwake.Hapa wamemshauri vibaya sicho anacho hubiri.Ni vizuri kuishi kwa kupunuza maadui,kama alivyoanza mama,sasa anawaongeza
Hongela sana endelea kupambana baba ili upigwe lisasi zingine ukufilie mbali😅😅😅😂
Hahaha afeee voh
Hivi sisi watanzania mbona tuna uhoga mwingi. Kwanini tusijifunze kwa wenzetu wa 🇰🇪 Kenya
Wakenya wamefaidika nini zaidi ya kuuwawa tu acheni kuwadanganya hao vijana wa watu nyie mumeshazeeka.
Yaani wanaongea kama walijua wata shambuliwa. Haki ya Mungu inauma sana.
hiki chama wanapambanq kuhamqsisha vurugu tu hawajui kuwa wanaoteseka ni wanyonge na wasio na hatia.. ujinga mtupu
Jitahidi sana mungu akubariki
Samia ni kiongozi mbaya sana
Wachene hao mafara 2 ccm yamama hakuna kitu
Tuombe amani, amani ni hazina kubwa,tusithubutu kuivunja,nch bila amani hakuna nchi,mifano mingi tunaiona
Wenye dhamana wanaivunja Amani...what next
Duh yaan hii nchiiii sjui tyu, kwan kaz ya askar ni nn jmn?
Yaan hawa polisi hawana tofauti mbwa yanatumikishwa kama hayajielewi
Huna lolote mnataka mfanye ngono tu hapo
Yani ningekuwa na confidence kama ya Lissu kudadek mngenikoma
Hapo.nani ni mbaya Polis au Ccm.mbona wanakua waoga shida ninini
Lisu namkubali ila aache kuwasema waliokufa(Magufuli) awe na moyo wa kusamehe na kusahau.
Kama ni kumchafua Mwamba napoteza wakati. Kwanza wala hatujui kwauhakika mnataka kwenda kufanya nini ikulu.
Maana sijui kama mtafikia kiwango cha juu cha kazi kama cha mzee Mwamba. Kama mnaweza mtuambie ni vipi mtafikia pale. Acheni porojo za kisiasa. Tunachukia sana mnapochafua jina la Magu.
mbon mnachong san kwan anacho ongea kin umuhim au hakin umuhim mna pyepyepatu mamb yasiy elewek
Chadema hamna sera
Mimi siyo chadema wala ccm ilaviongozi watanzani siwaelewi acheni. Utekaji
Mungu awatangulie
Sipati picha siku chadema wakichukua inch je? Police sijui kama kutakuwa na ajila kwa hali hiyo mnavowapitisha tendeni haki msielemee upande mmoja
Uyu jamaa anaakili sana
Tundu lissu ningemjua mamako jina lake ningemtukana kwa kukuzaa, kwa kutukana Magufuli,we una laana na hz risasi zako.
Mchii ya Hovyo sanaa! hiii kwahyo Chama pinzan tu kinaklsea Kila siku?????
😂😂😂 Sasa lissu ulitaka askari atembee na kirungu sehemu inayoonekana inaweza leta hatari
Hiyo Atari ni ipi? Kama sio uonevu wazi wazi
bora wawa ache tu kwani wataleta madhara gani
Police ni haki kulinda amani, tatz mitusi yenu kwenye mihadhara yote mnatykana kiongozi wa Nchi ni uvujifu wa Amani,mna kauli za kichochezi,mm cna chama lkn nyie watu wa chadema mnakera Sana nakujifanya mnaonewa wakati maneno yenu hayana Amani
polisi wa kinyakyusa wanashida🤣🤣