TAMKO KALI LA LISSU BAADA YA POLISI KUZINGIRA OFISI YA CHADEMA MBEYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 351

  • @GaldinusSarvatory
    @GaldinusSarvatory Před 5 dny +3

    Iv jaman sijawah kuona jeshi la polisi limekamata watu wa ccm au mmewh kuona jaman

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před měsícem +44

    Hongera sana mungu akubariki sana mheshimiwa lissu kiongozi wetu wa taifa walikupiga Risasi Bado wanaendelea kukufuatilia na una misimamo mizuri sana kwa sababu elimu unayo nzuri na watanzania wote Sasa hivi tunajua haki zetu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před měsícem +13

    Idadi ya polisi ni ndogo kudhibiti haki ya wengi. Kuna Nchi watu wake wanapenda sana uhuru wa kupashana habari badala ya kuzuia uhuru huo wa kikatiba !! Tujitafakari watanzania kuona upendo na mshikamano unadumishwa..

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 25 dny +3

      Kumziba mtu mdomo si ujanja na kufuga hasira na ghadhabu

  • @bonifasimichael1320
    @bonifasimichael1320 Před měsícem +22

    Mungu yupo nyinyi tupandishieni nyongo itafika siku isiyofaamika. Jifunzeni Kenya.

  • @SulimanAlkiumi
    @SulimanAlkiumi Před 2 dny +1

    MUNGU akubariki sana na akutangulie kwa kilaunalofanya ukosahini baba

  • @salmaheri971
    @salmaheri971 Před měsícem +9

    Pamoja sana kamanda✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před měsícem +15

    Polisi wapelekwe mafunzoni hasa maofisa wakuu wahudhurie kozi kama National Defense College yaani NDC

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 Před měsícem +21

    Hao ndio Viongozi bwana❤, "No hate, No fear, No ......" ✌️✌️✌️

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před měsícem +1

      Hawawezi kupatauwongozi hawa

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 Před měsícem

      @@HanifaOman-oo4pl wewe hutoi ila Mungu ndiye arakayewapatia

    • @flova7022
      @flova7022 Před 29 dny

      ​@@HanifaOman-oo4pl Ka senge😅

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Před 29 dny

      Ww nani?​@@HanifaOman-oo4pl

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 Před 29 dny

      @@januarysungura8119 mbona mnawaogopa kiasi hicho??. Tunaweza kupata kura za kutosha nyie CCM ni wezi wa kura na mnaogopa kuruhusu Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa maana tutawashinda. Hovyooooo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 26 dny +3

    YAANI HUYU KILEMA ANGEJUA ANACHOFELI NI KUONGEA NEGATIVE KUHUSU JOHN POMBE MAGUFULI . ANGEACHANA NA HUYO MWAMBA UNAWEZA KUSUMBUA SANA , ILA UKIMUONA JPM NDIO LABDA KIKI , UTAFELI VIBAYA SANA .

  • @angustinomarcko
    @angustinomarcko Před měsícem +14

    Sema kweli chadema wana teseka san

  • @EmmanuelKazimili-ky1ss
    @EmmanuelKazimili-ky1ss Před měsícem +9

    watanzania tunaona mda utaongea pambana muheshimiwa lisu mungu awape nguvu na ujasili

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 Před měsícem +11

    TUNDU LISSU, Rais sahihi wa Tanzania 🇹🇿 👏👏👏

    • @DennisFandi
      @DennisFandi Před měsícem +1

      Ni kiongozi mzuri ila sio kuwa raisi

    • @MkwayaNgumi
      @MkwayaNgumi Před 21 dnem

      Tkh

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 21 dnem

      Nop. Uraia ni zaidi ya maneno. Urais ni zaidi ya uzalendo wa kawaida. Ni uzalendo wa hali ya juu sana wa kuipenda nchi kwa moyo wote na akili yote na mawazo yote na kuthibitisha kwa vitendo na upendo huo. Katanguliza nchi mbele kuliko hata hasira, chuki binafsi, tamaa ya madaraka, kuwa tayari kubadilishana uongozi kwa upendo ndani ya chama, na taifa nk. Kukubali ukishindwa n.a. kushinda, kusifia mwenzio anapofanya vizuri hata kama humpendi

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 25 dny +3

    Respect Mwamba wetu. He was withouta any doubt a hero. You cant change that with just simple worlds.

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem +15

    Waovu lazima wawatese watu wema Ili maandiko yatimie

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před měsícem +22

    Mm sio chadema lakini kwa hili umeongea point.Tusirudi huko jamani tuendelee mbele.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 25 dny

      Kwani nyuma ni wapi?
      Mbona tumesharudi sana kama unazungumzia uchumi na maendeleo ya taifa? Tumesogea wapi?
      Hayo ni maneno ya kisiasa tu ya kumtaka kuingia ikulu kirahisi.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před měsícem +14

    Tanzania ya Magufuli ilikuwa Tanzania ya watanzania kimatendo na siyo kimaneno ya kisiasa.

    • @user-tt9bp2id5p
      @user-tt9bp2id5p Před měsícem +1

      Yan qnapo anza kumchqfua mag apo ndio qnafanya nimkatae

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 Před 25 dny +1

      Magufuli kaua watu wengi sana

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 25 dny

      @@oliviaseth4652 wepi hao? FAKE NESW.
      Hatukubaliani na nyie. Tunajua kuna majambazi wauwaji na waporaji wa mali za watu ambao bila haya wanathubutu kumpaka magu matope kisa aliwafungia milango yote ya kuendelea kuiba kupora na kuua watu kisa wachukue mali zao kwa nguvu. Hatuwezi kusahau.....hayo ndiyo tunaita mauwaji. Au wewe utayaitaje hayo? Nahisi hukuwahi kuibiwa wewe au kupoteza mtu kutokana na ujambazi.
      Uliza mabenki watakupa maana ya mauwaji. Ulizia wenye maduka na pub na wateja wakuchukua hela kwenye mabank watakueleza maana halisi ya ujambazi na mauwaji. Mwamba alikomesha yote hayo ndiyo kisa cha kumpaka matope... tunajua. Pole sana kama ulikuwa na connection na majambazi wauwaji wakubwa. Walitunyanyasa na kuuuwa watu wetu wengi kila siku. Hao ndio wauwaji washenzi wakubwa. Afadhali walikomeshwa wakaacha tabia ya kutumaliza wavuja jasho kisa vijihela mtu amejitafutia kwa jasho.
      Sisi tuanelewa maana hatudanganyiki.
      Mwamba wetu alituokoa sana sana tena sana....raia wema tukasihi kwa amani na furaha bila hofu ya kuuawa na majambazi.
      We'llalways be thankful to him.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 25 dny

      @@oliviaseth4652 NOT TRUE.
      Kuna nani? Mbona wengine hatukuona hayo wakati tunaisho hapa hapa?
      Acheni kumchafua Mwamba wetu...huyo hachafuki msijisumbie. Anapendwa hadi kesho.

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 23 dny

      ​​@@oliviaseth4652wataje na ushahidi kuwa aliwauwa . Acheni maneno ya vijiweni nyie.

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před měsícem +10

    Poleni sana wazalendo wa tanzania kuna siku Mungu ataonekana kwenu

  • @MariethaPaul-b4u
    @MariethaPaul-b4u Před 26 dny +1

    Sema sera yako acha kuchafua watu na kaz zao mzee wangu, hata wewe ukipewa nchi wapo watakaokusema kwa mabaya na hata hao wapiga makofi hautawakumbuka, Duh Ee Mungu nipe akili nisiwe kati ya wale wanaoangamia kwa kukosa maarifa jmn🙏🙏🙏

    • @maonezinyagalu9393
      @maonezinyagalu9393 Před 20 dny

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 Před měsícem +2

    Lakini mambo ya kusema huyo rais hajachaguliwa ni upotoshaji ya katiba yetu.
    Imeandikwa wazi kuwa endapo rais atafariki dunia, Makamu wake ndo atakuwa raisi kumalizia kipindi cha uongozi wa marehemu. Sasa mambo ya hajachaguliwa yanatoka wapi?
    Mimi sio mpenzi wa huu uongozi uliopo ila pia kwa mtu mwanasheria kuropoka ropoka hivi inanitia mashaka kama yuko sawa.🇹🇿🇹🇿

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 Před měsícem +10

    Halafu msomi mzima nianzie wp kuwa ccm

    • @JumaYusuph-i1p
      @JumaYusuph-i1p Před měsícem

      We kuwa huko huko na utaona utakachokipata ukiandamana utajua kuwa elim uliyo nayo

    • @deniseliuter3002
      @deniseliuter3002 Před měsícem

      Sasa wewe kichwa maji CCM inakusaidia nini na unamchango gani ktk hili taifa

    • @JumaYusuph-i1p
      @JumaYusuph-i1p Před měsícem

      @@deniseliuter3002 we tafuta unachotaka utakavo pata😂😂😂😂c unaona una elim ya kuwa mjuaji kwa kila ktu utapotezewaaaaaa kama nyau😂😂😂😂

    • @deniseliuter3002
      @deniseliuter3002 Před měsícem

      @@JumaYusuph-i1p ndo akili yako ilipoisha poleee sanaaa

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 23 dny +1

    Lisu huna jipya ila kuchonga tu badala ya kuelezea sera zenu munaishia kulalamika tu. Munapoanza kuleta ubabe hiyo ndiyo faida yake . Acha kuchonga huo mdomo kulaumu hebu elezeni nini cha maendeleo munachofanya zaidi ya kulalamika tu. Jeshi wakija kivita mungekuwa na muda wa kupiga kelele hapo? Acha kudanganya vijana wetu.

  • @RainelMapunda
    @RainelMapunda Před dnem

    Nakuombea kwa mungu
    Akupe afya njema maana nchi sasa tume fikia pabaya

  • @isaiahisaac7240
    @isaiahisaac7240 Před 25 dny +1

    Hii Nchi.. Mwenyezi Mungu Tusaidie.

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před měsícem +9

    Msichoke kazi mnafanya kubwa.

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před 28 dny +1

    Yan Mimi najiuliza watu wanasherekea tu lkn nkama Kuna vita jmn dah yn nguvu kubwa ya jesh la police Aisee

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 Před měsícem +7

    Ila police wetu😅 Hata Aibu hawana na mabunduki yao

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Před 25 dny

    Unapokoseaa apoo kumtaja mama t unaniboaa ila huyooo maguu weee mtajeee ataa mwakaaaaa maana mama hana shidaaaa asaaaaaaaa ushasemaaa mama muheshimuu tuuu❤❤😅😅

  • @CEO9494
    @CEO9494 Před 21 dnem +1

    UYO SUGU MATE YAMEMJAA HASEMI CHOCHOTE RPC NA RCO SWALA LAYULE DADA NA SUGU MLIMALIZE SUGU ALIFANYA UKATILI UPELELEZI UPO WAZI

  • @hamisemmanuel7019
    @hamisemmanuel7019 Před 27 dny +3

    Nimeirudisha imani yangu kwa lissu kura yangu unayo mwaka ujao because ur a strong leader never seen be4 na huenda kwa karne hiii wewe ndio kiongozi mwenye msimamo mkali zaidi baada ya kuondoka kwa magufuri 👍

  • @mtembeziwadunia2023
    @mtembeziwadunia2023 Před 20 dny +2

    Kwann Media hii usifungiwe tu mana ina uchochezi wa kuvuruga Amani ya Nchi chini ya Mama Samia Suluhu ❤️❤️

    • @Masai_Tv
      @Masai_Tv Před 14 dny

      Watu mnahitaji elimu ya kidemokrasia kwa haraka

    • @GaldinusSarvatory
      @GaldinusSarvatory Před 5 dny

      Acha uchawa wew unahisi tuaish kwa aman huku mtaan

    • @mtembeziwadunia2023
      @mtembeziwadunia2023 Před 5 dny

      @@GaldinusSarvatory Amani ipo yakutosha bro kama huon Amani Ama nchi 🤣🤣

    • @GaldinusSarvatory
      @GaldinusSarvatory Před 5 dny

      @@mtembeziwadunia2023 shameless

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Před 20 dny +1

    serikali yang2025 rais wng2025 Tanzania bora tunayaiombea watanzania wanyonge cku zote😘😘🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mungu wacmamie chadema 🙏🙏🙏 husbiya'allah waneemalwakil 😔😔☝️☝️☝️

  • @Ramista75
    @Ramista75 Před 28 dny +1

    Sijui ni lini nitapiga picha na Hawa viongozi nawapenda mno

  • @AshrafLema-n5r
    @AshrafLema-n5r Před měsícem +3

    These are very prophetic words from vicechairman Tundulisu&Wht went on really prove the trueth of what went on.

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před měsícem +1

    Sa c mngekiwasha kama kenya apo wanangu😅😅😅

  • @djumakonki1964
    @djumakonki1964 Před měsícem +6

    Hakuna Vita tanzania na wala haitotokea.
    Na kwa uwezo wa MwenyeziMungu nchi itabaki salama na wale wote wasiyoitakia nchi mema na wabaguzi MwenyeziMungu atawaangamiza wao na nchi na watu wake watabaki salama.

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 Před měsícem +8

    Kama kweli Samia anahubiri 4r waliohusika na kashfa hii lazima wawajibishwe kama c hivyo basi tutaamini haya yote ni amri kutoka juu.

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Před 25 dny +1

    Sasa huyo alovaaaa chen kweli anafaa kupewaa nafas uyo so mlevi t muhun😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @DJINNOSSBTZ
    @DJINNOSSBTZ Před 24 dny +1

    Hongera sana baba🤝

  • @babalao910
    @babalao910 Před měsícem +4

    Police wanafurahia kinoma

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před měsícem +6

    Kumchafua Magu unajiharibia kwa watu maana Magu ni kipenzi.cha wengi sana Tanzania na Africa yote. He is a legend....you can never erase that

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Před 25 dny +1

      Absolutely true.
      You cant beat him hata all We kaburini basi ni mshindi tu.
      Just leave him alone please

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 25 dny

      Legend😂😂😂😂 unamasiara

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz Před 13 dny

    hahahaha sasa ule uhuru tunaoshehekea uhuru wa jamuhuri ya muungano au uhuru wa tanganyika sifahamu duuuu

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před měsícem +2

    Hii nchi inaelekea wapi?

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před měsícem +4

    Cc tumewachoka,bora watupishe tu.

  • @machenjamaduhu7636
    @machenjamaduhu7636 Před 24 dny

    Kwani CHADEMA Huwa Wana vunja au kufanya fujo why wazingirwee?? Waachwe waseme maana wana uhuru wa kusema na kusherekea........Labda kama wataleta fujo na kutishia usalama wa Nchi.

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 Před měsícem +5

    Viongozi Bora

  • @user-qz4gd4zl7i
    @user-qz4gd4zl7i Před 11 dny

    umenikera sana hapo unapo ongea kuhusu magufuli kwani wewe hautakufa ? tena shukuru Mungu sana amekutangulia bila hivyo ange kupeleka mputa mputa sana

  • @dausonnsekela
    @dausonnsekela Před měsícem +1

    Utofanikiwa kamwe kwa kumtaja baba yangu magufuri, na watanzania wanao kusikikiza na kukuunga mkono kwasababu ya kumchafua magufuri nyote wanafiki, kwa jina la yesu utofanikiwa milele daima

    • @HassanhaidaryKamana
      @HassanhaidaryKamana Před měsícem

      Usimuweke Yesu kwenye upuuzi yule ni mkombozi Alice tumwa

    • @maryamtanzania9743
      @maryamtanzania9743 Před 21 dnem

      Sasa amtaje kwa wema na wakati alimuumiza hata ingekuwa wewe sio rahisi kumtaja kwa wema mtu alokuumizs

  • @fTanzania
    @fTanzania Před měsícem +8

    unatupambaniasana lisu

  • @usprotech9860
    @usprotech9860 Před 28 dny

    Nakukubali saana mzeee 🎉🎉🎉

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před měsícem +1

    Hatabupewe nchi leo huwezi kufanya mambo makubwa kwa nchi hii kama Magufuli tena kwa muda mfupi......huwezi. kama unabidha tupe mikakati yako.

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 Před 24 dny +1

    Mama wa Mchongo 😂

  • @Blacksamitz
    @Blacksamitz Před 19 dny

    Siasa mchezo mchafu unamsema magufuli 😢 amesha kufa 😢 pambana na samia magufuli muache apumzike, siasa uchwala bwana hovyo

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před měsícem +3

    Kamanda mzuri sana

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před měsícem

    Namis hapo mzeee wetu kiongoz LISU DAAAH KAMANDA MUNGU ANAMAKUSUDIONYAKE KUKULINDA MPAKA LEO

  • @user-nd4tq6nd8s
    @user-nd4tq6nd8s Před 26 dny

    Tuko pamoja sana,,, Mungu awabariki

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před 29 dny

    Huyo mama unaosema hakuchaguliwa ndie aliekukowa huna shukrani namama Samia utakua na shukrani nawapiga kur

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před 28 dny +1

    Poles mnamatatizo gani jamani

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 Před měsícem +4

    Hays tote Ni Kwa ajili ya Nini??Si mfute siasa ya vyama vyingi basi

  • @FESTONDUNGURU-t9j
    @FESTONDUNGURU-t9j Před měsícem +1

    Apo uko sahihi kabisa kwa wanachofanya police wanakera sana kwanini ni chama pinzani tuu. Pia vibaya sana kumsema marehemu iyo sio haki Magufuli anaingiaje apo

  • @eugidetembele1
    @eugidetembele1 Před měsícem

    Mungu ibariki chadema,chadema viva viva viva

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před měsícem +8

    JPM mwacheni. Acheni kumchafua saa hizi. Acha kabisa bwana lissu. Hayupo hivyo hawezi kujitetea. Usigombane na merehemu. Wewe tupe are a na misimamo yako tukuelewe. Achana na chuki binafsi na visasi.kwa marehemu....it doesn't suit you.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před měsícem

      Hapa ndio wanakeraga hawa jama kabisa Magufuli unamsema vibaya na hayupo hawezi jiteteya.

  • @LaureanKajugusi
    @LaureanKajugusi Před 7 dny

    Mh. Lisu wewe unacho kipaji cha jeuli, kejeli na dharau za wazi muno!! Kwa vurugu zenu hizo, mama Samia hapo unamhusisha vipi? Hakika mama huyu anacho kipaji kikubwa cha ustahamilivu! Wewe maadili hukufunzwa hakika ni mMagharibi! Huvumiliki !

  • @user-fw3jq3ff5s
    @user-fw3jq3ff5s Před 24 dny

    Ni hatari kuongoza kitu kwa hofu ni hatari kuongoza nchi kubwa kama hii kwa hofu ni hatari kutaja demokras huku ukiwa na hofu nchi ya hofu askari wetu wamejaa hofu kwa sababu mhusika ana hofu ndani ya nchi yenye hofu

  • @DottoMagesa
    @DottoMagesa Před 29 dny

    Mhe Dkt tundu lisu tuna kukubari sana watanzania umetufanya tuzijue haki zetu ulijitoa kwaajili ya masilahi yetu watanzania ulipigwa lisasi kwajili ya kutetea masilahi yetu

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 22 dny

    ipo siku haki itapatikana tu🙏🇹🇿

  • @mtembeziwadunia2023
    @mtembeziwadunia2023 Před 20 dny

    Usimchafue Mhe. samia wewe... Afu usimseme Legend adi wenzio wamekaa kmy.... Kwenda kalale mbele au ndo ulimuuwa magufuli..
    Usimchafue mama Samia Wangu

  • @SalomeHaule-z7d
    @SalomeHaule-z7d Před 21 dnem

    Bado hatujui nchi hii ya Tanzania Jambo ganiuliunge mkono,maana Uhuru toka tulipopokea kutoka kwamwingereza,kwasasa kunaihuri

  • @VeronicaShonyera-fd7ef

    Yani bila kumtaja magu huna Raha baba wewe unataka uongozi mwenye chuki huji kupata kamwe

  • @deuslmathias1631
    @deuslmathias1631 Před 29 dny

    Nchi hii aise.. Yaan sikukuu ya vijana inakatazwa utadhani, waharifu bhana. Binafsi wangewaacha tu

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 Před měsícem

    Polisi wakasome Tena wanamatatizo sana ktk nchi hii baada ya kulinda wananchi wanalinda vyeooo

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Před měsícem

    Ukiwa kiongozi wa nchi kama hii ukakutana na viongozi kama hawa wa siasa wa upinzani, yaani kama ni mimi nitakubali lawama zote lakini siwezi kubali chezewa! Wachonganishi sana hawa! Si waadilifu, na hawajali sheria, kanuni na taratibu na wako kwa maslahi yao tu! Nawashughulikia mpaka tunaongea lugha moja!!!!!!

  • @Johnethan2021
    @Johnethan2021 Před 22 dny

    People's power 💪💪💪💪💪

  • @LuganoAmwamsojo
    @LuganoAmwamsojo Před 4 dny

    😂😂😂😂Lisu nimashine mpya

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Před měsícem

    katika mamabo kama haya mama anakosea sana,inamuongezea maadui.Kwanza kutoka kina January Nape na Mzee Kinana sidhani kama ni jambo zuri kwake.Hapa wamemshauri vibaya sicho anacho hubiri.Ni vizuri kuishi kwa kupunuza maadui,kama alivyoanza mama,sasa anawaongeza

  • @sandyvoicevevo
    @sandyvoicevevo Před 28 dny +1

    Hongela sana endelea kupambana baba ili upigwe lisasi zingine ukufilie mbali😅😅😅😂

  • @EdwardEdosa
    @EdwardEdosa Před 26 dny +2

    Hivi sisi watanzania mbona tuna uhoga mwingi. Kwanini tusijifunze kwa wenzetu wa 🇰🇪 Kenya

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 23 dny

      Wakenya wamefaidika nini zaidi ya kuuwawa tu acheni kuwadanganya hao vijana wa watu nyie mumeshazeeka.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 25 dny

    Yaani wanaongea kama walijua wata shambuliwa. Haki ya Mungu inauma sana.

  • @khamismsoma8698
    @khamismsoma8698 Před 20 dny

    hiki chama wanapambanq kuhamqsisha vurugu tu hawajui kuwa wanaoteseka ni wanyonge na wasio na hatia.. ujinga mtupu

  • @AmaniLukumay-wk6zm
    @AmaniLukumay-wk6zm Před 26 dny

    Jitahidi sana mungu akubariki

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 21 dnem

    Samia ni kiongozi mbaya sana

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo Před 18 dny

    Wachene hao mafara 2 ccm yamama hakuna kitu

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Před měsícem +1

    Tuombe amani, amani ni hazina kubwa,tusithubutu kuivunja,nch bila amani hakuna nchi,mifano mingi tunaiona

    • @flova7022
      @flova7022 Před 29 dny

      Wenye dhamana wanaivunja Amani...what next

  • @MariethaPaul-b4u
    @MariethaPaul-b4u Před 26 dny

    Duh yaan hii nchiiii sjui tyu, kwan kaz ya askar ni nn jmn?

  • @BoniphacePeter-ih2st
    @BoniphacePeter-ih2st Před 28 dny

    Yaan hawa polisi hawana tofauti mbwa yanatumikishwa kama hayajielewi

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541 Před 18 dny

    Huna lolote mnataka mfanye ngono tu hapo

  • @emmanuelmasabo8194
    @emmanuelmasabo8194 Před 26 dny

    Yani ningekuwa na confidence kama ya Lissu kudadek mngenikoma

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq Před měsícem

    Hapo.nani ni mbaya Polis au Ccm.mbona wanakua waoga shida ninini

  • @lebahatiminyali8136
    @lebahatiminyali8136 Před 29 dny

    Lisu namkubali ila aache kuwasema waliokufa(Magufuli) awe na moyo wa kusamehe na kusahau.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 25 dny +2

    Kama ni kumchafua Mwamba napoteza wakati. Kwanza wala hatujui kwauhakika mnataka kwenda kufanya nini ikulu.
    Maana sijui kama mtafikia kiwango cha juu cha kazi kama cha mzee Mwamba. Kama mnaweza mtuambie ni vipi mtafikia pale. Acheni porojo za kisiasa. Tunachukia sana mnapochafua jina la Magu.

    • @MTAASISIAYOUNG
      @MTAASISIAYOUNG Před 21 dnem

      mbon mnachong san kwan anacho ongea kin umuhim au hakin umuhim mna pyepyepatu mamb yasiy elewek

  • @MwanajumaAmemossi-cq2cg

    Chadema hamna sera

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před 28 dny

    Mimi siyo chadema wala ccm ilaviongozi watanzani siwaelewi acheni. Utekaji

  • @KatotoMwamahonje
    @KatotoMwamahonje Před měsícem

    Mungu awatangulie

  • @StevenKisinda-x8n
    @StevenKisinda-x8n Před měsícem

    Sipati picha siku chadema wakichukua inch je? Police sijui kama kutakuwa na ajila kwa hali hiyo mnavowapitisha tendeni haki msielemee upande mmoja

  • @eliezambilinyi109
    @eliezambilinyi109 Před 3 dny

    Uyu jamaa anaakili sana

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 29 dny

    Tundu lissu ningemjua mamako jina lake ningemtukana kwa kukuzaa, kwa kutukana Magufuli,we una laana na hz risasi zako.

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Před měsícem

    Mchii ya Hovyo sanaa! hiii kwahyo Chama pinzan tu kinaklsea Kila siku?????

  • @SDM2024-z4s
    @SDM2024-z4s Před měsícem

    😂😂😂 Sasa lissu ulitaka askari atembee na kirungu sehemu inayoonekana inaweza leta hatari

  • @salumumwela5775
    @salumumwela5775 Před 26 dny

    bora wawa ache tu kwani wataleta madhara gani

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 29 dny

    Police ni haki kulinda amani, tatz mitusi yenu kwenye mihadhara yote mnatykana kiongozi wa Nchi ni uvujifu wa Amani,mna kauli za kichochezi,mm cna chama lkn nyie watu wa chadema mnakera Sana nakujifanya mnaonewa wakati maneno yenu hayana Amani

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před měsícem

    polisi wa kinyakyusa wanashida🤣🤣