DK. LWAITAMA ATEMA NYONGO KWA WAZEE WA ACT, AMKUMBUKA MWINYI 'MSIZUNGMZIE UZANZIBARI' NITAHAMIA CCM
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 010389)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Heshima kubwa sana anastahiri mzee mwinyi.
Amerudia mara nyingi yeye yupo chadema ila amekuja kuunganisha nguvu kwa ukombozi awamu ya pili
Huyu ni mt muhimu sana
Kabisa huyu ni mwanasiasambobevu
Huyu mzee mm huwa simuelewi kabisa siwezi kuendelea kumsikiliza, kwa sababu ukweli anaujua ila hatakagi kuusema, nahamia kwingine.
Um hapana anasema kwa mafumbo
Jamani,, ana eleweka,,, kwiliiii???
Nikweliii anaelewekaaa tuliza akili t tena anaeleweka vizuri t anavitu ndani kwa ndani vyenye maana ya ndani sana pia anagusa vitu vya msingi
Huyo dada vipi, mzee kupitia nondo zake kuna cha kuokota yeye ni mtu wa falsafa hivyo nondo zake zimebeba mambo mengi!
Ndio mwana falsafa sawa na shehe/padri anakwenda na elimu yake popote atakapo kwenda hata mwalimu baba wa taifa alikua anaongea vizuri mfano na huyu
Bab vp huyu siku hz act 😂😂
Mwalikwa, possibly
NJAA kwa Dr Lwaitama itamponza huyu.tayari katishwa kapewa aje awaseme CHADEMA.NJAAAAA
Act wazalendo haiweki takataka ikiwa atajichanganya tu atatupwa njee kando ya bahari
HUYU DINGI SI MWANA CHADEMA AU.?
Umeshiba matoke yako mbweha koko