Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Huyu Ahmedi Ally kdogo kapita madrasa JAZAQALLAH Khayr
Hawa jamaa wapo kama mapacha unaweza kuhisi hawapendani ila wanapendana sana 😊
Enzi wa wasemaji ropo ropo zimeisha na manara. Vijana pigeni kazi. Mwenyezi Mungu awajaalie heri
Kwa vijana watabadili taswira ya mpira wa tanzania kwa kuondoa chuki zisizo na msingi utabaki utani kma utni sio vita
Kabisa yan wanapendana mno
Kweli manara ndo alikuwa shidaaa kutengeneza chukiii i
Mara nyingi haji manara ndio anatujengea chuki kwa mashabiki wa mpira
Walllaaaahy nimefurahy mnoo hawa jamaa wamekaa pamoja na kuongea vitu vya maaanaaaaa kabisaaaa na Wana vitu wallaahy
Hongereni vijana mmependeza Mwenyezi Mungu awape baraka
Hapo sawa hashim bila ubaguzi.
Kongole sanaa kwa wana habari wetu ,nyie ni vijana makini tena makini sanaaALLAH azidi kuwafungua zaidi muendelee kuwa kioo chema katk jamii yetu
KALIKONJI Hawez hiz mambo hapo angekua amepaniki tayari wakat watu wanacheka 😅😅😅😅
Mpira sio uadui nimependa vijana wa timu kubwa waliounganishwa na neno la Allah na kutoa hamasa kwa watanzania.
Vijana mfanye nikazi zenu lkn muda mrefu hutumieni kumkumbuka Allah.
Mungu awape maisha mrefu Sana nawakubuli san
Allah akbar, maashaa Allah pongezi kwao wote
Hakika serikali ikijua vizur namna ya kuwatumia vizuri hawa watu itafanikiwa pakubwa
Katika vitu ulivyoonge vyoote ni hicho ulichosema woote tuende hata sisi wakristo ❤
Mwenyekiti wa wasemajii Ali kamwe
Burudan sana ukiwa na hila kwenye mpira utaumia sana big up brothers
Vijana mungu awape maisha marefu wote hapo
Hongereni sana wasemaji mmetisha sana Mungu awape ni maisha marefu yenye neema kubwa
mmetisha sana ndugu zangu dini zinatuweka pamoja
Atakubembeleza APR ila semaji la simba chokozi sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimetokea kuupenda uislam ghafla😊
Mashallah karibu sana ❤
Karibu sana mungu anamakusudi
Karibu sana😊❤
😂😂😂😂😂😂jinga wewe
😳😳😳😳
Dooooh furaha kwetu kupata vijana ktk haly ka hii haswa kwasehem za mpira kmbe mpira s uadui
Ahmed Ally maashaallah anaijua Qur'aan
Mashallah❤
Nimependa uwepo wenu wa pamoja na mmependeza sana
Kweli alikua msumbufu sana ila nimependa sana hii Allah awape afya njema
Ibwe salamu yako ni Moto ❤
Alladhiy allama bilqalam❤❤❤nikwel suratul iqra❤❤🎉
hongera kaka mnajuwa sanaa
Play fair, Be positive. Safi sana Ibwee
Hao vijana watatu hakika wako vzr, wanafaa sana kuwa wasemaji . Wanasema mambo ya msingi , uwez kulinganisha na yuleeee
manara
@@muhidini_abubakar😂😂😂
Aloo Hashim ibwe umejikoroga ao jamaa wanawezana wenyewe😅
Yan Ahmedi Ally na Ally Kamwe wngelitenganishwa hpo 😊😊
Mda wote wanamsengenya hashim ibwe 😀😁😂
Muda wote maneno 😂😂😂
Sasa ibwe angewekwa kati si wangemzodoa sana
😅😅
Mashallah Allah awazidishie umoja wenu Ahmed Ali, Hashim Ibwe pamoja na Ali Kamwe ama kweli leo Nimeamini mpira sio ugomvi duh 😂
AHMAD ,maashaallah hasbiyallah, aya zipo
Mimi yanga damudamu ila hawa jamaa nawakubali saana
MashaAllah ibwee
Ibwwe Mashallah
Kalibu sana ktk wislamu
Atakubembeleza APR daah 😅😅😅 ahmed Ally hovyo sana
Ally Kamwe nature yake ni mpole! Anaonekana... Ila huyo Hashimu anaonekana ana mdomo sana😂
Da mpka raha nimecheka sana du
Napenda kuona Hawa watu wakiwa pamoja
Ibwe umefunika kabsa Kwa Salam tu
Takbir🙏
Amed ally noma cn
Mashallah❤❤❤
AhAhmed Ally inaonekana shuleni alikuwa msumbufu sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Muanzshaa ugomvi alfu anakimbiaa
😂😂😂
Allah Akbar
Waislam mko safi
Hongereni sana
Maashalaah
Nyie wàtu muna nitia nguvu sana kwa umoja wenu
Jmn inapendeza kuwanavija wakiiislamu kamahawa mungu awadumishe na awape umrimrefu
Inapendeza sana wote ni waislam
HAWA VIJANA WANAFURAHISHA SANA KWA UTANI WAO HAPO SAWA VIJANA NIMEWAPENDA SANA
Mashala ahamed ally
Ongereni sana
❤😂❤😂❤😂wow like it 😍
Nimewapenda nyinyi
Kwa kweli vijana Mwenyezi Mungu awatunze Inshaallah
Mashaallh❤❤❤
MaashaAllah
Ishaalah
Aisee nimeona farsafa ya soka letu kwenda mbele zaid ,mana mpira sio uhadui
Vijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye hili taifa😅😅😅😅
asa ali kamwe na mwenzake
Mashaallah
Kiukweli nawaunga mkono wasemaji wetu mpo vizuri kiimani mwenyezi mungu awalipe mema inshaallah 🤲
Hawa vijana wahovyo sana😂😂😂
Hakuna kitu nafulah kama nikiwaona wasemaj watim zetu kubwa wakiwa pamoja wanacheka na kutaniana hakika nifulaha allah atupe muisho mwema inshalla
Hawa jamaa ni Wana balsa kubwa Hawa mungu awape maisha
Hapo manara linaona wivu
Hapo sawa dogo
Kwakweli nimejifunza mengi. Ila raha sana mukiwa ivyo vbaya matus km mzee mmoja.
Ndugu yangu huyu hapa
Dini yangu tamu sana
Hakika tumepata vijana wenye vipaji toka kea mungu
Angekuwa manara hapo angemtambulisha mobeto na Aziz ki
Wafaa stand up comedy
Mpira wet umekua Sana watu wanafurahia Sana vijana watat wanafurahisha sana
Mungu awabarik
asanteni sana wasemaji wetu wa bol taza nia
Safi sana vijana
For sure ni Raha sana mashaallah Allah awalipe kheri ninyi na cc tuliockiliza🙏
Mungu wajalie ndugu zangu waishi miaka mia inshaallah
Ibwe kaupiga mwimgi
Hebu itafsiri kwa kiswahili uone
Inshallah
Vijana wa hovyo sana Hawa 😂😂Mpaka kwenye useriously wanaleta unani😢😂
Hawajawahi kuwa na akili
@@fettiemaganza1484 😁😁
😂
Me hat siwaelewi😂😂
@@DorahAlbert-eb9zv utawaelewa tu hao si wasemaj wa tim kubwa 3
Sema Ahmed havai miwani😂😂😂
Mashaallah mmendza San
Inasemaa man ahaqu nnasu bihusni swahabatii
APR watakubembeleza😂😂😂
Ahmedi Ally ni mashine
Umeweza ibwe😂😂😂😂
Aisee Hashimu umeongea LA maana sana ...mie nilikimbia kwenye kulalau tu baada ya viboko....tufundishe Qur'an kwa upendo sio kwa viboko kama zama zetu
MKIAMUA KUWAHGUSISHA WAKRISTO MTAJE YESU SIO NABII ISSA
Hawajui ni watu wawili Tofauti😂😂
Utaamua mwenyewe uje au usije, tunamtaja Kwa jins Quran ilivyomtaja
@@0badiaMwasongwe-rt1wryule mnaechorewa picha ndo wawili tofaut
Tutamtaja jinsi Quran inavomtaja
Ahmed 🎉
Hahahaha hawa ndo wataaram tunao hitaji utani , ukatimu , ucheshi na huruma vyote kwa pamoja jueni tunawapenda sana
Ali Kamwe bwana, etiNdugu yangu mmelitia aibu Taifa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂nimecheka sana
Huyu Ahmedi Ally kdogo kapita madrasa JAZAQALLAH Khayr
Hawa jamaa wapo kama mapacha unaweza kuhisi hawapendani ila wanapendana sana 😊
Enzi wa wasemaji ropo ropo zimeisha na manara. Vijana pigeni kazi. Mwenyezi Mungu awajaalie heri
Kwa vijana watabadili taswira ya mpira wa tanzania kwa kuondoa chuki zisizo na msingi utabaki utani kma utni sio vita
Kabisa yan wanapendana mno
Kweli manara ndo alikuwa shidaaa kutengeneza chukiii i
Mara nyingi haji manara ndio anatujengea chuki kwa mashabiki wa mpira
Walllaaaahy nimefurahy mnoo hawa jamaa wamekaa pamoja na kuongea vitu vya maaanaaaaa kabisaaaa na Wana vitu wallaahy
Hongereni vijana mmependeza Mwenyezi Mungu awape baraka
Hapo sawa hashim bila ubaguzi.
Kongole sanaa kwa wana habari wetu ,nyie ni vijana makini tena makini sanaa
ALLAH azidi kuwafungua zaidi muendelee kuwa kioo chema katk jamii yetu
KALIKONJI Hawez hiz mambo hapo angekua amepaniki tayari wakat watu wanacheka 😅😅😅😅
Mpira sio uadui nimependa vijana wa timu kubwa waliounganishwa na neno la Allah na kutoa hamasa kwa watanzania.
Vijana mfanye nikazi zenu lkn muda mrefu hutumieni kumkumbuka Allah.
Mungu awape maisha mrefu Sana nawakubuli san
Allah akbar, maashaa Allah pongezi kwao wote
Hakika serikali ikijua vizur namna ya kuwatumia vizuri hawa watu itafanikiwa pakubwa
Katika vitu ulivyoonge vyoote ni hicho ulichosema woote tuende hata sisi wakristo ❤
Mwenyekiti wa wasemajii Ali kamwe
Burudan sana ukiwa na hila kwenye mpira utaumia sana big up brothers
Vijana mungu awape maisha marefu wote hapo
Hongereni sana wasemaji mmetisha sana Mungu awape ni maisha marefu yenye neema kubwa
mmetisha sana ndugu zangu dini zinatuweka pamoja
Atakubembeleza APR ila semaji la simba chokozi sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimetokea kuupenda uislam ghafla😊
Mashallah karibu sana ❤
Karibu sana mungu anamakusudi
Karibu sana😊❤
😂😂😂😂😂😂jinga wewe
😳😳😳😳
Dooooh furaha kwetu kupata vijana ktk haly ka hii haswa kwasehem za mpira kmbe mpira s uadui
Ahmed Ally maashaallah anaijua Qur'aan
Mashallah❤
Nimependa uwepo wenu wa pamoja na mmependeza sana
Kweli alikua msumbufu sana ila nimependa sana hii Allah awape afya njema
Ibwe salamu yako ni Moto ❤
Alladhiy allama bilqalam❤❤❤nikwel suratul iqra❤❤🎉
hongera kaka mnajuwa sanaa
Play fair, Be positive. Safi sana Ibwee
Hao vijana watatu hakika wako vzr, wanafaa sana kuwa wasemaji . Wanasema mambo ya msingi , uwez kulinganisha na yuleeee
manara
@@muhidini_abubakar😂😂😂
Aloo Hashim ibwe umejikoroga ao jamaa wanawezana wenyewe😅
Yan Ahmedi Ally na Ally Kamwe wngelitenganishwa hpo 😊😊
Mda wote wanamsengenya hashim ibwe 😀😁😂
Muda wote maneno 😂😂😂
Sasa ibwe angewekwa kati si wangemzodoa sana
😅😅
Mashallah Allah awazidishie umoja wenu Ahmed Ali, Hashim Ibwe pamoja na Ali Kamwe ama kweli leo Nimeamini mpira sio ugomvi duh 😂
AHMAD ,maashaallah hasbiyallah, aya zipo
Mimi yanga damudamu ila hawa jamaa nawakubali saana
MashaAllah ibwee
Ibwwe Mashallah
Kalibu sana ktk wislamu
Atakubembeleza APR daah 😅😅😅 ahmed Ally hovyo sana
Ally Kamwe nature yake ni mpole! Anaonekana... Ila huyo Hashimu anaonekana ana mdomo sana😂
Da mpka raha nimecheka sana du
Napenda kuona Hawa watu wakiwa pamoja
Ibwe umefunika kabsa Kwa Salam tu
Takbir🙏
Amed ally noma cn
Mashallah❤❤❤
AhAhmed Ally inaonekana shuleni alikuwa msumbufu sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂Muanzshaa ugomvi alfu anakimbiaa
😂😂😂
Allah Akbar
Waislam mko safi
Hongereni sana
Maashalaah
Nyie wàtu muna nitia nguvu sana kwa umoja wenu
Jmn inapendeza kuwanavija wakiiislamu kamahawa mungu awadumishe na awape umrimrefu
Inapendeza sana wote ni waislam
HAWA VIJANA WANAFURAHISHA SANA KWA UTANI WAO HAPO SAWA VIJANA NIMEWAPENDA SANA
Mashala ahamed ally
Ongereni sana
❤😂❤😂❤😂wow like it 😍
Nimewapenda nyinyi
Kwa kweli vijana Mwenyezi Mungu awatunze Inshaallah
Mashaallh❤❤❤
MaashaAllah
Ishaalah
Aisee nimeona farsafa ya soka letu kwenda mbele zaid ,mana mpira sio uhadui
Vijana kama hawa wanamchango mdogo sana kwenye hili taifa😅😅😅😅
asa ali kamwe na mwenzake
Mashaallah
Kiukweli nawaunga mkono wasemaji wetu mpo vizuri kiimani mwenyezi mungu awalipe mema inshaallah 🤲
Hawa vijana wahovyo sana😂😂😂
Hakuna kitu nafulah kama nikiwaona wasemaj watim zetu kubwa wakiwa pamoja wanacheka na kutaniana hakika nifulaha allah atupe muisho mwema inshalla
Hawa jamaa ni Wana balsa kubwa Hawa mungu awape maisha
Hapo manara linaona wivu
Hapo sawa dogo
Kwakweli nimejifunza mengi. Ila raha sana mukiwa ivyo vbaya matus km mzee mmoja.
Ndugu yangu huyu hapa
Dini yangu tamu sana
Hakika tumepata vijana wenye vipaji toka kea mungu
Angekuwa manara hapo angemtambulisha mobeto na Aziz ki
Wafaa stand up comedy
Mpira wet umekua Sana watu wanafurahia Sana vijana watat wanafurahisha sana
Mungu awabarik
asanteni sana wasemaji wetu wa bol taza nia
Safi sana vijana
For sure ni Raha sana mashaallah Allah awalipe kheri ninyi na cc tuliockiliza🙏
Mungu wajalie ndugu zangu waishi miaka mia inshaallah
Ibwe kaupiga mwimgi
Hebu itafsiri kwa kiswahili uone
Inshallah
Vijana wa hovyo sana Hawa 😂😂
Mpaka kwenye useriously wanaleta unani😢😂
Hawajawahi kuwa na akili
@@fettiemaganza1484 😁😁
😂
Me hat siwaelewi😂😂
@@DorahAlbert-eb9zv utawaelewa tu hao si wasemaj wa tim kubwa 3
Sema Ahmed havai miwani😂😂😂
Mashaallah mmendza San
Inasemaa man ahaqu nnasu bihusni swahabatii
APR watakubembeleza😂😂😂
Ahmedi Ally ni mashine
Umeweza ibwe😂😂😂😂
Aisee Hashimu umeongea LA maana sana ...mie nilikimbia kwenye kulalau tu baada ya viboko....tufundishe Qur'an kwa upendo sio kwa viboko kama zama zetu
MKIAMUA KUWAHGUSISHA WAKRISTO MTAJE YESU SIO NABII ISSA
Hawajui ni watu wawili Tofauti😂😂
Utaamua mwenyewe uje au usije, tunamtaja Kwa jins Quran ilivyomtaja
@@0badiaMwasongwe-rt1wryule mnaechorewa picha ndo wawili tofaut
Tutamtaja jinsi Quran inavomtaja
Ahmed 🎉
Hahahaha hawa ndo wataaram tunao hitaji utani , ukatimu , ucheshi na huruma vyote kwa pamoja jueni tunawapenda sana
Ali Kamwe bwana, eti
Ndugu yangu mmelitia aibu Taifa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂nimecheka sana