Yanga SC 1-0 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League - 27/04/2024
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2024
- Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union.
Yanga imeshinda goli 1-0 na mfungaji ni Joseph Guede. - Sport
Mi yanga lakini Huyu kipa wa Coastal union noma sana aiseee
Hapa kenya tunajua tu Yanga ,🌚 Timu ya wananchi hizo zingine rumours tu
Heshimu Simba jirani
Nani mwingine kaona shuti la Shekhani?
ana uaziz flan hv
Dogo anatisha yule
mimi n yang ilaa kipa wa cst n nooouma
Matampi man of the match
naweza sema coastal ni wachawi saana ila rehma za Allah ni nyingii kuliko uchawi wao na Alhamdullah tumepata points tatu muhimu
Yani kila wetu ni mzur Ila bwaana kipa wa coast ni noma sides,
Gede anamipila dangerous sana
Azizik Musimu huyu yupo vizur sana
Chelsea wakimuona Guede tumekwisha 😢
Kwamba watamfkuza Cole palmar wamnunue guede??😅😅😅😅
😂😂😂 eeeh kumekucha
@@Obedy-er8ih Jackson
😂😂😂😂Wallahi umenichekesha saana😂😂😂😂 daah but good umefikiria Uzuury
😂😂😂😂😂oyaaaa
Kipaa wa cost duuu yupo vzr sana ukweliiii
Camera zenu za hovyo hazipneshi matukio Kwa ukaribu mfano tukio ambalo yanga wanalalamika ni penalty nyie mmerusharusha tu hovyo
Hawa jama sijui niaje, hata hiyo kubutwa shati haikuanzia hapo alishavutwa toka nyuma.
santeeee saan guede
Huyu kipa n mtu na nusu
Nan amemuona diarra mdogo😅,,😊,,kipa wa costal
Golikiper anafaa Kwa Matumizi ya Yanga
Nguvu ya kizizi tu na tungekipata kiziz 5G zingewahusu
@@fahadrashid9754huwez tilia shaka uwezo wa kipa saves za Leo na clean sheets alizonazo ni majibu tosha
Kabisa yaani
Jaman huyu Golikipa vip😂😂 huyu mtu au jini😂😂 kumbe ndio mana costal haifungwagi magoli mengi huyo jamaa hapana aisee
Matampi From 🇨🇩🇨🇩 Anajua sana
@@mangindule jaman Hafai kabisa khaaaa anadaka kama spider man🥲🥲 bila yeye tulikua tunaondoka na goal hata tatu
@@dianasabu6156😂😂😂
Uyo kipa bwn kwakwel amejitaid sana tena sana mungu aendelee kumsaidia
jezi zao ziliwaponza coastal union
Yanga wamekosa magoli mengi sana leo. Wakiongeza umakini kidogo na ubunifu basi watafunga sana.
Goal kiper wa coastal sio poa hata wamamerodi akasome mpira ilikua inalenga goal ila mlinda mlango iko imara kumufunga kwake ni mpka mpate nafasi yakuchutukiza
Na sio mech hii, wana udhaif kwenye kutumia chance kwenye mech nying mno
Kuna baazi ya moment umakini ulikuepo sema sifa ziende kwa kipa pia
Goal kipa balaa🎉🎉🎉🎉😂
Kipa au jini la Kitanga.
Jezi zimewachanganya ,
🙌 From PA USA 🇺🇸 ✌️
Hili ni kipa au jini
Maaan daaah...kipa ametisha sanaaaa...Apewe maua yake
Thanks Guede J
hersi kipa huyo anatufaa
mmh huyu ni golia kwelikweli🤔🤔🤔🤔🤔🤔
huyo golkiper wa cost mwakani yanga tunasepa naye
Aise mwamba no hatari mwakani lazma tumunyakuwe
Metacha inabidi aondoke msimu ujao
Kipa ni balaa. yanga walicheza lakin Kipa apewe kumi zake
Maua yake Gool kipa
Shehani atkuja kuua mtu dadek m naaz kuandaa sululu na maachep na jeneza nanunua mm
Wakumbuke pia coast wadhamini pia ni GSM
Kuna watu walitamani na mechi ya Leo tupoteze lakn majibu wanayo wenyewe yanga kubwa💚💛💚💛
Wataumia sana mwaka huu,wao wachukue TU kombe la Wala urojo TU huku kwa wanaume kumewashinda
Mbona highlights fupi jmn tunaomba wekeni ndefu🟢💚🔰
Guede akiona tu jezi nyekundu lazima akuhadhibu
Mxiwambie hivyo makolo maa siokujinyonga Leo wamebatisha
Shehani atafaa msimu ujao 💚💛💚
Kati ya guede na Jackson yupi mzuri
Watu wengi wanalalamik kwamba beki hakupaswa kupewa kadi nyekundu. Lakin lazima tujue kwamba lefa huwa anatafsili zake kumpa mtu adhabu. Na sababu kubwa ya beki kupewa kadi nyekundu. Ni KWASABABU alikuwa ameshaachwa na yeye ndiye alikuwa mtu wa mwisho maana yake kamzuia mtu kufunga. Na jinsi ilivyo hutakiwi kumzuia mtu kwa njia isiyo sahihi pale anapo kuwa anataka kufunga sasa yeye alimvuta shati na yeye ndo alikuwa wa mwisho hyo ndyo sababu
Hakika kaka wafumdishe wengi hawajui mpira
Costal wana kipa na beki aliepewa nyekundu mm yanga ila wamecheza vizur ao wawili
Kuna mtu kakuuliza?
@@jumaigembemakula5732 we maku Kuna mtu kakutuma uccomment Kwa comment angu umbwaaa
Shida jezi
Jezzy zimewaponza
Npaka zitumike mbeleko ndo mufunge😮😮
Kwako ilikuwaje
Pole Timu la wazee KOLO FC, mpaka mtafutiwe kombe kwa lazima ndo mjinasibu
@@timothyhosea8572MPAKA APUNGUZWE MTU NDIO MPATE GOLI 😂😂😂😂 MACHOGO FC 😂😂
Gedee🎉
just normal
Bila golikipa leo coastal wangepigwa zakutosha hawa
Bonge la kipa
Engineer msajili gwalala kiungo punda kutoka coastal union atatufaa Kwa muda mlefu please 🙏
Waganga wa Tanga wamefanya kazi sana
KUSHINDA MZEE MPILI??? 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOO
@@salimmalaka256 brother mbona kama unateseka saana shinda kwanza mechi zako alafu ndo uizungumzie yanga ,yanga kakuacha mbali saana iv unajisikiaje unavyogombea nafasi ya tatu na cost
@@HamisNgapanya MBALI WAPI MBINGU YA 7 AU
@@HamisNgapanya HATA NAFASI 10 KAWAIDA TU
Tumeua sana
Au alikuwa na njano???
Oya Aziz ki kafanyaje pale.. wow 🎉🎉
Gede anatosha injinia atasaidiana dune kushinei
Mechizote mngekua mnacheza lvyo uningwa mngepata
Koro kariw mnje ndani
Huyu kipa leo kaona moto.
Iko mechi mtapoteza hii ni dalili
Kolo hilooo😂
Endelea kusubiria Embe chini ya Manazi
Kwa taarifa yako inatakiwa tushinde Michezo mi 3
Sare 2 na tugungwe M 1
Atuweze kuchukua kombe
Wanatamani kusema bahasha ila wakikumbuka wao wamepigwa na huyo guede 2kwa1wanabaki kujifionya
Guedee leeeeeo kawataftaaa bara aaa
Jidanganyeni na ushindi wa mipango, Huyo mchezaji alikuwa na yellow card kwanini iwe red straight.
Anastahili red card.mbona nyie hamfanyi mipango mwenzenu si yupo pale tena ni rahisi sana.
hujui mpira huon huyo ni mtu wa mwisho😂
Unapomfanyia foul mchezaji anapoenda kufanya shambulizi golini hiyo red card hata kama wewe sio mtu wa mwisho
Kolokwinyoooo unaumia ukiwa wapi
@@user-io2rj2yp5d we nae unaniweka kwenye kundi la kolo 😁mjib jamaa wa apo juu😁
Utopolo mbona malalamiko sana kama binti
chezea yanga wewe
Azam fc wahini kipa akienda yanga watamuweka goli kipa wa pili lakin, Azam atawafaa sana, refa sio hukumu nzuri ulotoa Kwa mchezaji wa coastal union
Mmh wanaoumia wengi
Joseph gued Bora aende ximba
Kipa wa yanga hajagusa mpira duhuu hii ni hatari na nusu
Kazi kulalamikia marefarii wa kibongo 😂😂 mbona hamkulalamika South washamba nyie
Aibu kubwa ndo maana kimataifa hamfiki mbali labda muende Na Hao marefa wenu kadi nyekundu iko wapi hapo ni aibu kubwa kwa tff
Utajua mwenyewe😎
Kojoa uka lale huna jipya wewe
😅😅😅 huyu kolo inaonekana ana hasila,mshaulini akakojoe akalale
Kwa hiyo siyo kadi nyekundu, hahah, jifunze soka, sio kuangalia magoal tu ,atleast ungeijadili penalty walionyimwa yanga
@@bakarirajabu3783 POA inama nikojoe
Ila Ile kadi nyekundu ya lameck lawi..mmmmmh
N sahihi coz n mchezaj wamwisho