Yanga SC 1-0 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League - 27/04/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2024
  • Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union.
    Yanga imeshinda goli 1-0 na mfungaji ni Joseph Guede.
  • Sport

Komentáře • 149

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 Před 15 dny +5

    Mi yanga lakini Huyu kipa wa Coastal union noma sana aiseee

  • @mbwemo9400
    @mbwemo9400 Před 16 dny +10

    Hapa kenya tunajua tu Yanga ,🌚 Timu ya wananchi hizo zingine rumours tu

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 16 dny +11

    Nani mwingine kaona shuti la Shekhani?

  • @user-lb7cu9ft6g
    @user-lb7cu9ft6g Před 16 dny +7

    mimi n yang ilaa kipa wa cst n nooouma

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 Před 16 dny +4

    Matampi man of the match

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Před 16 dny +3

    naweza sema coastal ni wachawi saana ila rehma za Allah ni nyingii kuliko uchawi wao na Alhamdullah tumepata points tatu muhimu

  • @SadaIddishomaly
    @SadaIddishomaly Před 15 dny +2

    Yani kila wetu ni mzur Ila bwaana kipa wa coast ni noma sides,

  • @alisivikwa1925
    @alisivikwa1925 Před 15 dny +3

    Gede anamipila dangerous sana

  • @geraldlaurent6750
    @geraldlaurent6750 Před 16 dny +2

    Azizik Musimu huyu yupo vizur sana

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Před 16 dny +28

    Chelsea wakimuona Guede tumekwisha 😢

  • @merickshadrack4509
    @merickshadrack4509 Před 15 dny +2

    Kipaa wa cost duuu yupo vzr sana ukweliiii

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Před 16 dny +7

    Camera zenu za hovyo hazipneshi matukio Kwa ukaribu mfano tukio ambalo yanga wanalalamika ni penalty nyie mmerusharusha tu hovyo

    • @allyabuu6080
      @allyabuu6080 Před 16 dny

      Hawa jama sijui niaje, hata hiyo kubutwa shati haikuanzia hapo alishavutwa toka nyuma.

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 Před 15 dny +2

    santeeee saan guede

  • @hajiali1572
    @hajiali1572 Před 16 dny +5

    Huyu kipa n mtu na nusu

  • @upendomaro3307
    @upendomaro3307 Před 15 dny +3

    Nan amemuona diarra mdogo😅,,😊,,kipa wa costal

  • @Cristina-yu5ff
    @Cristina-yu5ff Před 16 dny +4

    Golikiper anafaa Kwa Matumizi ya Yanga

    • @fahadrashid9754
      @fahadrashid9754 Před 16 dny

      Nguvu ya kizizi tu na tungekipata kiziz 5G zingewahusu

    • @rayzersaid2611
      @rayzersaid2611 Před 16 dny +1

      ​@@fahadrashid9754huwez tilia shaka uwezo wa kipa saves za Leo na clean sheets alizonazo ni majibu tosha

    • @user-kr8cf9yo4m
      @user-kr8cf9yo4m Před 15 dny

      Kabisa yaani

  • @dianasabu6156
    @dianasabu6156 Před 16 dny +5

    Jaman huyu Golikipa vip😂😂 huyu mtu au jini😂😂 kumbe ndio mana costal haifungwagi magoli mengi huyo jamaa hapana aisee

    • @mangindule
      @mangindule Před 16 dny +3

      Matampi From 🇨🇩🇨🇩 Anajua sana

    • @dianasabu6156
      @dianasabu6156 Před 16 dny +1

      @@mangindule jaman Hafai kabisa khaaaa anadaka kama spider man🥲🥲 bila yeye tulikua tunaondoka na goal hata tatu

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Před 15 dny +1

      ​@@dianasabu6156😂😂😂

  • @cletuskasonso4925
    @cletuskasonso4925 Před 16 dny +2

    Uyo kipa bwn kwakwel amejitaid sana tena sana mungu aendelee kumsaidia

  • @LydiaMwati-gp6jo
    @LydiaMwati-gp6jo Před 16 dny +2

    jezi zao ziliwaponza coastal union

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 16 dny +5

    Yanga wamekosa magoli mengi sana leo. Wakiongeza umakini kidogo na ubunifu basi watafunga sana.

    • @jenifaganyavu265
      @jenifaganyavu265 Před 16 dny +2

      Goal kiper wa coastal sio poa hata wamamerodi akasome mpira ilikua inalenga goal ila mlinda mlango iko imara kumufunga kwake ni mpka mpate nafasi yakuchutukiza

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 Před 16 dny +1

      Na sio mech hii, wana udhaif kwenye kutumia chance kwenye mech nying mno

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před 16 dny

      Kuna baazi ya moment umakini ulikuepo sema sifa ziende kwa kipa pia

  • @EvansGodfrey-tj5op
    @EvansGodfrey-tj5op Před 15 dny +3

    Goal kipa balaa🎉🎉🎉🎉😂

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 16 dny +3

    Kipa au jini la Kitanga.

  • @ISAYAMLAKI
    @ISAYAMLAKI Před 16 dny +3

    Jezi zimewachanganya ,

  • @theheroesmusic4398
    @theheroesmusic4398 Před 16 dny +1

    🙌 From PA USA 🇺🇸 ✌️

  • @Jumajey457
    @Jumajey457 Před 15 dny +1

    Thanks Guede J

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 15 dny +3

    hersi kipa huyo anatufaa

  • @IsakaMabanila-xr3oy
    @IsakaMabanila-xr3oy Před 15 dny +2

    mmh huyu ni golia kwelikweli🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @gililwise
    @gililwise Před 16 dny +5

    huyo golkiper wa cost mwakani yanga tunasepa naye

  • @okellorichard3985
    @okellorichard3985 Před 15 dny +1

    Kipa ni balaa. yanga walicheza lakin Kipa apewe kumi zake

  • @user-oq8hw1et9r
    @user-oq8hw1et9r Před 16 dny +3

    Maua yake Gool kipa

  • @Kingsunnymusic
    @Kingsunnymusic Před 15 dny +2

    Shehani atkuja kuua mtu dadek m naaz kuandaa sululu na maachep na jeneza nanunua mm

  • @user-kd7mw6be5q
    @user-kd7mw6be5q Před 15 dny +1

    Wakumbuke pia coast wadhamini pia ni GSM

  • @geraldlaurent6750
    @geraldlaurent6750 Před 16 dny +4

    Kuna watu walitamani na mechi ya Leo tupoteze lakn majibu wanayo wenyewe yanga kubwa💚💛💚💛

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d Před 16 dny +1

      Wataumia sana mwaka huu,wao wachukue TU kombe la Wala urojo TU huku kwa wanaume kumewashinda

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Mbona highlights fupi jmn tunaomba wekeni ndefu🟢💚🔰

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Před 16 dny +1

    Guede akiona tu jezi nyekundu lazima akuhadhibu

  • @ZephaniaMwamila
    @ZephaniaMwamila Před 16 dny +2

    Mxiwambie hivyo makolo maa siokujinyonga Leo wamebatisha

  • @geraldlaurent6750
    @geraldlaurent6750 Před 16 dny +2

    Shehani atafaa msimu ujao 💚💛💚

  • @mwanaahprincessor3610
    @mwanaahprincessor3610 Před 15 dny +2

    Kati ya guede na Jackson yupi mzuri

  • @ProducerStevemixing
    @ProducerStevemixing Před 16 dny +1

    Watu wengi wanalalamik kwamba beki hakupaswa kupewa kadi nyekundu. Lakin lazima tujue kwamba lefa huwa anatafsili zake kumpa mtu adhabu. Na sababu kubwa ya beki kupewa kadi nyekundu. Ni KWASABABU alikuwa ameshaachwa na yeye ndiye alikuwa mtu wa mwisho maana yake kamzuia mtu kufunga. Na jinsi ilivyo hutakiwi kumzuia mtu kwa njia isiyo sahihi pale anapo kuwa anataka kufunga sasa yeye alimvuta shati na yeye ndo alikuwa wa mwisho hyo ndyo sababu

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Před 16 dny +2

    Costal wana kipa na beki aliepewa nyekundu mm yanga ila wamecheza vizur ao wawili

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před 15 dny +1

    Shida jezi

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 15 dny +1

    Jezzy zimewaponza

  • @charleskingimwakasagule5752

    Npaka zitumike mbeleko ndo mufunge😮😮

    • @deviskalokola03
      @deviskalokola03 Před 15 dny

      Kwako ilikuwaje

    • @timothyhosea8572
      @timothyhosea8572 Před 15 dny

      Pole Timu la wazee KOLO FC, mpaka mtafutiwe kombe kwa lazima ndo mjinasibu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 15 dny

      ​@@timothyhosea8572MPAKA APUNGUZWE MTU NDIO MPATE GOLI 😂😂😂😂 MACHOGO FC 😂😂

  • @mgulusaidkiyanga
    @mgulusaidkiyanga Před 15 dny

    Gedee🎉

  • @josephtisam
    @josephtisam Před 15 dny

    just normal

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Před 15 dny +4

    Bila golikipa leo coastal wangepigwa zakutosha hawa

  • @HusseinKafuta
    @HusseinKafuta Před 16 dny +2

    Engineer msajili gwalala kiungo punda kutoka coastal union atatufaa Kwa muda mlefu please 🙏

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129 Před 15 dny +3

    Waganga wa Tanga wamefanya kazi sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 15 dny +1

      KUSHINDA MZEE MPILI??? 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOO

    • @HamisNgapanya
      @HamisNgapanya Před 15 dny

      ​@@salimmalaka256 brother mbona kama unateseka saana shinda kwanza mechi zako alafu ndo uizungumzie yanga ,yanga kakuacha mbali saana iv unajisikiaje unavyogombea nafasi ya tatu na cost

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 14 dny +1

      @@HamisNgapanya MBALI WAPI MBINGU YA 7 AU

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 14 dny

      @@HamisNgapanya HATA NAFASI 10 KAWAIDA TU

  • @cypilanmkisa9528
    @cypilanmkisa9528 Před 15 dny

    Tumeua sana

  • @catherinecostantino2034

    Au alikuwa na njano???

  • @kelvinmasika
    @kelvinmasika Před 16 dny

    Oya Aziz ki kafanyaje pale.. wow 🎉🎉

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před 16 dny

    Gede anatosha injinia atasaidiana dune kushinei

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před 16 dny

    Mechizote mngekua mnacheza lvyo uningwa mngepata

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před 16 dny

    Koro kariw mnje ndani

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 16 dny +3

    Huyu kipa leo kaona moto.

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 16 dny +2

    Iko mechi mtapoteza hii ni dalili

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 16 dny +1

    Wanatamani kusema bahasha ila wakikumbuka wao wamepigwa na huyo guede 2kwa1wanabaki kujifionya

  • @AfricanKid-mu9lo
    @AfricanKid-mu9lo Před 16 dny +2

    Guedee leeeeeo kawataftaaa bara aaa

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 16 dny +1

    Jidanganyeni na ushindi wa mipango, Huyo mchezaji alikuwa na yellow card kwanini iwe red straight.

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 Před 16 dny

      Anastahili red card.mbona nyie hamfanyi mipango mwenzenu si yupo pale tena ni rahisi sana.

    • @jovinmashauri7883
      @jovinmashauri7883 Před 16 dny

      hujui mpira huon huyo ni mtu wa mwisho😂

    • @eng.zachinnocent
      @eng.zachinnocent Před 16 dny

      Unapomfanyia foul mchezaji anapoenda kufanya shambulizi golini hiyo red card hata kama wewe sio mtu wa mwisho

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d Před 16 dny

      Kolokwinyoooo unaumia ukiwa wapi

    • @jovinmashauri7883
      @jovinmashauri7883 Před 16 dny

      @@user-io2rj2yp5d we nae unaniweka kwenye kundi la kolo 😁mjib jamaa wa apo juu😁

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 16 dny +1

    Utopolo mbona malalamiko sana kama binti

  • @SOMOEMADADI
    @SOMOEMADADI Před 15 dny +1

    chezea yanga wewe

  • @user-tq1jz3wm3f
    @user-tq1jz3wm3f Před 16 dny

    Azam fc wahini kipa akienda yanga watamuweka goli kipa wa pili lakin, Azam atawafaa sana, refa sio hukumu nzuri ulotoa Kwa mchezaji wa coastal union

  • @Sparosmilebae
    @Sparosmilebae Před 11 dny

    Joseph gued Bora aende ximba

  • @user-fy4mf9fz2j
    @user-fy4mf9fz2j Před 16 dny +1

    Kipa wa yanga hajagusa mpira duhuu hii ni hatari na nusu

  • @dagraskaragane4730
    @dagraskaragane4730 Před 15 dny

    Kazi kulalamikia marefarii wa kibongo 😂😂 mbona hamkulalamika South washamba nyie

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wc Před 16 dny +3

    Aibu kubwa ndo maana kimataifa hamfiki mbali labda muende Na Hao marefa wenu kadi nyekundu iko wapi hapo ni aibu kubwa kwa tff

  • @user-ew4qf9ud4v
    @user-ew4qf9ud4v Před 15 dny +1

    Ila Ile kadi nyekundu ya lameck lawi..mmmmmh