KMC FC 1-2 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 12/05/2024
Vložit
- čas přidán 11. 05. 2024
- Azam FC imeendelea kuifukuzia nafasi ya pili kwenye ligi baada ya ushindi wa mabao 2-1 leo dhidi ya KMC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa Azam Complex, Chamazi.
Magoli yote matatu yamefungwa kipindi cha kwanza, akitangulia Yannick Bangala dakika ya 11 kabla ya KMC kusawazisha dakika ya 15 kupitia kwa Wazir Junior.
Goli la pili na ushindi limetoka kwa Gibril Sillah dakika ya 37 ya mchezo. - Sport
Mechi nzuri sana hii🎉
Nyie watanzania mnarohombaya haiwezekanwi mzanzibari mumuite mlaurojo wakati nyie mukija forodhani mnapangana kule ilakwauwezo WA mungu kiatu mwakahuu cha feitoto mutaka musitake
Huyu Silah ni mzuri sana kwenye kupunguza mabeki na finishing
😂😂😂 kolozsugar anawafaa Sana atawasaidia uyo mbavu chasambi 🤣 mbavu silla au kibu
Simba inabidi tumuibee bonge la wingaaaa uyooo
@@joxamorekarisma winga mbona mnao wa kutosha ...
Yupo ludvock chasambi
Yupo Edwin balua
Yupo Saleh Karabaka
Yupo kibu Denis
Yupo saidoo ntibanzokiza
Yupo Luis miquissone
Yupo Onana Esomba
hata clotus Chota Chama
anaweza kucheza winga pia au mnatak winga mbirimbi....
Je kwanini azam hawachezi lafu hatarishi kama walizokuwa wakicheza walipocheza na yanga?maana yake ile ilikuwa maelekeza maalum
Point 3 muhim💙
Wala uroho wachague moja nafasi ya pili au ufungaji bora
Huyu kipa atulize wenge😢
Alhamdulilah mla urojo hajafunga inshaallah dua kwa kii kesho afunge inshaallah
We nikuma tu
Afadhari kwa kweli mla urojo asifunge tushikilie kamba akipata penat ateleze avunje miguu kenge huyu
Acha matusi Sasa hapo unatukana nn?@@ibrackibrahim6909
Kumbe mbaumia akifunga fei bc mnashida😅
@@user-cz9zu7ur1h We kolokwinyoooo Bado unatoa na komenti bila aibu Yanga bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
😅😅😅😅😅😅😅😅kipa kanichekesha😅😅 sijui amitaka kuingia awe mchezaji 😅
Hawa azam hawana mpango na nafasi ya pili ndio maana walimwachia ushindi kaka yao
Kmc atuna kipa apa
Apo kolo kazi anayo
Kipa wa azam kadaka nnje ya box
Azam makosa ya team yao wanajikaushaga😢
Kipa wa azam mbn hkupatiwa red card kw kosa la kushik mpira kwa mkono nje ya box ?
Nashangaa pia
That is 100 % a red card, was the referee paid off by Azam FC ? 🤣
Hilo kosa sio la red card kaka
Nikosa la red card
Nenda kampe wewe io red
Ila huyu sira huyu daaah
Gibrill ni bonge la wingaaaa....simba inabidi tumuibee
@@joxamorekarisma kabisa mwanangu ni mtu na nusu