ENG. HERSI AFUNGUKA MAZITO "KUHUSU SAKATA LA MAYELE NA YANGA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2024
  • CATCH US BONGO FM 📻
    90.0 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 89.7 DODOMA 📻 | 89.9 ARUSHA 📻 | 104.9 MBEYA 📻 | 90.0 MWANZA 📻 | SHINYANGA 89.9 📻 | KIGOMA 89.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: bongo_fmtz
    TWITTER: https: BONGO FM
    FACEBOOK: BONGO FM
    #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #micheZo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumonukuu
    #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbatv #diamond #yangasc #wcb #singidafountaingate #kondegang #wcb #yangatv #diamond #simbatv #live #simbasc #kingmusicofficial #simbasc #live #simbatv #diamond #diamond #yangatv #yangasc #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang #singidafountaingate #wcb #yangatv #yangasc #diamond #simbatv #live #simbasc #simbatv #diamond #yangatv #wcb #singidafountaingate #kondegang
    Transcript
  • Sport

Komentáře • 89

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 20 dny +11

    Dah nimeangalia kwa utulivu sana kifupi maswali hayajaboa majibu yameeleweka kwa mapana kbs pongezi Eng.Hersi pongezi kwa watangazaji🥰🤝👍👏👏

  • @bernadethaabudho6587
    @bernadethaabudho6587 Před 22 dny +13

    Pongezi Sana Eng Herse Kwa Busara Na Uongozi Wako Ukiotukuka.Kila Jema Tunakuombea .Mungu Akulinde Ktk Kuiongoza Timu Yetu Yanga.Ubarikiwe Sana kwa Busara zako.Mfano Wa Kuigwa.Tunakupenda💛💚 🙏 Utafika Mbali Inshallah.

  • @mariaerenest5632
    @mariaerenest5632 Před 21 dnem +5

    Tunakupenda Sana rais wetu

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před 22 dny +11

    Ana hekma,busara,uelewa wa mambo,akili na ana vision,I real love this guy,he is the best among the best,may Allah guide,guide n protect you bro,in shaa allah

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk Před 22 dny +7

    Hongera saana Hersi kwa kazi nzuuri unayotufanyia 💚💛💚💛

  • @HafidhMtulya
    @HafidhMtulya Před 12 dny +1

    ❤ raisi wa yanga daima mbele nyuma mwiko..... wananchiiii

  • @CasperKomba
    @CasperKomba Před 17 dny +1

    "What a presidar🎉🎉❤" daima mbele nyuma mwiko

  • @stevenmvungi133
    @stevenmvungi133 Před 8 dny +1

    Eng. Hers unastahili hta kuwa raisi wa CUF. Una upeo mkubwa sana na unajua ethics na principal za mpira wa miguu. Big up

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 Před dnem

    All the best my rais wetu ❤❤❤❤❤

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Před 22 dny +5

    Uko vizuri Eng. H. Utulivu,ubunifu,ushirikishaji, hekima,busara na kujiamini lakini kubwa kuliko ni ucha Mungu wako vitaendelea kukuweka wewe na timu yako viziri zaidi. Mungu akuwekee mikono yake ili Yanga na wewe na uongozi na wafadhili wetu mpate mwanga wa mafanikio. Amina.

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 Před 22 dny +11

    Hongera sana Rais wetu big up unafaa sana Mungu azidi kukuweka uwe na maisha marefu

  • @selestinijoseph1949
    @selestinijoseph1949 Před 22 dny +18

    Huyu mwanahabari nimemkubari sana, ana maswari mazuri sana na sahihi. Pia Engineer Hersi Saidi nae ni hakiri iliyojitosherezea mnooo kuhusu mpira wa miguu

  • @ElizabethNavuri
    @ElizabethNavuri Před 22 dny +2

    Hongera Sana unastahili kuwa hiyo nafasi hatujakosea kukuchagua Mungu azidi kukupa hekima zaidi ya uongozi

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před 22 dny +2

    Mm simba lakini nakubali hersi said❤

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 Před 22 dny +3

    Young African ipo vizuri!!

  • @augustinolaurent
    @augustinolaurent Před 22 dny +2

    All the best Engineer

  • @hajrasaid1924
    @hajrasaid1924 Před 22 dny +1

    Kila la kheri injiania hers mungu akujaalie kila la kheri na akufanyie wepesi kwa kila hatua unayopiga

  • @JastinAlphonce
    @JastinAlphonce Před 22 dny +1

    Young Africans now is driven technically and compitable👍👍👍

  • @beatricemlay4801
    @beatricemlay4801 Před 22 dny +1

    Mungu akuweke uishi miaka mingi Rais wetu

  • @msaphirimagallah5781
    @msaphirimagallah5781 Před 17 dny

    Huwa nasikia raha sana kukusikiliza Eng. Unaakili sana Engineer

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 22 dny +1

    Kaka mungu akubariki umefanya makubwa sana kwa kizazi hiki inshallhh

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 22 dny +1

    Manshallah upo vizuri Airen

  • @user-fp5xn6iv1m
    @user-fp5xn6iv1m Před 21 dnem +2

    Hawa wanahabar wanajua Sana angalia jinc wanavyouliza maswali

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 22 dny +2

    Our youthful President leading our heroic players

  • @FredyDanford
    @FredyDanford Před 22 dny +1

    Your the best president in young Africans just be strong

  • @noelsimonmushi
    @noelsimonmushi Před 17 dny

    Respect engineer

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk Před 22 dny +1

    Dada yangu irini kiyango mubarikiwe Sana

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Před 22 dny +1

    President🔥🔥🔥

  • @user-tb5gp4wi4e
    @user-tb5gp4wi4e Před 22 dny +1

    Tunakupenda sanaaaaa mungu akuzidishie maisha marefu

  • @AbdulChakar
    @AbdulChakar Před 22 dny +1

    Big up Eng

  • @elishakigahe9621
    @elishakigahe9621 Před 21 dnem +1

    Big Mind president

  • @LusanaTimotheo-mf1nn
    @LusanaTimotheo-mf1nn Před 22 dny +2

    Tunakupendaijinia heris

  • @lameckkomba4827
    @lameckkomba4827 Před 22 dny +1

    Rais 💚

  • @Haji-hi7lw
    @Haji-hi7lw Před 21 dnem +1

    Uko sahihi kabisa huyu ni kiongozi kweli kweli

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Před 14 dny

    Habari nzuri mchambuzi wengine wamchongo

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc Před 22 dny +1

    Mungu akulinde

  • @bilalseleman5867
    @bilalseleman5867 Před 22 dny +1

    Upo very smart engineer

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Před 21 dnem +1

    Why not next year kombe linakuja Yangaaaaaaaaa TZ

  • @GeradinaJohn-xh8pw
    @GeradinaJohn-xh8pw Před 22 dny +4

    ❤❤❤❤❤

  • @georgesena6690
    @georgesena6690 Před 22 dny +1

    Acha mungu aitwe mungu bhana huyu jamaa anaupeo wajuu sana kwenye club yetu

  • @SteraZidadu
    @SteraZidadu Před 21 dnem +1

    Hongela

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Před 22 dny +2

    Oyo izi koti walizotupia watangazaji pamoja na bos nimezielewa sana nipeni contact chinbo lipo wapi

  • @user-cv4jb1bm6i
    @user-cv4jb1bm6i Před 22 dny +5

    Mtu wa maana kabisa huyuu

  • @IsdoryMigodela-ys5hw
    @IsdoryMigodela-ys5hw Před 17 dny

    Asante

  • @MaryOoko
    @MaryOoko Před 22 dny +1

    Mungu akupe maishamarefu sana injinia ndaniyauwongozi wako ndaniya yanga ❤❤

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 22 dny +1

    Unyama saana

  • @GastorCleophasmkwamira
    @GastorCleophasmkwamira Před 22 dny +1

    Huna dhambi Rais wetu
    Coz kila ambacho kiongoz mkubw kama wewe anapaswa kua nacho
    Wew unacho
    Kila ambacho kiongoz anapaswa anapaswa kufanya kwa watu wake
    Wew umefanya zaid
    Na kubwa zaid unaongozw na Hekima Busara maarifa na kila ambacho tunatamani kuona kikifanyika Yanga um3kua ukitembea kwenye Akili zetu pia
    Umemaliza kila kitu🙏🙏 we Ishi tu miaka yoote na Huna dhambi🙏🙏🙏💪🫶💛💚💚

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 Před 22 dny +1

    Mimi mwana Simba lkn kati ya Watu watatu ninao wakubali pale Yanga Eng Hersi no one.

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 Před 22 dny +1

    Presidwaa kama huyu anatumia akili hasa za shule yake na ki ukweli huyu jamaa ameenda shule na shuleni alikuwa anaitendea haki kwa jinsi anavyoiongoza timu lazima ujue yupo vizuri sana. Hongera sana eng. Utaendelea kuwa raisi wetu mpaka useme basi.

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 Před 22 dny +1

    Maana ya kiongozi

  • @user-br3oc1dt1x
    @user-br3oc1dt1x Před 22 dny +3

    Yuko vixuri

  • @noahmgovano7657
    @noahmgovano7657 Před 22 dny +1

    Nguvu moja inafika kwako kaka

  • @cax1338
    @cax1338 Před 22 dny +2

    Akili kubwa 🧠

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před 22 dny +2

    Huyu mwamba mtu wa mpira sana, wa tz woote tunamkubali hata kama si Yanga, labda uwe mchawi

  • @happymalidadi8151
    @happymalidadi8151 Před 22 dny +1

    Kwa sasa Yang's IPO mikono salama chini ya injinia

  • @user-bk4ug8tj3n
    @user-bk4ug8tj3n Před 22 dny +1

    Mungu akutunze Kila iitwayo Leo. Rais wa watu huyu apewe mauwa yake

  • @douglasmwakamoja4133
    @douglasmwakamoja4133 Před 22 dny +1

    aisee rais wa CAF ajaye

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Před 22 dny +1

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @alexsulle9683
    @alexsulle9683 Před 22 dny +2

    Sidhani kama nimekosea kusema nchi yetu inataka viongozi kama huyu jamaa

  • @hassanmasanja8720
    @hassanmasanja8720 Před 16 dny

    my guy,my schoolmate ...hili nililiona tukiwa shule na nilimuambia atakuwa kiongozi siku moja...hakuwa na papara shuleni very patient kwenye kila jambo...

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 Před 22 dny +1

    Kuna kitu Cha kuigwa Kwa vilabu vingi hapa tz

  • @hamisially-sy5fm
    @hamisially-sy5fm Před 19 dny

    👍👍👍👍👍👍

  • @marrymwinuka3105
    @marrymwinuka3105 Před 22 dny +1

    Hii ndio faida ya shule kweli . Hapa angekuwa mayele ni majungu tu uuu sbb Mayele Ana shule jna busara jna shukrani kbs hlf sijui kesho Yake.ongera rais wa Yanga Una busara snaaaa

    • @nyembomajid1262
      @nyembomajid1262 Před 22 dny +1

      inaotumika hapo ni akili aliozaliwa nae Toka tumboni

  • @JacksonMukoko
    @JacksonMukoko Před 18 dny +1

    Ndiyo watu wazuri ,wapole wanyenyekevu wapo duniani kwa hiyo yupo pale ni raisi wa yanga

  • @hassankumba6938
    @hassankumba6938 Před 16 dny

    Siyo tegemezi ni tegemeo.

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa Před 22 dny +1

    Niko Dar,kiukweli Mr president ana uono wa Mbali Sana,Na hayo maelewano yake Mr GSM nakwambieni huyu mtu Ni hatari Sana ana akili nyingi Allah kamjaalia Na si ktk mpira Tu hata ktk upande wa Siasa bado atatoboa Tu,km ataamua

  • @omegahealingchurchiringa2818

    Wewe ni kijana hazina wa soka la Tanzania

  • @katalisajuka-fl3st
    @katalisajuka-fl3st Před 22 dny

    Sijasikia kuhusu kufungiwa kusajili wachezaji

  • @user-uh5vv6or4s
    @user-uh5vv6or4s Před 21 dnem

    Yaani daaah wewe ungekuwa raisi wetu wa nchi tungekua mbali

  • @HabibuMalick
    @HabibuMalick Před 14 dny

    Naweza nikasema rais wa yanga unastahili pongezi umetufanya tukaona tunatimu natamani ubaki yanga maisha yote najua watu wataisema timu ya yanga kwa ubaya lakini na zani nikwajili ya mafanikio yanayo onekana

  • @IbrahimHassan-ex7sn
    @IbrahimHassan-ex7sn Před 22 dny

    Wewe ndio jembe letu hapo jangwani hunaga baya raisi wetu wa boli Kijani na Njano Nyeusi tupo juu kwaajili yako.

  • @omegahealingchurchiringa2818

    Rais mwenye weredi wa soka la kisasa lisilo na figisu mpira ni Akili na Pesa tu kwa Dunia ya leo

  • @ashafundi2941
    @ashafundi2941 Před 22 dny

    Mimi nataka kujuwa maana maneno ni mengikyhysu Pacome maaba sielewi

  • @abdalahzungu6264
    @abdalahzungu6264 Před 22 dny

    Utopolo atabaki kuwa utopolo tu nyinyi msifieni Leo lakin siku sio nyingi mutamkataa tu

    • @AminaMuhammed-bh2pg
      @AminaMuhammed-bh2pg Před 21 dnem

      Kama ambavyo mnavyomkataa mangungu eeh😂😂😂 endeleeni kusubiri boti kwenye kituo cha daladala

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 21 dnem

    Huna lolote wewe zaidi ya kununua Mechi za ligi yetu unaharibu sana Mpira wetu kenge wewe

  • @mbwambog5969
    @mbwambog5969 Před 22 dny

    Engineer anajmjibu mwanahabari kitaalamu kweli kweli. Munaonaje tukimuuza Simba kwa bei Kali kisha tukatafuta mbadala!

  • @omarmakore6919
    @omarmakore6919 Před 19 dny

    Kongore kwa waandishi wa habari kwa Maswali yenu ya msingi , pia hongera kwa raisi WETU Haris kwa majibu yenye tija

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood Před 22 dny

    Oyo izo koti walizotupia watangazaji pamoja na bos kazi nimezielewa sana kama kuna yoyote anafahamu nipe contact

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 21 dnem

    Mwiteni na mangungu aje ajieleze kama rais wa yanga au try again tuone wanavyoropoka huyu kijana ana kipawa cha uongozi yaani hasoni anakujibu titi for tati