#live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • USISAHAU KUTUFATILIA KILA SIKU
    #taifastars#yanga#simba
    #Dotomagari#hajimanara
    #tetesizausajilileo #yanga #simba
    #azamfc #yangasc #simbasc
    #simbasc #yanga #wananchi
    #aslay #bentvmedia
    #Chinowanaman#bentvmedia#interview
    #yangasc #yanga #caf
    #simbasc #usajilisimbaleo #simba
    #simbasc #usajilisimbaleo #caf
    #feisalsalum#yangasc#simba
    #yanga#simba#caf
    #simba #yanga #hajimanara
    #simba #yanga #hajimanara
    #tff #hajimanara #feisalsalum
    #yanga #simba #caf
    #simbasctanzania #wydad_casablanca #caf
    #simbasc #wydad_casablanca
    #mandonga #feisalsalum #yangasc
    #yanga#simbasc#caf
    #simbasc#raja#caf
    #yanga #simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
    #yanga
    #kariakooderby
    #Uchambuziwaazamtv
    #cafclcc
    #Mashabikiwaalhilal
    #Hajimanara
    #Winnermedia
    #Kochanabi
    #Golilamayele
    #Klabuboraafrika
    #Top5media
    #klabubingwaafrika
    #Hajimanara
    #Enghersi
    #Yanga
    #Alhilal
    #mayele
    #Azamatv
    #Ibenge
    #Caf
    #cafconfiderationcup
    #Tff
    #Kikosichayanga
    #morrison
    #Yangatv
    #Yanga
    #Caf
    #Mayele
    #Tff
    #Hajimanara
    #Klabubingwaafrika
    #Yangasc
    #Kisinda
    #Enghersi
    #Yanga
    #Tff
    #Caf
    #Hajimanara
    #caf
    #Tff
    #enghersi
    #Yanga
    #Simba
    #Hajimanara
    #Josephatgwajimarudishatv
    #Simba
    #Yanga
    #Hajimanara
    #Wakristo
    #Simba
    #Yanga
    #Tundaman
    #Ahmedally
    #Yanga
    #Simbasc
    #Hajimanara
    #Jezimpyazasimba
    #Simba
    #Yanga
    #Tff
    #enghersi
    #Yangasc
    #Hajimanara
    #Enghersi
    #Yanga
    #Tff
    #Breakingnews
    #Diamondplatnumz
    #Harmonize
    #Msamaha
    #Azizki
    #Yanga
    #Richsports
    #Simbasc
    #Kagele
    #Mayele
    #Simba
    #Yanga
    #morrison
    #Mayele
    #Simbasc
    #yanga
    #Simbaleo
    #Yangaleo
    #Kikosichayanga
    #tetesizausajilileo
    #Azizik
    #Stephenazizk
    #Azizkikusajiliwasimba
    #Usajilisimbaleo
    #Usajiliyangasc
    #Dirishakubwalausajili
    #Kochampyawasimba
    #Tetesizausajilileo
    #YangaSc
    #mechiyasimbalive
    #mechiyayangalive
    #ccmkirumba
    #Mwanza
    #Yangaleo
    #Geitagoldleo
    #Wasafitv
    #Msimamowaligikuunbc
    #gsm
    #caf
    #wasafifm
    #wasafimedia
    #Cafconfiderationcup
    #Usajilisimbasc
    #Usajiliyangasc
    #Usajili
    #Dirishakubwalausajili
    #Azamtv
    #Dudysports
    #Millardayo
    #Globaltv
    #Mbiusautitv
    #Wasafitv
    #Sportsarena
    #fifa
    #Hajimanara
    #Cas
    #Modewji
    #Yusuphmanji
    #Usajili
    #Kikosichasimbaleo
    #Simbaleo
    #Ligikuutanzania
    #Simba
    #Usajiliyangasc
    #yanga
    #ligikuu
    #tanzania
    #Simba
    #Yangaleo
    #Usajilisimbaleo
    #Ligikuu#tetesizausajilileo#simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
    #yanga
    #kariakooderby
    #Uchambuziwaazamtv
    #cafclcc
    #Mashabikiwaalhilal
    #Hajimanara
    #Winnermedia
    #Kochanabi
    #Golilamayele
    #Klabuboraafrika
    #Top5media
    #klabubingwaafrika
    #Hajimanara
    #Enghersi
    #Yanga
    #Alhilal
    #mayele
    #Azamatv
    #Ibenge
    #Caf
    #cafconfiderationcup
    #Tff
    #Kikosichayanga
    #morrison
    #Yangatv
    #Yanga
    #Caf
    #Mayele
    #Tff
    #Hajimanara
    #Klabubingwaafrika
    #Yangasc
    #Kisinda
    #Enghersi
    #Yanga
    #Tff
    #Caf
    #Hajimanara
    #caf
    #Tff
    #enghersi
    #Yanga
    #Simba
    #Hajimanara
    #Josephatgwajimarudishatv
    #Simba
    #Yanga
    #Hajimanara
    #Wakristo
    #Simba
    #Yanga
    #Tundaman
    #Ahmedally
    #Yanga
    #Simbasc
    #Hajimanara
    #Jezimpyazasimba
    #Simba
    #Yanga
    #Tff
    #enghersi
    #Yangasc
    #Hajimanara
    #Enghersi
    #Yanga
    #Tff
    #Breakingnews
    #Diamondplatnumz
    #Harmonize
    #Msamaha
    #Azizki
    #Yanga
    #Richsports
    #Simbasc
    #Kagele
    #Mayele
    #Simba
    #Yanga
    #morrison
    #Mayele
    #Simbasc
    #yanga
    #Simbaleo
    #Yangaleo
    #Kikosichayanga
    #tetesizausajilileo
    #Azizik
    #Stephenazizk
    #Azizkikusajiliwasimba
    #Usajilisimbaleo
    #Usajiliyangasc
    #Dirishakubwalausajili
    #Kochampyawasimba
    #Tetesizausajilileo
    #YangaSc
    #mechiyasimbalive
    #mechiyayangalive
    #ccmkirumba
    #Mwanza
    #Yangaleo
    #Geitagoldleo
    #Wasafitv
    #Msimamowaligikuunbc
    #gsm
    #caf
    #wasafifm
    #wasafimedia
    #Cafconfiderationcup
    #Usajilisimbasc
    #Usajiliyangasc
    #Usajili
    #Dirishakubwalausajili
    #Azamtv
    #Dudysports
    #Millardayo
    #Globaltv
    #Mbiusautitv
    #Wasafitv
    #Sportsarena
    #fifa
    #Hajimanara
    #Cas
    #Modewji
    #Yusuphmanji
    #Usajili
    #Kikosichasimbaleo
    #Simbaleo
    #Ligikuutanzania
    #Simba
    #Usajiliyangasc
    #yanga
    #ligikuu
    #tanzania
    #Simba
    #Yangaleo
    #Usajilisimbaleo
    #Ligikuu
    #Chama
    #Caf
    #SIMBASC
    #YANGASC
    #SIMBA
    #LIGIKUUTANZANIA
    #Ligiyamabingwaafrica
    #Africa
    #Tanzania
    #Rockmedia
    #Sokatv
    #Mavalatv
    #Wizarayamichezo
    #Kochapitso
    #Yanga
    #Yangaday
    #yangasc
    #Plantamedia
    #Azammedia
    #Fifa
    #Kambole
    #Zalanfc
    #uwamjawaalhilal
    #Chama
    #Caf
    #SIMBASC
    #YANGASC
    #SIMBA
    #
    #Ligiyamabingwaafrica
    #Africa
    #Tanzania
    #Rockmedia
    #Sokatv
    #Mavalatv3
    #Wizarayamichezo
    #Kochapitso
    #Yanga
    #Yangaday
    #yangasc
    #Plantamedia
    #Azammedia
    #Fifa
    #Kambole
    #Zalanfc
    #uwamjawaalhi
  • Sport

Komentáře • 63

  • @Tabibuibrahimu
    @Tabibuibrahimu Před 4 dny

    Sawa anaweza kucheza Yanga lkn mshahara WA Million 25 sio kweli Acha Uongo .

  • @enockmwampiki
    @enockmwampiki Před měsícem +1

    Mzee wa friji bovu hebu rudia kuichambua combinations ya chama, azizi na pacome hapo naona migongo wazi povu linatoka kinoma

  • @Shekhan851
    @Shekhan851 Před 24 dny

    Hapa chini kuna mtu kaandika hauwezi kumrizisha kila mtu neno sahihi ni kumridhisha kila mtu.

  • @Moto1234-jl5ti
    @Moto1234-jl5ti Před 27 dny

    Jamani binadamu uwezi kumurizidha Mimi nashukuru tu timuyangu yanga oooe nipo omani masikati nawafatria vizuri sana

  • @fadhilinyengo8262
    @fadhilinyengo8262 Před měsícem +1

    HERS aialibu Simba, vuongozi wa Simba ndio wanayoialibu Simba

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 Před měsícem +3

    We hujielewi ndo maana Friji bovu,Kafie kwa mwarabu koko

  • @Shekhan851
    @Shekhan851 Před 24 dny

    Iko haja ya Watanzania kuijua vzr lugha yetu.
    Utaona mtu anaandika ovyo ovyo penye L anaweka R penye penye neno lolote la kukataa lazima uanze na herufi H mfano: Hayupo,Haendi,Hataki,kaiharibu lkn wengi uandika: aendi,ataki,ayupo,kaiaribu hii nia aibu lugha yetu wakosee wageni sio sisi nawasilisha.

  • @ShadrackOwigo
    @ShadrackOwigo Před měsícem

    friji bovu kwer simba hawampendi chama nyooo!!

  • @LinjeDc
    @LinjeDc Před měsícem

    Friji bovu, hapo umechemka sana siyo kweli kuwa wanachama wa Simba hawampendi Chama, tumia neno baadhi, na fahamu kuwa wapo pia Wanayanga ambao hawamuhitaji Chama kwa kuwa wanaona wanajitosheza, ACHA KUONGEA MAONO CHONGANISHI

  • @timothmathiasmwakimbwala9455

    It's a goalllllll😊

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 Před 26 dny

    Huyu Chama alikwa ana hujumu Simba alikwa ana rafiki na upande wa pili. Wacha aondoke. Hatumtaki ame hujumu sana Simba.

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Před 18 dny

    Ukisema uongo sisikilizi tena

  • @danideuli5313
    @danideuli5313 Před měsícem +1

    Huyu friji bovu naona habari zake naye ni za makisio tu.

  • @benedictodaniel1842
    @benedictodaniel1842 Před měsícem

    Kibu siyo mtu pale manguvu mengi

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před měsícem +1

    friji bovu na makalio mabovu pia

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 Před měsícem

    We friji bovu aliponi Tena yaani yanga waiyaribu Simba sio kweli kaondoka okwi kaenda yanga Simba IPO pale pale wakina mogella, SHABANI Radhani, wengi wameenda yanga kaseja,

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před 24 dny

    Wanamlipa hela hiyo yote chama kwa kitu gani tafuteni mchezaji mwingine hana jipya kulinganisha na wachezaji wetu yanga,kwanza mzee

  • @kaberwarutachweka179
    @kaberwarutachweka179 Před měsícem +1

    Ongeza na CEO wa Yanga Mtine ni wa kwao.

  • @CyprianChuwa
    @CyprianChuwa Před měsícem

    Ok

  • @RahmaMadani-gy6ge
    @RahmaMadani-gy6ge Před měsícem +1

    Kaka umeongea point ila wana simba wamepanik

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 Před měsícem +3

    sio kweli Sasa kama mchezaji atakianakimbia unafanyeje ,futiria Jemedali alichoongea kuhusu kibu sio unaongea TU

  • @annalubango9899
    @annalubango9899 Před měsícem

    Hebu tujadili steel bando kaitumia wewe huku akiamini yupo sahihi

  • @MachondaMtoto
    @MachondaMtoto Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 Před měsícem

    Simba ondoeni wachezaji wote,,,anzzeni upya,,,hicho kizazi kinatakiwa kuondoka

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 Před měsícem

    Fridge bovu ni ukweli mtupu anaongea, viongozi pamoja na Mwekezaji Mo wajitafakari kwa Sasa Mpira ni fedha, kama pesa ipo utapata wachezaji wazuri!

  • @user-ht5tc5yv5t
    @user-ht5tc5yv5t Před měsícem

    Huu ndo ukweli ambao koro hataki kuskia😂😂😂 ukitaka kuthibitisha hivo cheki coment 😅😅

  • @user-wc6dl8kp9p
    @user-wc6dl8kp9p Před měsícem

    Uzushi Nyuma mwiko mnakitanzi na Fifa acheni ulozi.

  • @Komdomhando59
    @Komdomhando59 Před měsícem

    Wanazi wa simba bwana, vigeugeu kweli. Mchezaji akiwa Simba wanamsifu kweli na kumpamba. Sasa aondoke Simba, laaa! Watamnanga na kumkashfu balaa. Mala ookilema, mala ookipofu, mala oohafai, yaani shida kwelikweli

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před měsícem +1

    Sasa ndio wanasema oohh mchezaji mkubwa acha tuone kama atakua na upepo kama ule wasimba na naamini yanga mtalia ninazandani huenda mkamkosa mtu hapo jangwqni

    • @bentvmedia
      @bentvmedia  Před měsícem +1

      nani huyo ebuu nigeee😁😁

  • @DONALDYOWAS-rr7tz
    @DONALDYOWAS-rr7tz Před 23 dny

    Achausenge unaongea usenge usenge tu

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Wewe mtangazaji hakili yako aipo sawa unayoongea hayana mantiki!

  • @paulkapiki2779
    @paulkapiki2779 Před měsícem

    maneno mengi unaongea kuhusu chama ila ni wewe mwenyewe uliwahi kumbeza huyo huyo unaemsifia leo .broo maneno yako yawe na akiba kesho mtambeza na kumuongea vibaya ni nyie nyie ndio mtakae msema hovyo this is bongo,wenzetu wako kimaslahi sio kama uanavyotazama au kuliongelea kama unavyoongea.

  • @annalubango9899
    @annalubango9899 Před měsícem

    Steel bando inatutesa 😂

  • @user-bi9xu6ix2o
    @user-bi9xu6ix2o Před měsícem

    Hakuna mchambuzi hapo mpuuzi tu

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Mtakula mchuzi lkn minyama amuifikii

  • @Smart_jarm
    @Smart_jarm Před měsícem +2

    WANATAKA KUIARIBU AU KUIHARIBU? ONLINE TV MNATIA AIBU NDUGUZANGU😮

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Před měsícem

      kuiharibu

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Před měsícem

      Kiswahili hujui

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Před měsícem

      neno aribu lazima uandike haribu,,
      neno uaribifu huandikwa uharibifu
      mwandishi yupo sahihi kumbuka waandishi wa habari wamejikita zaidi kwenye kusoma hadi lugha

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn Před měsícem

      mwandishi yupo sahihi kabisa ni kuiharibu✅

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 Před měsícem

      Unajifanya mjuaji pimbi wewe

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Kwani hao yanga Wana ubora gani?wako nafasi yangapi Afrika?!

  • @Joycekwolola7
    @Joycekwolola7 Před měsícem +1

    Kaka mwandishi unamdoboa mwenzio na kidole usifanye hivo wengine hawapendagi wanavimiliaga tu

    • @bentvmedia
      @bentvmedia  Před měsícem

      bora umesema wewe 😁 ataniuaa

    • @Joycekwolola7
      @Joycekwolola7 Před měsícem

      @@bentvmedia mtu anavumilia tu unavyomdoboa na kidole na kumshika kufuani angalia kwanza rangi ya nguo alioivaa kuacha na nguo sio vizuri hata kama mkono unakuwa msafi mwambie samahani eneo Hilo abadilike hata kama story au interview imenoga asimdoboe mtu wengi hawapendi ila hawawezi kusema

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před měsícem

    Hizo nistory

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Ww huna hakili nzuri nyote mnaongea ugoro tu

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Akili yako ww wa miwani nikama tope

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před měsícem +1

    Acha ujinga wewe , kwani usajili wa yanga unafanyika kwa utaratibu upi alihali timu imefungiwa wewe

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo Před měsícem +1

    Waache wajicbukulie Wala hamna shida kwanza nikilema

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před měsícem +1

    kalee ugali na dagaa ww njaa inakusumbua, upambee ndio mboga mboga kuu

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před měsícem

    Wee mjinga mpuuzi unasema Simba haijawahi kuwa bora kama yanga au kuzidi? Huo ni uchawa wa kipumbavu. Hujui Simba imesha cheza Fainali na nusu fainali za Caf na yanga ndiyo kwanza imeingia makundi mpaka robo fainali msimu huu. Lakini unaipamba yanga utafikiri wamekuwa mabingwa miaka 10 mfurulizo. Yanga ilivyoteseka miaka mnne mbona hatujakusikia kusema lolote. Si majuzi tu mlikuwa mnasema wachezaji wa Simba wote ni wazee na wamechoka? Tena mnasema ili kujenga Simba imara ni kuwatema wazee wote. Leo Chama amekuwa bora kwa kuwa anaenda yanga. Hesabu za magoli na assist za Chama zimeenda zinashuka. Zitapanda kwakuwa anaenda yanga? Chama bora alikuwa yule wa miaka mitatu ya nyuma. Kibu hesabu zake uwanjani ziko vipi kama siyo mbio tu na maguvu. Au kwakuwa aliwafunga yanga X2? Hao wote chukueni lakini tunawajua vizuri hawatatudhuru. Wala Roho haiumi Yanga anawachukua hao kwa kudhani wanaikomoa Simba lakini si kwa ubora wa wachezaji.Tena tunashukuru kwamba mnapunguza idadi ya kusajili mchezaji aliyebora zaidi kwa kumchukua Chama kutoka nje ambaye ameshatumika miaka 6 na amechoka kama mlivyokuwa mnasema tena wewe mwenyewe kwamba Chama huyu siyo yule wa misimu miwili iliyopita. GANDA LA MUWA CHUNGU KAONA TAMU.

  • @buberwamujungu6987
    @buberwamujungu6987 Před měsícem

    Mtaongea Sana kuwafuraisha hao yebo yebo mtabaki na Arufu lkn amli

  • @pierrefilm7078
    @pierrefilm7078 Před měsícem +1

    Mimi nilijua wanaovaa Miwani Wana akili kumbe vilaza tu umevaa tai kumbe zuzu tu