BABA AVUTA BANGI na KUANZA KUMPIGA MKEWE na KUMTISHIA KUMUUA KISA MAHARI - WATOTO 5 WATELEKEZWA!
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- BABA AVUTA BANGI na KUANZA KUMPIGA MKEWE na KUMTISHIA KUMUUA KISA MAHARI - WATOTO 5 WATELEKEZWA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hongera sana dada zariam❤❤❤
Nimelia saana jamanii uwiiiiii hivi watoto walikuwa na kazi zao wazazi watakuja kweli kudaiwa wasaidiwe?
Daah jamani jamani nyie maisha haya nimeumia sana dah eeh mungu simama na watoto hawa ukafanye njia pasipo na njia
Subhannallah inauma sana 😭😭😭 Elia apelekwe hospital
Poleni sana wanangu Mungu atafanya njia pasipo na njia 🙏🙏🥰💕
Subuhanallah😢 Allahu akibarr. Jamani haowazazi. Wqpo hai kweli😢 Allah awqtunze kwa Rehmazake watoto hao
Mungu simama mwenyewe
Huyu binti mungu amlindee masikini nahayo mazingira haya wale wabunge wapiga meza walio sema kuusu watt wakiume ns wakike wana kz ya kuchambana bungeni tu
Nimelilia sana
Chalesi maraya na ni mlezi sana nilisha wah kumsikia stori yake mimi na shamba langu jirani na uko makazi mapya na uyo mwanamke nae ndo wale wale Mungu asaidie inshallah 😢😢
Mungu mwenye uruma simama mwenyewe
Mungu wasaidie hawa watt huyo Mama hafai hadi nimelia jaman
Hilo baba Lenu bora lingefia lindoni,majambaxi yangetakiwa yamvamie lindoni yaliuwe.
Watoto ni mama jamani hawa wanaume hawana huruma na watoto sasa mama Ukiacha watoto wako utajua hujui
Hii Dunia jamani 😢
Jamani daaah
Mwanamke kaa mbali na huyo jamaa ukomae na wanao MUNGU atakusimamia wanawake kulea watoto mwenyewe btunaweza
Daah...uzuni sana😢😢😢
So sad..
Wah mwijaku alisema mume tuzidi kwa kila kitu nao ni kweli 🇰🇪 duh
Majaribu Kwa mwanadam sio kwamba kafanya dhambi n wakat tu unapita na aliowachana mdomo ndy atawapa kula
Shida Kweli Kweli mummm
Wewe ndio umtafute waziri mtapata sawabu
Ekeni namba basi
HAWA WA HAKI ZA BINADAM MUKO WAP I HAMJAONA HILI?
Hawo watoto japomoja nileteyeni mm nimsomeshe huku zanzibsr
😂😂😂 tanzania inchi inayo vutiya sana ila visanga vilivyomo kama marekani yaani kuna vitu havieleweki.
Mmmmmh MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo saidia hii familia wape faraja😂😂😂
Tunataka mwendelezo wake
Zari mpenzi tb sio shida ndogo halafu kazi nzito wakati anaumwa njaa
Hawa watoto wako wapi jamaniii
Mlandizi
EE MUNGU MUUMBA MBINGU NA DUNIA ANGALIA FAMILIA HII INAYOPITIA MAGUMU, NAAMNI WEWE UNA MITIHANI YAKO BABA, ILA KWA UWEZA WAKO NAAMNI UMEWAANDALIA KESHO ILIYO BORA, GUSA MIOYO YA WATU WAKAWASAIDIE HII FAMILIA
Amen😢
Ameeen!
Mungu simama mwenyewe
Amen