ZAIDI YA RAFIKI 1 || Love story 💕|| bongo movie
Vložit
- čas přidán 26. 06. 2024
- #bongomovie #netflix #movie #benroyalmovies #swahilimovies #comedy #chekatu #juakaliseries #film #zaidiyarafiki
#diamondplatnumz #comedy #love #rafiki #zaidiyarafiki #video #filamyamapenzi - Krátké a kreslené filmy
Miss you guys nilikuwa najiuliza mmeenda wapi wanangu
Nmecheka sana 😂😂 kazi nzuri sana
Nawakubali sanaa. Jitahidini kupandisha kaz kwa wakati
nzuri sanh lkn mwakaa sana bila kutuletea vitu watu wagu❤ bonny nakupenda banh
😂😂😂😂Nafurahi ombilangu limejibiwa maan nilikuwa napenda san hawa jama wataweza movie pamoja
Jaman benroyar munaweza Hadi munaweza Tena mungu awajalie mufikie malengo❤❤❤❤❤
Benroyal my best channel in Tanzania huwa mnaangusha vitu Kali Kali sana ila tu mnatufanya tungoje sana
Karibu sana
ntatupia kakofia kangu na kakiatu kangu hapo, ntakusanya watoto, kumbe hunijuagi. My favourite part❤❤
Ila barnaba na mona.mona sauti kama katoto❤❤❤.barinba pacha wa luka sura mpaka sauti mpaka tabasam naisi ndungu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤mlikua wapi wanangu,mbona mlipotea hivyo tunawapenda sanaa 2 mtupewendelezo wa zile mlizo acha basi
Wakwanza Leo hapa...
I really love this channel. Thanks 🙏 on the behalf of Ugandans who missed this 😊
Thanks for watching
Kaka benloyalty hii movie nzur sana maana mmeelezea changamoto ambazo tunazipitia mitaani kwenye mahusiano na maisha ya kawaida
Alafu @mbanga napenda sana hip-hop zenyu + nala mzalendo🎉🎉
Nimefurahi sana kumuona bavo humu ndani
Oyaa!! Wanakubl sn ❤ ila shid sauti bro increase the volume please, na wekeni dizeni chach ya kichapo mwanangu 👊 yaan namanish ngumi bro
Kazi nzuri Sana tumetoka mbali. Salimika Sana Modesta love you
niliwamiss sana alafu nawapenda sana Ndiyo mnafanya kazi nzuri sana🌹♥
Napenda sanaa movie zenu naomba nitoe kama ushauri tunaomba muwe mnatuwahishia pls
Mlikaa kimyaa sanaa
Movi zenu ni nzuri saaana tu tunapenda kufuatiria kwa mfurulizo mzuri A to z
namkubali sana boni
Dah mwanetu umepotea sana
Zaidi ya Rafiki@benroyal@Bon@miss chuleha❤❤.love u gys
Saaafiiiii,
Yan nimefurahi atari,
Kama kuna comedy fran hivi,
❤❤
🔥🔥🔥Rafiki
Safi brother kazi nzuri rafiki
Next ❤❤❤❤❤❤❤❤
Duh, niliwamiss sana asee. Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉
BP mmekimya sana watunguyaz...watching from Mombasa
Kazi nzuri nawapenda sana❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ila haunaga kaz mbaya
Kazi kazi bila kuchoka mzigo ni wamoto 🔥🔥🔥
Jaman malizieni na series ya amani, alaf mtuletee msatari wa dam muendelezo wake
Bora mmetuletea, maana tulihitaji sana kazi kama hizi
Aisee turikua tumewamiss saana kaka bonny
Kuwamiss tu nimewamiss mmejua kututelekeza jaman ❤❤❤
sema nampenda uyu dada paula dah bas tu
Wow...
naona mmeniwekea mwanangu wa michezo yenu ya 👊 nimependa sana iyo
Jamaangu ndevu moja Mr max kaua sanaaa...but Kazi nzuri myamba
Hongera sana ❤❤❤❤❤ part two lini inatoka
❤❤ mko vizuri ndugu zangu
Oyo oyo❤
Wow 😮
Duuuh.....huyo Jamaaa namuonea huruma sanaaaa
Oyaaa humu kuna bavoooo
daaah nikajua mmedata na bunji mmetukosea sana 😂😂😂😂😂
Nice one
Mnakaa sana hadi tunawasahau,naona hata bavo mlimchukua
Paula is the most beautiful girl in Tanzania, I feel like meeting her in person. Love you all
Tuna miss sana kazi zenu asee
Turikua tumewakumbuka san wanangu ❤❤❤❤❤❤
Love from @sinemex
Dah hio sound track noma xana
Tunaomba Mwendelezo Wa amaniii Basii ndug zangu
Bonny inapendeza sana mkawa mke na mume yani ww bonny na Paula mnapendezana sana niwe wafatilia muda mrefu sana kiufupi mnaendana sana.
Yup well cme back
Amani itawale,,,,malizieni❤❤basi
Kazi nzuri wanangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ni nomaaa kikosiiiiiiiii
natamani sana bony na paula liwe kapo mnaendana sana
Wow, this movie is so amazing, it made my day. Watching from Uganda
Hakika films zako zinasisimuwa
Napenda sana kazi zako Ben❤
Tunafurahia uwepo wenu
Napenda sana kazi zenu
Ngoma ya mbanga mc🙌🙌✊️✊️
Jamani tusiombe like 👍 😂😂😂tafadhaliii una weza uka ozea jela kama #msanii see more.....................
Sema mnajua sana✊
Mfanye chap Ben leteni part 2... FASTAAAAAA
From254 bigup manzee but watu hawanyamazangi hivyo wakuu😂
My brother umerudi ila baadhi ya vipaji nilivyo viona kwako now naviona katika bunji ni furaha
Kazi nimoto sana
Jamani vp kuhsu series ya AMANI tulitegemea muendelezo wake 😢
Ukweli mnaweza sana ila ile Amani hamjamaliza
Hatimaye mmeludi watu wa mungu, mwasamola miss you ❤
Vipi kuhusu AMANI series kwani ilikwama kabsa?
Mbn kama madam mona anabastola kwenye kiuno chake
Benroyal,nilikuwa naomba ikiwezekana mututumie link ya wastap au link ya izi hiphop sehemu salama na husika pa mashabiki zenukuzipata,tafadhali
kitu kikali sana❤❤
😢😢 Where is part 2 Benroyal
Ileteeee babaaa
Sema mmekaa kuachia kaz
Nala mzalendo
Ila ben wewe dah😢😢 una jua kijana
Asante sana
Muache kutuonjesha bana sasa series ya amani haijaisha bado
AMANI mbona hajaimalizia jamani movi kaliii tunatamani muendelezo ule tuupate na mampya baadae
Bonny (Barnaba) ni fundi sana
😂😂😂😂😂😂watu wanao sali hawafanikiwi
Bonge la move
Nakbal wazee wa kazi
Kubakwa na wanaume nane sio mchezo Ata me ningeogopa 😂😂😂
Mr benroyal
RAFIKI 😢
Daah wanangu wa benroyal mmepotea san leten kaz nawakubli san kaz zenu
Vip bana what happened cz munakaa saana bila kudupatia movie
I was miss u more
Hamna baya wakuu 😂
Movie ya amani jaman muendelezo unakuja lini
Vp mbona ile filam AMANI mbona kimya
Mkopowa