Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5) KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ? Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana . Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
Mkuu huna baya story nzuri sana😍
Uandishi wa kazi zenu Benroyal, unanigusa moyo wangu sana, naomba mniruhusu nisome hata tution kwenu, ni aina ya movie ambazo zinaelimu ndani yake, mumepangilia vzr matukio mpka raha wala haichoshi kutazama. Pongezi sana kwenu 🎉
Karibu sana
Tuwape na like basi tusiangalie tuuu tukapita tuwpe moyo
Mgeweka english subtitle ingekua bora zaid, ni bonge moja la movie❤❤❤
Mmetisha sana asee
Good work
MONA NI KAMA HARMONIZE akipenda kapenda kweli.mona nimpole adi raha nakupenda sana nimefurai kumuona ajenti bavo na uyo kijana namkubali sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Unawazs nn rfk nambie, unashida gan rfk nambie 🎉🎉🎉👍👍
Nawakubali sanaaa kwa kaziiii nzuri mungu awabariki sana🙏👊
Hii movie ni tamu sana🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥 moto umewaka huku
Safi sanee, mi niko msobiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🎉🎉🎉
Really you are in the first position ❤❤❤, lkin naomb tu kichpo yaan ngumi 👊na kuzidish volume please kk
Kwangu mko number one namisapoti kutokea drcongo❤❤❤🔥🔥🔥🔥
Me nawakubar sana hawa jamaa
Nileteeni waigizaji wote duniani ila boni na Paula ndio first kwangu
Kazi nzuri sana nime Enjoy kuitizama hii movi❤️🔥🥰
Kazi kazi hakuna kuchokaaaa❤❤
Woow thank you so much.God bless this movie.kuna mafunzo kabisa.I love you all
Nawapenda❤
Nimeipenda sn move Kali mno hongereni ❤🎉
Yaani ilitakiwa kuendelea movie ni nzuri Sanaa hii 🎉 to Ben Royal wote.
Very interesting
Safi sana brother hunaga kazi mbovu umetisha sana hongereni kwa kazi nzuli
NAKUPENDA sana Mzee kwa Kusaliiiii hapoooo
Daaah kamenigusa aiseee hongereni san nimejifunza pia mung abariki kaz zenuuu🌹🌹🌹
Haya bhana,, mnajua🙌
Your the best
Bunji limechukua vijana wa benroyal na APM ,,, good work tupeni kidogo kidogo kama hivi👊👊👊
My favourite channel
Kazi nzuri pambana brooo
Iyi move imenifunza kitu chamuimu katika maisha ❤❤uzuri sio tu katika mavazi tu 🎉🎉🎉🎉🎉 nime jifunza vitu ongereni sana mwisha mzuri🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hakika wewe ni mtunzi bora mwenyez Mungu azidi kukulinda leo na kesho ili watu wengine tuzid kujifunza kupitia wewe. 🔥🔥🔥🔥
Mnajua Sana, HONGERENI SANA
Ben royal ni mmoja tu ❤❤ mko vizuri nawapenda
❤big up barnaba much love ❤
Daah ebwanaee noma we jamaa mbona kichwa sana daah bigger up
Woow kazi nzuri sana
Next 🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri kabisaaa
Nitapata wapi mwanaume kma barnaba 😢 kam yupo kwa jina la yesu ajitokeze 😊
hii movie nimejifunza meng sana ongern guys 🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
Nisiwe mchoyo wa fadhila kiukweli mmeuwa xanaa ani mwanzo mwisho sijarusha hata kipande jah awa bless xana Bro seba acha mitungi mchumba kakuacha😂 boe from #SIMIKE✊
Gooood, bonge la moveeeeee
Sema wanangu mnajua nawakubali sana
Ulimleta jamaa ata ajui kuvaa😅😅😅.mona iyo sauti yako tu inanibamba.aise mnajua sana
Unyama🎉🎉🎉
Iko vzr sana nimejifunza kwamba subira ndio kila kitu daaah safi sana
Yani nampenda huyu kaka hatari❤❤🎉
Mmetisha sanaa MUNGU awazidishie maarifa👏👏👏👏
Nzuri sana ❤❤🎉🎉
Kazi nzuri sana hongeraaaa
Nice jobe
good job broo, ila mona ni zaid ya rafki wa kwelii
Wow I really love this movie ❤❤❤🥰😘
🎉🎉🎉kaka Ben chukua maua yako 👏👏🙌🙌✅
Hakuna kupoa Rafiki ni 🔥🔥
kamependeza sana kamovie,muandae na kengine❤❤❤❤❤❤❤❤uzuri hauko kwenye mavazi
Nakubali kaz
Paula and peter also ben royal pictures i like you all guys ❤❤❤🇧🇮🇳🇦
Bennroyal mko vizuri sana , nimeipenda sana hii movie hongereni sana ..🎉🎉🎉🎉🎉.
Kazi nzuri jaman 🙏🙏
Waooo jaman wa kwanza Leo like zangu plzzzz♥️♥️
Ushauli wangu weka mwendelezo iendele maana mlipo ishia inawezekana kutunga story nyingine ya maisha yenu nyie wawili ❤❤❤
Uandishi wa viwango sana💪
Kazi nzur sana
Hongereni kwa kazi nzuri yenye mafundisho ndani yake
KAZI ZOOTE MLIZOZIFANYA ZIMEKUA NA FAIDA SANA KWANGU HUNA NAJIFUNZA MENGI SANA KUPITIA NYINYI
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUWAPA AFYA NJEMA, MAARIFA YA KUTENGENEZA KAZI ÑZURI BA NYINGI ZAIDI
BILA KUSAHAU NASUBIRI MUENDELEZO WA MOVIE YA ( AMANI EPISODE 5)
KILA YA KHERI ✨✨👏🤝
Movie ninzur ❤❤
Barnaba na Mona my favorites kwa movie zote nawapendaa ❤️🎉🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪 movie nzuri ila benroyal aiii nawaona sana
Hakika move zenu zinaukonga moyo wangu nawapenda sana Bp❤❤❤❤
Pokeen maua yenu love story ♥️ amazing thanks
Good job bro itapendeza ukiiwekea series,,
Benroyal nawakubali mko vizuri sana kwenye finishing mnalizia movie vizur mno mmenirudisha kutazama bongo movie
Good JOB bruh 🎉
Kazi kuntu benrayol nimependa kazi yenu
Utakomaaaa😅😅😅max au siooo😅
Nakubali achilieni vitu
The best always on🔥🔥
Benroyal mnajua sana tena mnajua haswa bonge moja la muvi yani natamani isiishe 😂
Natakaaa namba yakooo😅😅😅ilaaa nyieee nikooo paleeeeeee rafikiii
Mona umecheza vzr sana nasauti yako ya upole❤
Kazi safi❤
KAZI nzuli❤
Umeanza na kumaliza vizur
Wanawake dah 😅😅😅🎉
Kazi nzuri sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
MB zangu zimeenda kwa haki Asante sana nimejifunza kitu
Nakubali bonge la move
Hongera sana Mr Benard
🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunawapenda,nice movie
Hamja wai kuniangusha
Kama ningekuw mbeya ningefaiti sana tukutane na mm nijiungee kweny iih cruel natokea morogoro nawakubalii sanaaaa
Movie nzur sanaaaaaaa💯💯💯💯💯💯💯🥺I like it
Nilikuwa day shift nikapigiwa simu na boss niendelee na nightshift na nishende tena dayshift kesho sunday niwe off . Je wapendwa munajua nilivyo enjoy usiku mzima ?
Wacha . kazi nzuri sanaa hongereni sana hasa Paula wewe nakupenda sana .
Tabia zako zina nikosha sana isay basi tuu kama maisha halisi uko hivyo umetisha sana
Daaaaah katika movies bora kwenye maisha yangu basiii hakika hiii Movies Ni Bonge Moja la Yaaan apa mwandishi alituliza kichwa chini na kuwaza ninii Awape Mashabiki zake Bro/Sister kwa ujumla umemaliza sana hii movies big up kwa waigizaji wanajua sana pia Derector tukupe maua yakoo umetisha sanaa 👏👏👏👏👏
What's puppin oyaà Max kanumba ajaye
Kazi nzuli sana🎉
aiyeee movie kali hatarii broo tupe na ile nyingie ya amani bac uliishia njiani