MTOTO WA SHEIKHE (Ep 9)
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2024
- #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : www.youtube.co...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Ndo kufika sai mm kijana wa Mombasa kenya si leo mfanye ile kitu basi nipeni atakama 5 likes jamaa na mm ni anguke nayo,sharauti sana team bhailam
Bailam na macho yako sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣term nzima mko Vizuri hongereni 💕💕💕💕💕
Oyaaaaa wangapi wamemmiss Rachel baada yakuona hilo nyumba??❤❤❤ actress Rachel #wake wenza films❤❤
Tumia akili zako za juu usitumie za chini zitakupoteza❤ ubaya ubwela🎉🎉 naomben like
Leo wa 5🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno yani naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲
Akhbarish dear🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Tupo pamoja ❤
Ykgkjgb hhhyk8ij😊😅
❤❤🇴🇲🇴🇲
Team majinun😅😅
Wooyooooo leo ni mekuwa wa kwanza jymn🥰🥰🥰 mauwa yangu basi🙈🙈🙈🙈
Hamza wewe una mambo uwa unanifurahisha sana wallah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wasema wamchana Mzee Simba sio😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Napenda sana mambo yake Mzee Hamza
Sijakua mbal kihivyo team bhailam❤❤❤❤🎉🎉🎉
Bado sijachelewa kutokeya NAMIBIA 🇳🇦naombeni like zangu
😂😂😂Mzee ndio uzuli shikamoo 😂 Mzee Simba amepampika wallah ❤
Team hamam mukowapi jamani 😂😂😂😂 haya macho ya bhailam yameingiliwa na nini 😂😂😂😂
Yameingia phiriphiri asuad😂😂 🙌
Yani Amsa Ukimwambia Ni Muzh Inakuwa kesi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kazinzuri sana
Cha uzuri nkuchane😂😂Wa kwanza team strong mko wapi wapenzi 😢🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️🥰🥰🥰
Ndio uzuri babaa😅😅😅😅...that man is the one making me to follow up for these movie😂😂
Mzee ndouzuri nkuchane mwamanye vandu 😂😂😂naye umbehuo sio poa jamani hatari😂😂😂😂🎉🎉🎉❤❤
ALL IN ALL JAMANI ACHENI tu kuandaa film 📽️🎥 ni kazi yaani kukiandaa kitu alafu wenzio waje wakitazame na wakielewe ni kazi kubwa sana inaitaji akili na utulivu wa hali ya juu mupewe mauwa yenu tu kazi mzuri sana.
Bwana Hamza hataki kuitwa mzeee😂😂😂😂😂😂 anapenda umbea sana ndo uzuri ni kuchane😂😂😂
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Yaan bwana hamza ana master ya umbea 🤣🤣🤣🤣anajuwa kuuplka umbea yaan full data nukta ad alama ya mkato🤣🤣🤣
Lkn ujue hizo habari ni za uogo😂😂😂
😂😂😂😂😂
Umeona Inabidi Tumuite Bwana Cha Umbeya😂😂😂😂
Wa pili kutoka kenya🇰🇪🇰🇪naomba likes zangu
Hii team minaikubali kweli.
Bhailam kiboko
Hamza njo uzuri
Mzee simba
Masid
Mrembo Naomi
Miss Mariam
Nawa penda nyote
Fromage drc
Asante sana kwa upendo
Lete vituu bhailam
Kazi za kubonyeza meli ndio gani mzee hamza😂😂😂,una heka heka 😅 ndio uzuri 😊
❤from Burundi
Nakubal sna huwa hamtuchekeweshi❤❤
Kazi mzuri
Ndo uzuli umezidi umbea khaaa😂😂😂😂😂 nakupenda bure kiss my cmnt plz ndo uzuli nikuchane🎉
😅😅bailam bhan iyo kukapuakapua mimacho ndo nini unanichekesh ujue
Ongeren San Kwa Kaz nzur nawapenda sana nyiny wat❤❤❤🎉🎉🎉
Ila hamza huwa ananikosha..ndo uzuri nikuchane🎉🎉🎉❤
Mzee Hamza kamshinda kipara wa Clam vevo😊😊😊
😂😂😂 yaan kamzid aswaaaa umeona eeeh
Leo nimewahi
Mzee wa ndo uzuri nikuchane yaan mpaka anchekesha nampenda bure yaan mbeya kweli😂😂😂😂😂
Mbaya kama kipata😂
Hmuza namupenda sana. Kbx. Mungu mbele
Right on time
Ndio uzur 😂😂😂😂😂😂
Mimi nimewah jamani npe like
Bado mapema
Hellow naomi unitafute bs kipenz napenda sana unavyo igiza
Hongera kazi nzuri
Leo namimi nimewahi
Ndio uzuri
Niko hapa team strong jamani team strong mwenye kutaka mawe ya kujengea nyumba mnipe older 😊
Ndo uzuli mmbea sana🎉🎉🎉
Good work
Ndo uzuri khaaa umbea umezidi😂😂😂😂😘😘
Kk bailam uko vzr kwenye 2nzi zako mungu akuongoze
Kazi nzuri bro bhailam kheirat mzee simba Big up sana mariam
Bwana hamza wew mbeya sana alfu hutaki kuitwa mzeee😂😂😂😂😂😂😂😂
From Kenya
Bhailam hayo macho😂😂😂😂😂
Kazi nzur sanaaaa dah from morogoro mjini
😂😂😂😂ayayayaaaahyaaaah kimekuramba bailam
Mariam 😂
Ndo uzuri nikuchanee😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😅😅😅Hamza bhana chaumbea kweli apewe kijora ntalipa mm😂😂😂😂😂
Mariam unmatege😂😂😂😂😂😂 ukisimama unatisha😂😂😂😂 nimekupeda kuamuvi ya wakeweza😊😊😊❤❤❤
Nzuri sana ❤🇹🇿
😂😂😂😂Kwani ww mzee na mzee simba wamwela au❤
Nimechelewa🎉🎉🎉🎉
Bwana hamza uzeee autak kma kawaida ataka ujana #ujana maji moto......😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂kumotoo ukuu
Hamza sio mzee😂😂😂😂 wahala kweli
❤❤❤❤nayo nayo
Kazi nzuli kwl lakini nime miss Rachel jaman ❤mureteni nakumbuka vurugu zake 😂😂😂
Bwana Amza Na Umbeya Akaa😂😂😂😂❤❤❤❤
Ndo uzuli acha umbea😂 🇲🇿🔥🔥🔥
😂😂 Bailam bana kama muhindi vile ila imenoga 🥰
😂😂😂jaman hamza weyeee mwisho hulaziii😂😂😂😂
hamzaa😂😂😂acha umbeyaaa bhnaaa
Ila Mzee hamza mbona mbea sana hivi jmni 😂😂😂😂😂ndo uzuri nikuchane
Kumekucha 😂😂😂ndio uzuri nikuchane hataki kuitwa mzeee😅😅😅😅
😂😂😂😂hapo kwenye akili za chini ndo pananiacha hoi ila Mzee Simba 🙌
Ndouzuri nikuchane😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
🎉kazi kaz ngamia kashaelekea kibla 😅
Jmn ayo mach mhhh
Bairam macho ayo
Nzuri
One love ❤❤❤💯💯
Very good movie 😊😊😊😊
Eee ndio uzuri umchane 😂😂😂
😂😂😂😂Hamza mbea kwelii😅😅😅😅
Ndo uzuri habari za uwongo
Bailam na macho yako hayo Atari 😂😂
Ndouzur anamwaga mchelee😂
From Zanzibar apa penda Sana❤❤
Bwana hamza uzuri ni kuchane 😅😅😅😅penda timu bailm 😅😅
Wa 12 leo mnipe like zangu
Ndo uzuri😂 mchane ivyo ivyo
Wamwisho like zenu
yaani huyu bailam vituko vyake kama sharukhan
😂😂😂😂😂
Mzee uzur n kambea😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂kumbe ndotoo bhaillam kaxi unayoo
Ndiyo uzuri nikuchane
Nakukubali sana ila acha umbea
Kenya Watching
😂😂😂😂😂 Sasa jamani huu Amza kwanini anachukiya akiitwa mzee 😂
Ndio uzuri wacha umbea 😂😂😂😂
Ndouzuli nkuchane ukimwita mzee tu ni kesi hiyo
Kumbe lazima kua wa kwanza ndy upate like na hushibi 😂haya umejifunza nin ?
Ndio uzuri huo kuongea umbea 😂😂
Apendi kuitwa mzee ndouzur😂😂