TUNAOMBA RADHI KWA MASHABIKI ZETU KWA KUWACHELEWESHEA SERIES HII NI KWASABABU YA MATATIZO KIDOGO YA KIUFUNDI ILA SASA MTAKUA MKIIPATA KWA WAKATI SAHIHI 🙌 SWAHILI MAX 🔥🔥 shorten.tv/swahilimax
Hii series inaanza kuboa sasa....yn ep 3 zote hyo vick anabembelezwa tu kashikilia msimamo wke huo kuwa brown mbaya....inaboa sasa em rushen hvy vipande bn km kumkubal amkubali yn kila ep yy kumsema tu khs kutaka kumgonga mtt na gar...inaboaaa
Ywa boo huyu vick kila wakati nikufoka 2 hata tina hayuko hivyo ywalegeza kamba lkin yy eti ywakaza ovyo mpaka nimekasirika mm badala ya brown 😏😏😏🤣🤣🤣🤣🤣
Candy nakuomba umueleze brown kuhusu mpango wa tina plz ,sipendi kimuona brown akirudiana na tina tena mkifanya hivyo move itakuwa na mafunzo mazuri sana .tina anafaa aumbuke nawaomba plz❤❤❤
TUNAOMBA RADHI KWA MASHABIKI ZETU KWA KUWACHELEWESHEA SERIES HII NI KWASABABU YA MATATIZO KIDOGO YA KIUFUNDI ILA SASA MTAKUA MKIIPATA KWA WAKATI SAHIHI 🙌
SWAHILI MAX 🔥🔥 shorten.tv/swahilimax
Sawa yani tulikuwa tusha suburi ya hamu mukuwe na tupa mbele ya Wakati asante Kaka mungu amilinde na amipe nguvu zaidi nawapenda sana ❤❤❤❤
2ko pa 1 ucjali mungu abariki kaz yenu 🤲
Nakubali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌❤️😊
Mh Kam kwel iv
Ok saw itakuwa nzuri zaidi
Wanao amini victory na Brown wataoana tujuane hapa from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hii series inaanza kuboa sasa....yn ep 3 zote hyo vick anabembelezwa tu kashikilia msimamo wke huo kuwa brown mbaya....inaboa sasa em rushen hvy vipande bn km kumkubal amkubali yn kila ep yy kumsema tu khs kutaka kumgonga mtt na gar...inaboaaa
Victory unaharibu bwana
Jaman me sijawh pata like naomba na mm jamn
Daaaaah nimewahiiiij wakwanza nipeni like zangu nipo apanamuangalia Tina hatma yake ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉wana donta mko waiiiii🎉🎉🎉🎉🎉
Leo nimewahi nipe like zangu jamani nipo Bujumbura burundi
Bujunbura pazuli
Uyo vick anaalibu sana kwamba yeye ndio marayake ya kwanza kumwona mtu akitaka kugongwa mtu anakuwa kama ajuwi kuigiza mwambieni abadilike
Kweli kabsa
Me mwenyew ananikela yan kila muda anafoka tu
@@dottoaron3661 karibuni nataka kuacha kuitazama tema tunawasaidiwa kuwakuza kwa views lakini ata awajiongezi jmn
Nilikua namkubali ila amesha nikera 😮
Ywa boo huyu vick kila wakati nikufoka 2 hata tina hayuko hivyo ywalegeza kamba lkin yy eti ywakaza ovyo mpaka nimekasirika mm badala ya brown 😏😏😏🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwanza Genz team strong team Kelvin unawatch ukiwa wap mm gulf🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️♥️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️♥️♥️
❤❤❤❤❤❤❤
@@priscahmahenzo642 ♥️♥️♥️
vick anaharibu sana na anakera sana
anakera sanaaaaa
Yaan move nizr ila vick ss anatuchaganya jmn tusaidie mkutoa ni mtu gan yy asie jua msamha ety wif material 😂😂
leo nimejitahifi kufika naomba likes 10 kutoka drc
Haya leo wa mwisho lkn nmefika jamani naomba like zenu ❤❤❤❤
Vick unazingua sana mpaka umeanza kuboa unaharibu move
Kweli
Kweli bana
Yaan vick kweli anaboa director kazngua aisee
Anaboo ila atakubali tu kashapokea zawadi😂😂😂😂😂😂
Hongeren sana kaz nzur ❤
Ongera sana brown
Kazi nzuli saana ❤❤❤❤❤❤❤brown big up ❤❤apo naona vk amesha aaza kukubali wee never give up kwa vk ❤❤❤❤❤
Namimi leo sijachelewa naombeni like zangu jamani ❤❤❤
Tupo pamoja from Dodoma bungeni mapemaaaa sanaaaaaaa
Vick unaboa badilika bhana unafoka muda wote
Kweli
Au amupendake bakongomani? Na tokea Congo ❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Tunawapenda Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 kwa kazi nzuri kbs
Fire🇧🇮
Hongereni kabisa watu wangu.nawafuatilia nikiwa Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Leo nimewayi wallai number one
Na mm like leo
Yes vik ameanza kkubari burauni
Brown Wangu nakupenda saana Niko Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Candy nakuomba umueleze brown kuhusu mpango wa tina plz ,sipendi kimuona brown akirudiana na tina tena mkifanya hivyo move itakuwa na mafunzo mazuri sana .tina anafaa aumbuke nawaomba plz❤❤❤
Kaz nzur Ila mnachelewesha sana
Vick unakera Kazi kufokafoka tu
Hii ni funzo tosha kwa wadada wenye dharau kupitiliza ila nawapenda sana ❤❤❤
Hongeren jmn
Mko vizuri ila tatizo Liko hapa yaaaan zaidi episode 3 inaonekana vick amekasirika tuuu hapo piah inakuwa inaharibu sana
Jamanii tulokuwa tukiisubil kwa ham san hii movie tujuane hapa
Namm leo nimwewahi ❤
Kazi nzuri broo brown 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongereni wapendwa 🎉🎉🎉
Next episode naomba Victoria uwe mtulivu kidogo jaman punguza makasiriko kwa brown 😔
Movie tamu sanaaa
Vicky sijapenda venye unamujibu majibu kunya Brown 😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮
Vick una zinguwa saana. Unaharibu movi
Director uyo Vicky unamfamya anaharibu filamu bhana, anafoka Sana na anapenda kushikilia maneno yaleyale
Courage ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hayah mie wa mwisho 🤭🤭 leo siombi like 😂😂
Nliongoja Sanaa ❤❤❤❤
Jama leo nimecherewa rakin wenzetu kutok bujumbur naomb lik zang ❤❤❤❤❤🎉
Vicky unakera bana ebuaca izoasira zako wendo unaonekana mwenye roho mbaya sasa neno moja kilasiku utafanya tukucukiye sasa
😂😂😂 brown kazi unayo bro Victoria ❤❤❤ from 🇰🇪
Ngojaa tuangalie kwanza😊
Dj chukua hiyo❤❤❤❤❤🎉
Oya bigapu sana
Lakini munachelewa saana kabisa mujitaidi kufanya faster basi ❤❤❤❤❤❤❤
Jamani vic
AISE TUNAOMBA MTULETEEE INAYOFATIA ALFU DAKIKA PLS IKIWEZEKANA ZIONGEZWE
Mnazingua matangazo mengi bwana 👌
Nzuri sana ila Vick anakera abadilike
Thanks tukengoja sana
Embu vick abadilike kumkaushia kumetosha..
Wagombanao ndiyo wapendanao Vicki tunaijua hyo
😅😅😅umeona eeh
Vicky nampenda lakn ndo keshaanza kuniboa
Vick anazingua bhana
ila jamn vick ananikera sana yaan km ajawah kukosea ktk maisha yake
Ni kosa gan lisosameheka hujawahi kosea we viktoria mmmmh mwenzangu 😢
Utafikiri ye ndo alitaka kugongwa
Victory anaaribu sehem nyingine bana
Kazi nzuri upo slow too blood
Saafi sana donta tv kazi zenu nazikubali saana
AK ndugu zamgu kazi mwaijua!, sijui nikusomea au ni talanta.
Jeshi la MTU mmoja
🎉🎉🎉olaaaaaa munaigiza vizuri🎉🎉❤
Watching from kenya nawapenda nyote kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Kazi mzuriiii ongezaa dakikaaaa Mzee
Pia tambua Mkate mbele ya Cai hauna usemi nyoooo, regeza Mama utakuja kujuta,tambua wapo warembo weeeeeengi wazuri zaid yako usifkiriye hajawaona, hio ni bahati tu Mungu kakupa ninakusihi usiyicezei, kunawakati hio ndo yamwisho kwako alafu unaringa mhuuuum
Wa 🇧🇮 🇧🇮 tujuwane kwajiri ya Brown kazizuri kaka❤❤❤
❤❤❤❤❤
napenda❤❤vipindii zenu wow🎉🎉
Asee vick anaharibu
We Vic nawe wapitiliza ad unaharibu hii move 😮😮wakera
Vick musamehe mwenzako mambo yawe sawa
Iko very good ❤❤❤
Vicki Unaaribu move Usiwe iv bwana
Jaman Vick ndo nin kumtemea brown mate wajemen
Kazi nzuri sana ❤❤❤🎉
Uyu Vick naye anajishauwa 😂😂😂😂😂
Vicky anaharibu banaaaa
Nice watching from 🇿🇲
Jamani vicktoria hebu kua muelewa mmmmh sio poa
Amezid kiukwel mpaka ananikera jmn
Kenya Watching
❤❤❤❤😂😂😢😢like you wow 👌 👏 😍
Hicho kipengere Cha vick tumekichokaaaaaaaaa
Ukipendwa pendeka mama Vicky 😂 brown napende tu uchekavyo kama uko na njaa vile❤😂😂😂
Huyu vick n mshenz kwel fyuuuu
😂😂😂hakuna mkate mgumu mbele ya chai🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo
Uyo vick anaboa
Lkin tina jmni wacha tuu😂😂❤❤ hasikii poa
Next plz
Next episode after 2 weeks. 😂😂
Kazi nzuri jamani 🎉🎉🎉