RAMADHANI BROTHERS wasikitishwa kwa jinsi walivyokosa sapoti ya kutosha Tz ''Walisema hatutashinda''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 03. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • Zábava

Komentáře • 43

  • @rajuxcharity
    @rajuxcharity Před 4 měsíci +13

    Apo kwen wandishi sns wapewe tunzo kabisa maaana wenyewe ndo walio fatilia haw vijana na vipaji vingine kuliko tv radio station yoyote

    • @SIZONIZABONGO
      @SIZONIZABONGO Před 4 měsíci

      czcams.com/video/_qTy2ZsTNLE/video.html

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 4 měsíci +4

    yani hao viongozi wa siasa wanasubur watu wafanye vizuri ndio wajitokeze wakat watu wanataka support yao hawaonekani shenzi tyeeep! ovyoo kweli 🫤

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 4 měsíci +2

      Wahovyooo kweli! Waliwakatia ticket kwenda America au ushabiki upuuzi. Raisi dakitali aliwapa shiling ngapi hao vijana lol

  • @samirsaid2087
    @samirsaid2087 Před 4 měsíci +8

    Nchi hii ngumu sanaa.yani kabla ya kushinda walikuwa wakienda uko wakirudi akuna anaewatia moyo hivi.sasa hvi wameshinda ndo wajitokezaa.haya twendeni tutafikaa

  • @casmirymusic
    @casmirymusic Před 4 měsíci

    Tanzania to the word🇹🇿🇹🇿🇹🇿🚀🚀🚀

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 4 měsíci +1

    Wangepata sapoti kubwa, wasingeshinda. Mengine yanahitaji kupigana kwakutumia umasikini sio utajira. Ni kama watoto wenye kuzaliwa ndani ya utajiri wanakua hawana juhudi za kujituma. Hongera vijana kwakupigana. Lakini mambo ya kwamba mpate sapoti kabla ya kua nacho, hapo ndo utajua maneno ya mtaji wa masikini ni nguvu. Wanashukuru Rais sana

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d Před 4 měsíci +3

    Kiukweli mm nimeumia sana pale mwalimu wao apewi mauwa yake kka sky mtefute uyo mwalimu tujue ilikuwaje na aliona nn apo Kwa awo vijana mpka akawaamini sana

  • @mikiothman103
    @mikiothman103 Před 4 měsíci +1

    wallahi yakhe kila wakati kila siku kila seheme anatajwa yy tu kila kitu siasa nchi hii

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Před 4 měsíci +3

    Mchukueni huyo raisi mumpigishe sarakasi kam ataweza 😂

  • @ce-08
    @ce-08 Před 4 měsíci +5

    Sasa Kila mtu anamtaja rais tu hata ambapo atakiwi kutajwa 😂😂😂 Tz bhana

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 4 měsíci +1

    Hongera kwao kwa kweli

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 Před 4 měsíci +6

    Sasa serikali ime saidia nini hawa vijana mpaka kushinda au kazi yao ni kuingilia tuu. Watu wame pambana kivyao, kufanya mazoezi sehemu hatarishi hakuna hata sehemu zilizo tengenezwa ma serikali ili hawa vijana wa serikali kufanya mazoezi.
    Leo hii eti Asante muheshimiwa Raisi.
    Hizo asilimia 10% za mikopo nime hangaika nazo mpakaaaa na sijawahi pata kesho nitoboe alafu kiongozi wa serikali aje eti apongezwe Mheshimiwa raisi oyoooooo nachukua hiyo maiki ya mwandishi habari nakupasulia nayo kichwani....oleeeeeee wakoo

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir Před 4 měsíci

      Gibbs 1320..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chukua🎉🎉🎉

    • @Gojo15123
      @Gojo15123 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂

  • @jojomujinga
    @jojomujinga Před 4 měsíci +4

    Daah acheni siasa vijana wamepambana wenyewe leo ndio mnawaona 😂😂😂

    • @Jibambeshow254k
      @Jibambeshow254k Před 4 měsíci +2

      Wafrica ndio tulivyo hao vijana walipoanza ata hakuna kiongozii waliwasuport ila 😂😂hii ujinga wanafaa wawachee

  • @CrashSaghir
    @CrashSaghir Před 4 měsíci +1

    Big up sn tuliwaombea sn sn maombi yametiki ndipo

  • @emmanuelmnuo549
    @emmanuelmnuo549 Před 4 měsíci +2

    We mama acha akuna lolote we mama mchumia tumbbo madogo wamemepambana FU

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před 4 měsíci +1

    Hongereni sana

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 4 měsíci +2

    Wakatii hawavijana walianza kupambania vipaji vyao hamna ata kiongozii wa serikali aliwaunga mkono alafu sasa eti tushokuru rais mama samia wafrica mbona mnatabia y unafkii aki😏hao vijana wamepambana Wenye hadi hapo walipofika wangefeli hamna hata mtu angewakaribia muache unafkii

  • @suzanetilito8194
    @suzanetilito8194 Před 4 měsíci +1

    Mimi ni mtanzania niliopo gulf niliwapa support toka day one nawaona Australia got talent ujeruman mpk American got talent waseme watz wachache hadi kura nilipiga😢

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 4 měsíci +1

      Wakati huko Bongo wali mute baada ya kushinda ndo kimbele mbele.

  • @Watuwatutz
    @Watuwatutz Před 4 měsíci +3

    Ai tulivyo kuwa tunawaombea washinde

  • @johnphilipo6760
    @johnphilipo6760 Před 4 měsíci +2

    Raisi raisi raisi 😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 4 měsíci +2

      Sasa raisi na Sanaa wamewafanyia nn hao vijana, hovyooooo

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před 4 měsíci +3

    Huyu mama vipi jamani kha! Haoni aibu?

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 4 měsíci +2

      Ndo nashangaa, sijui nani huyu, chawa huyo

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 4 měsíci

    Ila watanzania daah ngoja nisiseme tu

  • @monicacyprian9137
    @monicacyprian9137 Před 4 měsíci +1

    Tatzo wengi wako busy na jua Kali hata hiyo American got talent hawajui ndo ukute wamesikia kupitia hawa vijana

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 Před 4 měsíci +2

    Hivi raisi kahusika nini kwenye ushindi wa hawa jamaa?

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 Před 4 měsíci +1

    Sasa wanachomshukuru Samia kwa lipi?....ujinga ni dhambi kumpa sifa mtu ambaye ajahusika kwa vyovyote,!! Hata waandishi wengi hawakutoa spot yoyote.Mimi nilijua wanashiriki kwa hayo mashindano kupitia kwa @skywalker &SnS

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 4 měsíci

    Mlikua wapi mawaziri😊😊😊

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Před 4 měsíci +4

    Raisi ndo kawafundisha sarakasi kumbe 😂aya bhn ila mnatombwa viongozi wa Tz naipenda nchi yangu iliyojalowa viongozi wengi wa ovyo wakiendeshwa na Rais wake😢

  • @beratsanoo5778
    @beratsanoo5778 Před 4 měsíci +2

    Acha mambo yako we mama,Mpaka watoboe ndo shobo kibao kumanyoko

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 Před 4 měsíci +1

    Hii nchi ina watu wajinga sana hawa siwalikuja hapa sns kuomba michango na hawa wizara walikuwepo

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 4 měsíci

    Mlitoa umitashumta mashuleni na viaanja vya Mipila vyote mkapanda miti kenge nyie

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 Před 4 měsíci

    Mimi nataka kujua hawa ni ndg ama marafiki

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Před 4 měsíci

    Hawajapewa pesa? Ni hiyo tunzo? Jamani wangewapa pesa cash 😩😩😩

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před 4 měsíci +2

      Pesa ni lazma na ni haki ya kila Mshindi. Pesa wamepewa kama kawa.....😂❤🎉

    • @yhasintakalenyula970
      @yhasintakalenyula970 Před 4 měsíci +1

      Wamepata mshiko mrefu sana.