RAMADHANI BROTHERS wasikitishwa kwa jinsi walivyokosa sapoti ya kutosha Tz ''Walisema hatutashinda''
Vložit
- čas přidán 7. 03. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - Zábava
Apo kwen wandishi sns wapewe tunzo kabisa maaana wenyewe ndo walio fatilia haw vijana na vipaji vingine kuliko tv radio station yoyote
czcams.com/video/_qTy2ZsTNLE/video.html
yani hao viongozi wa siasa wanasubur watu wafanye vizuri ndio wajitokeze wakat watu wanataka support yao hawaonekani shenzi tyeeep! ovyoo kweli 🫤
Wahovyooo kweli! Waliwakatia ticket kwenda America au ushabiki upuuzi. Raisi dakitali aliwapa shiling ngapi hao vijana lol
Nchi hii ngumu sanaa.yani kabla ya kushinda walikuwa wakienda uko wakirudi akuna anaewatia moyo hivi.sasa hvi wameshinda ndo wajitokezaa.haya twendeni tutafikaa
Tanzania to the word🇹🇿🇹🇿🇹🇿🚀🚀🚀
Wangepata sapoti kubwa, wasingeshinda. Mengine yanahitaji kupigana kwakutumia umasikini sio utajira. Ni kama watoto wenye kuzaliwa ndani ya utajiri wanakua hawana juhudi za kujituma. Hongera vijana kwakupigana. Lakini mambo ya kwamba mpate sapoti kabla ya kua nacho, hapo ndo utajua maneno ya mtaji wa masikini ni nguvu. Wanashukuru Rais sana
Kiukweli mm nimeumia sana pale mwalimu wao apewi mauwa yake kka sky mtefute uyo mwalimu tujue ilikuwaje na aliona nn apo Kwa awo vijana mpka akawaamini sana
wallahi yakhe kila wakati kila siku kila seheme anatajwa yy tu kila kitu siasa nchi hii
Mchukueni huyo raisi mumpigishe sarakasi kam ataweza 😂
Sasa Kila mtu anamtaja rais tu hata ambapo atakiwi kutajwa 😂😂😂 Tz bhana
Isku hizi kila mtu chawa
Hongera kwao kwa kweli
Sasa serikali ime saidia nini hawa vijana mpaka kushinda au kazi yao ni kuingilia tuu. Watu wame pambana kivyao, kufanya mazoezi sehemu hatarishi hakuna hata sehemu zilizo tengenezwa ma serikali ili hawa vijana wa serikali kufanya mazoezi.
Leo hii eti Asante muheshimiwa Raisi.
Hizo asilimia 10% za mikopo nime hangaika nazo mpakaaaa na sijawahi pata kesho nitoboe alafu kiongozi wa serikali aje eti apongezwe Mheshimiwa raisi oyoooooo nachukua hiyo maiki ya mwandishi habari nakupasulia nayo kichwani....oleeeeeee wakoo
Gibbs 1320..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂chukua🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂
Daah acheni siasa vijana wamepambana wenyewe leo ndio mnawaona 😂😂😂
Wafrica ndio tulivyo hao vijana walipoanza ata hakuna kiongozii waliwasuport ila 😂😂hii ujinga wanafaa wawachee
Big up sn tuliwaombea sn sn maombi yametiki ndipo
We mama acha akuna lolote we mama mchumia tumbbo madogo wamemepambana FU
Hongereni sana
Wakatii hawavijana walianza kupambania vipaji vyao hamna ata kiongozii wa serikali aliwaunga mkono alafu sasa eti tushokuru rais mama samia wafrica mbona mnatabia y unafkii aki😏hao vijana wamepambana Wenye hadi hapo walipofika wangefeli hamna hata mtu angewakaribia muache unafkii
Mimi ni mtanzania niliopo gulf niliwapa support toka day one nawaona Australia got talent ujeruman mpk American got talent waseme watz wachache hadi kura nilipiga😢
Wakati huko Bongo wali mute baada ya kushinda ndo kimbele mbele.
Ai tulivyo kuwa tunawaombea washinde
Raisi raisi raisi 😂
Sasa raisi na Sanaa wamewafanyia nn hao vijana, hovyooooo
Huyu mama vipi jamani kha! Haoni aibu?
Ndo nashangaa, sijui nani huyu, chawa huyo
Ila watanzania daah ngoja nisiseme tu
Tatzo wengi wako busy na jua Kali hata hiyo American got talent hawajui ndo ukute wamesikia kupitia hawa vijana
Hivi raisi kahusika nini kwenye ushindi wa hawa jamaa?
Sasa wanachomshukuru Samia kwa lipi?....ujinga ni dhambi kumpa sifa mtu ambaye ajahusika kwa vyovyote,!! Hata waandishi wengi hawakutoa spot yoyote.Mimi nilijua wanashiriki kwa hayo mashindano kupitia kwa @skywalker &SnS
Mlikua wapi mawaziri😊😊😊
Raisi ndo kawafundisha sarakasi kumbe 😂aya bhn ila mnatombwa viongozi wa Tz naipenda nchi yangu iliyojalowa viongozi wengi wa ovyo wakiendeshwa na Rais wake😢
Acha mambo yako we mama,Mpaka watoboe ndo shobo kibao kumanyoko
Hii nchi ina watu wajinga sana hawa siwalikuja hapa sns kuomba michango na hawa wizara walikuwepo
Mlitoa umitashumta mashuleni na viaanja vya Mipila vyote mkapanda miti kenge nyie
Mimi nataka kujua hawa ni ndg ama marafiki
Walikutana mazoezi
Hawajapewa pesa? Ni hiyo tunzo? Jamani wangewapa pesa cash 😩😩😩
Pesa ni lazma na ni haki ya kila Mshindi. Pesa wamepewa kama kawa.....😂❤🎉
Wamepata mshiko mrefu sana.