WHO TF DID I MARRY? Simulizi ya MASAA 5 inayotikisa TIKTOK, Mwanamke asimulia alivyoolewa na TAPELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...
  • Zábava

Komentáře • 62

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 Před 6 měsíci +7

    Hii dunia ina mambo mengi sana, fake love, very sad story

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 Před 6 měsíci +8

    The likes of Abdrazak & Diva😂😂

  • @HansChuma
    @HansChuma Před 6 měsíci +4

    Nikweli niupuuz mtupu mm naona for this moment there's much fake life kwan wanaake ndio wakwanza so mm naona kawaida ila tu imekua Story kubwa cz nimwanamke anaongea.....

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před 6 měsíci +3

    She met a really narcissist! Watu waivo hawana huruma hata chembe, hawana mapenzi ya kweli, cheaters, manipulators, hawaoni makosa yao never ever! Ukikutana na mtu wa ivo jiandae na depression n years of a living hell! Ask me, i have been through that hell!

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 Před 6 měsíci +1

      They know how to manipulate and care about themselves been through that pia kwakwel nkaona bora nijitoe kabla hatujapiga hatua ya ndoa asee ni mateso jaman huna raha unacontroliwa mawivu yasiokuwa na maana🙌

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 6 měsíci

      Sad indeed. Yaani zile red flags alizipuuzia sababu ya wishful thinking kuwa kapata mime bora na spoiler...Imagine hadi anaenda kupanga nyumba na kutafuta kazi ya pili ili apate pesa za kutosha? Desperation ni mbaya jamani! Thanks goodness kuwa aliamua akamfukuza

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před 6 měsíci

    Thanks alot sky muda wa kufuatilia sikupata but u got us big up sana love from Mombasa kenya

  • @nashaissa3804
    @nashaissa3804 Před 6 měsíci +3

    God job Fred nilitamani sana nipate summary yake.

  • @noel3290
    @noel3290 Před 6 měsíci +1

    Thanks for watching sky. I couldn’t finish it 🤣this helps alot

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 Před 6 měsíci +2

    Pole Yake MUNGU AMTETE SANAAA

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 Před 6 měsíci +3

    Nimefatilia mpaka silali 😊

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 Před 5 měsíci

    pata muda uangalie Movie ya Tinder Swindler ndo utujue vizuri tulivyo, na ni true story..yule ndo noma sasa...jamaa alicheza nao kama wanne ivi kwa wakat mmoja, hela za huyu zinamlea huyu na huyu akitoa hela zinaenda huku, jamaa noma sana,

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 6 měsíci +17

    Tatizo kwenye ndoa mwanaume hua haongei, hivyo akiongea mwanamke tunakua tunahukumu, tuwe tunasikiliza na upande wa mwanaume pia

    • @caesar7745
      @caesar7745 Před 6 měsíci +1

      Umesema kweli wanume wanakaa kimya.

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Před 6 měsíci +1

      Sawa ila hapa tatizo ni mwanaume. He is a narcissist! Ni ngumu sana kumbadilisha mtu waivo, kwa kifupi ni impossible

    • @Boaz22
      @Boaz22 Před 6 měsíci +3

      ​@vanessalaizer4363 unawezaje kusema tatizo ni mwanaume wakati hujasikiliza the other part of the story?? Huyo mwanaume hajaongea, hatujui pia matatizo ya huyu dada, huenda reaction imetokana pia na upande wa huyu dada, why judging the man wakati hajaongea chochote?? You see, this is why I keep on saying, we have to measure and judge after hearing both sides, why everything as a blame atupiwe mwanaume bila kumsikiliza, why completely defending a woman just because of her gender and not listening to the man?? This is why men die earlier, the society doesn't want to listen to us, the whole society just want to judge and blame men,. STOP THAT🙌

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 Před 6 měsíci

      ​@@Boaz22 tatzo uonevu mwingi kwenye ndoa unasababishwa na wanaume.. Ndo mana hata ikitokea mwanamke ni muonevu lazima mwanaume atupiwe jicho kwanza. Ndio inafaa kusikilizwa both sides, lakn pia wakat wa kusikilizwa wanaume tena wanapewa usikivu zaidi kuliko wanawake. Kwahyo zinaibuka kauli, kwasabab me ni mwanamke ndo mana sjaskilizwa, ivo yaan... 😢

    • @chiccynaturaldamnhot877
      @chiccynaturaldamnhot877 Před 5 měsíci

      Are you serious 😂😂😂

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 6 měsíci

    When i grew up, i wanna be like Legend...

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Před 6 měsíci

    Wanawake wanapenda kudanganywa na wakidanganywa vizuri wakigundua wanarudi kulalamika

  • @michaelvonsider3412
    @michaelvonsider3412 Před 6 měsíci +3

    Brother sky naomba siku Moja uje umuelezee jamaa anaitwa ANDREW TATE

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 Před 6 měsíci

      Yule anayejiita Alfa man!! Ana criminal record ya kutosha. Dunia ya leo si ya kukandamiza wanawake. Alitakiwa azaliwe 1824 😠

    • @michaelvonsider3412
      @michaelvonsider3412 Před 6 měsíci

      @@joycekisamo4896 yeah nataman kumjua zaiid sema Kila makala nayoipata ni ya kingereza af lugha changamoto

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 6 měsíci

    Thank you for sharing your experience

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 Před 6 měsíci

    Sky walker kazi nzuri sana

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 Před 6 měsíci +2

    Ligendi kama Legendiii😅

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov Před 6 měsíci +3

    Picha linaanza,,mwamba anaitwa LEGEND....! Alafu mwanamke bado hakushtuka😅😅😅

    • @erycah
      @erycah Před 6 měsíci

      Mbona kawaida kwao, kuna hata mwanamziki anaitwa john Legend, na haitamkwi kama vile sisi tunavyotamka

    • @chiccynaturaldamnhot877
      @chiccynaturaldamnhot877 Před 5 měsíci

      Anaitwa Legion sio Legend

  • @MamboSuper
    @MamboSuper Před 6 měsíci +5

    sky izi ndohabari tunataka hapana news za mwambino mana sisi tulishagajuwa ni muze wa Kiki

  • @dadyjo_
    @dadyjo_ Před 6 měsíci

    Movie kali hii

  • @jennet6484
    @jennet6484 Před 6 měsíci

    😂😂lisa hujafikia hata robo ya matukio yangu nikielezea kidogo tu BBC watataka interview na mimi

  • @lizzygabriel9601
    @lizzygabriel9601 Před 6 měsíci +1

    Hii story imenikumbusha yangu, kuna wakati nikikumbuka nacheka sana daaah 😂😂😂

    • @victorburser1717
      @victorburser1717 Před 6 měsíci

      Ilikukuta ukiwa wapi wewe?

    • @lizzygabriel9601
      @lizzygabriel9601 Před 6 měsíci

      @@victorburser1717 Bongo tu Arusha, watu wa hivyo ni very manipulative yaani anavyokua unamuamini tena na tena

    • @victorburser1717
      @victorburser1717 Před 6 měsíci

      Hapo unazani kisababishi zaidi ni nini?

    • @victorburser1717
      @victorburser1717 Před 6 měsíci

      Tatizo kubwa ni uhitaji pale mtu unapokua Kuna kitu wakihitaji alafu ukakutana na mtu ukaona anaweza ku deliver au kuanacho kile unacho kihitaji amin kwamba ni rahisi sana mtu kuingiwa imani ya kuamin Kwa mtu huyo na huto pata hisia za kuhisi kudanganywa mapema

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 6 měsíci

      Hii story kama inataka kunifungua macho vile. Mpenzi wangu alisema meneja wa.....baadae akasema kashimamishwa kazi. Baadae akasema muda wa kusimamishwa umeisha lakini haitaki tena kazi.tukiwa ktk kuxoeana bado nikamwambia anipeleke anakoishi. Akasema yupo nyumba ya kampuni akihamia pengine atanipeleka. Baadae akasema ana biashara fulani hivi. Mara siku akajipiga mzinga akasema nimpatie pesa ya kupangia nyumba maana account yk blocked. Nikagoma. Kuna siku akatuma picha yuko mkoa fulani akasema house ni yk nikampa congratulations. Siku nikarejea tz rikizo akakwepa nipeleka kwake akasema si poa................nina mengii maana kila nikitaka kumuacha naona hanielewi sasa mtu kama hataki kuachika usiforce fanya taratibu ili yasitokee madhara ila wangu na huyu hawachekani nae tapeli

  • @lodvee1717
    @lodvee1717 Před 6 měsíci

    SI ASHUKURU HATA KWA TAIRI ALIYONUNULIWA?😂No formular...Hayo yote aliyoahidiwa kuna wanawake wanayafanya kwa wanaume zao with all respect

  • @Juleseilondja
    @Juleseilondja Před 5 měsíci

    🔥🔥🔥🔥🔥💫💫💫💫💫💫

  • @Chansantana
    @Chansantana Před 6 měsíci

    This world is going to take an end..

  • @dougherty8732
    @dougherty8732 Před 6 měsíci +1

    ayee!!

  • @shufwaaofficialtv1306
    @shufwaaofficialtv1306 Před 6 měsíci

    I'm happy kuona story hii iko hapa, hii sehemu ya ngapi?

  • @pabloescober6709
    @pabloescober6709 Před 6 měsíci

    Hiii kwenye chupo ata Mimi siwez kuacha

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 Před 6 měsíci

    wanaume sio malaika jiongezeni basi mtalia mpaka mwisho wa dunia

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 Před 6 měsíci

    Kama vipi tuletee na vipindi vya sitosahau kama vile vilivyokuwa vikirushwa RFA

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 6 měsíci +1

    Inabidi uwe unatuwekea na muendelezo

  • @user-oe8ef4xm3r
    @user-oe8ef4xm3r Před 6 měsíci

    Sass sky mbona unatuekea akiongea kingereza huyo dada wakati hatuelewi lugha

    • @noel3290
      @noel3290 Před 6 měsíci

      Kwa English mwanzoni alisema walikutana kwa njia gari likikua limeharibika. Jamaa aka msaidia kutengeneza gurudumu. Hivo akamlipia pia. Halafu sasa akamshika mkono akamwambia, anataka kuoa kwa sababu wazazi wake walikua wameolewa for 40 plus years labla mamake akufe. Ivo basi akamuuliza, je we unataka nini? Dem akasema, ata yeye anataka ndoa. So kwa sababu ya corona hio ndoa hingekua possible, na ahadi nyingine za kununua jumba etc. haya basi Kiswahili kigumu . Nimeshindwa kuendelea

  • @Askari22
    @Askari22 Před 6 měsíci

    Wanawake mtulie sasa mjuwe sula si loho

  • @hayden6752
    @hayden6752 Před 4 měsíci

    ❣️ "Promo SM"

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 6 měsíci

    Disappointed