ATHARI YA TOHARA NA MAHARI KWENYE MAHUSIANO NA WAZUNGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 34

  • @shelaabdu7155
    @shelaabdu7155 Před 6 měsíci +2

    Asante sana kwa Elimu nzuri 🙏❤️🔥

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 6 měsíci +3

    Ni kweli kabisa,mume wangu aliniambia alifanyiwa Tohara akiwa mtoto Mama yake alimwambia kuwa alikuwa akiugua utotoni so akamfanyia Tohara lakini yeye anasema hakupenda coz anaona kama alifanyiwa ukatili so😊 basi huwa me nafurahi yeye anaona alionewa😅 ila yuko pouwa sana yani❤

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 6 měsíci +3

    Akili kubwa Mungu akubariki Shena

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Před 6 měsíci +4

    Me kuoa bila mahari naona kama bado sijaoa. Raha ya kuoa Utolewe upepo kidogo ili kujipima kama utamudu majukumu😂😂😂. Lakini Kama ulivyosema inatakiwa iwe reasonable sio kukomoana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 6 měsíci +3

    Shena big brain kabisa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 6 měsíci +3

    Mimi nilikataa mahari mwenyewe, sikutaka kujisikia kama nauzwa.,nilitaka wazazi wangu wasaidike kila mara wanapohitaji msaada wetu. Na kwa upande wangu nilijihisi free.

  • @felisterjames5859
    @felisterjames5859 Před 6 měsíci +3

    Hata Yesu aifanyiwa tohara

  • @moana4987
    @moana4987 Před 6 měsíci +1

    Govinda Govinda Govinda I’m singing

  • @nafuwswedi2465
    @nafuwswedi2465 Před 6 měsíci +2

    Mweee Shena Mdogo wangu wazungu kweli wanamagovi,Mimi kijana wangu nilimpo mzaa nikwamwambia baba yake tumtahiri mtoto,alikataa kabisa basi nilipokwenda nyumbani sasa baba yangu alipomuona mjukuu wee aliniambia kesho huyu lazima atailiwe,nikamwambia baba sasa unanitafitia kesi na mzungu,basi kijana alitahiliwa Tanzania,na alikuwa bado Mdogo,basi tuliporudi Switzerland mbona karibu nipewe taraka ,mzungu alikasirika mno yaani,Leo hii kijana wangu mkubwa ananishukuru sana🙏🏾

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 Před 6 měsíci

      sio wazungu wote, ila nime ona sana wazungu wa ulaya wengi wao hawaja pewa tohara. ila wazungu wengi wa marekani wamefanyiwa tohara, japo wapo ambao hawaja fanyiwa hata weusi unakuta wapo ambao hawajafanyiwa.

    • @nafuwswedi2465
      @nafuwswedi2465 Před 6 měsíci

      @@sleeprelaxation8431 Yes wa Ulaya wengi tu👍🏾

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 6 měsíci +3

    Shena my mwanamke anakeketwa mwanaume ndo anafanyiwa tohara

  • @jumaiddy-jm5wo
    @jumaiddy-jm5wo Před 6 měsíci +3

    Marekani wanajitahidi sana kwenye hili suala la tohara. Watoto huwa wanafanyiwa siku chache baada ya kuzaliwa hospitali. Kiasi kwamba watoto wengi wanafikiri wamezaliwa hivyo.

    • @Pattyneema
      @Pattyneema Před 6 měsíci

      Ni kweli wamarekani wanajitajitahid sana kwa asilimia kubwa tofauti na Europe

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 6 měsíci +1

    Kuna mmoja aliuliza kwani wanaume wa Kiafrika hawajui kujisafisha au ni maji hakuna ndiyo maana wanafanyiwa tohara?😂😂

  • @user-yz1lg1mv8p
    @user-yz1lg1mv8p Před 6 měsíci +2

    😂😂😂😂weee Shena KO jamaaazetu bado Wana mikono ya Sweta duuuh hatar kwakweli dada km. Nimekutan na mtu mm huyo na mm sipend jins alivyo nawezaj mwambia Afanye tohar??

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 Před 6 měsíci

    Mpaka serikali ya South iafrica metowa muongozo watu wawe wanafanyiwa thohara kwasababu inapunguza magonjwa ndani ya jamii

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 Před 6 měsíci +1

    Tohara Ujeremani ni haramu na tena ni kosa la jinai labla dokta ajirizishe ndio unaruhusiwa kufanya

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 6 měsíci +1

    Hee sasa mimi niliamini tohora ilianzia kwenye Uislamu😅

  • @Pattyneema
    @Pattyneema Před 6 měsíci

    Wamarekani wao wana tohara, nafikiri Europe ndo ambao hawana tohara

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 6 měsíci +1

      Ni baadhi wenye tohara
      Sio wote kipenzi

    • @Pattyneema
      @Pattyneema Před 6 měsíci +2

      @@OfficialDatingAssistance asilimia kubwa ya wamarekani wapo na tohara wengi kulinganisha na Europe asilimia chache dear

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před 6 měsíci +1

    Mume wangu andaa milion 10 zangu, stak kelele😂😂