Inasikitisha sana kuona Mtanzania anaipenda Tanzania lkn Tanzania haimpend Mtanzania 😢 jaman hta bendera tu ya Taifa hkuna co uzarendo hta kdogo mapokez fek hayo kwa Watu wanaolitangaza Taifa kwa Jasho na Dam hao ni Makomando wa kujitegemea
Shida yetu nabii hakubaliki kwao mpaka wizara za sana hii kauli wanayo mnasapoti matokeo sio vipaji mpaka saivi tanzania sio ya kuwa na team ile ya Taifa stars
Kwa walichokifanya na mapokezi yao hayaridhishi mama vunja ilo kundi la wahuni nilichotarajia na kilichotokea tofauti acheni roho mbaya tengeni bajeti kwaajili yao acheni upigaji
Nimekuja kugundua watanzania nia wanafiki kuanzia kwa viongozi wetu mpka wananchi wenye wakati hao jamaa wanapambana ni media chache zilikuwa zikiwapost na kuna baadhi wa watanzania walidiliki kuwaambia awatoboi leo wametoboa ndo wanaonekana kuwa mashujaaa
tatizo viongozi wanaunga mkono matokeo na cyo mchakato
Braza umeongea kwa hekima sana na ni ukweli mtupu
🔥🔥🔥
Kabisa yani. Wengine wakiomba bendera kabla ya kwenda wananyimwa. Ila wakirudi shobo kibao
Kaka uko vzurii sanaa.tz viongoz Awana fkraa
Hii nchi wapigaji wengi yaani hili ni kama kundi la wahuni tu
Inasikitisha sana kuona Mtanzania anaipenda Tanzania lkn Tanzania haimpend Mtanzania 😢 jaman hta bendera tu ya Taifa hkuna co uzarendo hta kdogo mapokez fek hayo kwa Watu wanaolitangaza Taifa kwa Jasho na Dam hao ni Makomando wa kujitegemea
Wamevishwa alama ya bendela ya Taifa shingoni
Ata maandalizi hayalidhishi kabisa dah inch hii bhana umeme shida sana
Take your Roses💐 The Ramadhan Brothers
Waongezewe milion500
Congratulations u guys were so good...
We need more of this! Kuiletea heshima nchi yetu. Hongereni sana
Shida yetu nabii hakubaliki kwao mpaka wizara za sana hii kauli wanayo mnasapoti matokeo sio vipaji mpaka saivi tanzania sio ya kuwa na team ile ya Taifa stars
Hongera brother
Hongera sana mwana FA tunaona juhudi zako
Good ramadhani brother
Kwa walichokifanya na mapokezi yao hayaridhishi mama vunja ilo kundi la wahuni nilichotarajia na kilichotokea tofauti acheni roho mbaya tengeni bajeti kwaajili yao acheni upigaji
Hongereni sana
Hongereni Sana
Mama Samia sema kitu kwa watu wawili tu hii ni zaidi ya magoli
Vizuri sana Ramadhani
Hongera sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Ooi wakwanza jman ndg zang
👏👏👏
Hongeren san watoto wetu
❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉👏👍
Nimekuja kugundua watanzania nia wanafiki kuanzia kwa viongozi wetu mpka wananchi wenye wakati hao jamaa wanapambana ni media chache zilikuwa zikiwapost na kuna baadhi wa watanzania walidiliki kuwaambia awatoboi leo wametoboa ndo wanaonekana kuwa mashujaaa
Na sidhani kama hata waliwaunga mkono kwenye wakiwa kwenye harakati za mafunzo
Nina
Hta mm na mdogo ang tunapiga sarakasi kam wao
😂😂😂
Kaza kamba dogo ipo siku nanyie jua litawaangazia
Ivi wasanii wengine wamusic Huwa wanapokelewa kiheshima kama Hawa??
Waliihitaji sapoti yetu sana sema Watanzania wapo busy na Connection 💔
Mama hatawaacha kbs ukulu kula ubwa2😂
Hivi hawa viongozi wamefata nini hapo su washazoea kupongeza amapiano tu
Chawa washakuwa wengi ila wakati wanajipambania walikuwa pekeyao
Sana chawa wngi Kisenge balaa
Mi natamani kujua TRA wamepata shilling ngapi kwenye million 600 ya watu walio piga harakati za kuvunja shingo
Wooyoo mpkaa unahisii kiraha moyoni
SAAAAAAAAN KBSAAAAAA
Mmeipambania nchi yetu
Mkuu wa wilaya ya mjini Zanzbar anawaona wamasai hao ati wasitembee na Simen Never Ever
Naomba kuuliza huu ndy uwanja mpya au ule wa zamani?😢
Wapeni hela hivi hayo mauwa waNayowapa yanaliwa mauwa wapelekewe nyuki. Hawa wapewe hela
Hapo watatozwa tozo😅😅😅😅
Wqjiqndae kupigwa za kichwa tozooo😅
Hao viongoz wanapigia makofi hizo pesa mara utawasikia Kuna maskani Songea haijamalizwa kujengwa tuchukue pesa hizi wabaya hao kwa pesa
😂😂😂😂
Hawachukui
Hamna kitu hapo watu wamepambana vile halafu eti hayo ndo mapokezi yao
Nacheka km mazuri😂😂😂
Nahis km TRA wanajiandaa na tozo juu hizo hela
Unafiki ndio kitu Viongozi wameshindwa kuacha
Yani ata maandalizi yakijinga ivi dah Tanzania bhana
Ataulaya pia wanapokea matokeo coz hua hawana iman
Viongozi wa ngazi husikani mda sasa wa kuandaa mzingira ya michezo sio tusbirie wana fanikuwa vjana wetu ndio tujumuike nao
Viongoz wanafiki toka hao jamaa wanapambana wameshinda ndo viongoz wanaonekana
Sasa mama samia oye kivip 😒
wakati wanaondoka mlikuwa wapi?😂😂
Yn mm nisingewambia narud lin tz🥹
😂😂😂😂😂😂