VIDEO: SHUHUDIA RAMADHANI BROTHERS WALIVYOPOKELEWA KWA HESHIMA UWANJA WA NDEGE DSM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 03. 2024

Komentáře • 66

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Před 4 měsíci +31

    tatizo viongozi wanaunga mkono matokeo na cyo mchakato

    • @toshirohitsugaya6421
      @toshirohitsugaya6421 Před 4 měsíci +1

      Braza umeongea kwa hekima sana na ni ukweli mtupu

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui Před 4 měsíci

      🔥🔥🔥

    • @chumadede6351
      @chumadede6351 Před 4 měsíci +1

      Kabisa yani. Wengine wakiomba bendera kabla ya kwenda wananyimwa. Ila wakirudi shobo kibao

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Před 4 měsíci +1

      Kaka uko vzurii sanaa.tz viongoz Awana fkraa

    • @mkanyafamily
      @mkanyafamily Před 4 měsíci +1

      Hii nchi wapigaji wengi yaani hili ni kama kundi la wahuni tu

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 Před 4 měsíci +6

    Inasikitisha sana kuona Mtanzania anaipenda Tanzania lkn Tanzania haimpend Mtanzania 😢 jaman hta bendera tu ya Taifa hkuna co uzarendo hta kdogo mapokez fek hayo kwa Watu wanaolitangaza Taifa kwa Jasho na Dam hao ni Makomando wa kujitegemea

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před 4 měsíci

      Wamevishwa alama ya bendela ya Taifa shingoni

    • @phare_tz4734
      @phare_tz4734 Před 4 měsíci

      Ata maandalizi hayalidhishi kabisa dah inch hii bhana umeme shida sana

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Před 4 měsíci +2

    Take your Roses💐 The Ramadhan Brothers

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 4 měsíci +4

    Waongezewe milion500

  • @rahabnyambura688
    @rahabnyambura688 Před 4 měsíci

    Congratulations u guys were so good...

  • @franknyanda4164
    @franknyanda4164 Před 4 měsíci

    We need more of this! Kuiletea heshima nchi yetu. Hongereni sana

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 Před 4 měsíci

    Shida yetu nabii hakubaliki kwao mpaka wizara za sana hii kauli wanayo mnasapoti matokeo sio vipaji mpaka saivi tanzania sio ya kuwa na team ile ya Taifa stars

  • @taibually8642
    @taibually8642 Před 4 měsíci

    Hongera brother

  • @afreytonemajidi6909
    @afreytonemajidi6909 Před 4 měsíci

    Hongera sana mwana FA tunaona juhudi zako

  • @saididodi3988
    @saididodi3988 Před 4 měsíci

    Good ramadhani brother

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily Před 4 měsíci +1

    Kwa walichokifanya na mapokezi yao hayaridhishi mama vunja ilo kundi la wahuni nilichotarajia na kilichotokea tofauti acheni roho mbaya tengeni bajeti kwaajili yao acheni upigaji

  • @gervaskasala7321
    @gervaskasala7321 Před 4 měsíci

    Hongereni sana

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Před 4 měsíci

    Hongereni Sana

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 4 měsíci +1

    Mama Samia sema kitu kwa watu wawili tu hii ni zaidi ya magoli

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 4 měsíci

    Vizuri sana Ramadhani

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před 4 měsíci

    Hongera sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g Před 4 měsíci +3

    Ooi wakwanza jman ndg zang

  • @FBESWAHILI
    @FBESWAHILI Před 4 měsíci

    👏👏👏

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 4 měsíci

    Hongeren san watoto wetu

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 4 měsíci

    ❤❤❤🎉🎉🎉👏👍

  • @hot_news-
    @hot_news- Před 4 měsíci +2

    Nimekuja kugundua watanzania nia wanafiki kuanzia kwa viongozi wetu mpka wananchi wenye wakati hao jamaa wanapambana ni media chache zilikuwa zikiwapost na kuna baadhi wa watanzania walidiliki kuwaambia awatoboi leo wametoboa ndo wanaonekana kuwa mashujaaa

    • @jenahando2747
      @jenahando2747 Před 4 měsíci

      Na sidhani kama hata waliwaunga mkono kwenye wakiwa kwenye harakati za mafunzo

  • @AminaOmary-dk7oi
    @AminaOmary-dk7oi Před 3 měsíci

    Nina

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt Před 4 měsíci +3

    Hta mm na mdogo ang tunapiga sarakasi kam wao

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před 4 měsíci +1

    Ivi wasanii wengine wamusic Huwa wanapokelewa kiheshima kama Hawa??

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 4 měsíci

    Waliihitaji sapoti yetu sana sema Watanzania wapo busy na Connection 💔

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 4 měsíci

    Mama hatawaacha kbs ukulu kula ubwa2😂

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 4 měsíci +1

    Hivi hawa viongozi wamefata nini hapo su washazoea kupongeza amapiano tu

  • @kamwendotv7203
    @kamwendotv7203 Před 4 měsíci +1

    Chawa washakuwa wengi ila wakati wanajipambania walikuwa pekeyao

  • @SalminMkwachu
    @SalminMkwachu Před 4 měsíci

    Mi natamani kujua TRA wamepata shilling ngapi kwenye million 600 ya watu walio piga harakati za kuvunja shingo

  • @MerlinDragon-nq8jc
    @MerlinDragon-nq8jc Před 4 měsíci

    Wooyoo mpkaa unahisii kiraha moyoni

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 4 měsíci

    Mmeipambania nchi yetu

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 4 měsíci

    Mkuu wa wilaya ya mjini Zanzbar anawaona wamasai hao ati wasitembee na Simen Never Ever

  • @Official83640
    @Official83640 Před 4 měsíci

    Naomba kuuliza huu ndy uwanja mpya au ule wa zamani?😢

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 4 měsíci

    Wapeni hela hivi hayo mauwa waNayowapa yanaliwa mauwa wapelekewe nyuki. Hawa wapewe hela

  • @brightnessmmbando3458
    @brightnessmmbando3458 Před 4 měsíci +1

    Hapo watatozwa tozo😅😅😅😅

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před 4 měsíci +1

    Hao viongoz wanapigia makofi hizo pesa mara utawasikia Kuna maskani Songea haijamalizwa kujengwa tuchukue pesa hizi wabaya hao kwa pesa

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 Před 4 měsíci

    Hamna kitu hapo watu wamepambana vile halafu eti hayo ndo mapokezi yao

  • @Official83640
    @Official83640 Před 4 měsíci

    Nacheka km mazuri😂😂😂

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Před 4 měsíci

    Nahis km TRA wanajiandaa na tozo juu hizo hela

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 4 měsíci

    Unafiki ndio kitu Viongozi wameshindwa kuacha

  • @phare_tz4734
    @phare_tz4734 Před 4 měsíci

    Yani ata maandalizi yakijinga ivi dah Tanzania bhana

  • @abdulazizimashaka3275
    @abdulazizimashaka3275 Před 4 měsíci

    Ataulaya pia wanapokea matokeo coz hua hawana iman

  • @user-mc4kj1hy7v
    @user-mc4kj1hy7v Před 4 měsíci

    Viongozi wa ngazi husikani mda sasa wa kuandaa mzingira ya michezo sio tusbirie wana fanikuwa vjana wetu ndio tujumuike nao

  • @Vedax_mashauri
    @Vedax_mashauri Před 4 měsíci

    Viongoz wanafiki toka hao jamaa wanapambana wameshinda ndo viongoz wanaonekana

  • @mamume710
    @mamume710 Před 4 měsíci

    Sasa mama samia oye kivip 😒

  • @MichaelJoseph-uc4zk
    @MichaelJoseph-uc4zk Před 4 měsíci

    wakati wanaondoka mlikuwa wapi?😂😂

  • @mariamrindoko8064
    @mariamrindoko8064 Před 4 měsíci

    Yn mm nisingewambia narud lin tz🥹