🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ZUBEDA SEHEMU YA 10 - MARCH 08 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ZUBEDA SEHEMU YA 10 - MARCH 08 2024
    Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
    -
    Follow Us On:
    INSTAGRAM:
    efmtanzania
    TWITTER:
    efmtanzania
    FACEBOOK:
    efmtanzania

Komentáře • 86

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Před 5 měsíci +15

    Inaumiza sanaa kweli ndani ya ndoa kuna mengi wallah

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 5 měsíci

      Msichana wangu anaogopa hata kuolewa 😂! Yaani shetani anashambulia sana ndoa

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Před 5 měsíci

      Ndoa si mchezo

  • @khorima
    @khorima Před 5 měsíci +5

    Pole sana dada Zubeda
    Mwenyezi Mungu atakulipia huu ubaya wanaokufanyia mama mkwen na wifi yako
    Ni kwanini watu hawawaaachi wanandoa wakaishi kwa amani bila kuwaingilia????

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 5 měsíci

      Umaskini tu, unazani mke WA Mo Dewji anapitia haya?
      Elimu ndogo na umaskini ni kitu kibaya sana

  • @user-tj1bo6hg4c
    @user-tj1bo6hg4c Před 5 měsíci +2

    Dada Veronika nakupenda mno Leo nimekufata you tube kalizia ledio ilizima mm naitwa magreth Joseph natokea kivule kwa teacher ❤

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Před 5 měsíci +8

    😂😂😂😂et nanuka kimbuzi mbuzi wallah mchawi mt mbaya sanaaa😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 5 měsíci

      Nasemaga afrika Moto ni Moto kweli wasipokuweza Kwa hili wanakutafutia lile

  • @user-gq4by8gk1e
    @user-gq4by8gk1e Před 5 měsíci +9

    Hata mimi nilipitiya hayo

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 Před 4 měsíci

    KUMBUKUMBU LA TORATI 18:10-12 Mungu Mweza yote AMEKATAZA hata iwe nini kutoruhusu jambo ambalo nitakasirisha Muumba wangu👌

  • @rizzymitchell
    @rizzymitchell Před 5 měsíci +1

    Story ya Zu Na yangu is exactly same as mine, the difference is Mimi sikuenda Kwa mganga , I left Na Mungu Ni Nani Aki, kiboko alicho kipata ,yeye ndio anajua. But I have moved on ,no going back

  • @MuheberaWilly-kh2bw
    @MuheberaWilly-kh2bw Před 5 měsíci +2

    Jambo dadayangu Mimi ninaishi marekani lakini Mimi mukongomani ninawapenda saaaaana

  • @joymumena2287
    @joymumena2287 Před 5 měsíci +1

    Sijui hatma yake ila sijafurahishwa na yeye kwenda ugangani, kwani uganga uwa una mwisho. Ni heri ubaki na mungu kwani kwake hakuna kinacho shidikana

  • @user-pp1gz1qt1o
    @user-pp1gz1qt1o Před 5 měsíci +4

    😢 nimependa hii simuliz by masanja

  • @jacobmwandenga3364
    @jacobmwandenga3364 Před 5 měsíci +3

    Kuna mtu aliwahi kuniambia kwenye dunia hii unatakiwa kusimama upande mmoja Kwa maana kama umeamua kumwamini Mungu simama kweli kweli na Mungu na kama unazingua zingua kweli kweli haya maisha aiseee😂😂😂😂

  • @abdulsalim1069
    @abdulsalim1069 Před 5 měsíci +4

    1:40 ZUO nakuxubir ucninyime namba ya mganga nampenda Vero nataka aje anicmilie nyumban🤣🤣

    • @user-uu6ei1ys3k
      @user-uu6ei1ys3k Před 5 měsíci +1

      😂😂😂😂😂😂Mke wa mtu sumu

    • @abdulsalim1069
      @abdulsalim1069 Před 5 měsíci

      @@user-uu6ei1ys3k nyumban nina maziwa 🤣🤣

  • @user-eo2pu3oz3q
    @user-eo2pu3oz3q Před 5 měsíci

    pongezi nyingi nakupa dada ukonjema sn Mungu akuzidishie kila la kheri inshallah

  • @nashwaaabdullah3412
    @nashwaaabdullah3412 Před 5 měsíci +2

    Yan da Vero muda mukubwa zuu anasema zuuu anasema af huendelei unatoa hubiri af unaeka tangazo yaan kam huelew unaongea nin matangazok toooooo much tunatumia mb bora kam zaman unaeleza story vizur ila siku hizi mahubiriiii anasema anasema tangazooooo khaaa😢 @efm😭😭😭😭😭 af unajivutaaaaaaaa sanaaaaaaaaa unatafsiriiiii sanaaa tunaelewaaa sisi dah yaan story ya wiki siku hizi unahadisia mwezi

  • @khadijasenkondo
    @khadijasenkondo Před 5 měsíci +3

    Mwenyezi mungu ni kila kitu subra huvuta heri tuwe wavumilivu

    • @user-oh9bh9ko8j
      @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci

      Subrah ama ujiangaikie😅😅😅mwenzio kapelekwa kwa nganga ndo mume karudi

  • @abdulsalim1069
    @abdulsalim1069 Před 5 měsíci +3

    ZUO nipe namba ya mganga nimroge Vero anipende 🤦🤦

  • @user-fm4un6bv4v
    @user-fm4un6bv4v Před 5 měsíci +6

    Iyostoriy inanikumbusha machungu nilo yasahau

    • @ZuleykhaIsmail-rc5ly
      @ZuleykhaIsmail-rc5ly Před 5 měsíci

      Pole sana mpenzi

    • @khorima
      @khorima Před 5 měsíci

      Pole sana aisee

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 5 měsíci +1

      Pole Sana lakini jipe moyo, wanawake wengi tumepitia humo humo.

    • @khadijasenkondo
      @khadijasenkondo Před 5 měsíci

      Sina la kusema bado nina machungu siwezi kusahau maishani mwangu kwa niliyopitia namwchia mungu

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Před 5 měsíci +3

    Mambo vipi dada Veronica
    Jamnii leo nimechelewa live

  • @user-yn9cd5om2l
    @user-yn9cd5om2l Před 5 měsíci +1

    Zuuh ana Bahati sana kupata marafiki wazury na ana mama pia❤

  • @naimamalekela812
    @naimamalekela812 Před 5 měsíci +4

    Mama mkwe na binti yake wàlizan wamemkomoa Zuu kumbe kamuingiza kijana wake kwa mtu mbaya zaidi daah

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 5 měsíci

      Kalma is real. Mungu yupo

    • @jacobmwandenga3364
      @jacobmwandenga3364 Před 5 měsíci +1

      Ubaya waliomfanyia natamani uwarudie mara mia

    • @rihamarihama8408
      @rihamarihama8408 Před 5 měsíci

      Alooh 😢

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 5 měsíci

      ila huyu kijana atapata shida naona..huku anachawiwa kule anaendewa kwa waganga mtu huyu 1..Mama yake naona atajalia kweli kwel

  • @user-qk6ff9lk9r
    @user-qk6ff9lk9r Před 5 měsíci

    Da Vero Napenda unavyosimulia pia najifunza kit kupitia simuliz hii ya da zuu

  • @fora2009
    @fora2009 Před 5 měsíci +6

    Zuuu shoga namba ya mngaga😂😂😂😂

  • @shanizuberi7984
    @shanizuberi7984 Před dnem

    Ninachogundua pia mke alikua pia anakosea too much Quations kwa mume na Kila anachokiona anasema sio poa

  • @user-nc5ot3bz9z
    @user-nc5ot3bz9z Před 5 měsíci

    Jamani Vero nampenda sauti yake tu!!

  • @user-jm8ti7qx7r
    @user-jm8ti7qx7r Před 5 měsíci +3

    Niko dar es salaam dada Vero nakupend nanapend namna unav simulia unasauti nzuri sana

  • @ElizabethChungunge-vf9lm
    @ElizabethChungunge-vf9lm Před 5 měsíci

    Duuu ndoa shikamooo,,yatupasa kuwa na moyo wa ujasari saana.japo tunapitiaa magumu,,Mungu amtie nguvu sana huyu dada na amshindiee.naitwa eliza kutoka.kihesa.

  • @user-xe1nw8yg9b
    @user-xe1nw8yg9b Před 5 měsíci

    Ila kawaida sana

  • @nashwaaabdullah3412
    @nashwaaabdullah3412 Před 5 měsíci +2

    Unajiiiivuuuuuuuuuuuutaaaaaaaaaaaaaaaaaa😢

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k Před 5 měsíci +1

    MWEEEEEH KWELI DUNIA UWANJA WA MAPAMBANO😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @nusrashaban6946
    @nusrashaban6946 Před 5 měsíci +1

    Yaan inaumiza sana wallah😢😢

  • @user-zf9be2sf8m
    @user-zf9be2sf8m Před 5 měsíci +2

    Mmmmh huy mwanaume hatar

  • @veronicampangala878
    @veronicampangala878 Před 5 měsíci +2

    Angeenda kwenye maombi naona atazidi kupotea zz

  • @user-un5ke9tz9b
    @user-un5ke9tz9b Před 5 měsíci

    Saw dada velo nakupendaaa

  • @user-iz8tz5ss3z
    @user-iz8tz5ss3z Před 5 měsíci

    Dada veroo jamani

  • @KamongoNgimbah
    @KamongoNgimbah Před 5 měsíci +2

    Jaman Dunia inamambo kama ni dawa imeingia

  • @ufudhcjxc1359
    @ufudhcjxc1359 Před 5 měsíci +1

    😊Subra nakupata nome fuhari lusikia mume wa zuu kuludi nyumbani kwale😊

  • @user-qd6dv6gc7k
    @user-qd6dv6gc7k Před 5 měsíci +2

    Nomasana

  • @happymaseta3102
    @happymaseta3102 Před 5 měsíci +1

    Nakama uchaw unanguvu nikwanin hawatafut wakwake peke ake, anamchukia was mwenzie kwamadawa huwa najiuliza sana

  • @graciousmwacha
    @graciousmwacha Před 5 měsíci +2

    Jamn zu pole cna Kwa ulio pitia

  • @lilianmkemwa
    @lilianmkemwa Před 5 měsíci +2

    Binadamu katili sana jmn

  • @user-tb6zd4og6w
    @user-tb6zd4og6w Před 5 měsíci

    Inauma sana jamani

  • @fatumakyengya45
    @fatumakyengya45 Před 4 měsíci

    Dunia inamambo mazito hiiii

  • @azizachungu4002
    @azizachungu4002 Před 5 měsíci

    Pole Mwaya cha kwako kaburi tu

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 Před 5 měsíci

    Vero toa code za mganga maana mtaan hku hakuna mganga

  • @jaminiadhihini3628
    @jaminiadhihini3628 Před 5 měsíci

    Namba ya mganga duuu mtegemee mungu

  • @gracesuguta
    @gracesuguta Před 5 měsíci

    Jamani zuu ana mtihani mgumu sana

  • @LilianMpenda-gw5pp
    @LilianMpenda-gw5pp Před 5 měsíci +1

    Nice

  • @user-tx7un8yz4u
    @user-tx7un8yz4u Před 5 měsíci

    Duuuuuh maish haya mh

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 Před 5 měsíci

    Zuuu nisaidie namba tafadhali na magumu kama yako🙏🙏

  • @user-oh9bh9ko8j
    @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci

    Da vero taka hyo no ya mganga😂😂😂

  • @user-ct8om8jw3l
    @user-ct8om8jw3l Před 5 měsíci

    Ubaya ubaya2 yan mme ata mimi nitanyonga mtt wa mtu kudadek

  • @user-hu7ju4ct1p
    @user-hu7ju4ct1p Před 5 měsíci +1

    Namba ya mganga zuu 😂

  • @user-tb6zd4og6w
    @user-tb6zd4og6w Před 5 měsíci

    Inauma sana jamani