MENGI ya kusikitisha ya CELINE DION, Msongo wa Mawazo ulivyomtesa na kukonda kiasi cha KUTISHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Celine Dion, ni mmoja wa waimbaji wenye mafanikio zaidi duniani. Dion ni moja ya waimbaji waliouza muziki mwingi zaidi duniani ambapo zaidi ya rekodi milioni 200 zimeuzwa kwa jina lake. Ameshinda tuzo tano za Grammy ikiwemo ya Album of the Year na Record of the Year. Hata hivyo, amepitia mitihani kwenye maisha pia. Fuatilia makala hii kuyajua kwa undani

Komentáře • 127

  • @emilyvicent1969
    @emilyvicent1969 Před 2 lety +90

    Kama una amini pesa sio kila kitu weka like tuendelee kuishi kwa furaha

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Před 2 lety +31

    Kwa utajiri wote huwo anawo ila anakosa amani na furaha ndani ya moyo wake, kwa kweli ndugu zangu tutafute pesa ila kitu cha muhimu katika haya maisha, Ni kuwa na furaha na Amani ndani ya moyo wako, otherwise Money is nothing...

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule Před 2 lety +4

      Yes tutafute pesa...mana stress zipo tu..ila Stress bila hela ndo znazid kukupasua🤣

    • @rose_Winchester86
      @rose_Winchester86 Před 2 lety

      @@tumlakimwaitumule true

    • @nsajigwamwakalonge5702
      @nsajigwamwakalonge5702 Před 2 lety

      Alimpenda sana mume wake,ukiambiwa hauwezi kuamini,

    • @gabrielmdem4271
      @gabrielmdem4271 Před rokem

      Fulaha unaipataje? Na humkumbiki mungu pesa pesa Soo ishu mwache mungu aitweee mungu je unajifunza Nini Kwa cerini au unasikiliza muziki wake tu Kwa kuwa unampenda huyu ni mzungu wara hakujui piga magoty mwambie mungu Asante Kwa kuimariza siku nje ameni jifunze wewe mungu fundii hajawahi kosea

  • @josej9888
    @josej9888 Před 2 lety +43

    Warembo mnaojiona wazuri nakulingia uzuri wenu, mna kitu cha kujifunza hapa! Uzuri na urembo sio kitu hapa duniani.

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před 2 lety +15

    Naumia moyo pia jamani, Mwenyezi Mungu baba amped nguvu mjane celine 💖

    • @jeanyves8934
      @jeanyves8934 Před 2 lety +1

      #Nicole Nabintu pesa sio kitu. Mungu kwanza

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před 2 lety +21

    Celine Dion! One of the best musician ever! Siwezi ongea Sana maana naweza andika hapa na nisimalize!

  • @sophieatieno5148
    @sophieatieno5148 Před 2 lety +18

    I absolutely love such stories.. Celine Dion atabakia kuwa legend. Sauti yake ni unique, amazing and powerful

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 Před 2 lety +11

    Amejaliwa moyo wa upendo! Bila kuwa na moyo huo,hakuna gumu... mtu ambaye hajajaliwa na moyo wa upendo,kuwepo kwa mtu ama kutokuwepo kwa mtu siyo shida kwake...

  • @ramlamasika7302
    @ramlamasika7302 Před 2 lety +5

    Her voice was princeless 💕💕and it will never be replaced mungu agempa ata mtoto musichana

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru8079 Před 2 lety +12

    She is my favourite pop singer ❤️thank you SnS🇨🇦

  • @shamuada9327
    @shamuada9327 Před 2 lety +10

    I remember writing Celina song’s @ de back of my books in high school…I was addicted to her ad i stil do ❤️💋

    • @sophieatieno5148
      @sophieatieno5148 Před 2 lety

      Ah you used to do this too 😀😀 Those were the days aki.. I also remember writing lyrics at the back of my books. It always made me so happy 🙂

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz Před 2 lety +10

    Kweli mawazo ni kitu kinachosumbua watu wengi sana na kujiepusha ni kazi ngum mno.

  • @luifdls6217
    @luifdls6217 Před 2 lety +4

    nampenda sana Celion DION, hopes she gets better w whatever she is struggling with🎶💖

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 Před 2 lety +4

    Alikua ananpenda Sana mume wake ndomana anazidi kwonda kwasababu ya upendo

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Před 2 lety +4

    Depression kills. Simple! Depression ni zaidi ya cancer. Mbaya sana!

  • @roselinengolo
    @roselinengolo Před 2 lety +1

    It’s life yote yanapita we love u celine u were the greatest of all time❤️❤️❤️❤️❤️‍🩹❤️‍🩹❤️‍🩹

  • @entertainmentforum1772
    @entertainmentforum1772 Před 2 lety +4

    Safi sana .. tuletee pia Historian ya Lucky dube,, Bob Marley,,, 2pac na Michael Jackson

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Před 2 lety +3

    We are supporting you CELINE

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 Před 2 lety +5

    Lilinikuta mimi pia stress nilijokondoe hada watu wakanisema nina ukimwili niko kwa waarabu saii lakini bado watu wanasema nimehonga ilihali ata chakula cha mara tatu kwa siku kilikua chanishinda itabakia kuhonga

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před rokem

    I was love Celine Dior na Reen it’s was Amazing couple I never see before 😢😢😢😢😥🙏🙏😥😢

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Před 2 lety +4

    Shout out to brother sky, let's go to see sky ft stamina 💯💯

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Před 2 lety +1

    Celine legend#Amazing and powerful voice❤️❤️

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 2 lety +1

    🔥🔥🔥
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @dula8819
    @dula8819 Před 2 lety +1

    Msongo wamawazo duh anawaza Nini Selina msani wang naipenda Sana ngoma yake ya power of love anajua sana

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 Před 2 lety +2

    Napenda nyimbo zake

  • @happypeople8412
    @happypeople8412 Před 2 lety +1

    Aww my heart breaks for her. Shes So brave ❤️

  • @seciliangowi2437
    @seciliangowi2437 Před 2 lety +1

    My celin dion I ALWAYS LOVE YOU WITH ALL MY HEART💞💞💞

  • @fathmafatomo2962
    @fathmafatomo2962 Před 2 lety +2

    🤲🙏COME back strong Celine ❤❤❤❤❤❤❤

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 2 lety

    Celin ludi Kama mwanzo .nakupenda Sanaa🇹🇿

  • @austinesautisolnamipendasa3856

    Beautiful story of our music icon

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 2 lety

    I love her song Mama and more of her 💕

  • @jescamathew1861
    @jescamathew1861 Před rokem

    Sending Love and Light to her❣💞

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 Před 2 lety +1

    My Celine 🥰

  • @dainagano3656
    @dainagano3656 Před 2 lety

    Huyu mwanamke ana hela jaman, nliwah fatilia nyumba ake moja anayoishi doooh🙌🙌🙌

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 Před 2 lety +10

    Bro sky i salute u kaka🔥🔥🔥

  • @ibrahimhumanamicroscopic6515

    U did all in u life it over now but we still love ❤ 😍 💖 u

  • @chany9950
    @chany9950 Před 2 lety

    Inauma jmn thx sky 😘

  • @morningstarartproduction8436

    Thanks SNS we are together 🔥🔥🔥💪

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija619 Před 2 lety

    Daaah!!inaskitishaaaa jamaniii...Au labda vile akivuta Sauti kuna madhara baadae.Mtihanii kweli..

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Před 2 lety +1

    Atakaa sawa tu

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 Před 2 lety

    #legend....thank you #sns

  • @rithanalukuli3367
    @rithanalukuli3367 Před 2 lety +1

    my celine dion

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Nampenda sana uyu Celine Dioni

  • @michiali9814
    @michiali9814 Před 2 lety +4

    Love is what Is draining her maskini sisi wanawake maskini hatupati tunaowapenda

  • @lilianenshimirimana6110
    @lilianenshimirimana6110 Před 2 lety +1

    Celine dion ❤

  • @tanialucas4579
    @tanialucas4579 Před 2 lety

    Bro sky your the best kila unatuletea news history

  • @veeJesus
    @veeJesus Před 2 lety +3

    Ila ma legend wakubwa wanaishiaga kubaya i dont know y depression, madawa yaan celine dion r kelly witney now Kanye

  • @janelucas9616
    @janelucas9616 Před 2 lety +3

    Ujane ni kitu kibaya Sana ni wanawake wachache Sana wanaoweza kustahamili

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 Před 2 lety

    🥰🥰 Celine 💪💪💪women

  • @MK-bk9ww
    @MK-bk9ww Před 2 lety +3

    Tunaomba mtuwekee namakala ya THEN AND NOW
    Kuhusiana na wasanii wa move zanje etc i.e #apokolipto

  • @mozmudi3446
    @mozmudi3446 Před 2 lety

    Dah Kabla Hjafa Hujaumbika

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 Před 2 lety +3

    Sky voice🔥🔥🔥💯

  • @rizikiruwa7116
    @rizikiruwa7116 Před 2 lety

    Mungu ampiganie

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 Před 8 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 2 lety +2

    anaumwa cancel na alipotezaka mume wake kipendwa💝💫💫 nilipenda Celine na mumewe 😢😢😢

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 2 lety +6

    Hawa watu sijawahi waelewa wanapata stress za nini na wamebarikiwa ridhki?
    Wangeishi na dhiki zetu sie huku Africa?

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 Před 2 lety +12

    Tanzania wangesema freemasonry kauwa ndugu zake 🤣🤣🤣

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 2 lety

    Nilijuwa kashafilisika kumbe ni tajiri sana kiasi hicho!!!!USD $460

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 2 lety +1

    Wanasaikolojia wako wapi wamsaidie?

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 2 lety +2

    Ili arudi ktk Hali yake ya Zaman apate mume wakuziba pengo la mumewe

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 Před 2 lety +5

    Hayo ndo mazara ya kuchukiya ngo nyeusi

  • @shanibaniyas6308
    @shanibaniyas6308 Před 8 měsíci

    😢😢

  • @veeJesus
    @veeJesus Před 2 lety +4

    Kumbe ni canadian

  • @biharucussi2123
    @biharucussi2123 Před 2 lety +1

    So sad

  • @gracenizigama8728
    @gracenizigama8728 Před 2 lety +2

    😔

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 Před 2 lety

    ❤❤❤❤❤❤❤😘

  • @manyaraboy
    @manyaraboy Před 2 lety +2

    Am the first

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 Před 2 lety

    🥰

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před 2 lety +4

    Huko kukonda sana hatumiii Ngada unga sio kukonda huko

    • @matumuhatibu4636
      @matumuhatibu4636 Před 2 lety +1

      Hapana hatumii ngada tangu alipofiwa na mume wake ndo amekuwa mtu wa mawazo mana hata kula anakula vyakula vya majimaji tena kwa mirija

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 2 lety +3

      Dada usiombe mume wako afariki MUME abae alikua kila kitu Kwa maisha amemtua mbali kimaisha Leo hayupo kama kweli mlikua na mapenzi ya thati utaona kila kitu akifaii kabisa maisha magum Mimi nilifewa na mume wagu nikiwa na Mika 20 na nilikua na mtoto WA Mika mitau nilikoda Sana mawazo upweke mtoto kulia Baba yake mawazo yanatesa Sana ilibidi nitafutiwe dakitari wa afia na Mika sita nilikoda KUPITA kiasi usiseme chochote dada

    • @matumuhatibu4636
      @matumuhatibu4636 Před 2 lety +1

      @@magynzioka1122 pole Sana ndo ivo anasema bila kujua nin sababu na ukizingatia mumewe ndo alikuwa msaada mkubwa kwakw

    • @zakiaahmad3059
      @zakiaahmad3059 Před 2 lety

      @@magynzioka1122 pole sana mmy

  • @dacaro922
    @dacaro922 Před 2 lety

    What is saratani in English??

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Mtangazaji una namba zake nilushie banaaa mie namba yake nimeipoteza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @aishaswab2413
    @aishaswab2413 Před 2 lety

    Sad

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 Před 2 lety

    Me nataka nimuoe jamani

  • @theresaelizabethelijah117

    Kukonda kwake ni uzee asio ukubali wazungu wanazeeka haraka yeye anahangaika tu na kuweka watu roho juu kwa kukataa kustaafu

  • @idrisatv5540
    @idrisatv5540 Před 2 lety +5

    Sasa kama kazaliwa 68 uoni kama kazeeka sasa unashangaa kukonda?

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před 2 lety

    Haya. Tupe ya Mariah Carey nayo

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 Před 2 lety

    🎗️👈

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +4

    Umri nawo umeenda jamn
    Au mategemeo ya weng atarud km zamn 🤣🤣 haiwezekan

  • @miriam7186
    @miriam7186 Před 2 lety

    Ana kitu cha la pole pole huenda Ka bambwa

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 Před 2 lety

    #Fatinah Sehemu ya 6 msimu wa 2
    czcams.com/video/uejeGiFdbSk/video.html

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 2 lety +2

    Sasa mtu umisha kuwa mtu mzm miziki yanini tena jmn 🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️funguwa biashara mbalimbal utakuja anguka stejin bure tatizo si wanadam bana atukubaligi km umr umisha tutupa mkono sasa watu wanalalamika kuwa amekonda yani awaoni km amishakuwa mzee tayar🤦‍♂️. Sema nay akubali kmnimzee iyo ndoshida🤣🤣bado analalamikia saut yakuimba miziki 😂dah hatar sn

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety +3

    No offense just point of view
    Wazungu wakikonda tunapata maelezo positive.
    Muafrica akikonda tunasema anakula unga 🤣🤣

    • @barakabahati6600
      @barakabahati6600 Před rokem +1

      HIV or ukimwi 😭😭🤣😂😅😭😅😆😀😃😄

  • @UncleChenShoushan
    @UncleChenShoushan Před 2 lety +1

    Why she married old man

    • @donatimr656
      @donatimr656 Před 2 lety +2

      Love is not about age
      If ur for age i think untill now ur the stadium of sex training

    • @sophiahmedza929
      @sophiahmedza929 Před 2 lety

      It was just a chemistry between them. Since celion was from a poor family and Rene decided to risk his life for the sake of Celine music career.

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před 2 lety

      She married the old man because of there future the old man took her up.

  • @usanifumaandishi7519
    @usanifumaandishi7519 Před 2 lety

    #Fatinah Sehemu ya 6 msimu wa 2
    czcams.com/video/uejeGiFdbSk/video.html