Familia, Ndoa na Mahusiano ya USHER na jinsi ugonjwa wa ZINAA ulivyomtesa, kumpa KESI na kumlia PESA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Usher Raymond IV aliyezaliwa October 14, 1978 ni mmoja wa waimbaji na waandishi wa nyimbo bora kuwahi kutokea nchini Marekani.
    Ametengeneza hits nyingi zikiwemo You Make Me Wanna, My Way, U Remind Me, U Got It Bad, "Yeah!" (featuring Lil Jon and Ludacris), "Burn", "Confessions Part II", "My Boo" (akiwa na Alicia Keys), Love in This Club" (featuring Young Jeezy) "OMG" (featuring will.i.am) ma zingine.
    Ameuza zaidi ya rekodi milioni 80 na kumfanya kuwa moja ya waimbaji waliuouza zaidi wa muda wote.

Komentáře • 80