MADUDU ya KUTISHA! JAMAA WANAODAIWA KUPIGA MAMILIONI ETI WANAENDELEA na KAZI - MAKONDA ACHACHAMAA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 05. 2024
  • MADUDU ya KUTISHA! JAMAA WANAODAIWA KUPIGA MAMILIONI ETI WANAENDELEA na KAZI - MAKONDA ACHACHAMAA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 55

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Před měsícem +6

    Bwana Yesu Kristo akutangulie Mtumishi wa Mungu.

  • @user-li6jb1ju2g
    @user-li6jb1ju2g Před měsícem +3

    Mh. Makonda piga kazi Dua nyingi brother 🙏

  • @MerinaMgunda-oj5ch
    @MerinaMgunda-oj5ch Před měsícem +2

    Hv hii nchi mbona jela watu wanateseka sana kwa kesi mdogo watu mabilion duuh mungu yupo jamani

  • @kakamau0384
    @kakamau0384 Před měsícem +2

    Nchi nzima macho yapo Arusha Sasa hivi yani ninaiona Arusha ipo juu sana siku za hivi karibuni mwamba anapiga kazi buana sio utani

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem +3

    Magufuli aliingia kwenye mwil wa makonda tangu akiwa hai kipindi makonda mkuu wa mkoa dar

  • @user-vx7jp5mo6l
    @user-vx7jp5mo6l Před měsícem +3

    Nakuombea sikumoja ushike madaraka ya maamuzi
    Ya juu

  • @bonifaceyohana2515
    @bonifaceyohana2515 Před měsícem +5

    Mh rais naomba ukate mishahara ya wakuu wa mikoa wote nchi nzima nusu ya mishahara yao umpe makonda naomba kuwakilisha asnte

  • @ChristianmushiGodfrey
    @ChristianmushiGodfrey Před měsícem

    😢mh Paul Christian makondo mungu ni mwema kila wakati ,kongole sana ila jeshi la police hii nchi yetu mawasiliano ni muhimu police ni police mikoa yote kama vile unaarufu yake

  • @godsonkilua7738
    @godsonkilua7738 Před měsícem

    Msema kweli Ni mpenzi wa Mungu .Kwa haya unayofanya kututetea wanyonge ubarikiwe Sana nakiti chako kipo mbinguni

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 Před měsícem +2

    😂mulifikiria..muguvali..alikufa..hahaha yupo..hai

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před měsícem +2

    Makonda kuchachamaa haisaidii kama mifumo ni dhaifu😂😂😂😂😂 ni kama mbwa anaebwekea ndege

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před měsícem +3

    Kula vichwa hvyo

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Před měsícem +4

    Mh Rais ujakosea kumteuwa huyu mkuu wa mkoa nakupongeza sana.

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 Před měsícem

    MKUU MAHAKAMA HAPO ARUSHA WANAKULA HELA WAHASIBU. NENDA KACHUNGULIE.

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před měsícem

    Wewe ni noma

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    WEWE MAKONDA UMESHUSWA NA MUNGU KUWANYOOSHA VIPANGA WAKUCHUKUA VIFALANGA VYA KUKU 😂😂😂

  • @magnusmgaya560
    @magnusmgaya560 Před měsícem +2

    Kwa kweli huyu jamaa ni jembe

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Před měsícem

    Wanoko wenyewe majizi makubwa wehuna unoko babaangu piga soana malaya hao

  • @RichardWilliam-eq9vb
    @RichardWilliam-eq9vb Před měsícem

    Hivi hawa watumishi wanafanya kazi mda gan

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Před měsícem

    Mh makonda ondoka na kichwa ya huyo afsa utumishi

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 Před měsícem

    Hao uwabembeleze ndo wapigaji wenyewe na wanatafuta namna ya kukupiga stop

  • @leonilamarandu6640
    @leonilamarandu6640 Před měsícem

    Mkuu wa mkoa ni halali watendaji kutembea kitabu cha risiti za shule za msingi kudai hela za mwenge?

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 Před měsícem

    Makonda anastaili kuw mkuu wa mkoa Kwa miez3 nch nzima

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před měsícem

    Takukuru pia wako wapi

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před měsícem +1

    Wale kibano! Enough is enough.

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it Před měsícem +2

    Jamani mwizi wakuku anafungwa kwann Hawa wakapewa thamana?

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +1

    Una ajira yako nzuri tu. Unaamua kuiba.

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před měsícem +1

    Makonda popote ulipo unamaua yako

  • @froma3732
    @froma3732 Před měsícem

    Rais akiwa hasemi munalalamika Makonda akiongea munasema Sasa Tutafanyaje

  • @nurusulley3276
    @nurusulley3276 Před měsícem

    Makonda safi chapati kazi baba

  • @nassontunyande1109
    @nassontunyande1109 Před měsícem

    Angalia mwanangu wewe ni mteule wa MUNGU na hata rais alijue hilo!! Asibabaishwe na mafisadi! Wakuu wengi wa mikoa wanapenda kufanya kazi kama yako lakini hawana vipawa kama vyako!! Naomba endelea kumtumaini MUNGU wa kweli hakika hutadhurika na muovu yoyote hata wapewe dunia nzima!! MUNGU yu pamoja nawe umeshafunikwa na damu ya YESU!

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Huyo faida mwenyewe ni mlarushwa atumbuliwe kama anakidanganya wewe mkuu wa mkoa je viongozi wa vyeo vyachini je?

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp Před měsícem

    Duu aisee uyu afisa utumishi kapataje Iko cheo mbona hii nchi watu wanapewa vyeo vikubwa hawana uwezo kwel tunategemea kutengeneza nguo tuvae mitumba tuwaperekee wavae ulaya

  • @user-eh5ss4dw1c
    @user-eh5ss4dw1c Před měsícem

    Wapigwe Spana.

  • @jasonwatz7457
    @jasonwatz7457 Před měsícem

    Watu wanaiba halafu wana fichwa fichwa? Wanalindana?

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779 Před měsícem

    alaf wanataka wabembelezwe… piga spana baba keagan

  • @user-kc4in6zu4v
    @user-kc4in6zu4v Před měsícem

    Mkuu gawa vidonge vyao niharari kwao.

  • @user-bn1bd1vh5j
    @user-bn1bd1vh5j Před měsícem

    Piga kazi baba

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před měsícem

    We have weak and Dumb Civil servants.

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před měsícem

      Yaani level ya ujinga iloyopo inatisha, kapataje hiko cheo ni beyond me, kuna haja ya kufanya reforms kwenye mifumo yetu

  • @keamaoli
    @keamaoli Před měsícem

    Ocd kanuna

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl Před měsícem +1

    Nchi ina madudu hii

  • @user-uh5ms6qe9b
    @user-uh5ms6qe9b Před měsícem +1

    Haya hao watetezi wa haki za binadamu mbona hawaongelei hili la pesa kuibiwa wapuzi sana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před měsícem

    Msichana anababaika

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 Před měsícem

    Wapigwe!

  • @mohddelo
    @mohddelo Před měsícem

    Piga spana

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem

    Afsa utumishi,walioiba wameiba wao we pinga spana.