MADUDU ya KUTISHA! JAMAA WANAODAIWA KUPIGA MAMILIONI ETI WANAENDELEA na KAZI - MAKONDA ACHACHAMAA..
Vložit
- čas přidán 27. 05. 2024
- MADUDU ya KUTISHA! JAMAA WANAODAIWA KUPIGA MAMILIONI ETI WANAENDELEA na KAZI - MAKONDA ACHACHAMAA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Bwana Yesu Kristo akutangulie Mtumishi wa Mungu.
Mh. Makonda piga kazi Dua nyingi brother 🙏
Hv hii nchi mbona jela watu wanateseka sana kwa kesi mdogo watu mabilion duuh mungu yupo jamani
Nchi nzima macho yapo Arusha Sasa hivi yani ninaiona Arusha ipo juu sana siku za hivi karibuni mwamba anapiga kazi buana sio utani
Magufuli aliingia kwenye mwil wa makonda tangu akiwa hai kipindi makonda mkuu wa mkoa dar
Nakuombea sikumoja ushike madaraka ya maamuzi
Ya juu
Mh rais naomba ukate mishahara ya wakuu wa mikoa wote nchi nzima nusu ya mishahara yao umpe makonda naomba kuwakilisha asnte
😢mh Paul Christian makondo mungu ni mwema kila wakati ,kongole sana ila jeshi la police hii nchi yetu mawasiliano ni muhimu police ni police mikoa yote kama vile unaarufu yake
Msema kweli Ni mpenzi wa Mungu .Kwa haya unayofanya kututetea wanyonge ubarikiwe Sana nakiti chako kipo mbinguni
😂mulifikiria..muguvali..alikufa..hahaha yupo..hai
Makonda kuchachamaa haisaidii kama mifumo ni dhaifu😂😂😂😂😂 ni kama mbwa anaebwekea ndege
Nyinyi ndo mu au d’à mifumo mbaya ,
Blaah! Blaah! kibao.
Kula vichwa hvyo
Mh Rais ujakosea kumteuwa huyu mkuu wa mkoa nakupongeza sana.
MKUU MAHAKAMA HAPO ARUSHA WANAKULA HELA WAHASIBU. NENDA KACHUNGULIE.
Wewe ni noma
WEWE MAKONDA UMESHUSWA NA MUNGU KUWANYOOSHA VIPANGA WAKUCHUKUA VIFALANGA VYA KUKU 😂😂😂
Kwa kweli huyu jamaa ni jembe
Wanoko wenyewe majizi makubwa wehuna unoko babaangu piga soana malaya hao
Hivi hawa watumishi wanafanya kazi mda gan
Mh makonda ondoka na kichwa ya huyo afsa utumishi
Hao uwabembeleze ndo wapigaji wenyewe na wanatafuta namna ya kukupiga stop
Mkuu wa mkoa ni halali watendaji kutembea kitabu cha risiti za shule za msingi kudai hela za mwenge?
Makonda anastaili kuw mkuu wa mkoa Kwa miez3 nch nzima
Takukuru pia wako wapi
Wale kibano! Enough is enough.
Jamani mwizi wakuku anafungwa kwann Hawa wakapewa thamana?
Una ajira yako nzuri tu. Unaamua kuiba.
Tamaa,ubinafsi
Imagine , watu ni mskini saana akilini.
Makonda popote ulipo unamaua yako
Rais akiwa hasemi munalalamika Makonda akiongea munasema Sasa Tutafanyaje
Makonda safi chapati kazi baba
Angalia mwanangu wewe ni mteule wa MUNGU na hata rais alijue hilo!! Asibabaishwe na mafisadi! Wakuu wengi wa mikoa wanapenda kufanya kazi kama yako lakini hawana vipawa kama vyako!! Naomba endelea kumtumaini MUNGU wa kweli hakika hutadhurika na muovu yoyote hata wapewe dunia nzima!! MUNGU yu pamoja nawe umeshafunikwa na damu ya YESU!
Huyo faida mwenyewe ni mlarushwa atumbuliwe kama anakidanganya wewe mkuu wa mkoa je viongozi wa vyeo vyachini je?
Duu aisee uyu afisa utumishi kapataje Iko cheo mbona hii nchi watu wanapewa vyeo vikubwa hawana uwezo kwel tunategemea kutengeneza nguo tuvae mitumba tuwaperekee wavae ulaya
Lobying, wengi hawavipati kihalali
Wapigwe Spana.
Watu wanaiba halafu wana fichwa fichwa? Wanalindana?
alaf wanataka wabembelezwe… piga spana baba keagan
Mkuu gawa vidonge vyao niharari kwao.
Piga kazi baba
We have weak and Dumb Civil servants.
Yaani level ya ujinga iloyopo inatisha, kapataje hiko cheo ni beyond me, kuna haja ya kufanya reforms kwenye mifumo yetu
Ocd kanuna
Nchi ina madudu hii
😅😅 hyo Arusha tu!!
Haya hao watetezi wa haki za binadamu mbona hawaongelei hili la pesa kuibiwa wapuzi sana
Wahuni tu
Msichana anababaika
Wapigwe!
Piga spana
Afsa utumishi,walioiba wameiba wao we pinga spana.