Itikadi potofu za watu wa Twariqa (Masufi)|| Sheikh Ali Bahero.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Bonyeza neno SUBSCRIBE kisha bonyeza alama ya kengele ili uwe wamwanzo kupata video zetu mpya.

Komentáře • 167

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +3

    Sheikh wetu
    Allah akuhifadhi na akubariki
    Watu wa bidaa mtihani
    Allah awaongoze

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      Amuongoze yy bahero mwenye kuzushia watu urongo

  • @surealfredkabasa4518
    @surealfredkabasa4518 Před 3 lety +7

    Allah atuongoze Insha-Allah

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 3 lety +8

    Allah atuepushe na imani potofu km hizi.. Mashallah sheikh hataji mtu jina Wala hadhihaki mtu anaelimisha t vzuri, mashallah yan kakataa hadi kutaja jina la Kijiji, Allah amuengezee hekima na busara...

    • @Muhammad_Nassor_Bachu_.
      @Muhammad_Nassor_Bachu_.  Před 3 lety +2

      Nini maana ya hekma?
      Mimi mpaka leo naskia tu watu wanasema neno hekma lakini sijawaskia wakisema maana yake..ukijua maana ya hekma hutopata tabu kabisa
      إذ من يؤتى الحكمة فقد أوتي خيرا كثيرا

    • @shaunaaboubakary8514
      @shaunaaboubakary8514 Před 3 lety +1

      we nawe 2pu ka huo udevu hana lolote inamal aghmaal biniyyat so huend yy kahis hua wana abudu makabur ijitanibuu kathiiratun mina dhwana usisaport ujinga ukiwa kwel umezaliwa kweny uislam

    • @abdulrahmanomar6189
      @abdulrahmanomar6189 Před 3 lety +1

      @@shaunaaboubakary8514 هداك الله

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 Před 3 lety +1

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. صح.

    • @aliomar612
      @aliomar612 Před 3 lety +4

      @@Muhammad_Nassor_Bachu_. tatizo lako ukiambiwa ukweli unadhania unatukanwa ama unadharauliwa lakini unaambiwa ukweli....jifunze hishma na adabu kwa wenzako angalia anapinga anafundisha anaongoza kwakutumia hikma na busara ...kuwa na adabu Muhammad hta marhemu babako hakuwa hivyo kabisaa tabia zakike za mipasho wacha ufidhuli wacha sheikh

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +4

    Jazak Allah khair sheikh Ali Bahero

  • @Hunger388
    @Hunger388 Před měsícem

    ya allah tu ongoze njia ilo nyuko

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Před rokem +1

    Mwamba namkubali sana

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 Před 3 lety +5

    Allah akuhifadhi kwa ukweli huu na fikra kwa mwenye kufikiri na kwa ujinga kwa mwenye kuabudu maiti

  • @khalifaallyibnadam9983
    @khalifaallyibnadam9983 Před 3 lety +1

    Kusoma sana sii tatizo bali ni kufahamu ulichokisoma , ilimu yazidishwa na fahamu ni Rizqi, Allah awape faham ya mlivyosoma na awatoe ujinga

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp Před 3 lety +7

    Allah akulipe shekhe kwa elmu hii🤲☝️

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po Před 3 lety +2

    Ya sheikh, Allah ibarik fik

  • @ahmedabdallah3297
    @ahmedabdallah3297 Před 3 lety +2

    MashaAllah. Sheikh waelimishe

  • @sayidshion
    @sayidshion Před rokem

    Jazakallahukheyr

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 3 lety +1

    Hujui wewe bahero

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 9 měsíci

    NAWAPENDA SANA MASHEHE WAHUNI😂

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před rokem

    Bahero muogope mungu ulimuona nani akiabudu makaburi ulimuona nani akiomba maiti mwisilamu wakweli habudu makuburi wala maiti huyo na anaefanya hayo sio muisilamu

    • @sheehamadnganzi8317
      @sheehamadnganzi8317 Před rokem

      Nikweli sana,watu wanaenda kwenye makabiri kuomba eti ni makabiri ya masharifu,Allah atujalie mwisho mwema nshaa Allah

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      @@sheehamadnganzi8317 kuomba nn mtume pia alikua akizuru makaburi watu waenda kutia dua maiti yao pia wanao enda kutawasal kwa mtu yoyote alie kufa mtu mwema waeza kutawal lakini qnae ombwa ni mungu kwa hivo wacheni uzushi wenu

  • @khalidhemed6172
    @khalidhemed6172 Před 3 lety +5

    Itikadi ziko vitabuni sio kutuoa picha za watu wanaofanya zitu kwa kutojua ukatumia udhaifu wa wao kuchafua itikadi Safi njoo tukusomeshe bahero

    • @abuuanswaaronlinetv4747
      @abuuanswaaronlinetv4747 Před 3 lety

      umsomesha nini wewe kwani uwoongo huuu ni ukweli mme waona kw macho yangu masingini zanzabar mbele ya msikiti mkubwa wa masingini yapo makaburi wana abudia na mjoo ujionenee

    • @khalidhemed6172
      @khalidhemed6172 Před 3 lety +2

      @@abuuanswaaronlinetv4747 maskini warudia yale yale twawatoa mashkio taka itikadi za kisufi zimo vitabuni sio kwa watu wasoijua wakikosea ndio muufanye ndio usufi mumefeli

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      @@abuuanswaaronlinetv4747 subuhanallah mtihani kumbe yapo

    • @abuuanswaaronlinetv4747
      @abuuanswaaronlinetv4747 Před 3 lety

      @@hanifatanzania7258 ya mdogo wangu mtakupeleka hadi yanapo fanyika haya mambo yapo tele

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      @@abuuanswaaronlinetv4747 mtihani sana Allah atuongoze mm nilikua sijui kama binaadam kwakili alizo pewa wanaiweza fanya hivyo. Naiyazu bilaa

  • @rashidmohammed9128
    @rashidmohammed9128 Před 3 lety +6

    Dhana mbovu.. Kujitia ilimu usio ijuwa kuifahamu Bure yenu..

    • @saidmohammed2830
      @saidmohammed2830 Před 11 měsíci

      Yaonekana ww mmoja wao manake mm nipo kuwa nasoma mamburui niona mbunzi akichinjwa makaburini Tena wawili weusi, hapa hakuna dhana mbovu ni ukweli wazi ACHENI shirkii

    • @jumamustafa820
      @jumamustafa820 Před 11 měsíci

      Ilimu mpya ambayo mtume hakufundisha

  • @msellemnassir1831
    @msellemnassir1831 Před rokem +2

    Umesahau msemo wa Kiswahili unaosema kuwa wema hauozi na Sisi twarika tunapoenda ziara tunaenda ku tawassul

    • @almunawarakanyosha1402
      @almunawarakanyosha1402 Před 6 měsíci

      Hilo nitatizo mnalo watu wa twariqa mnaweka dini kwenye mila zama babu zenu

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po Před 3 lety +2

    Elimu kubwa hii, ndugu zetu wanazama kabisa

  • @khalifaallyibnadam9983
    @khalifaallyibnadam9983 Před 3 lety +2

    Huyu mpuuzi

  • @abdallaheji1269
    @abdallaheji1269 Před rokem +1

    Elimu yako ndogo wewe.mwenyez Mungu anasema waliokufa kwa njia ya mwenyezi Mungu wako hai na ana waruzuku.sasa kwenda kwenye makaburi ya sharifu wewe una tafsurije ? Uelewa wako mdogo sana

  • @othmanabeidy4460
    @othmanabeidy4460 Před rokem +1

    Hakika huyu Shekh hadanganyi
    Anazungumnza Ukweli

  • @dullafani-us6yi
    @dullafani-us6yi Před rokem

    وَقَالَتِ الْيَهُودُ لَيْسَتِ النَّصَارَىٰ عَلَىٰ شَيْءٍ وَقَالَتِ النَّصَارَىٰ لَيْسَتِ الْيَهُودُ عَلَىٰ شَيْءٍ وَهُمْ يَتْلُونَ الْكِتَابَ ۗ كَذَٰلِكَ قَالَ الَّذِينَ لَا يَعْلَمُونَ مِثْلَ قَوْلِهِمْ ۚ فَاللَّهُ يَحْكُمُ بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ
    Na Mayahudi husema: Wakristo hawana lao jambo. Na Wakristo husema: Mayahudi hawana lao jambo. Na ilhali wote wanasoma Kitabu hicho hicho (Biblia). Na kadhaalika walisema wale wasio jua kitu mfano wa kauli yao hii. Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika yale waliyo kuwa wakikhitilafiana.

  • @BoykaThierry
    @BoykaThierry Před 3 lety +3

    Haya maneno yalisemwa na mmoja tu na sio watu wa twariqa maana sio wotte walikubaliana na hilo kuwa kumuomba maiti na kumtakasa sio katika mambo ya kipuuzi..

    • @abdulazizmwipi9295
      @abdulazizmwipi9295 Před 2 lety

      Wanatuonea wana twariqa maneno hayo yameongelewa na mshia wanaamua kutuzushia wanatwariqa

    • @mustafahakim-iq7dj
      @mustafahakim-iq7dj Před 10 měsíci

      Alosema ndio mwalimu woo ndio wanaomfata

  • @matitutvonline4184
    @matitutvonline4184 Před 3 lety +3

    Sawa skh usiejielewa, Suali kwako je watu wakiba dua huwaje wakati miili imeoza kama usemavyo? Jamani shuhudieni sheikh kolaza huyu hajui kama hapo mafungamano ni roho na roho haiozi, huyu elimu hana kabisaa

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Wewe ni zuka kweli ufahamu wako ndio mbovu ,kama ni roho mnakusudia mbona muende kaburini huoni nimakosa wewe muombe Allah direct na uwaombee wafu iwe swadaqa kwao

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 3 lety +2

    Wapotevu.tena yatakikana kusemwe kwa nguvu zote.ni ujinga huu.yasikitisha sana.Asieamini ende makaburi ya sarigoi siku ya alhamis baada swalatu asri atashuhudia yanayofanywa pale

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 Před rokem

    Yeye mwenyewe bidaa

  • @salmaali7080
    @salmaali7080 Před 2 lety +1

    Bahero sasa unapata faida gani nahizo kashffaa ciiuuwafate uwape naswaha

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před rokem

      Bora aseme hadharani ili iwe kwa wote wanaofanya hivo , wewe unadhan atawafata wote atawamaliza maana wapo tz, kenya , uganda na dunian kote , kwa hivo hii ni jumla jamala

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Před rokem

      Bora aseme hadharani ili iwe kwa wote wanaofanya hivo , wewe unadhan atawafata wote atawamaliza maana wapo tz, kenya , uganda na dunian kote , kwa hivo hii ni jumla jamala

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 Před 3 lety +1

    Wacheni kupakana matope nyinyi masheikhe. Aibu. Dalili za kiama. Enezeni umoja. Kila mmoja mjuaji.

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 Před 3 lety +2

      Umoja na ushirikina ni vitu viwili tofauti hatuwezi kuhimiza umoja kwa kumshirikisha Allah

  • @zulfasalim8770
    @zulfasalim8770 Před 3 lety +2

    Hicho kisa cha nyoka doooh hapo umetudanganya wazi wazi. Hebu mche mungu ww mrongo mkubwa ww hata huna haya ww. Kama ni kweli taja ni kijiji gani. Vile ulivyo na chuki ww ungekua ushasema. Tena waapa na MUNGU

    • @ibrahimjuma584
      @ibrahimjuma584 Před 3 lety

      We vip .shekhe haitw muongo

    • @ustadhkamoleabubakar0013
      @ustadhkamoleabubakar0013 Před 3 lety

      Huitwaa kwani shekhee ninaaani Malaika au nabiii hawaa watu Wana chuki mtu Muhammad alikuwaa akipitaaa makaburini aki waombea maghfiraaa

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Wacha matusi wallah twashuhudia vihoja Vingi kwamasufi hujui tu wewe hawa wanaume wakupiga madufu wanaudhi dini imekuwa kama yakristo

    • @zulfasalim8770
      @zulfasalim8770 Před 2 lety

      @@mabrukjuma3878dini yahitaji ma daiya wenye hikma na mawaidha mazuri kwa mijibu wa Qur ani. Mashekhe kama hao wakuongea kichuki bado hawafai kuitwa ma daiya

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      @@zulfasalim8770 hikima inapahali pake ila wanaozua katika dini na ujeuri lazima waambiwe kivyovyote itakavyokuwa hawafai kubembelezwa

  • @ismailselemajuma1574
    @ismailselemajuma1574 Před 3 lety +4

    Huyu shekh anapotosha hakuna shekh anaeomba kaburi

    • @tausimpoma347
      @tausimpoma347 Před 3 lety

      Watu wanafanya hayo.mtu mzima anaenda na watoto kwenye kaburi anamwambia muombeni babu yenu awasaidie mfanye vizuri masomo yenu shuleni nimeyashuhudia haya.wacha yasemwe watu wataache badala ya kuwaombea maiti.wanawaomba.tusomeni tujue dini.

    • @tausimpoma347
      @tausimpoma347 Před 3 lety +1

      @@hilalkhalfan1452 najua ni muislam hayo mengine siyajui..tufuate kitabu na sunna. ndio uislamu.yalioamrishwa. tuyafuate yaliyokatazwa tuyaache .ndio dini yetu..

    • @user-mz9qd1pb5t
      @user-mz9qd1pb5t Před 3 lety +1

      Sema sijaona usiseme Hakuna mche mola wako Shekh, ibada za kuabudu makabuli bado zipo na masufi wanazifnya, hivyo wamche mola wao.

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 Před 3 lety +1

    Nyie ma naqdi mpaka Dua baada ya swala mumeondosha uwahabi ni uyahudi

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Hizo dua zapamoja ndio zapingwa hakufanya rasul wala sahaba adhkar zifanywe kwanjia sahihi sio mnavojuwa nyinyi si kuwa twazipinga soma baada yaswala rasul alifanya nini hadi kutoka msikitini elimu safi sahihi

  • @rashidmohammed9128
    @rashidmohammed9128 Před 3 lety +3

    Masufi Tuacheni na mambo yetu.. Wewe fundisha itikadi yenu kwa watu wenu tupeni salama jamani

    • @abubakarrahim8482
      @abubakarrahim8482 Před 3 lety +1

      Shoriako utakuwa kitoweo sikumoja nawe kama yule mchungaji. Siafadhali muabudu masanamu kama wahindi manake hamuna tofauti na wao. Wale masharifu wao wamewatengeza sanamu wakaweka majumbani na nyinyi wachongeni masharifu wenu muwaweke majumbani muwe mukiwaomba

    • @ustadhkamoleabubakar0013
      @ustadhkamoleabubakar0013 Před 3 lety

      Mtume mohamad hakusema yeye ni Shia wala twarika walaa Sunni baali alikuwaa muislamu thabit mbonaa hawa watu wa madevu mbona hawanaa karamaaa

    • @ahmedabdallah3297
      @ahmedabdallah3297 Před 3 lety

      Mm napenda ngoma sana. Kama siku hizi qaswida zina tone ya taarab. Maulid yana jazz. Hahaha

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Salaf swaleh wote walijitahidi kupinga uzushi ili kulinda watoto nakizazi kijacho na uzushi imam shafi asema hajamuona sufi aliye na akili

    • @khalidmudathir4388
      @khalidmudathir4388 Před rokem

      Haki isisemwe basi, ukweli uwekwe wazi tusiwe miongoni mwa watakao juta na mda huo majuto hayatotusaidia

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc Před rokem

    Kwan wew hujaona au hujawasikia watu wanaoabudu makabur , huyu ndugu anakumbusha jambo muhumu mnoo ambalo mim au wew tukifa na itikad hii tumepotea allaah sw atuhifadh lakin haya majambo yapo hususan mfungo tatu nenda sehemu za visiwan kama mafia utaona kwa kutukuza hili jambo utaona misikiti mingi inamakabur

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 Před 3 lety +3

    Baaas...uwe ndilo uliyivalo hilo..huyisi kusoma nyangarika nkidhi uwe..nenda ukasome usiketi kuchukanana tu...ndevu dha kunuka ndevu..usiinenee maneno kama uyambao mashudhi nnuko uwe

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      Ukweri unaumwa mpKa unatoa maneno machafu Allah akuongoze lnshallah

    • @jumaamrani3295
      @jumaamrani3295 Před 3 lety

      jifunz kuandka vzr kwanz

    • @achanifumos1093
      @achanifumos1093 Před 3 lety +1

      @@hanifatanzania7258 ukweli gani? Ufidhuli tu..kila siku anatolewa makosa akisoma qur'ani

    • @achanifumos1093
      @achanifumos1093 Před 3 lety

      @@jumaamrani3295 shida si mm kuandika shida ni ww hujui kusoma..ama ni lugha imekushinda? Acheni uzembe

    • @jumaamrani3295
      @jumaamrani3295 Před 3 lety

      @@achanifumos1093 ubarikiwe

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 Před rokem

    Uongo tu ulonao

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 Před rokem

    Mbona waonesha video alafu huwachi tukaskia walio zuru makaburi wakiongea waonesha video haziongei kama ni kweli

  • @salehpandu2250
    @salehpandu2250 Před 3 lety

    Toa mawaidha kwa lugha nzuri (mijitu ya twariga/ zikri maana yake nini

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Hizi nikauli zinawatosha kabisa hata imam shafii asema 'sijamuona Sufi aliye na akili'

  • @shibblyhassan6040
    @shibblyhassan6040 Před 3 lety +3

    Bahero rudi ukasome alif masikini sijui umesoma wapi

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety

      Kinachokuuma ni kukatazwa makosa yenu tu!

    • @mabrukjuma3878
      @mabrukjuma3878 Před 2 lety

      Wewe mashallah umesoma mbona hatustafidi na wewe utamjibu nini Allah kunyamaza na elimu yako shekhe

  • @abubakarrahim8482
    @abubakarrahim8482 Před 3 lety

    Hakuna tofauti na wahindi wanaoabudu masanamu na hawa wanao omba maiti makaburi na wale walowachonga viongozi wao masanamu wakaweka majumbani.

  • @medwho959
    @medwho959 Před 2 lety

    Itikadi ya ujinga.

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Před 3 lety +1

    Hao wa dislikes...Allah awahidi

  • @alifadhil7778
    @alifadhil7778 Před 3 lety +3

    Shehe ww ushawahi kufuatana nao hao wanaokwenda makaburini au umesema kwa matakwa yako tu.

    • @user-mz9qd1pb5t
      @user-mz9qd1pb5t Před 3 lety

      Ukweli unauma sana, vumilia shekhe ndo anakutibu hivyo.

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 3 lety

      @@user-mz9qd1pb5t sana wanaumia hata akili hawana ya kufikilia Allah atuepushe

  • @Khuzeyma
    @Khuzeyma Před 11 měsíci

    Wewe ni mnafik si shekh ni shetwani wewe

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel Před 2 lety +1

    Ikisha mtu asema Sh.Bahero ni mtu wa bida'a kisa tu hataji neno Salafiyy kweli???

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 Před rokem

    Huyu jamaa hajasoma nibora tu akatafute elimu halafu asisingizie watu wa twariqa kuabudia makaburi

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 Před rokem

    Huyu atadhikri haijui

  • @user-jh3bs3kb2k
    @user-jh3bs3kb2k Před 11 měsíci

    Basi takuletea wewe sadaka ulipokuwa hai

  • @yearbah1
    @yearbah1 Před 3 lety

    si upload video zako

  • @ahmedabdallah3297
    @ahmedabdallah3297 Před 3 lety +1

    Nauliza wale wanaojengewa makaburi na kuwekea tent ni watu wa peponi? 😱 Makabwela hatuekewi kwani ni watu wa motoni

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 3 lety

    Ibada potofu itakwisha sababu sio haki

  • @nasraljahadhamy4302
    @nasraljahadhamy4302 Před 2 lety

    Hahahahhaha

  • @maalimhamad1297
    @maalimhamad1297 Před 3 lety +1

    Nyinyi mnao jitia hakuna anaeabudu makaburi allah awatoehuko kwasababu nyinyi ndio mnaoabudu makaburi

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 Před rokem

    Ata hajui nini bidaa

  • @user-gg1zh6oe2w
    @user-gg1zh6oe2w Před rokem

    Huna elimu wewe

  • @mustafagomesa8360
    @mustafagomesa8360 Před rokem

    MASHEIKH WA MCHONGO......Wanaamka Asubuhi wanatafuta Kiki Wenzao wanatafuta Thawabu 😂😂😂😂

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 3 lety

    waislam / mashekh wetu watachomwa moto maana wamewapotosha sana watu
    mpaka leo waislam bado wanaabudıa maiti !
    Astaghafurullah *1000

  • @ahmadomar5114
    @ahmadomar5114 Před 3 lety +7

    Wacha kutudanganya hakuna anae abudu kaburi makaburi huzuriwa haya abudiwi

    • @ramadhanomar8093
      @ramadhanomar8093 Před 3 lety

      Wewe wapinga ukweli

    • @muhammadmjara6776
      @muhammadmjara6776 Před 3 lety

      using pingi halo yakuwa kitu kiko wazi kwamda murefu

    • @mustayoo
      @mustayoo Před 3 lety +1

      Nenda makaburi ya sarigpi utaona.usipinge kitu hujui.hii sio dini ya ujinga.mtume ametutia kwenyr kiza hatuezi kukubali kurudishwa kwenye kisa na wajinga

    • @mustayoo
      @mustayoo Před 3 lety

      Hayo ndo yenu.ila mwenye akili hawezi abudu kaburi wala kutegema kaburi

    • @ramadhanomar8093
      @ramadhanomar8093 Před 3 lety

      Ndo kwa maana tunasema hawana akili

  • @abdallahsaid4997
    @abdallahsaid4997 Před 3 lety

    Watu wanaelewe hakuna muislamu anae abudu kaburi.
    Mwenye kuathiri peke yake ni mwenyezi mungu lote hilo linaeleweka
    Mawaidha kama haya ndio yanasababisha waislamu wapigane na Kuuwana
    Mambo yaliyotendeka Syria ,Iraq ya waislamu kuwauwa wenzao kwa tuhuma ni washirikina ni kwa sababu ya darsa kama hizi na mashekhe kama hawa.
    Kama kutawasal kupitia mtuni shirki basi
    Masalaf wengi wamekufuru hii dini tunaepeleka wapi?

  • @ChachiMwaa
    @ChachiMwaa Před rokem

    Nilijua haya mambo yako India kumbe had kwetu yako?😥😥

  • @akidawangara2323
    @akidawangara2323 Před 3 lety

    Mi sitang'ang'ana kumueleza mtu huyu chochote. Ila kitu kimoja tu, hawa wafuasi wa Ibn Wahabi wanajua njia pekee ya kupata wafuasi ni kueneza uvumi dhidi ya watu wasiofata sera za Ibn Wahabi. Fundisheni dini, si kila siku twariqa..... Hakuna ilmu yeyote hapo, siasa tupu na kutafuta maslahi kwa wafadhili wao Saudia.

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety +1

      Ukweli unauma.
      Hapo shkh anakataza ushirikina wa kuabudu makaburi.
      Ili tuifuata tauhidi, lazima tuache ushirikina.

    • @wastarayussufu9463
      @wastarayussufu9463 Před 3 lety +1

      Wewe unapotosha watu huna elimu kasome mtume kasema tuyazuru makaburi na kwanini watu wafika madina kuliona kaburi la mtume na wakiswali pale kwani mtume amekua mungu

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 3 lety

      @@wastarayussufu9463
      Ukweli la
      Zima ukuume.
      Madhali munaomba maiti, mutaambiwa tu.

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před rokem

      ​@@abubakarmuhammadsaid3244 mbona hakuleta video tukidikia mtu aombe makubiri sisi twazuru makaburi na kuwaombea mungu wazee wetu lakini hawabudu makaburi muogopeni mungu siku ya kiyama mutakwenda kujibu maswali

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před rokem

      Wewe hujawahi kukisoma hata kitabu kimoja cha imaam Abdulwahhaab, hukijui alichokisema wala huijui akida yake, unachokijua wewe ni uzushi wa wazushi tu dhidi ya huyu shkh.
      Watu wanamsema vibaya, na wewe umeyabeba kichwani.

  • @jumaaomary4949
    @jumaaomary4949 Před 3 lety +3

    Usipotoe watu ww watu huenda kudhuru makaburi na kuwaombea dua mashekh zao n wazee wao sasa basi Mtume Saw asingesema hadithi ya mtomto mwema mwenye kuwaombea dua wazee wake dua sasa ujue tu unapokwenda kuwadhuru maiti huongeza khofu kw Allah na humkurubisha mja kwake Allah akijuwa kuwa n yeye ataacha dunia nkujikurubisha ktk Ibaadat

    • @anarduk6438
      @anarduk6438 Před 3 lety

      Kuwaombea Dua wazazi wako ni lzm uwende makaburini, lkn huwezi kumuombea ukiwa kwako au njiani au msikitini?

    • @zainabhussein9868
      @zainabhussein9868 Před 3 lety

      @@anarduk6438 aliyekwambia tusidhuru makaburi nani

    • @msellemnassir1831
      @msellemnassir1831 Před rokem

      Huyu hajui na haelewi Sisi watu wa twarika tunapoenda ziara tunaenda ku tawassul na waja wema waliotangulia

    • @JumaKhamis-cw8ec
      @JumaKhamis-cw8ec Před 11 měsíci

      Ni uwongo hamuwaombei dual tu munatawathul na kuwaomba munafanya ibada munabusu makaburi na siku hizi hadi dufu munawapigia kweli munawaelekeza watu kubaya