تبارك الرحمن.... Allah amejaaalia wewe kuwa asbaab ya kupatikana Haafidha wakike. Majengo Allah akuhifadhi na awahifadhi walimu wako na AJAALIE yote katika MIZANI zenu za wema
Sheikh Ibrahim hujadharauliwa kabisa kuitwa hivo,watu wa Lamu ndivo wanavozungumza hivo.kila sehemu wako na sheng yao. Sisi waislamu ni ndugu sote,na anaemdharau mwenzake basi hajausoma uislamu.
Ma sha Allah...Mungu akuhifadhi Bro, Binafsi nlikuja nairobi mda flani na nlipenda sanaa vile unaisoma Qur'an na sauti yko ma sha Allah, Allah akujaze hikma na ilmu zaid. Ningeomba kama kuna uwezekano uende studio na uwe na channel yako ya "Qur'an Recitation" itakuwa bora zaidi haswa kwa wale wanaopenda kuskiza ukisoma Qur'an, huenda itakugharimu ila kesho mbele ya Allah malipo yako ni tofauti. Shukraan
Wakikuyu wote wanafaa wakue waisilamu,dini ya haki inshallah.
Pongezi ndugu katika Uislamu baada ya kuona nuru ya Uislamu.Allah akubariki na akulinde.aaameeen.
تبارك الرحمن.... Allah amejaaalia wewe kuwa asbaab ya kupatikana Haafidha wakike. Majengo Allah akuhifadhi na awahifadhi walimu wako na AJAALIE yote katika MIZANI zenu za wema
اللهم لا تءاخني بما يقولون واغفرلي ما لا يعلمون واجعلني خيرا مما يظنون. Ameen nawe pia Sheikh Ali.
Ameeen
MashaaAllah your story is so inspiring...i really get emotional when you lead Us in majengo during Taraweh your recitation is so touching 😍
Sheikh Ibrahim hujadharauliwa kabisa kuitwa hivo,watu wa Lamu ndivo wanavozungumza hivo.kila sehemu wako na sheng yao. Sisi waislamu ni ndugu sote,na anaemdharau mwenzake basi hajausoma uislamu.
''ALLAH CHOSEN U''
🤲ALHAMDULILLAH🤲
الله أكبر
حفظك الله ورعاك يا معلمي.
وجزاك الله عنا خيرا.
Mashaallah Allah akuzidishie,
Ma sha Allah...Mungu akuhifadhi Bro, Binafsi nlikuja nairobi mda flani na nlipenda sanaa vile unaisoma Qur'an na sauti yko ma sha Allah, Allah akujaze hikma na ilmu zaid. Ningeomba kama kuna uwezekano uende studio na uwe na channel yako ya "Qur'an Recitation" itakuwa bora zaidi haswa kwa wale wanaopenda kuskiza ukisoma Qur'an, huenda itakugharimu ila kesho mbele ya Allah malipo yako ni tofauti. Shukraan
MashaAllah! I don't think they meant it in a derogatory term wakiswma "kijana cha ki kikuyu" ni lugha ila kwa watu wa bara inakua kama kudharau.
Ma sha Allah tabaraka Rahman
ماشاءالله تبارك الله الله يحفظك يا حبيبي.
Allaahu Akbar
مشءالله تبارك رحمن
mash allah
Sweet🥰🤲 wish I knew what he is saying. May Allah SWT bless him
Mashallah allah Akbar
Masha Allah,,Allah akuhifadhi,
Alhamdulillah! Allah Aqbar❤️
Masha Allah baraka llahu fiiykum
ماشاء الله
Maasha’alaah ❤❤❤❤❤
Masha Allah
Jinga Kabisa
UTAUMIA SANA
Maa shaa Allah tabarakallah