What knowledge? The guy doesn't even know how world time zones work.... If we follow his logic then he will also tell us every time zone will experience different qiyamas..... He doesn't make sense with his logic... Hajj is Arafat and we who are not in makka fast in that particular day and celebrate Eid the next day.... He's also giving examples of our grandfather's not having the cureent technology we enjoy today, well that technology has even made things easier for us.......
@@rabbithare381 hajj is arafa, but not fast is makka time zone. Hajj is not fast, and all guys in makka doesn't fast arafa. Moon site 9 is arafa, and nine fast. WALA YALI L ASHRI. AND THE TEN DAYS, FROM SINGHTING MOON ON YOUR COUNTRY IN SOLAR SYSTEMS AND MOONER SYSTEMS.
Kwani kutofautiana Kwa ikhtilaf ni Shari? Walitofautiana maimamu maulamaa na haikua Shari Bali ni ijtihad aliepatia kapata 2 aliokosea kapata 1 hakuna Shari hapo akhi
Masha Allah hii inabashiri vipi uislamu ni dini ya elmu na unaulazimu sisi waumin kuisoma na kuielewa dini na vipengele vyake Allah azidi kutujaalia elmu na maarifa yakunusuru dini na ibada zake 🤲
Sheikh Awes Allah akuzidishie ulishamaliza ila ni ule ubishi wao hao wahabi kwa kujiona wao ndo wanaelimu kuliko wengine na kila wanachokiongea wao ndo sawa .
Masha Allah sheikh Mbarak anakupa elimu kutoka ktk maulamaa wote sas wewe fuata ulipofaham lakin masheikh wengine wanazungumzia upande wao Tu wanapoamin 😢
Bahero hapotoshi ww ila anaongea vitu vya kweli na anajua aongea nn! Huyu awesu anakazania vitabu vingii ili apate points tu lkn wapi ! Bahero juu juu juu zaidi
Huyu sheikh Aweis nime muelewa vizuri ufafanuzi wake sheikh bahero anataka watu wafunge pamoja na washerehekee pamoja,lkn ajuwe duniani majira ni tofauti.hilo haliwezikani
Una nn maneno yote hayo kama mtoto wa kike😂😂😂una shida gani boss kwani umeshikiwa panga ufate mtu ama umelazimishwa? Umeelezwa thu ww …wataka kufata niww na kama hutaki pia niww na Mungu wako bado
Hawa mawahabi hawana wajualo wazitafsiri hadith kwa namna watakavo wao wangesoma mwanzo wakajua kila kitu na mpangilio wake lakini wao kusoma jawasomi kisha wajifanya maulamaa kweli Allah akujaze kila la kheri mbarak awes. Amiin
Mtu mjinga kama wewe hatukuzingatii sababu nyie mna karirir haya kama mwandamoo wakusudiwa wa hajji mbona mahujaji Hawa wa huku tz...au kesnya au Africa mashariki au mahujaji woote mbona wao wafuata arafa ya mamlaka
Swali la kiakili Jee kabla ya kuja utandawazi enzi za mkoloni watu walikifunga vp na kutoa eid vp Na jee watajuaje kua Makkah mwezi umeandama coz ilikua hakuna utanda wazi Wabillah tawfiq
@@giltaemi4017 ndugu yangu nenda ukaangalie historia ya mtume utapata kwamba arafa imekuja miaka saba kabla ya hajj kuja sasa hao watu walokuwa kabla ya hajj walkuwa wakifunga vipi Wewe ndo tumia akili Swaum ya arafa ni kitu tafauti kabsa na hijjah na wala hakuna kwenye hadithi mtume alituambia tuangalie mahujjaj bali mtume alpoulizwa ni ipi siku ya arafa akajibu kwamba ni tarehe tisa dhul hijjah Lakini si makosa yenu mawahabi hamukusoma
Sasa umesema apotosha kivipi hata aweso mekubali hapo kua miji ya mbali na maka na Kenya sio mbali hata dakika na masaa tuko sawa so inamaana iko Sawa waeza fuata na hya sio upotofu nyinyi wafuasi ndio mnajipotosha ww ukiona aweso uko Sawa mfuate ukiona bahero nisawa mfuate tuachieni ushabiki WA siasa hawa wote ni masheikh na wote wamesoma tupeaneni dharura Hilo mulijue waislam
Katika Masuala ya kielim nduguyng Allah akubarik una lugha nzur ya kuongea .nakusudia kusema masuala ya kielim yaanaangaliwa ktk fatwa za wanchuoni wa madhahib ya kiislam na lau kama tutaruhus kila Qauli ya mtu au shekh ktk masuala ya hukmu tutapotea Lkn tujue wapi tunarejea mas ala yanapokuja
Swali rahisi unajuaje kama saudia watu wako Arafah ispokua ni telecommunications,sasa zamani telecommunications zilikuapo walikua wakijua vp saudia wako arafah
روى ابن خزيمة وابن حبان والبزار وأبو يعلى والبيهقي عن جابر رضي الله عنه، مرفوعاً أيضاً: (ما من يوم أفضل عند الله من يوم عرفة، ينـزل الله تعالى إلى سماء الدنيا، فيباهي بأهل الأرض أهل السماء، فيقول: انظروا إلى عبادي، جاؤوني شعثاً غبراً ضاجِّين، جاؤوا من كل فج عميق، يرجون رحمتي، ولم يروا عقابي، فلم يُرَ يوماً أكثر عتقاً من النار، من يوم عرفة).
Wacha kutudanganya Aweso Alhajju Arafa,Ukifuata Arafa yako itahusiana na hijja gani?Maana Hajj ni Moja na iko Makkah. Mtume Aleiyhi salaam Asema kutakuja wanazuoni wapotofu kwahiyo Mukitatizika Murudi kwa Quran na Sunnah. Makhurafi munataabu Allah Awape uongofu
Hhhh mashallahu Allah akujaze kheyr Sheikh Mbarak Awes waLlahi maudhui yako wazi kabisa Allah atuongoze na atujaalie jamii ya waislamu tushikamane tue kitu kimoja kwakufuata kitabu Llahi waitrati Ahlul Beyt
Nikisoma comments,naona waislam wana comment kwa munaasaba wa maulid!..yaan maadamu sheikh bahero aelezea usawa lkn ni mpingaji maulid,basi watu wapinga tuuuu kwa hilo!!....😢
Anatolea dalili kutumia masheikh 😢 Ibn Qayim رحمه الله asema "kauli za ulamaa sio chochote yaani sio njia ya kutolea dalili bali ulamaa husherehesha kauli ya Allaah na Mtume wake
Does this sheikh in red cap say that every country has to see their local moon to celebrate Eid or hajj? So now the moon has become like rainfall where every where has their seasons? Guys hajj is Arafat, and when people are performing arafa we also fast all over the world and the next day we all celebrate Eid Al adha the next day... I hate sheikhs who confuse and complicate the deen.......
Jameni musipende kupishana kwa sababu ya dini, iwapo panatafauti kati ya maandishi na hamuelewani tafadhalini muitaneni na kuelewana kwa sababu ya waisilamu wote, musisindane sana tumieni hekima musioneshe upape eti nani bora kuliko mwinkine sio vizuri.
Hawa mawahabi hawataki kusoma wanasema watu wote duniani wafuge kwa pamoja na sisi tuko America 🇺🇸 tutafunga vipi kwa pamoja mawahabi hawakusoma ni fujo tu na kupoteza wapi
Fahamu kua Mtume Mohammad Amani ya Allah iwe juu yake alikua akifunga siku Tisa na ya Kumi akisali idd na kuchinja .Hii Ni kabla ya faradhi za hajj kuletwa.
@@yasirshee3152 Idd Al adhha ulikuja mbele ama Hajj? Kabla ya vyombo vya mawasiliano kuwepo watu walikua wakifunga Vipi? Walikua wakifuata muandamo wa mwezi au wakifuata Makkah? Na Hao watu wa mashariki ya Mbali Vipi wakiipata Arafa wakati kwao Ni magharibi na huko Makkah Ni mchana ? Na hizo fatwa za kina Alfauzan na Al sheikh kua watu wafuate muandamo katika nchi zao hazifai Tena ? Wenye elimu Ni kina Bahero na kishki? Mbona nyinyi mawahabi mwampenda mizozo? Na Muna lazima Gani mufuate Saudi ikiwa wenyewe wasema musiwafuate?
SWALI LANGU NI DOGO TUU KWA UST AWES NA YOYOTE MWENYE JAWABU. SWALI NI..... SIKU YA EID YA KUCHINJA, WAKtATI SISI TUNACHINJA, JE, MAHUJAJI WAO, WANAKULA KATIKA KUFANYA KITENDOKIPK... WANAKUA KATIKA KUTUFU AL KAABAH, WANAKUA ARAFAH AMA WANAKUA WAPI...???????
Mbona unawatoa waislam wenzako kwenye njia sahihi ya uislam 😢. Na kuwabeza kwa kuwakebehi,halafu kwenye ndevu umekosea pia tusibezane kwa mitazamo na kutiana kwenye makosa yasiyo na tija kwetu,eti watu wa mabomu 😢 sababu ndevu unawatia waislam wenzako kwenye njia batili why?
Wewe ndiyo huna hoja na Wala huelewi na huna elimu na huta elewa mpaka kiyama kisimame kwa ushahidi alioutoa wa hadithi za mtume shekh uwesu kama huja muelewa basi wewe ni maiti subiri uzikwe
Wee unahoja gani wakati mwenzako anakutajia mpk maraajiu au kupa vitabu vinavyo eleza hvyo na hadidhi we unasema haja hoja hvii una akilii timamu au una matope aisee
Nyie mbona watu wanauwelewa Mdogo hivi .Haya yote ni kuwa tumefika kuwafanya watu kuwa ndio viongozi wakuu kuliko Quran. kiukweli kwangu mimi shekh. simdharau lakini kamwe huwezi kuwa Mkuu kuliko Quran au Mtume. Soma dini yako elekeza watu kwa mujibu wa vile mandiko yanavyosema na wala sio kuchukuwa mawazo yako eti kwa kuwa shekh basi eti we ndio uwe wa kufauatwa sasa Mara oho kila Mtu na Arafa yake. Mara oho wa usiku atafunga vipi wakati kule mchana. Haya Sasa mtafika mahala mkatoa msamaha kwa kipofu asioona mwezi yeye hawajibiki kabisa kufunga. maana naona mnajipa madaraka makubwa kuliko. Mh. Sijui tunaielewaje dini yetu
Aweso Allah anapo teremka ateremka kiwanja gani cha arafa ikiwa arafa pia ipo kenya,hebu tieni akili mayi hufuma.munalazima mufanye kiwNja chenu cha arafa ,haha sasa mutasimama wapi kasarani ama nyayo? Kama hija ni arafa basi arafa ni moja tuu, kwa hivyo itafuteni arafa ya sasawa
Jee masheikh wenu kina Alfauzan na Al sheikh wamekosea kutowa fatwa zao kuhusu mambo hayo ? Ama bahero ana elimu kuwashinda Hao wanazuoni wa huko Saudia?
Acha chuki fungua akili acheni ujinga wakati mwingine hamskilizi hoja ata kidgo mnakosoa ata bila kuskilia aisee mawahabi ni mandazii tu akili hamna acheni ushabiki kama nyinyin ni watu wa kielem mnapo letewa hoja zipeni nafasi kwnye vichwa venu nyie ni mavi tyu
Huyuu mubaara hamjamuelewaaa ......yeye azungumzia mwez wa ramadhani au shawwali.....haya menginee mubaarak niporojotuu sio kwamaba hajuii ......hata shekh shuraeymuu imamu msaydizii wa msikit wa Makkah kasema swaumu ya arafaa inathibuiti mahujajii wakiwa wako siku ambayoo ina arafa....hata kama miji mingnee itakua kwao nitareh nane...
Dini hii Siya mashikhe Ni ya dalili mulikuwa mukisema mawahabi wafuta mashekhe Wa sudia Leo mutasemaje kumbe wafuta dalili Na hoja kumbe hawalipi Na sudia
Sheikh Ahmed umejitahid kuwafahamu Alhamdulilah Rabilaalamin wakikusikiliza sawa sawa umeeleza Allaah akubarik zaidi
Shukran sheikh mbarak Aweis kwa hakika umefikisha kwa njia fasaha kabisa, Mungu akujaze kila la kheir
Swaddaqta Ustadh Awes
Dr mbaraka uko vizuri
He brings proper quotations it shows how matured his knowledge is.
Shekh mubaaraka ahmed awes ni ktk wanachuoni wakubwa sana east africa....allaah amhifadhi na kulla la sharri
Mashaa Allah
Amin
Amin
amin
Aamiinn
Shukran sana al habeeb shekh mbaaraq aweis tumekuelewa vzur sana tu ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa faida
Amin
Those who want knowledge will definitely understand sheikh aweis
Understand what.
We know him he is someone keep a blind eye on the truth.
@@giltaemi4017 u have mad brain, so sorry. We know Shekh uwes as perfect Shekh.
True Awes yupo correct
What knowledge? The guy doesn't even know how world time zones work.... If we follow his logic then he will also tell us every time zone will experience different qiyamas..... He doesn't make sense with his logic... Hajj is Arafat and we who are not in makka fast in that particular day and celebrate Eid the next day.... He's also giving examples of our grandfather's not having the cureent technology we enjoy today, well that technology has even made things easier for us.......
@@rabbithare381 hajj is arafa, but not fast is makka time zone. Hajj is not fast, and all guys in makka doesn't fast arafa. Moon site 9 is arafa, and nine fast. WALA YALI L ASHRI. AND THE TEN DAYS, FROM SINGHTING MOON ON YOUR COUNTRY IN SOLAR SYSTEMS AND MOONER SYSTEMS.
Sheikh Bahero unasema kweli Mungu atakuhifadhi na kila shari kwa watu
Kwani kutofautiana Kwa ikhtilaf ni Shari? Walitofautiana maimamu maulamaa na haikua Shari Bali ni ijtihad aliepatia kapata 2 aliokosea kapata 1 hakuna Shari hapo akhi
Masha Allah hii inabashiri vipi uislamu ni dini ya elmu na unaulazimu sisi waumin kuisoma na kuielewa dini na vipengele vyake Allah azidi kutujaalia elmu na maarifa yakunusuru dini na ibada zake 🤲
Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh wetu na kila sharri, Aamin
Amin
Shekh uwesu hongera sana
Sheikh Awes Allah akuzidishie ulishamaliza ila ni ule ubishi wao hao wahabi kwa kujiona wao ndo wanaelimu kuliko wengine na kila wanachokiongea wao ndo sawa .
Mashaallah sheikh Mubaraka jazakum llahu khayra
mtazamo wako bahero na wendawazimu wenzako
Masha Allah sheikh Mbarak anakupa elimu kutoka ktk maulamaa wote sas wewe fuata ulipofaham lakin masheikh wengine wanazungumzia upande wao Tu wanapoamin 😢
Bahero hapotoshi ww ila anaongea vitu vya kweli na anajua aongea nn! Huyu awesu anakazania vitabu vingii ili apate points tu lkn wapi ! Bahero juu juu juu zaidi
Kama hujamuelewa sheikh Mbaraka Awes Allah amuhifadh..
itakuwa huelewi tu .
Huyu sheikh Aweis nime muelewa vizuri ufafanuzi wake sheikh bahero anataka watu wafunge pamoja na washerehekee pamoja,lkn ajuwe duniani majira ni tofauti.hilo haliwezikani
Inawezekana
MASHA ALLAH
NYINYI NDIO MNOTIA WATU PEPONI NA MOTONI NA KAMA HUJA FATA SOUDIA HUNA PEPO NA CHAAJABU WATU HAWA LIKIPATWA JUA AU MWEZI MBONA HAMSALI
Una nn maneno yote hayo kama mtoto wa kike😂😂😂una shida gani boss kwani umeshikiwa panga ufate mtu ama umelazimishwa? Umeelezwa thu ww …wataka kufata niww na kama hutaki pia niww na Mungu wako bado
Sheikh ahmed aweis unaeleweka sana mashallah
Hawa mawahabi hawana wajualo wazitafsiri hadith kwa namna watakavo wao wangesoma mwanzo wakajua kila kitu na mpangilio wake lakini wao kusoma jawasomi kisha wajifanya maulamaa kweli
Allah akujaze kila la kheri mbarak awes.
Amiin
Mtu mjinga kama wewe hatukuzingatii sababu nyie mna karirir haya kama mwandamoo wakusudiwa wa hajji mbona mahujaji Hawa wa huku tz...au kesnya au Africa mashariki au mahujaji woote mbona wao wafuata arafa ya mamlaka
Tumia akili acha kufata mkumbo kama bendela.
Huyu jamaa muongo aweso vitabu tunavyo wanazuoni wanasema kufunga ni kufuata mahujaji.
Na yeye anasema hakuna mwanazuoni anae sema hivyo.
Jamaaa muongo
Swali la kiakili
Jee kabla ya kuja utandawazi enzi za mkoloni watu walikifunga vp na kutoa eid vp
Na jee watajuaje kua Makkah mwezi umeandama coz ilikua hakuna utanda wazi
Wabillah tawfiq
@@giltaemi4017 ndugu yangu nenda ukaangalie historia ya mtume utapata kwamba arafa imekuja miaka saba kabla ya hajj kuja sasa hao watu walokuwa kabla ya hajj walkuwa wakifunga vipi
Wewe ndo tumia akili
Swaum ya arafa ni kitu tafauti kabsa na hijjah na wala hakuna kwenye hadithi mtume alituambia tuangalie mahujjaj bali mtume alpoulizwa ni ipi siku ya arafa akajibu kwamba ni tarehe tisa dhul hijjah
Lakini si makosa yenu mawahabi hamukusoma
@@abuushakiraddausiy8666na wewe na mwandawazimu mwenzako bahero hatuazingatii kwa sbb akili zumenu zipo ktk tupu zenu
Huyu Shekh Bahero jaman mbona anapotosha jmn huyu kijana Awes anaongea kielimu
Sasa umesema apotosha kivipi hata aweso mekubali hapo kua miji ya mbali na maka na Kenya sio mbali hata dakika na masaa tuko sawa so inamaana iko Sawa waeza fuata na hya sio upotofu nyinyi wafuasi ndio mnajipotosha ww ukiona aweso uko Sawa mfuate ukiona bahero nisawa mfuate tuachieni ushabiki WA siasa hawa wote ni masheikh na wote wamesoma tupeaneni dharura Hilo mulijue waislam
Katika Masuala ya kielim nduguyng
Allah akubarik una lugha nzur ya kuongea .nakusudia kusema masuala ya kielim yaanaangaliwa ktk fatwa za wanchuoni wa madhahib ya kiislam na lau kama tutaruhus kila Qauli ya mtu au shekh ktk masuala ya hukmu tutapotea
Lkn tujue wapi tunarejea mas ala yanapokuja
@@nassirmohd2851 kwani bahero ameangalia nn yy yake kichwani pia ako na zake dalili .
Swali rahisi unajuaje kama saudia watu wako Arafah ispokua ni telecommunications,sasa zamani telecommunications zilikuapo walikua wakijua vp saudia wako arafah
Kalaam faarigh haya
روى ابن خزيمة وابن حبان والبزار وأبو يعلى والبيهقي عن جابر رضي الله عنه، مرفوعاً أيضاً: (ما من يوم أفضل عند الله من يوم عرفة، ينـزل الله تعالى إلى سماء الدنيا، فيباهي بأهل الأرض أهل السماء، فيقول: انظروا إلى عبادي، جاؤوني شعثاً غبراً ضاجِّين، جاؤوا من كل فج عميق، يرجون رحمتي، ولم يروا عقابي، فلم يُرَ يوماً أكثر عتقاً من النار، من يوم عرفة).
Kwa watu wengine huwa ni usiku, na malaika wanashuka mchana ndio YAUMA kwa kiarabu. Sasa watafunga usiku au?
Sema kiukweli Mawahabi kuna mahali wanapelea kielimu huyu shekhe mwenye kanzu nyeusi yupo sawasawa
Hayupo Sawa Soma vizuri ili ujue dini
Wacha kutudanganya Aweso Alhajju Arafa,Ukifuata Arafa yako itahusiana na hijja gani?Maana Hajj ni Moja na iko Makkah. Mtume Aleiyhi salaam Asema kutakuja wanazuoni wapotofu kwahiyo Mukitatizika Murudi kwa Quran na Sunnah. Makhurafi munataabu Allah Awape uongofu
Allah anapo teremka huteremka kiwanja gani cha arafa?cha kenya ama saudia?
Dah hawa masheikh kweli walisoma wakaelewe kweli yaaani ni mazuzu kweli kweli.
Tutapata wapi maneno ya hao ama hizo fatawah za makah.. UST Awws
Hhhh mashallahu Allah akujaze kheyr Sheikh Mbarak Awes waLlahi maudhui yako wazi kabisa Allah atuongoze na atujaalie jamii ya waislamu tushikamane tue kitu kimoja kwakufuata kitabu Llahi waitrati Ahlul Beyt
majibu mtamu Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nikisoma comments,naona waislam wana comment kwa munaasaba wa maulid!..yaan maadamu sheikh bahero aelezea usawa lkn ni mpingaji maulid,basi watu wapinga tuuuu kwa hilo!!....😢
Awes amenukuu vitabu lakini hakuvifahamu من يرد الله به خيراً بفقه في الدين
Umemwelewa vizur tuu sema kinacho kuumiza weye ni madhehebu
Kweli sheikh wa kiwahabi ni ma mbumbumbu.
Anatolea dalili kutumia masheikh 😢
Ibn Qayim رحمه الله asema "kauli za ulamaa sio chochote yaani sio njia ya kutolea dalili bali ulamaa husherehesha kauli ya Allaah na Mtume wake
Kwao ni wapi
Tutapata wapi maneno ya imam ibn temyah ????
Does this sheikh in red cap say that every country has to see their local moon to celebrate Eid or hajj? So now the moon has become like rainfall where every where has their seasons? Guys hajj is Arafat, and when people are performing arafa we also fast all over the world and the next day we all celebrate Eid Al adha the next day... I hate sheikhs who confuse and complicate the deen.......
Jameni musipende kupishana kwa sababu ya dini, iwapo panatafauti kati ya maandishi na hamuelewani tafadhalini muitaneni na kuelewana kwa sababu ya waisilamu wote, musisindane sana tumieni hekima musioneshe upape eti nani bora kuliko mwinkine sio vizuri.
Shekhe lazima uachane na matatizk ya Tokyo.
Ongea kuhusu Kenya wkt huu wa sasa. Twende njia gani bora?
Kwani mashekhe zake ni masahaba?
Naam masha Allah sheikh mbaraka😊
Matlai ya kwao ni ipi?. Na Mwezi wa kwao ni upi?.
Rabaika ya Ahalulbayt
Eee nkidhi wee bado tu hushikwa kwa ndowana huchi akili.
heshimu sheikh bahero he's a ledgend
Zamani wakifunga vp na walijuaje kama Huko ushaandama ??
Bahero kweli ni jahil kamili
Saw ww ambaye sio jahili
Hivi nyinyi mawahabi ambao ni wafuhas mbona hamtoi dalili kama haweso wala amuangalii dalili
Shekh uwesu nimekuelewa vyema masha allah allah akuzidie elmu
Hawa mawahabi hawataki kusoma wanasema watu wote duniani wafuge kwa pamoja na sisi tuko America 🇺🇸 tutafunga vipi kwa pamoja mawahabi hawakusoma ni fujo tu na kupoteza wapi
HAPA HAPATAKIWI SHEIKH. ACHENI UHUNI BWANAAA ARAFA NI KESHO. MUANDAMO UPI UMETOFAUTIANA?.. ACHENI UZWAZWA NYINYI.
Miki sitomuacha Sheikh Mmabarak nikamfata Baherrowwww
Bahero yuko Sawa eid ni juma tano mutafute shekhe Muhammad bachu ndiyo utajua ukweli
Nashangaa kuona Sheikh Bahero akitafsiri chenye mtume amefundisha ilhali sheikh aweso yuapambania mawazo ya maulamaa
Madhihabu ndo inakuumiza ila nasmiji umenwelewa vizur tuu
Mimi hua namuhurumia huyu bahero atafuta umaarufu Kwa kupingapinga خلاف تعرف
Mnatuchanganya nyny mnataka bakora
UST Awws.. wataja majina ya wanavioni na hutupi reverence ya kitabu na number 😅😅😅😅
Ukitka tutatajiwa kaka siyobkwmba hana maegemeo
Shekh Bahero ako sawa mahujaji wafuate mwandamo wa makkah, hata ikiwa nigeria wametangulia.
Sasa tukifunga siku ya tisa kwa muandamo wa mwezi wa Kenya tutasemaje?yani ni saum gani?tuitweje hio saum?
Fahamu kua Mtume Mohammad Amani ya Allah iwe juu yake alikua akifunga siku Tisa na ya Kumi akisali idd na kuchinja .Hii Ni kabla ya faradhi za hajj kuletwa.
@@hassanalhussein3982
Sasa hio siku ya tisa yaitwaje?
@@yasirshee3152 Idd Al adhha ulikuja mbele ama Hajj? Kabla ya vyombo vya mawasiliano kuwepo watu walikua wakifunga Vipi? Walikua wakifuata muandamo wa mwezi au wakifuata Makkah? Na Hao watu wa mashariki ya Mbali Vipi wakiipata Arafa wakati kwao Ni magharibi na huko Makkah Ni mchana ? Na hizo fatwa za kina Alfauzan na Al sheikh kua watu wafuate muandamo katika nchi zao hazifai Tena ? Wenye elimu Ni kina Bahero na kishki? Mbona nyinyi mawahabi mwampenda mizozo? Na Muna lazima Gani mufuate Saudi ikiwa wenyewe wasema musiwafuate?
Yafaa uelewe kuna Arafat mahala na kuna Arafat siku, sisi tunafunga yaumu Arafat yaani mwezi tisa(mahujaj wanasimama Arafat makaan)
Bahero anaongea vitu very logig na vya kweli! Huyu bahero apewe maua yake maana anaongea elimu ya kweli
Kwani hija kutokea wakati Wa Ibrahim
Shekh Bahero hili la hajj arafah kafahamu vibaya, 😂 Fahamu zake zimeingiwa na maradhi.
SWALI LANGU NI DOGO TUU KWA UST AWES NA YOYOTE MWENYE JAWABU. SWALI NI..... SIKU YA EID YA KUCHINJA, WAKtATI SISI TUNACHINJA, JE, MAHUJAJI WAO, WANAKULA KATIKA KUFANYA KITENDOKIPK... WANAKUA KATIKA KUTUFU AL KAABAH, WANAKUA ARAFAH AMA WANAKUA WAPI...???????
Nawashanga watu wa bidah
Ijumah aziwi mbili
Ila wanataka idi mbili !
Sheikh anatoa ktk dalili za wanazuoni muutamad
Saudia mara nyingi hawafwati mwezi wanatangaza tu hata km haujaonekana baadae utasikia wamekosea
Hoja zote Zina mashiko
Hazina bahero ndiyo yuko sawa
@@fatumajuma592 wote wako sawa manake wote Wana dalili
@@fatumajuma592huna akili wewe
Hizo hujja anazozitoa dokta Mubarak unazijua wew
Shekh awes achana na mashekh hawana elimu KAZI Yao ni kutafuta umaarufu bila kusoma
Allah atujaaliye walinganizi wakulingania watu ktka milango ya pepo czcams.com/video/-FGBJ3gRbuk/video.html
Ww wanukuu tu lkn huna uelewa wa nusuus hiz
tufahamishe wewe tuelewe, lete dalili
Ata mufahamishwe vip hamfaham wala hamuelew kwan shek mbaraka kashawapa mpk fatwa za hao muwategemeao lkn vichwa ngumu hamuelew
Bora alionukuu tukamfahamu vizuri. WEWE HUTAKI KUNUKUU KWASABABU UNATAKA KUPINDISHA MAANA. TUNAKUJUENI MAWAHABI
Sasa wewe kama hujanukui unataka kutunga yako toka kichwani mwakao na roho mbya kama hiyo
Bahero kakosea hapo
mawahabi hawana diini na hawana akili, mahawabi wana kidefu kubwa na bomu tu.
Babaaako ndio mwenye diin shenzi
🤣🤣🤣, devu ka beeru, mabichwa BUFURU. Nini faida?
Mbona unawatoa waislam wenzako kwenye njia sahihi ya uislam 😢. Na kuwabeza kwa kuwakebehi,halafu kwenye ndevu umekosea pia tusibezane kwa mitazamo na kutiana kwenye makosa yasiyo na tija kwetu,eti watu wa mabomu 😢 sababu ndevu unawatia waislam wenzako kwenye njia batili why?
@@sahimm4767 kwasababu wakifuga ndevu wanajipa uimamu. Wanafkiri ndevu ndio kujua dini Kumbe mibichwa BUFURU
Tatizo la Mawahhabbi ni chuki na kibri na hasiraaaaa. Basi hata kauli za mashekhe zao hawawasikilizi pia
Hakuna chuki wala bahili Hakuna arafa mbili upo arafa ni moja ambayo iko makkah
Bahero amashinda hapo
Bahero yuko sawa
Ni mtupu kabisaa labda kama unaleta mambo takimadhihabu
Bahero anatoa kichwani kwake hapambanui hija na funga
قَطْرٍ
Ni jimbo !!!!
aweis hauna huja huelewi maana ya mwezi kuonekana umeshaonekana sasa waona unaelewa kumbe wajichanganya
Wewe ndiyo huna hoja na Wala huelewi na huna elimu na huta elewa mpaka kiyama kisimame kwa ushahidi alioutoa wa hadithi za mtume shekh uwesu kama huja muelewa basi wewe ni maiti subiri uzikwe
Wee unahoja gani wakati mwenzako anakutajia mpk maraajiu au kupa vitabu vinavyo eleza hvyo na hadidhi we unasema haja hoja hvii una akilii timamu au una matope aisee
Nyie mbona watu wanauwelewa Mdogo hivi .Haya yote ni kuwa tumefika kuwafanya watu kuwa ndio viongozi wakuu kuliko Quran. kiukweli kwangu mimi shekh. simdharau lakini kamwe huwezi kuwa Mkuu kuliko Quran au Mtume. Soma dini yako elekeza watu kwa mujibu wa vile mandiko yanavyosema na wala sio kuchukuwa mawazo yako eti kwa kuwa shekh basi eti we ndio uwe wa kufauatwa sasa Mara oho kila Mtu na Arafa yake. Mara oho wa usiku atafunga vipi wakati kule mchana. Haya Sasa mtafika mahala mkatoa msamaha kwa kipofu asioona mwezi yeye hawajibiki kabisa kufunga. maana naona mnajipa madaraka makubwa kuliko. Mh. Sijui tunaielewaje dini yetu
Eti mbarak aweso ni mwanachuoni,jee unajua maana na mwanachuoni
Huyu bahero anaongea huku Anajicheka..... kah
Mwandamo ukishaandaama ya Nini tusubiri mwengine, mwandamo,wakati mkienda hajj mnawafuata mbona hamsemi mwasubiri wa kwenu
Shekh ni ubishi huo
Hutaki kuelewa kwa kurejea fatuwa zote walizozitoa mashekh wa Makkah lakini bado hamridhiki hiyo ni chuki binafsi
Mbn wao hawawafuati nyinyi kama siyo mmeolewa na saudia abia badala mufate hoja za kielimu
@@maulidshaban5496 cha ajabu wengi wanaobisha hamnazo,wanabisha tuu sababu wanafuata mashekhe fulani
Aweso
Allah anapo teremka ateremka kiwanja gani cha arafa ikiwa arafa pia ipo kenya,hebu tieni akili mayi hufuma.munalazima mufanye kiwNja chenu cha arafa ,haha sasa mutasimama wapi kasarani ama nyayo?
Kama hija ni arafa basi arafa ni moja tuu, kwa hivyo itafuteni arafa ya sasawa
Ikiwa huta funga araf ni kweli huna wacha kuguhuna maneno
Tende 😢 mtiani kwa vishekh vyetu
Wee unadharau yani watu wanao tuongoza kw ilimu zao unasema vishekhe hzo ni chuku binafs
Kweli shekhe bahero yuko vizuri hawa watu wa bidaa kila kitu wanazusha
Jee masheikh wenu kina Alfauzan na Al sheikh wamekosea kutowa fatwa zao kuhusu mambo hayo ? Ama bahero ana elimu kuwashinda Hao wanazuoni wa huko Saudia?
Hawa ndio wale masheikh Allah atawadhibu kwa elimu zao walizitumia vibaya kwa kutaka tonge la dunia.
Subhaanallah wawahukumia watu moto
Inna lillahi wainna ilaihi raajiuun
Kwani mungu n mamako gasia takataka wewe
Umekwenda mbali Ndugu taka msamaha kwa Allah
Upawa hoja 😅 sasa unkua watia watu motoni
Aya gani ulitumia kuhukumia
Wewe unasema naiijeri ugesama Maka muongo wewe
Acha chuki fungua akili acheni ujinga wakati mwingine hamskilizi hoja ata kidgo mnakosoa ata bila kuskilia aisee mawahabi ni mandazii tu akili hamna acheni ushabiki kama nyinyin ni watu wa kielem mnapo letewa hoja zipeni nafasi kwnye vichwa venu nyie ni mavi tyu
Huyuu mubaara hamjamuelewaaa ......yeye azungumzia mwez wa ramadhani au shawwali.....haya menginee mubaarak niporojotuu sio kwamaba hajuii ......hata shekh shuraeymuu imamu msaydizii wa msikit wa Makkah kasema swaumu ya arafaa inathibuiti mahujajii wakiwa wako siku ambayoo ina arafa....hata kama miji mingnee itakua kwao nitareh nane...
WEWE NDIO ZUNGUMZIA RAMADHANI. SISI TUMEMUELEWA. MASUALI NA MAJIBU YAMEHUSU HIJJA, WEWE NDUGU YAKE BAHERO TULIA UNYOLEWE
Sasa wee toyoi waelewa Nini
Dini hii Siya mashikhe
Ni ya dalili mulikuwa mukisema mawahabi wafuta mashekhe Wa sudia Leo mutasemaje kumbe wafuta dalili Na hoja kumbe hawalipi Na sudia