Majibu Sahihi Dhidi ya Sheikh Ali Bahero | Part 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 175

  • @w4058
    @w4058 Před rokem +9

    Sheikh Ahmed umejitahid kuwafahamu Alhamdulilah Rabilaalamin wakikusikiliza sawa sawa umeeleza Allaah akubarik zaidi

  • @HossamHossam-zs1hk
    @HossamHossam-zs1hk Před rokem +4

    Shukran sheikh mbarak Aweis kwa hakika umefikisha kwa njia fasaha kabisa, Mungu akujaze kila la kheir

  • @MohamedAbdala-eb8wl
    @MohamedAbdala-eb8wl Před rokem +12

    Swaddaqta Ustadh Awes

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    Dr mbaraka uko vizuri

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Před rokem +4

    He brings proper quotations it shows how matured his knowledge is.

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Před rokem +12

    Shekh mubaaraka ahmed awes ni ktk wanachuoni wakubwa sana east africa....allaah amhifadhi na kulla la sharri

  • @allylassuh4947
    @allylassuh4947 Před rokem +4

    Shukran sana al habeeb shekh mbaaraq aweis tumekuelewa vzur sana tu ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutupa faida

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 Před rokem +15

    Those who want knowledge will definitely understand sheikh aweis

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Před rokem +2

      Understand what.
      We know him he is someone keep a blind eye on the truth.

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@giltaemi4017 u have mad brain, so sorry. We know Shekh uwes as perfect Shekh.

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 Před rokem +1

      True Awes yupo correct

    • @rabbithare381
      @rabbithare381 Před rokem +1

      What knowledge? The guy doesn't even know how world time zones work.... If we follow his logic then he will also tell us every time zone will experience different qiyamas..... He doesn't make sense with his logic... Hajj is Arafat and we who are not in makka fast in that particular day and celebrate Eid the next day.... He's also giving examples of our grandfather's not having the cureent technology we enjoy today, well that technology has even made things easier for us.......

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@rabbithare381 hajj is arafa, but not fast is makka time zone. Hajj is not fast, and all guys in makka doesn't fast arafa. Moon site 9 is arafa, and nine fast. WALA YALI L ASHRI. AND THE TEN DAYS, FROM SINGHTING MOON ON YOUR COUNTRY IN SOLAR SYSTEMS AND MOONER SYSTEMS.

  • @akmaljamal1582
    @akmaljamal1582 Před rokem +4

    Sheikh Bahero unasema kweli Mungu atakuhifadhi na kila shari kwa watu

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 Před rokem

      Kwani kutofautiana Kwa ikhtilaf ni Shari? Walitofautiana maimamu maulamaa na haikua Shari Bali ni ijtihad aliepatia kapata 2 aliokosea kapata 1 hakuna Shari hapo akhi

  • @katore1982
    @katore1982 Před rokem

    Masha Allah hii inabashiri vipi uislamu ni dini ya elmu na unaulazimu sisi waumin kuisoma na kuielewa dini na vipengele vyake Allah azidi kutujaalia elmu na maarifa yakunusuru dini na ibada zake 🤲

  • @zimammbaruk4231
    @zimammbaruk4231 Před rokem +3

    Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh wetu na kila sharri, Aamin

  • @maulidshaban5496
    @maulidshaban5496 Před rokem +2

    Shekh uwesu hongera sana

  • @rahakesho5550
    @rahakesho5550 Před rokem +6

    Sheikh Awes Allah akuzidishie ulishamaliza ila ni ule ubishi wao hao wahabi kwa kujiona wao ndo wanaelimu kuliko wengine na kila wanachokiongea wao ndo sawa .

  • @shabanmohamed-wi3qz
    @shabanmohamed-wi3qz Před rokem +2

    Mashaallah sheikh Mubaraka jazakum llahu khayra

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 Před rokem +4

    mtazamo wako bahero na wendawazimu wenzako

  • @mbarakahassan7436
    @mbarakahassan7436 Před rokem +2

    Masha Allah sheikh Mbarak anakupa elimu kutoka ktk maulamaa wote sas wewe fuata ulipofaham lakin masheikh wengine wanazungumzia upande wao Tu wanapoamin 😢

  • @maase2023
    @maase2023 Před rokem +1

    Bahero hapotoshi ww ila anaongea vitu vya kweli na anajua aongea nn! Huyu awesu anakazania vitabu vingii ili apate points tu lkn wapi ! Bahero juu juu juu zaidi

  • @tablawys
    @tablawys Před rokem +3

    Kama hujamuelewa sheikh Mbaraka Awes Allah amuhifadh..
    itakuwa huelewi tu .

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před rokem +4

    Huyu sheikh Aweis nime muelewa vizuri ufafanuzi wake sheikh bahero anataka watu wafunge pamoja na washerehekee pamoja,lkn ajuwe duniani majira ni tofauti.hilo haliwezikani

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před rokem +2

    MASHA ALLAH

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 Před rokem +5

    NYINYI NDIO MNOTIA WATU PEPONI NA MOTONI NA KAMA HUJA FATA SOUDIA HUNA PEPO NA CHAAJABU WATU HAWA LIKIPATWA JUA AU MWEZI MBONA HAMSALI

    • @swalehjamal4867
      @swalehjamal4867 Před rokem

      Una nn maneno yote hayo kama mtoto wa kike😂😂😂una shida gani boss kwani umeshikiwa panga ufate mtu ama umelazimishwa? Umeelezwa thu ww …wataka kufata niww na kama hutaki pia niww na Mungu wako bado

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před rokem +2

    Sheikh ahmed aweis unaeleweka sana mashallah

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Před rokem +6

    Hawa mawahabi hawana wajualo wazitafsiri hadith kwa namna watakavo wao wangesoma mwanzo wakajua kila kitu na mpangilio wake lakini wao kusoma jawasomi kisha wajifanya maulamaa kweli
    Allah akujaze kila la kheri mbarak awes.
    Amiin

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před rokem +1

      Mtu mjinga kama wewe hatukuzingatii sababu nyie mna karirir haya kama mwandamoo wakusudiwa wa hajji mbona mahujaji Hawa wa huku tz...au kesnya au Africa mashariki au mahujaji woote mbona wao wafuata arafa ya mamlaka

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 Před rokem +1

      Tumia akili acha kufata mkumbo kama bendela.
      Huyu jamaa muongo aweso vitabu tunavyo wanazuoni wanasema kufunga ni kufuata mahujaji.
      Na yeye anasema hakuna mwanazuoni anae sema hivyo.
      Jamaaa muongo

    • @abubakarbarisa001
      @abubakarbarisa001 Před rokem +3

      Swali la kiakili
      Jee kabla ya kuja utandawazi enzi za mkoloni watu walikifunga vp na kutoa eid vp
      Na jee watajuaje kua Makkah mwezi umeandama coz ilikua hakuna utanda wazi
      Wabillah tawfiq

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Před rokem +1

      @@giltaemi4017 ndugu yangu nenda ukaangalie historia ya mtume utapata kwamba arafa imekuja miaka saba kabla ya hajj kuja sasa hao watu walokuwa kabla ya hajj walkuwa wakifunga vipi
      Wewe ndo tumia akili
      Swaum ya arafa ni kitu tafauti kabsa na hijjah na wala hakuna kwenye hadithi mtume alituambia tuangalie mahujjaj bali mtume alpoulizwa ni ipi siku ya arafa akajibu kwamba ni tarehe tisa dhul hijjah
      Lakini si makosa yenu mawahabi hamukusoma

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před rokem

      ​@@abuushakiraddausiy8666na wewe na mwandawazimu mwenzako bahero hatuazingatii kwa sbb akili zumenu zipo ktk tupu zenu

  • @nassirmohd2851
    @nassirmohd2851 Před rokem +9

    Huyu Shekh Bahero jaman mbona anapotosha jmn huyu kijana Awes anaongea kielimu

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem +1

      Sasa umesema apotosha kivipi hata aweso mekubali hapo kua miji ya mbali na maka na Kenya sio mbali hata dakika na masaa tuko sawa so inamaana iko Sawa waeza fuata na hya sio upotofu nyinyi wafuasi ndio mnajipotosha ww ukiona aweso uko Sawa mfuate ukiona bahero nisawa mfuate tuachieni ushabiki WA siasa hawa wote ni masheikh na wote wamesoma tupeaneni dharura Hilo mulijue waislam

    • @nassirmohd2851
      @nassirmohd2851 Před rokem

      Katika Masuala ya kielim nduguyng
      Allah akubarik una lugha nzur ya kuongea .nakusudia kusema masuala ya kielim yaanaangaliwa ktk fatwa za wanchuoni wa madhahib ya kiislam na lau kama tutaruhus kila Qauli ya mtu au shekh ktk masuala ya hukmu tutapotea
      Lkn tujue wapi tunarejea mas ala yanapokuja

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před rokem

      @@nassirmohd2851 kwani bahero ameangalia nn yy yake kichwani pia ako na zake dalili .

    • @abdab8466
      @abdab8466 Před rokem

      Swali rahisi unajuaje kama saudia watu wako Arafah ispokua ni telecommunications,sasa zamani telecommunications zilikuapo walikua wakijua vp saudia wako arafah

    • @nassirmohd2851
      @nassirmohd2851 Před rokem

      Kalaam faarigh haya

  • @shafieirey9838
    @shafieirey9838 Před rokem +2

    روى ابن خزيمة وابن حبان والبزار وأبو يعلى والبيهقي عن جابر رضي الله عنه، مرفوعاً أيضاً: (ما من يوم أفضل عند الله من يوم عرفة، ينـزل الله تعالى إلى سماء الدنيا، فيباهي بأهل الأرض أهل السماء، فيقول: انظروا إلى عبادي، جاؤوني شعثاً غبراً ضاجِّين، جاؤوا من كل فج عميق، يرجون رحمتي، ولم يروا عقابي، فلم يُرَ يوماً أكثر عتقاً من النار، من يوم عرفة).

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      Kwa watu wengine huwa ni usiku, na malaika wanashuka mchana ndio YAUMA kwa kiarabu. Sasa watafunga usiku au?

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před rokem +4

    Sema kiukweli Mawahabi kuna mahali wanapelea kielimu huyu shekhe mwenye kanzu nyeusi yupo sawasawa

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 Před rokem +1

    Wacha kutudanganya Aweso Alhajju Arafa,Ukifuata Arafa yako itahusiana na hijja gani?Maana Hajj ni Moja na iko Makkah. Mtume Aleiyhi salaam Asema kutakuja wanazuoni wapotofu kwahiyo Mukitatizika Murudi kwa Quran na Sunnah. Makhurafi munataabu Allah Awape uongofu

    • @FarahJey
      @FarahJey Před rokem

      Allah anapo teremka huteremka kiwanja gani cha arafa?cha kenya ama saudia?

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem +2

    Dah hawa masheikh kweli walisoma wakaelewe kweli yaaani ni mazuzu kweli kweli.

  • @jumpjumpin1477
    @jumpjumpin1477 Před rokem

    Tutapata wapi maneno ya hao ama hizo fatawah za makah.. UST Awws

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před rokem +4

    Hhhh mashallahu Allah akujaze kheyr Sheikh Mbarak Awes waLlahi maudhui yako wazi kabisa Allah atuongoze na atujaalie jamii ya waislamu tushikamane tue kitu kimoja kwakufuata kitabu Llahi waitrati Ahlul Beyt

  • @hashimiyDaudii
    @hashimiyDaudii Před 5 měsíci

    majibu mtamu Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @athmandaba1420
    @athmandaba1420 Před rokem +1

    Nikisoma comments,naona waislam wana comment kwa munaasaba wa maulid!..yaan maadamu sheikh bahero aelezea usawa lkn ni mpingaji maulid,basi watu wapinga tuuuu kwa hilo!!....😢

  • @AbuAbdillaah-oy3kd
    @AbuAbdillaah-oy3kd Před rokem

    Awes amenukuu vitabu lakini hakuvifahamu من يرد الله به خيراً بفقه في الدين

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 6 měsíci

      Umemwelewa vizur tuu sema kinacho kuumiza weye ni madhehebu

  • @irtshisekedikhamis5648
    @irtshisekedikhamis5648 Před rokem +1

    Kweli sheikh wa kiwahabi ni ma mbumbumbu.

  • @SugowFarah-up3db
    @SugowFarah-up3db Před rokem

    Anatolea dalili kutumia masheikh 😢
    Ibn Qayim رحمه الله asema "kauli za ulamaa sio chochote yaani sio njia ya kutolea dalili bali ulamaa husherehesha kauli ya Allaah na Mtume wake

  • @MustafaOyoo-qz7rp
    @MustafaOyoo-qz7rp Před rokem

    Kwao ni wapi

  • @jumpjumpin1477
    @jumpjumpin1477 Před rokem

    Tutapata wapi maneno ya imam ibn temyah ????

  • @rabbithare381
    @rabbithare381 Před rokem

    Does this sheikh in red cap say that every country has to see their local moon to celebrate Eid or hajj? So now the moon has become like rainfall where every where has their seasons? Guys hajj is Arafat, and when people are performing arafa we also fast all over the world and the next day we all celebrate Eid Al adha the next day... I hate sheikhs who confuse and complicate the deen.......

  • @salimsaleh4773
    @salimsaleh4773 Před rokem

    Jameni musipende kupishana kwa sababu ya dini, iwapo panatafauti kati ya maandishi na hamuelewani tafadhalini muitaneni na kuelewana kwa sababu ya waisilamu wote, musisindane sana tumieni hekima musioneshe upape eti nani bora kuliko mwinkine sio vizuri.

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 Před rokem

    Shekhe lazima uachane na matatizk ya Tokyo.
    Ongea kuhusu Kenya wkt huu wa sasa. Twende njia gani bora?

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Před rokem

    Kwani mashekhe zake ni masahaba?

  • @athumanhotty227
    @athumanhotty227 Před rokem

    Naam masha Allah sheikh mbaraka😊

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 Před rokem

    Matlai ya kwao ni ipi?. Na Mwezi wa kwao ni upi?.

  • @alshamsitz3961
    @alshamsitz3961 Před rokem

    Rabaika ya Ahalulbayt

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před rokem +2

    Eee nkidhi wee bado tu hushikwa kwa ndowana huchi akili.

  • @akkie2023
    @akkie2023 Před rokem

    heshimu sheikh bahero he's a ledgend

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před rokem

    Zamani wakifunga vp na walijuaje kama Huko ushaandama ??

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem +4

    Bahero kweli ni jahil kamili

  • @JiMoo-k6s
    @JiMoo-k6s Před rokem

    Hivi nyinyi mawahabi ambao ni wafuhas mbona hamtoi dalili kama haweso wala amuangalii dalili

  • @bouunlocked14
    @bouunlocked14 Před rokem

    Shekh uwesu nimekuelewa vyema masha allah allah akuzidie elmu

  • @abubakarbakari9372
    @abubakarbakari9372 Před rokem +1

    Hawa mawahabi hawataki kusoma wanasema watu wote duniani wafuge kwa pamoja na sisi tuko America 🇺🇸 tutafunga vipi kwa pamoja mawahabi hawakusoma ni fujo tu na kupoteza wapi

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 Před rokem

    HAPA HAPATAKIWI SHEIKH. ACHENI UHUNI BWANAAA ARAFA NI KESHO. MUANDAMO UPI UMETOFAUTIANA?.. ACHENI UZWAZWA NYINYI.

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před rokem +1

    Miki sitomuacha Sheikh Mmabarak nikamfata Baherrowwww

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před rokem

      Bahero yuko Sawa eid ni juma tano mutafute shekhe Muhammad bachu ndiyo utajua ukweli

  • @matanokimaro9824
    @matanokimaro9824 Před rokem

    Nashangaa kuona Sheikh Bahero akitafsiri chenye mtume amefundisha ilhali sheikh aweso yuapambania mawazo ya maulamaa

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 6 měsíci

      Madhihabu ndo inakuumiza ila nasmiji umenwelewa vizur tuu

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 Před rokem +3

    Mimi hua namuhurumia huyu bahero atafuta umaarufu Kwa kupingapinga خلاف تعرف

  • @dstaroficial
    @dstaroficial Před rokem

    Mnatuchanganya nyny mnataka bakora

  • @jumpjumpin1477
    @jumpjumpin1477 Před rokem

    UST Awws.. wataja majina ya wanavioni na hutupi reverence ya kitabu na number 😅😅😅😅

  • @mahdy011
    @mahdy011 Před rokem

    Shekh Bahero ako sawa mahujaji wafuate mwandamo wa makkah, hata ikiwa nigeria wametangulia.

  • @yasirshee3152
    @yasirshee3152 Před rokem

    Sasa tukifunga siku ya tisa kwa muandamo wa mwezi wa Kenya tutasemaje?yani ni saum gani?tuitweje hio saum?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před rokem +1

      Fahamu kua Mtume Mohammad Amani ya Allah iwe juu yake alikua akifunga siku Tisa na ya Kumi akisali idd na kuchinja .Hii Ni kabla ya faradhi za hajj kuletwa.

    • @yasirshee3152
      @yasirshee3152 Před rokem

      @@hassanalhussein3982
      Sasa hio siku ya tisa yaitwaje?

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před rokem

      @@yasirshee3152 Idd Al adhha ulikuja mbele ama Hajj? Kabla ya vyombo vya mawasiliano kuwepo watu walikua wakifunga Vipi? Walikua wakifuata muandamo wa mwezi au wakifuata Makkah? Na Hao watu wa mashariki ya Mbali Vipi wakiipata Arafa wakati kwao Ni magharibi na huko Makkah Ni mchana ? Na hizo fatwa za kina Alfauzan na Al sheikh kua watu wafuate muandamo katika nchi zao hazifai Tena ? Wenye elimu Ni kina Bahero na kishki? Mbona nyinyi mawahabi mwampenda mizozo? Na Muna lazima Gani mufuate Saudi ikiwa wenyewe wasema musiwafuate?

    • @HossamHossam-zs1hk
      @HossamHossam-zs1hk Před rokem +2

      Yafaa uelewe kuna Arafat mahala na kuna Arafat siku, sisi tunafunga yaumu Arafat yaani mwezi tisa(mahujaj wanasimama Arafat makaan)

  • @maase2023
    @maase2023 Před rokem

    Bahero anaongea vitu very logig na vya kweli! Huyu bahero apewe maua yake maana anaongea elimu ya kweli

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před rokem

    Kwani hija kutokea wakati Wa Ibrahim

  • @mahdy011
    @mahdy011 Před rokem

    Shekh Bahero hili la hajj arafah kafahamu vibaya, 😂 Fahamu zake zimeingiwa na maradhi.

  • @jumpjumpin1477
    @jumpjumpin1477 Před rokem

    SWALI LANGU NI DOGO TUU KWA UST AWES NA YOYOTE MWENYE JAWABU. SWALI NI..... SIKU YA EID YA KUCHINJA, WAKtATI SISI TUNACHINJA, JE, MAHUJAJI WAO, WANAKULA KATIKA KUFANYA KITENDOKIPK... WANAKUA KATIKA KUTUFU AL KAABAH, WANAKUA ARAFAH AMA WANAKUA WAPI...???????

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Před rokem

    Nawashanga watu wa bidah
    Ijumah aziwi mbili
    Ila wanataka idi mbili !

  • @IbrahimMakame-oi7wn
    @IbrahimMakame-oi7wn Před rokem

    Sheikh anatoa ktk dalili za wanazuoni muutamad

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 Před rokem

    Saudia mara nyingi hawafwati mwezi wanatangaza tu hata km haujaonekana baadae utasikia wamekosea

  • @user-mx6yp7st3q
    @user-mx6yp7st3q Před rokem +2

    Hoja zote Zina mashiko

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před rokem

      Hazina bahero ndiyo yuko sawa

    • @user-mx6yp7st3q
      @user-mx6yp7st3q Před rokem

      @@fatumajuma592 wote wako sawa manake wote Wana dalili

    • @ZuleikhaAbdallah
      @ZuleikhaAbdallah Před rokem

      ​@@fatumajuma592huna akili wewe
      Hizo hujja anazozitoa dokta Mubarak unazijua wew

  • @maulidshaban5496
    @maulidshaban5496 Před rokem

    Shekh awes achana na mashekh hawana elimu KAZI Yao ni kutafuta umaarufu bila kusoma

  • @ShuraymIshaq
    @ShuraymIshaq Před rokem

    Allah atujaaliye walinganizi wakulingania watu ktka milango ya pepo czcams.com/video/-FGBJ3gRbuk/video.html

  • @nassirmohd2851
    @nassirmohd2851 Před rokem +2

    Ww wanukuu tu lkn huna uelewa wa nusuus hiz

    • @mafiatv5479
      @mafiatv5479 Před rokem

      tufahamishe wewe tuelewe, lete dalili

    • @nassirmohd2851
      @nassirmohd2851 Před rokem +1

      Ata mufahamishwe vip hamfaham wala hamuelew kwan shek mbaraka kashawapa mpk fatwa za hao muwategemeao lkn vichwa ngumu hamuelew

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      Bora alionukuu tukamfahamu vizuri. WEWE HUTAKI KUNUKUU KWASABABU UNATAKA KUPINDISHA MAANA. TUNAKUJUENI MAWAHABI

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem +1

      Sasa wewe kama hujanukui unataka kutunga yako toka kichwani mwakao na roho mbya kama hiyo

  • @mohamedabdullahi8069
    @mohamedabdullahi8069 Před 5 měsíci

    Bahero kakosea hapo

  • @abdisheikh6175
    @abdisheikh6175 Před rokem +2

    mawahabi hawana diini na hawana akili, mahawabi wana kidefu kubwa na bomu tu.

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před rokem

      Babaaako ndio mwenye diin shenzi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      🤣🤣🤣, devu ka beeru, mabichwa BUFURU. Nini faida?

    • @sahimm4767
      @sahimm4767 Před rokem

      Mbona unawatoa waislam wenzako kwenye njia sahihi ya uislam 😢. Na kuwabeza kwa kuwakebehi,halafu kwenye ndevu umekosea pia tusibezane kwa mitazamo na kutiana kwenye makosa yasiyo na tija kwetu,eti watu wa mabomu 😢 sababu ndevu unawatia waislam wenzako kwenye njia batili why?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem

      @@sahimm4767 kwasababu wakifuga ndevu wanajipa uimamu. Wanafkiri ndevu ndio kujua dini Kumbe mibichwa BUFURU

  • @AhmadaTahir-cu8se
    @AhmadaTahir-cu8se Před rokem +1

    Tatizo la Mawahhabbi ni chuki na kibri na hasiraaaaa. Basi hata kauli za mashekhe zao hawawasikilizi pia

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před rokem

      Hakuna chuki wala bahili Hakuna arafa mbili upo arafa ni moja ambayo iko makkah

  • @maase2023
    @maase2023 Před rokem

    Bahero amashinda hapo

  • @fatumajuma592
    @fatumajuma592 Před rokem

    Bahero yuko sawa

    • @OfficialMutrah
      @OfficialMutrah Před 6 měsíci

      Ni mtupu kabisaa labda kama unaleta mambo takimadhihabu

  • @IbrahimMakame-oi7wn
    @IbrahimMakame-oi7wn Před rokem

    Bahero anatoa kichwani kwake hapambanui hija na funga

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Před 2 měsíci

    قَطْرٍ
    Ni jimbo !!!!

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před rokem

    aweis hauna huja huelewi maana ya mwezi kuonekana umeshaonekana sasa waona unaelewa kumbe wajichanganya

    • @maulidshaban5496
      @maulidshaban5496 Před rokem +1

      Wewe ndiyo huna hoja na Wala huelewi na huna elimu na huta elewa mpaka kiyama kisimame kwa ushahidi alioutoa wa hadithi za mtume shekh uwesu kama huja muelewa basi wewe ni maiti subiri uzikwe

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem

      Wee unahoja gani wakati mwenzako anakutajia mpk maraajiu au kupa vitabu vinavyo eleza hvyo na hadidhi we unasema haja hoja hvii una akilii timamu au una matope aisee

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem

    Nyie mbona watu wanauwelewa Mdogo hivi .Haya yote ni kuwa tumefika kuwafanya watu kuwa ndio viongozi wakuu kuliko Quran. kiukweli kwangu mimi shekh. simdharau lakini kamwe huwezi kuwa Mkuu kuliko Quran au Mtume. Soma dini yako elekeza watu kwa mujibu wa vile mandiko yanavyosema na wala sio kuchukuwa mawazo yako eti kwa kuwa shekh basi eti we ndio uwe wa kufauatwa sasa Mara oho kila Mtu na Arafa yake. Mara oho wa usiku atafunga vipi wakati kule mchana. Haya Sasa mtafika mahala mkatoa msamaha kwa kipofu asioona mwezi yeye hawajibiki kabisa kufunga. maana naona mnajipa madaraka makubwa kuliko. Mh. Sijui tunaielewaje dini yetu

  • @mohamedmusa8778
    @mohamedmusa8778 Před rokem

    Eti mbarak aweso ni mwanachuoni,jee unajua maana na mwanachuoni

  • @abdulhalimmaulana8409

    Huyu bahero anaongea huku Anajicheka..... kah

  • @athmanamourjuma1461
    @athmanamourjuma1461 Před rokem

    Mwandamo ukishaandaama ya Nini tusubiri mwengine, mwandamo,wakati mkienda hajj mnawafuata mbona hamsemi mwasubiri wa kwenu

    • @maulidshaban5496
      @maulidshaban5496 Před rokem

      Shekh ni ubishi huo

    • @maulidshaban5496
      @maulidshaban5496 Před rokem +1

      Hutaki kuelewa kwa kurejea fatuwa zote walizozitoa mashekh wa Makkah lakini bado hamridhiki hiyo ni chuki binafsi

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem

      Mbn wao hawawafuati nyinyi kama siyo mmeolewa na saudia abia badala mufate hoja za kielimu

    • @athmanamourjuma1461
      @athmanamourjuma1461 Před rokem

      @@maulidshaban5496 cha ajabu wengi wanaobisha hamnazo,wanabisha tuu sababu wanafuata mashekhe fulani

  • @FarahJey
    @FarahJey Před rokem

    Aweso
    Allah anapo teremka ateremka kiwanja gani cha arafa ikiwa arafa pia ipo kenya,hebu tieni akili mayi hufuma.munalazima mufanye kiwNja chenu cha arafa ,haha sasa mutasimama wapi kasarani ama nyayo?
    Kama hija ni arafa basi arafa ni moja tuu, kwa hivyo itafuteni arafa ya sasawa

  • @fatumajuma592
    @fatumajuma592 Před rokem

    Ikiwa huta funga araf ni kweli huna wacha kuguhuna maneno

  • @user-fk7zq7rt1y
    @user-fk7zq7rt1y Před rokem

    Tende 😢 mtiani kwa vishekh vyetu

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem

      Wee unadharau yani watu wanao tuongoza kw ilimu zao unasema vishekhe hzo ni chuku binafs

  • @hassanmkufya2867
    @hassanmkufya2867 Před rokem +1

    Kweli shekhe bahero yuko vizuri hawa watu wa bidaa kila kitu wanazusha

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 Před rokem +1

      Jee masheikh wenu kina Alfauzan na Al sheikh wamekosea kutowa fatwa zao kuhusu mambo hayo ? Ama bahero ana elimu kuwashinda Hao wanazuoni wa huko Saudia?

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Před rokem

    Hawa ndio wale masheikh Allah atawadhibu kwa elimu zao walizitumia vibaya kwa kutaka tonge la dunia.

  • @AthumanJuma-hg2cl
    @AthumanJuma-hg2cl Před rokem

    Wewe unasema naiijeri ugesama Maka muongo wewe

    • @abubakarymaulidy5681
      @abubakarymaulidy5681 Před rokem

      Acha chuki fungua akili acheni ujinga wakati mwingine hamskilizi hoja ata kidgo mnakosoa ata bila kuskilia aisee mawahabi ni mandazii tu akili hamna acheni ushabiki kama nyinyin ni watu wa kielem mnapo letewa hoja zipeni nafasi kwnye vichwa venu nyie ni mavi tyu

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před rokem +1

    Huyuu mubaara hamjamuelewaaa ......yeye azungumzia mwez wa ramadhani au shawwali.....haya menginee mubaarak niporojotuu sio kwamaba hajuii ......hata shekh shuraeymuu imamu msaydizii wa msikit wa Makkah kasema swaumu ya arafaa inathibuiti mahujajii wakiwa wako siku ambayoo ina arafa....hata kama miji mingnee itakua kwao nitareh nane...

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před rokem +1

      WEWE NDIO ZUNGUMZIA RAMADHANI. SISI TUMEMUELEWA. MASUALI NA MAJIBU YAMEHUSU HIJJA, WEWE NDUGU YAKE BAHERO TULIA UNYOLEWE

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před rokem

      Sasa wee toyoi waelewa Nini

    • @user-it3ee7zq2y
      @user-it3ee7zq2y Před rokem

      Dini hii Siya mashikhe
      Ni ya dalili mulikuwa mukisema mawahabi wafuta mashekhe Wa sudia Leo mutasemaje kumbe wafuta dalili Na hoja kumbe hawalipi Na sudia