ALI FAZA
ALI FAZA
  • 733
  • 2 161 945

Video

Usimchukie Babako Wala Usimkane Maana Huo ni Ukafiri | Ustadh Muhammad Al-Beidh
zhlédnutí 262Před dnem
Usimchukie Babako Wala Usimkane Maana Huo ni Ukafiri | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Sheria ya Kupangisha Nyumba Katika Uislamu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
zhlédnutí 240Před 14 dny
Sheria ya Kupangisha Nyumba Katika Uislamu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Hukmu ya Kutawasal Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 200Před měsícem
Hukmu ya Kutawasal Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Hii Ndio Hoja Kuu ya Ibnu Taymia na Mawahabi Kupinga Tawasul | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 401Před měsícem
Hii Ndio Hoja Kuu ya Ibnu Taymia na Mawahabi Kupinga Tawasul | Sheikh Mbarak Awes
Kwanini Munajiita Salafiya Lakini Munawapinga Waanzilishi wa Salafiya | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 519Před měsícem
Kwanini Munajiita Salafiya Lakini Munawapinga Waanzilishi wa Salafiya | Sheikh Mbarak Awes
Mtume ﷺ Hafanyi Makosa Utasemaje Kua Ana Madhambi | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 856Před měsícem
Mtume ﷺ Hafanyi Makosa Utasemaje Kua Ana Madhambi | Sheikh Mbarak Awes
Jee ni Nani Alie Anzisha Ahlu Sunna Wal Jamaa Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 3,1KPřed 2 měsíci
Jee ni Nani Alie Anzisha Ahlu Sunna Wal Jamaa Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Unawezaje Kusema Wazazi Wa Mtume Wataenda Motoni | Ustadh Muhamad Al-beidh
zhlédnutí 958Před 2 měsíci
Unawezaje Kusema Wazazi Wa Mtume Wataenda Motoni | Ustadh Muhamad Al-beidh
Lazima Tisahihishe Ufahamu Ulio Potoshwa Kwa Waislamu | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 2,5KPřed 2 měsíci
Lazima Tisahihishe Ufahamu Ulio Potoshwa Kwa Waislamu | Sheikh Mbarak Awes
Ziayara Kwa Ndugu Walio Fariki Baada ya Eid | Ustadh Muhammad Al-Beidh
zhlédnutí 514Před 2 měsíci
Ziayara Kwa Ndugu Walio Fariki Baada ya Eid | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Acheni Kugombanisha Waislamu Sababu ya Arafa na Eid Imetosha Sasa | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 3KPřed 2 měsíci
Acheni Kugombanisha Waislamu Sababu ya Arafa na Eid Imetosha Sasa | Sheikh Mbarak Awes
Qauli Sahihi ya Sheikh Arify Kutoka Saudi Arabia| Mkanganyiko wa Mwezi
zhlédnutí 3,4KPřed 2 měsíci
Qauli Sahihi ya Sheikh Arify Kutoka Saudi Arabia| Mkanganyiko wa Mwezi
Samahani Sheikh Muharram Mziwanda Katika Arafa Ulighafilika Inabidi Urekebishwe | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 29KPřed 2 měsíci
Samahani Sheikh Muharram Mziwanda Katika Arafa Ulighafilika Inabidi Urekebishwe | Sheikh Mbarak Awes
Ni Ipi Qauli Sahihi Ya Ibnu Uthaimin Kuhusu Arafa | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 13KPřed 2 měsíci
Ni Ipi Qauli Sahihi Ya Ibnu Uthaimin Kuhusu Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Ufahamu Sahihi Dhidi ya Upotoshaji wa Siku ya Arafa | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 12KPřed 2 měsíci
Ufahamu Sahihi Dhidi ya Upotoshaji wa Siku ya Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Kauli Sahihi ya Sheikh Waseem Kuhusu Arafa na Eid Adh-ha | Jee Arafa na Eid ni Lini
zhlédnutí 1,1KPřed 2 měsíci
Kauli Sahihi ya Sheikh Waseem Kuhusu Arafa na Eid Adh-ha | Jee Arafa na Eid ni Lini
Ni Lini Tutafunga Saumu ya Arafa na Kuswali Eid Adh-ha | Kauli Sahihi Kutoka Madina Saudi Arabia
zhlédnutí 4KPřed 2 měsíci
Ni Lini Tutafunga Saumu ya Arafa na Kuswali Eid Adh-ha | Kauli Sahihi Kutoka Madina Saudi Arabia
Huyu Pia ni Jirani Yako Lazima Umuheshimu | Ustadh Said Ali Hassan
zhlédnutí 265Před 2 měsíci
Huyu Pia ni Jirani Yako Lazima Umuheshimu | Ustadh Said Ali Hassan
Hukmu ya Kuswali Katika Sehemu Ilio na Makaburi (Makaburini) | Sheikh Mbarak Awes
zhlédnutí 1,6KPřed 3 měsíci
Hukmu ya Kuswali Katika Sehemu Ilio na Makaburi (Makaburini) | Sheikh Mbarak Awes
Hukmu ya Kuswali Katika Msikiti Ulio na Kaburi | Sheikh Omar Al-Midhar
zhlédnutí 1,2KPřed 3 měsíci
Hukmu ya Kuswali Katika Msikiti Ulio na Kaburi | Sheikh Omar Al-Midhar
Miujiza ya Usingizi Kwa Mwanadamu | Sheikh Shaaban Abdi Mussa
zhlédnutí 515Před 3 měsíci
Miujiza ya Usingizi Kwa Mwanadamu | Sheikh Shaaban Abdi Mussa
Albani Hana Uwezo wa Kusahihisha Hadithi Ilio Saihishwa na Bukhari | Ustadh Fadhil Ashirazy
zhlédnutí 3,2KPřed 3 měsíci
Albani Hana Uwezo wa Kusahihisha Hadithi Ilio Saihishwa na Bukhari | Ustadh Fadhil Ashirazy
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Kuswali Eid Uwanjani au Msikitini | Ustadh Badru Khamis
zhlédnutí 2,4KPřed 3 měsíci
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Kuswali Eid Uwanjani au Msikitini | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Khatibu Kushika Fimbo Juu ya Mimbar | Ustadh Badru Khamis
zhlédnutí 1,8KPřed 4 měsíci
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Khatibu Kushika Fimbo Juu ya Mimbar | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Dhikri na Dua Baada ya Swala ni Sunna au Uzushi | Sheikh Badru Khamis
zhlédnutí 3,2KPřed 4 měsíci
Munaqasha Kamili Je Dhikri na Dua Baada ya Swala ni Sunna au Uzushi | Sheikh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Ukimsomea Qur'an Maiti Inamfikia Thawabu Zake | Ustadh Badru Khamis
zhlédnutí 6KPřed 4 měsíci
Munaqasha Kamili Je Ukimsomea Qur'an Maiti Inamfikia Thawabu Zake | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Maulidi ni Katika Dini au ni Upotevu | Ustadh Badru Khamis
zhlédnutí 1,5KPřed 4 měsíci
Munaqasha Kamili Je Maulidi ni Katika Dini au ni Upotevu | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili wa je Maulidi ni Ibada au ni Uzushi | Ustadh Fadhil Ashirazi
zhlédnutí 3,8KPřed 4 měsíci
Munaqasha Kamili wa je Maulidi ni Ibada au ni Uzushi | Ustadh Fadhil Ashirazi
Tusidanganywe Baadae Tujue na Mapema Hakuna Eid ya Kimataifa | Ustadh Muhamad Al-beidh
zhlédnutí 2,5KPřed 4 měsíci
Tusidanganywe Baadae Tujue na Mapema Hakuna Eid ya Kimataifa | Ustadh Muhamad Al-beidh

Komentáře

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Před 21 hodinou

    رضي الله عن الإمام البيض

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před dnem

    Usuf ni uzandaqa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před dnem

    Usufi ni uzandaqa

  • @user-xb6tr5vq4b
    @user-xb6tr5vq4b Před dnem

    Hawamasufi kumbe wamezua kitu hakikuwah kuwepo? Duuuh hakina hatadalili ndani yaquran

  • @JosMatty-bq9ii
    @JosMatty-bq9ii Před 3 dny

    hyo mzee amna kitu

  • @MwanyukiMganga
    @MwanyukiMganga Před 5 dny

    Mashallah

  • @IbraFareed
    @IbraFareed Před 6 dny

    MashaAllah

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 10 dny

    ALLAAH AKURAHAMU SHEIKHE!

  • @AbasHabimana
    @AbasHabimana Před 11 dny

    Sheikh msufi huyo makhulafi bwana ni shida sana Sheikh kishki uko sahihi kabisa achana na huyo sheikh wa kighulafi sisi tumekuelewa

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 Před 11 dny

    Asalam alaykum Ali Faza naomba link ya darsa kamili ya hiki kipande

  • @shadhilmakame
    @shadhilmakame Před 15 dny

    Ahsante

  • @hassanmussa2859
    @hassanmussa2859 Před 17 dny

    Waffaqana Wallah

  • @user-wo7xl2ey8y
    @user-wo7xl2ey8y Před 19 dny

    Kwahio hata wanapiga malamuli sio washilikina

  • @user-ro4nx4xv2m
    @user-ro4nx4xv2m Před 24 dny

    Iyo picha ya nan

  • @sumeyaahmed4187
    @sumeyaahmed4187 Před 26 dny

    Mola akurahamu ewe nduguyetu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před měsícem

    😂😂😂😂 jini anae uyo kammfunika chupi

  • @user-xu9nn3pe4k
    @user-xu9nn3pe4k Před měsícem

    Subhana llah ebu lete fatawa ya shehe au lete maneno yake ya saut akizungumza hilo mbona wazee hamuogopi kua mtafufuliwa na mtaulzwa kwa mlioyafanya na kuyasema

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 Před měsícem

    Allah akupe pepo YA Juu Rais Mwinyi ulikuwa na Mapenzi makubwa saana na Mashekhe

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Umma mmoja na watu wa Bidaa

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 Před měsícem

    Mawahabi wana Ufahamu wa kilokole

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Před měsícem

    قَطْرٍ Ni jimbo !!!!

  • @AbdulMutta
    @AbdulMutta Před měsícem

    Wallah ustadh fadhil hakuna shekh wahabi am fika ilimu huyu bwana anaelimu

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před měsícem

    Shukraan sheikh

  • @anyimikemwakyanjala7158
    @anyimikemwakyanjala7158 Před měsícem

    Akili za viongozi wetu zimejaa misuguano..maendeleo zero...walimu wa madrasa wanalipwa kiduchu wao bize kugombana

  • @MusaSuleimanNassorAl-Amry

    Kama wajuwa wewe ni JIWAHABI pure wawashwa na nini ?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem

    Kijana mzuri unalingania bidah Allah akuongoze bidah kitu kibaya Sana we endelea kutawasali na mait IPO siku utakuja kujuwa kuwa inafaa auhaifai adhabu za Allah akuna awezae kuzimilik Allah katuma mitume kukataza watu shirki we walingania shirki Allah Hatokuwa na msamaha kwa washirikina siku ya kiama we Minya Minya hakki utakuja kujuta ndugu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed Před měsícem

      Jibu kwa hoja aloyasema na kataja na vitabu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@IbraFareed kwani kila kinachotajwa kwenye kitabu ni sahihi mwengine anatafsili adithi dhaifu au aya akazitafsili kwa uwelewa wake so wana wazuoni mrudi katika sunnah muache bidaa mtasalimika tawasuli makaburini kwa wafu ni shirki na walikuwa wakiwaomba mayti walokufa maqureish walipoambiwa mnawaabudu Hawa wakisema hatuwaavudu tunajikaribisha kwa mungu kupitia wao maneno haya yanasemwa hadi leo na badhi ya mashekhe wenye tabia hizi ummah umerudi katika shirki tena Allah aninusuru na atuweke mbali na shirki

  • @salimofficial1263
    @salimofficial1263 Před měsícem

    Tunaomba full video

  • @mahershadhil2493
    @mahershadhil2493 Před měsícem

    Allah akulipe kheir maalim kwa kutupa mambo ya kheir namn hii

  • @KassimEdrisa-dd7zh
    @KassimEdrisa-dd7zh Před měsícem

    Kwan katika Surat عبس و تولى mtume saw analaumiwa na Alla Kwa kitu Gani hebu someni nyie Masufi acheni porojo nyingi

  • @infocontentchannel
    @infocontentchannel Před měsícem

    Wanakuelewa ww watu wa Haki, ila mahizby woooote WALLAHI WABILLAH WATALLAH hawawez kukuelewa. Hafidhwakallah Dr. Mubarak Awes

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      Unaesema watu mahizbi ukute huelewi Hilo neno kenyewe hizbi na inaweza ikawa ww ndo miongoni mwao Sabu mtu wa hakki hawezi mtetea mtu wa bidaah hata siku moja lazima atakuwa mbali nae

    • @infocontentchannel
      @infocontentchannel Před měsícem

      @@user-yj5on8cz3e Watu wa Haki wanaichukua Haki popote ilipo, watu wa mahizby Haki kwao ni kile kinachotokana na Makundi Yao Nje ya hapo Yoooote ni Baaatil. Na hujifakharisha na Makundi Yao. Soma Vzr utakuja kuelewa IN SHAA ALLAH.

  • @CubeedCali
    @CubeedCali Před měsícem

    Mawahabi munachuki na wanazuoni tushawazoweya

  • @JUMUIYAyakupingaruswanau-zo9rw

    Shekh mziwanda nimemuelewa

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 Před měsícem

    Sio kweli

  • @ShabaniJumbe
    @ShabaniJumbe Před měsícem

    Huyu jamaa maneno mengi tu Hana hoja Sufi huyuuu

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Před měsícem

    Swali langu niku husu Mawahabi je uwahabi ni dini wala ni Waislamu

  • @burhanmuhammed2234
    @burhanmuhammed2234 Před měsícem

    Hakuna hadithi ambayo ni lazima kupijwe twari, wanawake ndio walio ruhusiwa sio wanaume mambo ya wanawake vp mufanye nyinyi wanaume, tena sio tari vidafe

  • @burhanmuhammed2234
    @burhanmuhammed2234 Před měsícem

    Na hii aya inayo sema, laysa laka min amri shaiun tizama katika sababunnuzuli nailiteremshwa kwa ajili gani

  • @ahmadifakimjaka1433
    @ahmadifakimjaka1433 Před měsícem

    Muongo Ahlulsunna wal Jamaa ni mfumo wa kale kabla ya huyo ash'ary Fundisha haki Sio kueneza Uwongo...!

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 Před měsícem

    Mawahabi hawawezi kukuelewa sababu wapo kama walokole walioambiwa na mashekhe zao ndo hayo hayo hatakama wakipotezwa

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před měsícem

    Allahu akbar Huyu jamaa ni muongo sana. Kwanza Ametowa wap Maneno yake.kama wadai dali li sis twakudai ww kwanz haya maneno yako ikiwa ww mkweli. Pili hujui maana ya Ahlu sunnat Waljamaa. Mjinga sana ww Mubarak Aweso. Halafu Hauna historia ya kusoma. Na Pia maneno yako ni kufru.Kama Wadai eti Kuna kizaz ndo kilileta Itikad ya Ahl sunna kwa hyo waliotangulia hawakuwa Ahl sunnat waljaamaa??pumbafu

  • @sophiahussein6739
    @sophiahussein6739 Před měsícem

    tufuate mwandamo wa mwezi tufuate mashekh wetu

  • @issasalimu9796
    @issasalimu9796 Před měsícem

    Ww jisufu ww nenda tu lamu kwenye maulidi na kukhitimisha kimchongo nani kasema hatufuati muhamadi ibn idirisa ashifii alosema tujifananishe na salaf ninani acha kushamta

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    MAWAHABI NI MAYAHUDI HAWAMPENDI MTUME MOHAMAD SALALAHU ALAYHI WASALAM ALLAH AWAONGOZE WAO PAMOJA NA SISI AMIN

    • @burhanmuhammed2234
      @burhanmuhammed2234 Před měsícem

      Ww wapenda leta mizozo wajifanya Una elimu na upotofu mwingi

    • @burhanmuhammed2234
      @burhanmuhammed2234 Před měsícem

      Nyinyi makhurafi ndio mulio potea mwasema sheke wenu Al marhum Al sharif Al bidhi alijikafini mwenyewe, sasa angalia walio potea Kati ya mawahabi na nyinyi ni Nani?

  • @GoldenBoy-xm5gn
    @GoldenBoy-xm5gn Před měsícem

    ikiwa aqida ya ahlu sunnah imeanzishwa na abul hasan ashary vp kuhusu maimamu wa qarne ya kwanza ya pili na yatatu wakina imamu shafii wao hawakuwa na aqida ya kiislamu ikiwa imeanzishwa na abul hassan ashary

  • @abdurazackhassan1842
    @abdurazackhassan1842 Před měsícem

    Hueleweki

  • @ahmadifakimjaka1433
    @ahmadifakimjaka1433 Před měsícem

    Jisufi maarufu....! Acha uwongo...! Wanachuoni wanaoiacha kauli ya Imamu Shafy mfano kuhusu kunuti ni wanachuoni wakubwa wa kishafy tena wa zamani wewe ni nani leo mpaka ujifanye ndio Mshafy wa kweli wakati Imaam shafy hajui kuhusu Maulidi wala Zikri za kukohoa wala ziala za makaburi za kila mwaka pia imaam shafy amewasema vibaya masufi baada ya kusikia habari zao pale aliposema "Mtu akiingia ktk usufi muda wa adhuhuri mpaka ikifika alasiri basi kashakuwa mpumbavu..? Masufi ni wazushi waongo hata hawa wanachuoni wetu wa leo hivyo hivyo wana kauli nyingi ambazo zinapothibitika ni dhaifu zinaachwa na zimeachwa nyingi sana kwahiyo acha kudanganya watu. Unasahau Maneno ya Imaam maliki aliposema "Kauli zote za watu zinaweza kuchukuliwa au kuachwa isipokuwa kauli ya Mtume swallallahu alayhi wasallam peke yake. Masalafy hawafuati kichwa mchunga ndio maana kunapokuwa kuna ikhtilafu Jamhul ya wanachuoni wanazirejea kauli za wanachuoni wote kisha wanazichambua alafu wanachagua kauli yenye nguvu na kuziacha dhaifau Huo ndio Usalafy ndio maana baina ya masalafy huwezi kukuta mzozo wa ikhtilafu kwasababu tunatembea na wanachuoni.

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před měsícem

      HAKI ITABAKI KUWA HAKI JAPO HUIPENDI MAWAHABI WANAFARAKANISHA WAISLAM AFRICA HAKUNA MASALAFI AFRICA KUNA MALAFI WAROHO WA PESA

    • @ahmadifakimjaka1433
      @ahmadifakimjaka1433 Před měsícem

      @@salumhassanallymkurdistan7006 Haki kuwa Sufy au haki gani...? Huwezi kuukimbia Usalafy ukikimbia Usalafy umeukimbia Uislamu kwahiyo ni chaguo lenu. Eti hakuna usalafy Afrika sasa nambie usalafy uko wapi....? Daawa imeshapenya sasa Ni ya moto usichezee daawa hii utapata laaana

    • @ahmadifakimjaka1433
      @ahmadifakimjaka1433 Před měsícem

      @@salumhassanallymkurdistan7006 Imamu Shafy anasema Mtu akiingia ktk usufi wakati wa adhuhuri mpaka ikifika alasiri atakuwa kashakuwa mpumbavu.

  • @shadhilmakame
    @shadhilmakame Před měsícem

    Maashallah twapta fAidaaaaa

  • @shadhilmakame
    @shadhilmakame Před měsícem

    Mashallah darsa nzuri.

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před měsícem

    Wanapingana na mtume mwenyewe Hawa jamaa waogopeni Sana watu kama hawa hatari kweli kwenye hii dini😂😂😂

    • @omaryjumbe14v8
      @omaryjumbe14v8 Před měsícem

      We mwenyewe hatari kwenye Dini

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před měsícem

      @@omaryjumbe14v8 ukiona mtu anasati mtu wa bidaa nae Ni miongoni mwao Ni watu wqkupingana na mafundisho ya mtume na kuzusha watu wa bidaa suffi waonggo xana Hawa kuna siku shekhe mmoja anaelezea watu et kuna mtu alikufa et mait ikafufuka ikajiingiza kwenye mwanandani mwenyew na watu wanamsikiliza urongo kwa wazushi kawaida mungu amewatoa aibu sana nyi watu mwengine jufri anakwambia kilemba changu kimetoka kwa mtume nilienda kumsalimu kwenye kaburi lake akafufuka mtume ananisalimu kwa mikono Kisha akanipa kilemba chake mijitu ya maulidi miongo sana

  • @AbasiJuma-vc5vw
    @AbasiJuma-vc5vw Před měsícem

    Inajizunguzia mwenyewe kua ywye ni mtu wa inadi