Acheni Kugombanisha Waislamu Sababu ya Arafa na Eid Imetosha Sasa | Sheikh Mbarak Awes

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 40

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 měsíci +1

    بارك الله فيك يا أخي العزيز
    جزاكم الله خيرا
    الله يحفظك

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 3 měsíci

    Ndugu Ali mwenye hii channel
    Nakuambia jazaakallahu khairan
    Unaweka video mzuri mno MaashaaAllah
    Allah akulipe malipo mema

  • @AllyKame-rx2zd
    @AllyKame-rx2zd Před 2 měsíci

    Kwanza naona hishma ya Desturi ya Allah kwa viumbe wake juu ya kukhitalifiana haikupewa sehemu yake kiuhalisia, Allah Asema: ولذالك خلقهم .
    Neno hili Kwanza ni muhimu lifahamike.
    Pili, neno la ikhtilafu linazingatiwa kwa uwepo wake wa lazima kuliko mirengo, yani Lina ukubwa zaidi la kikhitafiana kuliko mirengo, sababu kila mirengo ina sababu yaekukhitalifiana, na sikila kunapo kuwa na ikhtilafu isababishe mirengo ya waumini, kwa maneno mafupi kukhitalifiana ni dharura zinazo ibuliwa na ufahamu na rai za Wana wavioni walio fikia hatua hio.
    Tatu: Kukhitalifiana ni muhimu lifahamike ni kwa ajili ya Mungu, yani mirengo hio juu ya kukhitalifiana rai kusudi iwe ni kutefuta Radhi za Allah, huo ndio uanachuoni ulio sifiwa kwa uzamifu wake juu ya kuleta ubainifu wenye nasswi na Dalili juu ya kukhitalifiana kwake

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před 2 měsíci +1

    Umoja wetu utapatikana kwa kushikamana na Quran na Sunnah peke yake na hio ndio kamba ya Allah

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 Před 3 měsíci

    Swadakta Sheikh , kauli nzuri kabisa

  • @LASSUH4947
    @LASSUH4947 Před 2 měsíci

    Shukran habeeb

  • @abdallasarai6327
    @abdallasarai6327 Před 3 měsíci

    Insha Allah❤

  • @AllywinnerAllywinner
    @AllywinnerAllywinner Před 3 měsíci +1

    Haki itabaki kuwa haki mpaka siku ya kiyama

  • @baryus7
    @baryus7 Před 3 měsíci +1

    Kwani haya maneno yana ashiria umoja ? Eti....
    Umoja kama huu ni feki.

  • @SULEIMANMussin
    @SULEIMANMussin Před 3 měsíci +1

    Wakristo tutawapata vp wakati waislam tunatukanana

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 2 měsíci

    Umma mmoja na watu wa Bidaa

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Před 2 měsíci +1

    Wewe umelewa uzushi, wapoteza watu kwa suala la arafa. Kadhi pia safari hii mumeshindwa kumfuata. Usitukoroge

    • @kassimsaid4481
      @kassimsaid4481 Před 2 měsíci

      Kwa sababu kadhi mwenyewe kajikoroga

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před 2 měsíci

      Wewe una ilmu ya kuthibitisha amekorogeka ama wajiskia ulete ubishi

  • @huriyaomar3313
    @huriyaomar3313 Před 2 měsíci

    WEWE WATAKA UMOJA LAKINI WAVUTIA YAKO NA WALE WENGINE HUTAKI WATU WAFUATE SEMA KAMA WATAKA UMOJA KILA MMOJA AFUATE YALE ANAYOONA NI SAWA KWAKE!!! YA SIWA NI ARAFA MOJA IDI MOJA NA SOTE KWA PAMOJA TUTAKUWA WAMOJA!!!?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci +4

    Uma mmoja lakini ww mtu wa bidaa mpk uache bidaa tutakuwa kitu kimoja haijatokea maji na mafuta vikakaa pamoja

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 Před 3 měsíci

      Wewe huna akili uwahabi ni ugaidi kabissa naona kwako leo

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj Před 2 měsíci

      Kuna bida zaidi yenu nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi na wakiristo hamuna tafauti

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e Před 2 měsíci

      @@saba-gv3mj ww unae mtukuza mtume maulidini ukampa sifa za uungu hulioni hilo uzushi wa maulidi mnaposema saa sita usiku imefika et tusimame mtume anakuja maulidini subuhana llah mtume auzulie maulidini kwa kitu ambacho hakufundisha so urongo huo mijitu ya bidaa umepotea kweli kazi yenu kuzusha zusha tuuu kuabudu makaburi ninyi kufanya dhikri za kukoroma kama mbuzi beberu mtume gani alifundisha? Ikiwa utaniletea Aya au hadithi moja ya mtume alifundisha maulidi ntakupa laki haipo na haijatokea Ni Jambo la uzushi halikuwepo wakati wa mtume wala maswahaba wala maimamu wanne wale shafii habal Maliki na Abu hanifa, hawajui maulidi ninyi mnao fanya mmetoa wapi ikiwa mtume hakufundisha siku kuu alizotuachia mtume Ni 2 iiddi adhuha na fitli basi maulidi imetoka wapi????

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před 2 měsíci

      Abadan

    • @khalifaahmed5232
      @khalifaahmed5232 Před 2 měsíci

      😂😂😂Lkn Hana itikadi ya kikafiri kumgawa Allah mara 3 ka nyinyi Mawahabi miungu yenu kina uluhiya, rububiya, asma wasifat iyo pia ulijue 😂😂😂

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 3 měsíci +2

    Tusiache kuwasema watu wa Bidaa, kwani wanazidi kupoteza kundi kubwa la waislamu

    • @assalaafiiabuusalafi
      @assalaafiiabuusalafi Před 3 měsíci

      Huyu Jamaa apoteza watu kwanini kwan.

    • @saggafsiyu9961
      @saggafsiyu9961 Před 3 měsíci +1

      Alopotea happtezwi kama vile ww

    • @NMJAsaid
      @NMJAsaid Před 2 měsíci

      Kabisa

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 2 měsíci

      ​@@assalaafiiabuusalafiyaani nyinyi watu mnaotumiwa na wamarekani kuja kupoteza watu na mwezi wenu huo uliqnzishwa miaka mitano iliopita mtawapata wasio na akilili timamu. Lkn kwa walio na akili timamu na wanao mfata mtume hamtowapata. Mnapenda mpaka dini kuifanya rahisi rahisi tu.
      Nendeni kwenye vikundi vyenu huko vya. Bokoharamu,,,Icc,,,Al shabab na Islamic state.

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 3 měsíci

    Fitna ni kumkhalifu Cheif Kadhi