Munaqasha Kamili wa je Maulidi ni Ibada au ni Uzushi | Ustadh Fadhil Ashirazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 58

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci +3

    Huu munaqasha hauko kamili Bali umekatakata ili kutimiza malengo ya matamanio ya nafsi yako,,,mche Allah na kuwa mkweli.
    Huu munaqasha tuliufuatilia kwanzia mwanzo Hadi mwisho.
    Na watu wa maulidi walishindwa kihoja

  • @WastarYoussuf-wb7fz
    @WastarYoussuf-wb7fz Před 4 měsíci +2

    Udtadh faadhil kiboko ya mwahabi allah akuhifadhi

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve Před 4 měsíci

    Shukran Sheikh kwa kututetea sisi tunaompenda Mtume saw kwa kufanza Maulidi,na tutayasoma sana bas!!Allah akuhifadhi InshaAllah......

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci

      Kwavo weye wampenda Mtume kuliko maswahaba wa mtume ambao hawajafnya Maulidi!

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci +1

    Aya inayosema
    اليوم أكملت لكم دينكم....
    Atazame Ufahamu wa Al imaam maalik Ktk kitab Al iitwiswaam.
    Anasema:atakayezusha Bidaa yyte ktk Uislam Na akaiona Ni nzuri,Basi atakuwa amedai mtu huyo kuwa Mtume mohammad Amefanya Khiyana ktk kufikisha Ujumbe wa mola wake,kwan Hakika Allah anasem leo hii nimekukamilishia Dini yenu.....

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci +1

    Huyu Msufi analeta ni kuvuruga maneno na Talbisaati.

  • @mashrab_hani
    @mashrab_hani Před 4 měsíci +1

    Shida kuzozana na malimbukeni, utafananishaje ustadh Fadhil na hao wengine kielimu...? Ukikosolewa lugha, ambayo ni mojawapo ya fani muhimu sana za kuelewa na kufiti masaala, hao wasema si muhimu... na ibara nyingi walorekebishwa walizileta kwa ufahamu sio kwa kutojua lugha... kama Mohamed bachu aliposema hadithun munkar akafasiri makosa, akapotosha hukmu na misingi ya hadith... mifano mingi... kama dini ilikuwa simple kiasi wanachodai hawa majamaa, ulamaa hawangepewa nafasi kubwa kama kuwa warithi wa manabii...

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 4 měsíci +1

    MAWAHABI WOTE HAWANA NURU KATIKA VIPAJI VYAO KWA CHUKI ZA KUMCHUKIA MTUME MOHAMAD SALALAHU ALAYHI WASALAM

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Nyinyi makhurafi ndio mnachukia mtume swallallahu alaihi wasallam kwakuwa hamtaki kumfuata mwenendo wake ,,,na mawahabi alhamdulillah ndio watu wenye mahaba na mtume swallallahu alaihi wasallam kwakuwa mwenendo wao ni kumfuata mtume swallallahu alaihi wasallam

  • @AdamMajonde
    @AdamMajonde Před 2 měsíci

    Awanadalili wanazingukatu watu wabidaa

  • @khairatmaalim6030
    @khairatmaalim6030 Před 4 měsíci

    Kwetu Sisi hatuna ck maalum iliyowekwa special kumsifu mtume (s.a.w) hii haina tofauti na kufuata mila za kinaswara na mayahud mfano maulid day twambieni muliko itowa km ni kumsifu mtume (s. a. w) kila siku tunamsifu na kumtaja kumbe nyie munasubiri kila kipindi cha maulid ndio kumsifu iko kitu hakipo tusomeni ili kujua zaid

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 4 měsíci

    Huyu nimwamba wao hawamuwezi hata theluthi huyu Sheikh Faadhili nimsomi wa twariqa Afrika nzima ikiwa mwanafunzi wake Ustadh nivile yeye yukoje?Allah amrefushe umri wake

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 Před 4 měsíci +1

    SIJUWI KWANINI MAWAHABI WANAKUWA WANA HASIRA KIBURI JEURI NA KEJELI SIJUWI KWANINI?

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci

      Mawahabi ndo nn ??Nahitaj dalili

    • @ShamimWanjiru-bm6ve
      @ShamimWanjiru-bm6ve Před 4 měsíci

      Mawahabi kwao kila kitu,lete dalili hata kula tutaambiwa tutoe hadithi ipi yasema tule,,,,Sikizeni mawahabi siwapendi!!!

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci

      @@ShamimWanjiru-bm6ve mawahab ni nn??Naomba Tafsir ya neno hilo Ni kitu gan Au ni Madheheb au nn kwa Mujib wa vitabu vyao.Utuoneshe kundi hilo kama lipo ama.
      Halafu kwa nn wachukia Kudaiwa Dalili.

  • @abdulkarimmavuo645
    @abdulkarimmavuo645 Před 4 měsíci

    Watu wa taarab na disco mupo ?

  • @RashidHamis-we3gt
    @RashidHamis-we3gt Před 4 měsíci

    Jaman waisilam tuifuat e haki Wala s mazoea tubadilike dini hii imekamilika Haina ubabaishaji tuwe makin

  • @abdallaabdalla4416
    @abdallaabdalla4416 Před 4 měsíci

    Kumpenda Mtume ni VIPI wacheni ubishani maulidi si ktk ibada na ibada inaeleweka tumieni elimu zenu vizuri ilete manufaa

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 4 měsíci

    Jamaa zko wakirekebishwa huleta chuki nakiburi

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    HAPO MAWAHABI WANGAPI KWA MTU MOJA MWENYE ELIMU MUZUBUTI.

  • @abuidifundi2016
    @abuidifundi2016 Před 4 měsíci

    Shekhe ally Faza naomba kuulizia kuwa yule ust muhammadi shekhe yuko wapi ? Yuko hai au Mana hatumuoni kabisa samahani lakini Mana nampenda sana

    • @asa9268
      @asa9268 Před 4 měsíci +1

      Shekhe kafariki miaka takriban kumi na moja saa hii..Mungu amrahamu

    • @abuidifundi2016
      @abuidifundi2016 Před 4 měsíci

      @@asa9268
      😭 INNAALILLAAHI WAINNAAILAYHI RRAAJIUUN
      ALLAH AMREHEM ALIKUA NI MWEPESI SANA KWENYE HOJA KAMA UST FADHLI ASHIRAAZY

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Před 4 měsíci +1

    MAWAHABI KATAFUTENI MAJIKO MUWASAIDIE WAKE ZENU KUKUNA NAZI. HAYA MAMBO YA ELIMU SIO YENU KABISAAA

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    HUYU WAHABI ANATOWA SIMULIZI NYINGI ZA MIFANO YA STORI LAKINI STORI ZAKE HAZIPO POPOTE KWENYE VITABU VYA HADITHI INAMANA NAYEYE ANAZUWA NA STORI ZAKE ZA KUSISIMUA?

  • @AliHamad-xl2mm
    @AliHamad-xl2mm Před 4 měsíci

    Huyu sufi anarukaruk tu hajibu anachoulizwa

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007 Před 4 měsíci

    Hivi kuna sehemu watu wameambiwa fanyeni mashindano ya qurian hi tawheed tatu mtume anaijua au maswahaba

  • @asa9268
    @asa9268 Před 4 měsíci +1

    Warudi wakasome hawa 😂 weh! Wamekula mbati😂

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Kina Nani warudi wakasome na wamekula bati?

    • @asa9268
      @asa9268 Před 4 měsíci

      @@ABUUJAAFAR92 mawahabi😂

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      @@asa9268 si kweli ,, mawahabi Wana ilmu si waona hapo mathwariqa walivyoshindwa kihoja,,,alafu mwategemea sheikh mmoja tu hii dalili kuwa hamna wasomi,,, kwahio mathwariqa ndio hamna ilmu

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 4 měsíci

    Mwamba hyu anawarekebisha jamaa zako kwa faida

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Ushabiki ni kitu kibaya ukipenda batil Allah atakuwacha upotee nanhuku ukiwa wajiona uko sahihi na tazama jamaa anavyofanya talbiis za kiiblis kutetea bidaa, wallaahi hata wasio waislam wanajiona wapo sawa na hata hawa masufi mashia n.k kila mmoja anajiona yupo sawa, kila makundi hayo sabin na kitu yajiona yapo sawa, baki kubwa ni kuwa walikuwa waonbe Allah awaongoze na waache kupenda kufuata tamaa na hata video wameikata kata kuficha ushahid kuwafanya wajinga wa comment waloya comment wakiona usufi ndio upo sawa.

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i Před 4 měsíci

    Mimi huwa nashangaa sn ww ukakataze asisifiw mtume utakuw una akili au matope mtukufu wa darja inataka tochi kwl duh

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      We ndo akili yako imejaa matope,,,kinachokatazwa ni maulidi na si kumsifu mtume ,,,,,
      Maulidi na kumsifu mtume swallallahu alaihi wasallam ni vitu viwili tofauti ,,,
      Na mtihani hasifiwi kwa maulidi ndugu ,,,Bali huku ni kumzulia tu ,,iblisi aliwapambia uovu huu ata mkinasihiwa vipi hamnazo ,,msifu mtume kwa njia za haki lkn si maulid bidaa uzushi ,,

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    DUU SHEKH MMOJA TU WAKISUFI ANAWATOWA JASHO MAWAHABI POVU LA MDOMO LINAWATOKA MAWAHABI

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Anaongea sheikh mmoja kwakua mathwariqa hawana wasomi ,,,lkn watu wa Sunnah wasomi ni wengi ,,,

  • @princefeisla3692
    @princefeisla3692 Před 4 měsíci

    Sasa mbona nyinyi hamutoi hadithi kua maulidi hayafai?😂😂😂😊

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i Před 4 měsíci

    Tizama wote wanaopinga asisifiw mtume saw angalia nyuso zao hazina Nuru wallhy

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci

      Nuru kwa camera.Sijui umetumia wizani gan huu Ww.
      Jitu la bidaa haliwez kuwa ktk Nuru

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Watu wanapinga maulidi wewe umebadilisha wasema wanapinga asisifiwe mtume ,,,,mbona mawahabi mahaba yao kwa mtume swallallahu alaihi wasallam yako juu Sana tu ,,,Sasa nyinyi watu wa bidaa uzushi vipi mtakuwa watu kumsifu mtume ,,, nyinyi makhurafi infact ndinyi ambao mwamdharau mtume ndio Mana mnazua katika dini na Wala hamjali ,,,mwafanya bidaa alafu mwajificha kwa kisingizio Cha kumpenda mtume ,,,, mtume hapendwi kwa uzushi Bali apendwa na kusifiwa kwa kufuatwa mienendo yake ,,,na mawahabi tu ndio waliofaulu katika hili.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 4 měsíci

      @@ABUUJAAFAR92 mawahabi ni nani apo??je,uwahabi upo wap tuoneshwe kweny vtabu na je,ni madheheb au nnn icho ??

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      @@user-qe8xp6ii1u Sasa si nyinyi mnatuita ivo Sasa tufanyeje,,,nyie makhurafi mnashida ,,,Jana la wahabi mlikuja nalo nyinyi mkitunasibisha na sheikh Muhammad bn Abdul wahhab ,,,,ama huelewi?

    • @user-zs6qg7ql1i
      @user-zs6qg7ql1i Před 4 měsíci

      Umeskia wp wahabi kafa katoa shahada ?Waislam mnawabagua waislam wenzenu kisa maulid wakt nyny ndo wapotevu utakuwaj walii wa Allah wakt unapinga asisifiw rasul saw tutamsifu mtume saw mpk kufa kwetu tumeish na mawalii na wanazuon wote wakubwa na walikuw wakifany maulid na vifo vyao shahada tizamen nyny mawahabi mnaskitisha sn aisee uwalii mtausikia t

  • @salumhassanallymkurdistan7006

    NIMEGUNDUWA MAWAHABI WENGI WANAMATATIZO YA UBONGO NA AKILI ZAO NI FINYU SANA
    DUU HATA WANAAMBIWA NENO MAULIDI NI JINA TU
    KATIKA MAULIDI NI SIRA
    NDANI YA MAULIDI KUNA KUSOMWA QRAAN
    NDANI YA MAULIDI KUNA MAWAIDHA
    NDANI YA MAULIDI KUNA IKRAM
    HAYA YOTE NDIYO YANAITWA MAULIDI
    ACHENI AKILI MBOVU MAWAHABI

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Haya maneno we umepata wapi ,,,kwa maana dini ni sheria na yataka dalili

    • @ABUUJAAFAR92
      @ABUUJAAFAR92 Před 4 měsíci

      Kwahio hii ni akili yao Wala sio dalili,,

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 4 měsíci

    Huyu nimsomi hao jamaa zako hufyeta vinywa vyao

  • @mohammedmataucar66
    @mohammedmataucar66 Před 4 měsíci +1

    Usufi ujinga sana kwaiyo mtu aje aseme niletee dalili wapi konyagi imesemwa haramu au lete dalili wapi inasemwa castle lager tusinywe 🤣🤣🤣🤣 usufi mtihan sanaa 🤣

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 4 měsíci

      Ww unatkiwa utuambie konyagi ni nin?konyagi ni jina kwhyo haiwezi kuwa haramu neno konyagi utuambie ww wapi kumeambiwa konyagi haramu?

    • @mohammedmataucar66
      @mohammedmataucar66 Před 4 měsíci

      @@taurehassan7399 ndio kma maulid au sio jina? 😃😃

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 4 měsíci

      @@mohammedmataucar66 kw maana hyo neno maulid c haramu na Wala neno konyagi sio haramu,na kitahukumiwa kilichokuwa ndani ya maulid au ndani ya konyagi kw uhalali wake au uharam wake,ssa ww lete kilichokuwa Ndn y maulid kipi ni haramu?

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 Před 4 měsíci

      Na me ntakultea Dali ya uharam kw kilichomo ndan ya konyagi

    • @mohammedmataucar66
      @mohammedmataucar66 Před 4 měsíci

      @@taurehassan7399 mtume alisema yoyote mwenye kufanya matendo kma yetu na ndani yake hilo tendo hamna sheria zetu.. basi litarudishwa kwa ivo ibada ya maulid inaingia uharamu sababu hmna ndan wala nje yake sheria ya Allah kwenda kwa mtume wake...

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 Před 4 měsíci

    Hujielewi ndio maana vurugu gani kafanya jamaa zako wanasema pole pole kwakuogopa alfadh maana wakiteleza tu watarekebishwa