Allah akuzidishie na akulipe kheir Yaah Sheikhu, hivi ndivyo inavyo takiwa, ukizungumza uzungumze kielimu, elimu inasemaje na dini inaelekeza vipi sio mtu kuongea mtazamo wako au mitazamo ya watu wanaonaje na wanasemaje. HAYA MANENO NDIO DINI NA ELIMU INAVYOTAKA TUWE. BAARAKA LLAHU FIIKA.
Allah akuzidishie na akulipe kheir Yaah Sheikhu, hivi ndivyo inavyo takiwa, ukizungumza uzungumze kielimu, elimu inasemaje na dini inaelekeza vipi sio mtu kuongea mtazamo wako au mitazamo ya watu wanaonaje na wanasemaje.
HAYA MANENO NDIO DINI NA ELIMU INAVYOTAKA TUWE.
BAARAKA LLAHU FIIKA.
Swadakta sheikh watu ❤
Wewe na rasulullah Bora nani
Ahul hawaa. Hana dalili hata dhaifu .
Kwahiyo msikiti ni eneo la ndani tu au mpk Kuta zake?
Kabla kufika kwenye kaburi na ukuta wapi karibu na anaeswali au atakua anaabudu ukuta
huyo anaetoa hukmu hio akiwa mwenyewe ndani ya mskiti ulio na makaburi, watarajia aseme nini?
Ogopa Allah wapi Kuna makaburi ndani ya masjid konzi
@@hassanowgennogenno5740 nani aliesema ndani ya Mskiti?makinika kwanza