Hukmu ya Kuswali Katika Msikiti Ulio na Kaburi | Sheikh Omar Al-Midhar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 9

  • @suleymanmohd3418
    @suleymanmohd3418 Před 4 měsíci

    Allah akuzidishie na akulipe kheir Yaah Sheikhu, hivi ndivyo inavyo takiwa, ukizungumza uzungumze kielimu, elimu inasemaje na dini inaelekeza vipi sio mtu kuongea mtazamo wako au mitazamo ya watu wanaonaje na wanasemaje.
    HAYA MANENO NDIO DINI NA ELIMU INAVYOTAKA TUWE.
    BAARAKA LLAHU FIIKA.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 4 měsíci

    Swadakta sheikh watu ❤

  • @SaidJangoli-hr7ww
    @SaidJangoli-hr7ww Před 4 měsíci +1

    Wewe na rasulullah Bora nani

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar Před 4 měsíci +1

    Ahul hawaa. Hana dalili hata dhaifu .

  • @user-db8vq4mw5j
    @user-db8vq4mw5j Před 4 měsíci

    Kwahiyo msikiti ni eneo la ndani tu au mpk Kuta zake?

    • @SeifHassan-se1xs
      @SeifHassan-se1xs Před 4 měsíci

      Kabla kufika kwenye kaburi na ukuta wapi karibu na anaeswali au atakua anaabudu ukuta

  • @GOP-Abdallah
    @GOP-Abdallah Před 4 měsíci +1

    huyo anaetoa hukmu hio akiwa mwenyewe ndani ya mskiti ulio na makaburi, watarajia aseme nini?

    • @hassanowgennogenno5740
      @hassanowgennogenno5740 Před 4 měsíci

      Ogopa Allah wapi Kuna makaburi ndani ya masjid konzi

    • @GOP-Abdallah
      @GOP-Abdallah Před 4 měsíci +1

      @@hassanowgennogenno5740 nani aliesema ndani ya Mskiti?makinika kwanza