Video není dostupné.
Omlouváme se.

Godfrey Steven-Milele (Official Music Video) SMS SKIZA 5967142

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2021
  • MILELE
    MUNGU anajivunia sisi kwa vitu ambavyo amewekeza kwetu kama viumbe na watoto wake. Hivyo basi usikate tamaa kwa maana wewe SI WAKAWAIDA Jiamini songa mbele unacho kitu kikubwa ndani mwako, TUMEUMBWA KWA SURA NA MFANO WA MUNGU.
    Written by : Godfrey Steven
    Singer : Godfrey Steven
    Director. : director Crix
    Audio : Taz Goemi [ fisher records ]
    Backvocal : Miriam lukindo mauki and Irene

Komentáře • 432

  • @praiseandworship6293
    @praiseandworship6293 Před 3 lety +44

    Whoever reading this, God knows what you are facing through, He heard your cry, He is going to deliver you. Just trust in him. Amen

  • @alphoncepeter8795
    @alphoncepeter8795 Před 3 lety +2

    Moja ya watu wenye low pick voice na wanajua kutumia ni wewe hujawai niangusha kaka na Mtumishi

  • @ellyminja5707
    @ellyminja5707 Před 3 lety +15

    We have reason to support this man God ,tusishie kuview tuu tu share na kwa wengine ujumbe huu wenye utukufu mwingi.

  • @RebecaAdam-qj5uo
    @RebecaAdam-qj5uo Před 14 dny

    Hakika mungu mwema kabisa hatakama kunachanga moto mungu atafanya

  • @teresiasanga7474
    @teresiasanga7474 Před 3 lety +2

    Dedication kwa wote waliokua kwenye ile daladala,yule jamaa kwa bajaji na Yule aliyekaa chini ya lile bango

  • @EmmaFrancis14
    @EmmaFrancis14 Před 3 lety +3

    Daaaah #Milele mimi sio wa kawaida ukiri mkubwa sana huu asee ubarikiwe mwana wa Mungu nimebarikiwa

  • @pendomoringe7004
    @pendomoringe7004 Před 3 lety

    Hakika Mungu Akutunze G Umekuwa Baraka Kwangu Na Kwa Familia Yangu Mungu Akutunze Kwaajili Ya Kanisa Lake Linalosfari Hapa Duniani Sauti Yako Iko Na Maajabu 🙏🙏

  • @JeunePremierSilambien

    Huu Ndo Wimbo wangu wa kila Siku , kama sijasikia huu Wimbo uwag sina Amani

  • @mathiaswalichupa
    @mathiaswalichupa Před 3 lety +3

    THAT'
    S MY BROTHER😉

  • @leahkaligilwa1399
    @leahkaligilwa1399 Před rokem

    Nakupenda sana wewe kama na barikiwa sana nawewe hunaga papala huna madoido mengi unaadabu na unaupako barikiwa zaidi natamani siku Moja niimbe na wewe mimi ni muimba kwaya naimba makongoro vijana kwaya Aict 🙏

  • @jacksonmakariusmac8846
    @jacksonmakariusmac8846 Před 3 lety +3

    Hallelujah 😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 milele ....Bwana azid kukuinua kk

  • @olivamtuya505
    @olivamtuya505 Před 3 lety +1

    Unajua Sana mtumishi..Mungu akuheshimishe na kukuinua juu

  • @sayunikibwana5178
    @sayunikibwana5178 Před 3 lety +3

    Sifa ya msomi ni kusoma ili afaulu AMEN hakuja jambo gumu linalo weza mshinda MUNGU Stay bless legend Blood Bro your young im proud of You

  • @sellinakapama4375
    @sellinakapama4375 Před 2 lety

    Aisee sikujua kuwa kuna mtu amekuwa blessed sana hivi! Sichoki kusikiliza nyimbo zako japo ndo nimekujua Leo CZcams!
    God bless you broo!

  • @matonaegonny7670
    @matonaegonny7670 Před 3 lety

    Muimbaji godfley amenibaliki Sana,tena huu mfumo wake asiwubadilishe ubaki ule ule.

  • @catherinempolya25
    @catherinempolya25 Před 3 lety +2

    First to comment be blessed sauti yako tu ni baraka

  • @andrewzephania8301
    @andrewzephania8301 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana, maana unajua hadi so poa

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Před 3 lety +2

    Mungu kakuinua Kaka,sasa ukijiinua Shauri yako maana wasanii wa kibongo wanaanzaga vizuri wakiwa maarufu na pesa eeeheheh wanajisahau,,

  • @sammymchaguliwa4282
    @sammymchaguliwa4282 Před 3 lety +1

    barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @sophiatobias9619
    @sophiatobias9619 Před 3 lety

    Kaka huwa nakukubari sana Mungu akusaidie nakupenda katika Bwana Yesu Unanitia nguvu nibapokata tamaaa

  • @andrewrobinson9289
    @andrewrobinson9289 Před 3 lety +1

    Hongera sana sanaaaaa ndugu yangu kazi mzurii Sanaa ubarikiwe ndugu

  • @tamariprosper7687
    @tamariprosper7687 Před 3 lety +1

    Nabarikiwa sana na Nyimbo zako Kaka

  • @jonathanjohn5143
    @jonathanjohn5143 Před 3 lety +1

    Nice massage mtumishi Barikiwa sana

  • @Official_manlizy
    @Official_manlizy Před 2 lety +1

    Amen Nyimbo nzuri sana🙏

  • @irenemosi319
    @irenemosi319 Před 3 lety +4

    BROTHER UNAJUA Sanaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥MUNGU atakufikisha mbali Sana,endelea kuitenda kazi ya MUNGU bila kuchoka na kwa unyenyekevu❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ GLORY to JESUS MASTER❤️❤️❤️❤️

  • @elishageorge492
    @elishageorge492 Před 3 lety +8

    Woow woow it's a blessing
    Mimi si wa kawaida milelee yotee
    POWERFULL Song aisee

  • @deusmbise
    @deusmbise Před 3 lety +4

    @Godfrey Steven you are such a blessing brother
    #milele mimi si wa kawaida

  • @rosemarymnangwa3421
    @rosemarymnangwa3421 Před 3 lety

    Barikiwa Sana bro Godfey kwa huduma hii ya uimbanji una nyimbo zenye jumbe za kutuconfort na kumtegemea Mungu siku zote Mungu azid kukuinua

  • @amosinzunda2614
    @amosinzunda2614 Před 3 lety +1

    Barikiwa Sana mtumishi wimbo mzuri sana

  • @marygabagambi3342
    @marygabagambi3342 Před 3 lety

    Barnaba boy, natamani uhamie upande huu, ufanye combination na huyu kaka naamin wasikilizaji tutabarikiwa sana. Na Mungu atajitwalia utukufu.

  • @nazaelimathayo1457
    @nazaelimathayo1457 Před 3 lety

    Uinuliwe sana kaka angu wimbo mzuri sana sana ila wew hujawahi kosea kwasababu una Mungu ndani yako

  • @ezyjob5083
    @ezyjob5083 Před 2 lety

    Maneno ya nyimbo zako yananivusha katika mapito mnooooooo

  • @maseraspia7166
    @maseraspia7166 Před 3 lety +1

    Amina kaka nakupenda sana

  • @juniorgidson1182
    @juniorgidson1182 Před 3 lety +2

    Mungu akubariki ujumbe mzuri

  • @upendosuleiman8847
    @upendosuleiman8847 Před 2 lety

    Nakupenda sana kaka mungu aliyeweka kibali cha sifa ndani yako akiendeleze milele

  • @estershilla1211
    @estershilla1211 Před 3 lety

    Sina la kusema Ila milele MUNGU wetu ni mshindi

  • @mariachengula5166
    @mariachengula5166 Před 3 měsíci

    Ameni barikiwa sana mtumishi.hakika baba sio wakawaida

  • @gideonleonceelias5423
    @gideonleonceelias5423 Před 3 lety +1

    Nilikuwa natafuta comments ya kiswahili brother naona watazamaji wengi si wa hapa jijini nikutoka majuu maana kizungu ni cha kutosha😁😁😁. Kaka you never Disappoint nachofurahi ni kwamba jina lako limeandikwa kwa baba tutakutana kwake siku moja. Keep it up bro, unakitendea haki kile ulicho itiwa na Bwana.

  • @elizashayo6928
    @elizashayo6928 Před 3 lety +1

    Hatariii saana milele

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 Před 2 lety

    Mimi Kaka napenda Sana nyimbo zako hakika milele nitamwamini

  • @stevdwin8014
    @stevdwin8014 Před 3 lety +1

    Hongera bro kazi njema

  • @vickyshoo3468
    @vickyshoo3468 Před 3 lety +1

    Waoh Mungu azidi kukuinua

  • @jamesmwafongo6171
    @jamesmwafongo6171 Před 3 lety +2

    Mbona hamtupi wimbo jaman

  • @magdalenapeter4851
    @magdalenapeter4851 Před 3 lety

    🥰🥰🙏 unajua bhana MUNGU azid kubariki injil yako na ubarikiwe Zaid❤️❤️❤️

  • @barikitomanofficial989
    @barikitomanofficial989 Před 3 lety +1

    Mtumishi umemuweza shetan

  • @edinakiluka9157
    @edinakiluka9157 Před 3 lety +1

    Mungu si wa kawaida🙌🏽

  • @wistonbigera989
    @wistonbigera989 Před 3 lety

    Yaan nyimbo zako ni zaid ya nyimbo bora zinanzobarikiwa nazo, ubarikiwe kaka

  • @officialjamhurizachariagos2797

    Kaka nakupenda sana, Ukiondoa Upendo nakuheshimu sana, Nikiondoa Heshima naogopa Nguvu ambayo hiko ndani yako, we ni mtu wa tofaut sana, Natamani kuona waimbaji tukifata nyayo zako, Mungu akubariki daima

  • @barakablessing5366
    @barakablessing5366 Před 3 lety +1

    Barikiwa Sana kaka

  • @anthonymwemsi586
    @anthonymwemsi586 Před 3 lety +2

    Be blessed mkuu

  • @jofreymfugale4752
    @jofreymfugale4752 Před 3 lety +1

    Nimebarikiwa sana na hii nyimbo

  • @josephjudith8599
    @josephjudith8599 Před 3 lety

    kaz nzuri ujumbe mzuri.. Hakika Mungu ni wa milele ubarikiwe kaka godfrey

  • @amankyando5780
    @amankyando5780 Před 3 lety +1

    Utunzwee na Mungu kaka GS

  • @josephkayugumya83
    @josephkayugumya83 Před 3 lety +1

    AMAIN good God bless you my neighborhood 💪💪NITAKAZANA

  • @drraphaelmallaba7993
    @drraphaelmallaba7993 Před 3 lety

    Milele hakika Wewe Mungu sio wa kawaida

  • @salomeyohana1465
    @salomeyohana1465 Před 3 lety +1

    Hongera uncle

  • @stelapius9604
    @stelapius9604 Před 2 lety

    Mungu azidi kukuinua Kaka ili tuzid barikiw kupitia kipawa chako

  • @godfreypeter8383
    @godfreypeter8383 Před 3 lety +1

    Mtaalalu kama mtaalamu

  • @maseraspia7166
    @maseraspia7166 Před 2 lety +1

    Milele wewe si wakawaida

  • @officialsamuelthomas
    @officialsamuelthomas Před 3 lety +3

    🔥🔥🔥

  • @wycliffzedeck9209
    @wycliffzedeck9209 Před 3 lety +1

    Aiseeeee, 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️👉🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️ Brother Godfrey your so blessed, the song 🎵 the song is so blessing. 🔥 Kusudi la Mungu ndan yako naomb litimieeee. Huw na barikiwa sana na nyimbo zako zoteeeeeeeee. Ameni Ameni

  • @hurumamushi1059
    @hurumamushi1059 Před 3 lety

    Ameen kipo alichoweka ndani yako mtumikie Mungu tunabarikiwa wengi broo

  • @fidelisworshiper8966
    @fidelisworshiper8966 Před 2 lety

    Ujawahi kuniangusha ndugu yangu my ringtone. God bless you ndugu yangu

  • @suzymadembwe2632
    @suzymadembwe2632 Před 2 lety

    MUNGU awe nawe siku zote 🥰🥰🥰🙏🙏🙏

  • @BeatriceMapinda
    @BeatriceMapinda Před 3 lety

    Asante nimeona kitu kipya chenye nguvu ya Mungu

  • @asnathgeofrey3531
    @asnathgeofrey3531 Před 3 lety

    Unanibariki Sana mtumishi wa Mungu. Endelea kumtumikia Mungu. It Pays a lot

  • @martinkombo8062
    @martinkombo8062 Před 3 lety +1

    Nimebarikiwa sana

  • @dorcahogeto1544
    @dorcahogeto1544 Před 2 lety +1

    Sifa ya Mpishi kupika chakula kiive
    sifa ya dereva abiria wafike
    sifa ya msomi ni kusoma ili afaulu
    Je waijua hiyo sifa yake Mungu
    amewekeza yalio mengi mazuri ndani(ndan
    sababu anayo imani na wewe
    kushindwa kutimiza aliyokupa huyo Bwana ni kumuangusha huyu Mungu we mama
    Milele*3 wewe si wa kawaida
    milele*3 baba, mama kazana
    ukiona bahari basi jua aweza fanya njia(aweza fanya njia)
    ukiona ukame wewe jua aweza leta mvua
    na na na na ukiona na njaa ana uwezo wa kukupa chakula
    eh baba eh mama mwaminintu
    kama njia ni ngumu wahisi kama huwezi pita ni miiba
    wewe rudi anatamani umshirikishe
    ameshategua mitego mingi yako kitu gani?
    aitwa Mungu amewekeza ukubwa ndani yako

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 Před 3 lety

    Daaaaaaaaaaah kaka ngoma kali sana mkuu hakika Mungu amekubariki kipaji cha kumuimbia

  • @liberathawendeline4624
    @liberathawendeline4624 Před 3 lety +2

    👏👏👏🙏 Wimbo mzuri umenibariki sana Mtumishi, Mungu azidi kuiinua huduma yako kwa viwango vya juu na akuongezee maarifa ya kimbingu.

  • @estapaul5318
    @estapaul5318 Před 3 lety

    Nabalikiwa sanaaaa. Na nyimbo zako Mungu azid kukuinua mtumish wa mungu

  • @pendomlay9674
    @pendomlay9674 Před 2 lety

    Mungu aendelee kukuinua ktk huduma hii Mtumishi wa Mungu.

  • @hagaimashakilo5287
    @hagaimashakilo5287 Před 3 lety +1

    Baraka sana kaka Godfrey

  • @PotfaDaudi
    @PotfaDaudi Před 3 lety +1

    Barikiwa sana kaka

  • @skulvid
    @skulvid Před rokem

    Great work
    . Endelea kukaza buti katika kuieneza injili

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza Před 3 lety +1

    Kayumba mama, Cover by #Sedekiakiza_i_sing_fot_you_jesus

  • @glorymwijage4696
    @glorymwijage4696 Před 2 lety

    Wimbo mzr ujumbe mzto God bless you much more

  • @julykwai2685
    @julykwai2685 Před 3 lety

    Nyimbo tamu Sana,ongera Sana,sauti ni balaa

  • @rhodachanangula7734
    @rhodachanangula7734 Před 3 lety +1

    haujawai kuharibu🔥🔥

  • @EmmaFrancis14
    @EmmaFrancis14 Před 3 lety +1

    Nasubiri baraka hii

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga3042 Před 3 lety +1

    Amesha tegua mitego mingi pia ukiona ukame ujue ataaleta nvua hajawahi shidwa YESU barikiwa Godfrey kwa nyimbo nzuri na uwimbaji mzuri

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +11

    I feel so blessed nikisikiliza nyimbo zako kaka 🙏🏼🙏🏼

  • @Saimonheriman
    @Saimonheriman Před 5 měsíci

    Hakika broo nakubali sana unavyo imba

  • @dorcasnamuya
    @dorcasnamuya Před 3 lety +4

    This is Amazing
    Aitwa Mungu
    milele si wakawaida👌🔥🔥🔥

  • @furahamkunda7078
    @furahamkunda7078 Před 3 lety

    Mungu akuinuee zaidi napenda mno nyimbo zako

  • @triphonialutelo9717
    @triphonialutelo9717 Před 2 lety

    Barikiwa sana MUNGU aendelee kukuwezesha

  • @HappnessPeter-nb4wh
    @HappnessPeter-nb4wh Před rokem

    Jmn unanibariki sana napenda nyimbo zako

  • @theddyrobby4372
    @theddyrobby4372 Před 3 lety +1

    Mungu aendelee kukuinua..nimebarikiwa mno na maneno ya huu wimbo, yanatia moyo mno..Ameeeen

  • @leahmapela739
    @leahmapela739 Před 2 lety

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako mtumishi

  • @McVeronyjoe
    @McVeronyjoe Před 3 lety +23

    I’m always speechless when it comes to His songs ..! It’s like God is Telling him what to sing to Give us Hope 🥺🙏🏽 Keep this spirit up Ur Helping Millions ❤️🔥 The Song. Is on Fire Mungu si wa kawaida Tunachkulia simple lakin HAKUNA ASILOWEZA 🙏🏽🔥🔥

  • @lyilyanmussa5433
    @lyilyanmussa5433 Před 2 lety

    🧚maraika watakatifu wakulinde naukuu wa mungu uwe nawe daima🙏

  • @nelsonmsaki2465
    @nelsonmsaki2465 Před 3 lety +1

    Barikiwa sana bro,,,MIMI SI WA KAWAIDA MILELE

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga3042 Před 3 lety

    Nikumua mwani tu yeye atafanya👍👍👍

  • @sijaliusnyalanga7409
    @sijaliusnyalanga7409 Před 2 lety

    Kaz nzri sana mngu akuinue by alex mwaki

  • @marthalwila3704
    @marthalwila3704 Před 3 lety +1

    Mileleee

  • @danielpanga5468
    @danielpanga5468 Před 2 lety

    Wooow wooow, milele wewe si wa kawaidaa💕💕
    Tehamo bwanaa

  • @alfonsina9009
    @alfonsina9009 Před 3 lety +3

    Hongera sana😊🙏🙏🙏🙏 Mungu Mwenyezi akubariki😊

  • @happiengogl958
    @happiengogl958 Před 3 lety +2

    Be blessed man of God
    Milele mimi sio wa kawaida🤲

  • @isaackivuitu857
    @isaackivuitu857 Před 3 lety +1

    Mimi si wa kawaida...I'm so much great that...🔥🔥🔥🔥 Nani ananielewa😄

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka5924 Před 3 lety +1

    Jamani toa hilo Goma brooo