Bahati Bukuku - Picha ya Mama (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 12. 10. 2023
- Music Video by Bahati Bukuku performing "Picha ya Mama" track number (2) from the Ep (DAWA YANGU).
Stream Picha Ya Mama - ziiki.media/PichaYaMama-Bahat...
For Skiza - Sms “Skiza 7302993 to 811”
Vodafone Users - Sms “11296931 to 15577”
Follow now Bahati Bukuku on Social Media
Instagram: / bahatibukuku_tz
Digital Distribution by Ziiki Media.
All Rights Reserved (2023) - Zábava
Mama ni mtu wa umuhimu kwa maisha ....wimbo mzuri kama mama ni wa muhimu kwako tumpe likes mtumishi wa mungu
She didn't bother to get a photo together with her mum now she has realised that
@@jackkakongoma3440 sins lakusema nimachozi tu
kabisa iyi nyimbo ina nikupusha mengi sana aksante sana naniko nalia kabisa
Bahati bukuku
Kama upo m mama yako kwa xaxa shukru God ❤❤❤❤😢😢😢😢😢
Kiukwel namshukuru mungu kwakua mama angu bado yuko hai ila huuwimbo unanigisa sana nikijalibu kuvutapicha kwawatu ambao hawana mama nawaombea sana mungu aendelee kuwapa nguvu nafalaja maana najua mnapitia kipindi kigum sana
Hongera sana Bahati kwa wimbo wenye ujumbe mzuri. Umeniliza wimbo huu maana cna picha ya mamangu mwee😭
Tuwapende mama zetu. Like comment ikiwa utampenda mama akiwa hai
Polesana😢😢🙏
❤❤❤❤nampenda sana Mama Mungu nilindie Mamagu🙏🙏🙏🙏
Wenye mama zenu walio hai wapendeni sana rip my mom 😂😂
😂😂😂😂
@@josephinemichael8804johul
Ppllkul
Nnjp .m😊 .kóiho😊
Wimbo mzuri sana hongera, ila naomba kutoa maoni kidogo,
Nyimbo nyingi ukizisikiliza kwa umakini zimekuwa na maudhui ya kuwatofautisha hadhi hawa wazazi wetu wawili, na wakati mwingine hata zinazomtaja baba ni zile za wababa waliokataa watoto kwa lengo la kumtetea mama pekee yake, ningependa wababa walioshindwa majukumu wasitumike kutoa taswira ya baba kutopewa heshima sawa na mama, tutumie taswira za baba zetu wale waliotunza familia zao kumpa heshima baba sawa na mama.
Nay Wa Mitego anawimbo unaitwa MSHUA💪
Kwakwel yan piah Sina picha ya baba😢
🤝
Well said
nkwel umetishq sana wajinq
Eee Mwenyenzi Mungu nakuomba endelea kutulindia mama zetu ambao Bado wapo hai
Amina
MUNGU akubariki Kwa ujumbe
Tuwapende mama zetu
Mama ni mungu wapili duniani
Wangapi wanalia na mimi tafadhali nipee like moja tuu😢😢😢😢😢😢
Pole dada Mungu akutie nguvu
I feel pain in my Hrt nikikumbuka Sina mama
😢😢
We are all crying together!!
😢😢😢inauma saana aki hii wimbo imenikumbusha mbali sana aki
Kenyans lets gather here...let's show love for our mum Bahati bukuku
Absolutely
Pamoja❤❤
Thanks to Allah my mum❤ she is still alive pole kwa wote waliopoteza wazazi wao Allah awazidishie subra 🤲🙏mum bahati thanks for the touching song😢❤❤
Together as one 🎉🎉
Tuko hapa
Pumzika kwa aman mama yangu kipenzi wimbo umenigusa kweli
Aki pole 😢😢
My best gospel i love you maman ahsante kwa nyimbo nzuri ya elimu kwa sisi bado maman zetu wangali hai like kwa maman bukuku FROM CONGO SHABIKI WAKO NAMBA MOJA 🇨🇩🇨🇩💯💯
Pia mimi sina picha yake sikumpata nae baba kafa mwaka wa 2023 pia picha yake sina lkn nikikuona naona kama ww ndiye mamangu kulingana na stori ninapatiwa na watu vyenye alikuwa you look like my mom❤❤
Mama n mtu muhimu sana kwa life ya mtu,,,, if ur mim is alive give her red love❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
Ee mungu tunakuomba uwape maisha marefu kina mama🙏🥰
2024 wangapi wanakumbuka hii
Daah hii nyimbo imefanya nimempende mama yangu maradufu nakupenda mama yangu Mungu akuweke Kwa ajili yangu mama
Wanaokubari kazi za mama huyu bahati bukuku tujuane mwe mama tuwatunze sana mama zetu kwa wale wako hai funzo hili sikia fanyia kazi❤❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
Yaan
@@tumaininzunda7206
@@tumaininzunda7206
Kabisaa nakupenda mnooo mama
MUNGU WALINDE MAMA WOTE , MUHESHIMU MAMA YAKO WENGI WANATAMANI MAMA ZAO WANGEKUWEPO
Wimbo umeniumiza sana,hongera kwa wale Bado mama zenu wako,wimbo mzuri sana usimyime bahati bukuku likes
Ubarikiwe mtumishi umenikumbusha mama sikupiga naye picha aaaaaaah 😭😭😭😭😭😭😭 niacheni nilieee Mimi 😭😭😭
Daaah tunalia wote hata Mimi sina mama😢😢
pole rafiki
Asante kwa nyimbo nzuri sana ,Mungu asifiwe kwa ukubwa wake ... Napenda mama ngu mpenzi Faida Matungulu Victorina
Hongera kwa wale bado mama zenu wako hai. Wengine hatuna picha ya mama. Wapi Likes za bahati bukuku jameni. Wimbo mzuri sana
Namupenda sana mama yangu mungu nilindiye❤❤❤🙏🏽
Pole Nani kama nyie nampenda mama angu adi basi niliweka vocha kabla ya kumpigia yoyete unaanza na mama angu weeeee poleni wapenzi ambao mmepoteza mama zenu ni mipango ya mungu
❤
saba yan wimbo unaliza huu
Kweli kabisa kaka yangu pole Sana pia
Mwenyezi Mungu akubariki sana na zaidi mama Bahati, wimbo huu unatowa shauri kubwa kwetu sisi Wakristu, ila kuna tatizo kubwa kuhusu kinamama wengine ambao ni wachawi ama walozi, tumeonywa kiroho, na pia Roho Mtakatifu katufungulia ya kwamba kinamama wengine wana roho mbaya sana na zaidi kuliko hata Shetani, sababu wako kwenye uchawi, vipi mtumishi wa Bwana, tufanye jee hili tuweze kuwapa nafasi zao maishani mwetu huku wao wanatamani kututoa kama vile sadaka zinatolewa madhabahuni, umetushauri nini mtumishi wa Mungu ?
Pole sana umeongea kwa hisia hiyo changamoto ni kubwa sana hasa mama akiwa na roho mbaya hua ni hatari sana
Ce que la parole de Dieu nous dis d'honorer nos parents il y a la bénédiction de longue vie sur la terre. Accomplissons notre devoir d'enfants Dieu s'en charge de nous proteger de la mort prématurée ou quelconque sacrifie diabolique. L'amour est une arme plus forte que nous ne Sousponons même pas sa puissance de protection. Si Dieu ne garde pas, si la parole de Dieu ne nous protège pas, celui qui protège fais un travail vin. Que Dieu vous donne le discernement.
Merci.
Bible inasema tusiwaache wachaw kuishi
You are not alone,,,simfahamu Mama mm, she passed away when I was one and half year...sina picha na hata sauti yake siifahamu mimi.
Mke wangu sasa ndo kama Mamangu.❤
When l listen to this song l remember my late mum,my mum died when l was 6,for those who still have parents cherish your mums ,continue resting in peace mum
Hugs to you 😿
Nampenda sana mamangu mungu ampe maisha marefu ❤️❤️
Miaka saba sasa tangu mama angu anitoke lakini kupitia hii nyimbo nimemkumbuka sana mama yangu,endelea kupumzika kwa amani mama yangu
Who else is listening this song more than once ?those who still have their moms, let's remember them
Natafuta picha ya mama pia...continue resting on peace my beloved mum
Nice song from Bahati Bukuku. Umenifanya niendelee kum miss mama yangu mpendwa. RIP my mum. Wapendeni akina mama zenu still wakiwa hai
😭😭😭😭pumzika kwa amani mama yangu,wimbo umeniumiza sana
Pia mimi hata mimi hata nimetoa machozi
Mm nampenda mama becoz bila yy singekuwa hai,Asante xna kwa kunilea mpaka nikafika hivi Mama n mama
Mama ñi mtu muhimu sana jmn Nan i kama mama ubarikiwe my mother popote ulipo na wamama wengine wote Mungu awabariki sana jmn
❤❤❤❤🙏🏼 Nampenda mama yangu 🙏🏼 Ahsante kutukumbusha kuwatunza mama zetu, barikiwa mtumishi wa MUNGU ❤️🙏🏼
Mopl
Nampenda sana mama yangu tuwatuze hata kwakidogo maana ni Mungu wetu wapili,ndio mana wanatupa baraka
Pole kwa kukosa mama mi ninae namuombea sana wazazi wangu. Pia Mungu awape maisha marefu🙏🙏🙏❣️❣️❣️
Barikiwa sana mama. Umepigwa vita sana lakini Mungu ni mkuu. Wimbo mtamu hakika!
Nikiskiliza nalia sina picha ya mama kwel 2024 ni miaka kum tangu ututoke
Pole dear😭Mungu mwema muombee
Ma mère 😭😭😭 long vie à nos maman que Dieu les garder pour que nous aussi nous puissions prendre soin de eux Nani kama maman eshima kwa maman🙏🙏 merci beaucoup ma mère chérie que la grâce te localiser et que tu vives longtemps
kwenye hii dunia akiondoka mama yako mzazi, ndio utajuwa nobody love you more than your mama... maisha hayawezi kuwa na furaha ukweli furaha yako inakua ya kuigiza tu lakini ndani ya moyo unalia kila wakati🥹🙏🏾💖💖💖 kwa wale wote ambao mama zao wapo hai jitahidini sana kuwapenda na kuwathamini mama zenu,,, hiyo ndio zawadi pekee ambayo Mungu bado amewatunukia lakini pia tusisahau kuwaombea wale wote ambao mama zao wamekwisha kutangulia mbele za haki wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani
Amen .Kuna wamama wengine wanatelekeza watoto wao wanalelewa na watu kuja
mimi ndo najua ivo tangu mama afe aisee waliokua wanajdai wananipenda leo imebadi story wanakua kama awanijui example mamkubwa
yaani raha ya dunia ni mama
Ohhhhh!! Mama yng nakupenda MUNGU naomba mafanikio mama yng ale matunda zaid ya hapa
@@mwajabually5321 Mama ndio Kila kitu,
nampenda Sana mama Ila wimbo huu umenikumbusha kupiga naye picha listening from Tanzania
Mama yangu nakupenda sana Mungu akutunze uendeleye kuishi myaka mingi nakupenda m'y Mom💯❤️❤️❤️❤️❤️
I love you so much mamaa. May the Lord grant you good health and long life where you are. You've struggled for us a lot and all I ask from God always is life for you ❤
Naomba mbingu zitamke ushindi wa kishindo kwenye huduma ya mama yetu @bahati bukuku🙏🙏🙏huu ni wimbo ulio na funzo ndani yake hususan kwetu Youth🙏
Amen🙏🙏
Kweli kabisa kaka🙏🙏mama yetu bahati bukuku ameongea kweli
Nakupenda mama Mungu akupe maisha marefu hapa dunian, pia Mungu awape pumziko la milele wa mama wote waliotangulia mbele za haki.
Amen barikiwa
Greatiful, Mum live long, thanks for struggling with brewing to make us the way we are today, May God grant you many more blessed years.
When i listen to this song i remember my late mum she dei when am gulf countries 😭😭😭😭😭😭those ppls have your both parents apparently, mum and dad rip.
Amen 🙏🙏 nakukumbuka Sana mama angu Jana umetimiza wiki tatu kwanye nyumba Yako ya milele
Am so happy just by seeing this song. We had missed you so much. Please don’t go again. We love you ❤
Weeh 😭😭😭my mum Elizabeth I love ❤❤you where you are ,,💕my prayers is that you may live upto bonuses of the Lord (this song is so touching)
Ewe mungu wetu endelea kunitunzia mama yangu ❤❤❤❤mama ote
My blessed mum. Barikiwa sana Mungu atusaidie tuwaheshimu mama zetu. Tuwapende na tusikose kupiga picha nao. Zaidi ya hayo tujifunze kuwasikiliza tusipuuze maneno yao. From the land of Kenya 🇰🇪 .
Miss you mama yangu😢😢😢, Endelea kupumzika kwa amani🙏🙏🙏
Pole dia
Nashukuru dear👏👏🙏
Always mi favourite ❤❤❤❤❤❤I love ur voice ,be blessed
Jehovah God I thank you for my mother's life, I know am not the perfect daughter but I ask this of you, keep my mother safe for me😢may our relationship grow from where it is now🙏 we've had our differences but my Lord my father protect this mother and daughter bond🙏...Dad I look for your pic Everytime I think of you,but unfortunately I can't find one the only image I have is in my mind😢😢RIP Dad😢😢
Pumzika kwa amani mama yangu nakupenda sana mama bukuku mungu akulinde Wimbo umeniguza
Thank God for my MAMA BEING ALIVE TODAY AND MY DAD, keep them healthy in Jesus Name 🙏 ❤❤❤❤❤❤
Amen
Amen
Watching this song while crying bc l lost my mum at my early age so it's so pain full be blessed Bahati Bukuku
Nice song,,you are blessed bukuku
Bahati hapa umeimba kwa kweli huu wimbo unanikumbusha mbali sana pia umenikumbusha kupiga picha na mama yangu
Napenda nyimbo zako, daima hugusa moyo wangu.
Mungu akubariki kwa wimbo mzuri unaomheshimisha Mama pumzika kwa amani Mama yangu kipenzi nakupenda 😢😢
Nashukuru mungu mamangu yupo hai na nampenda kuliko roho yangu ❤❤❤❤ mama
Amina sana bahati bukuku nakufuatiria sana ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri!❤❤❤❤
Ukovizuri bahati kwa wimbo mzuri tunakupata mozambip sana
Mimi nina umri wa miaka 31 nilimuona mama nikiwa 5 years on a sick bed 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
We acha tu kwa kweli hii nyimbo himenikuxa sana Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
To my mom in heaven,I love you so much❤
🙏❤️Mwenyenzi mungu uwalinde wakina mama wote duniani
Sina picha yake kabisa,nimejaribu kuitafuta lakini...ni sawa tu ilikuwa nikae bila yeye,najua ulienda juu ya sababu zako,ni mpango wa Mungu
Mwenyezi mungu ilaze roho yake na jina jina lako lihimidiwe amina
Pumzika kwa Amani Allah akupunguzie adhabu za kabuli mama yangu
Live Long MUM I thank God for you ❤❤..much love from Kenya nakupenda sana Bukuku ❤❤
Happy long live to all mother's in the world 🌍🌍 may Almighty Father give me a humble heart and divine favor I remember my grandmother for caring me Rest in peace my grandmother I m strong because of you
Tushow love ❤ kwa mama zetu wakiwa hai tusije kumbuka shuka wakati pamekucha
Hongera mama angu Bahati bukuku kwa wimbo Mzuri hakika umetugusa wengi Sana mungu akupe maisha marefu ❤❤❤ this song
Kwa kweli sina picha ya mama RIP my mum 😭huu wimbo umenota machozi barikiwa sana kwa kutupea uchumbe mzuri sana🙏🙏
Mungu azidi kumpa maisha marefu nampenda Sana mama💟
Jamani jamani nimejikuta natokwa na machozi japo mama Angu yupo hai aiseee wimbo mzr ujumbe mzr Asante kwa kutukumbusha umuhimu wa mama zetu.Mungu wabariki mama waliotangulia mbele za haki na walinde mama wote waliohai .mda wote nasikiliza huu wimbo Mungu nisaidie pia nisamehe nilipo enda kinyume na maagizo ya mama Angu.
Eee mwenyez mungu ilaze roho ya mama yangu mahal pema peponi amina
I miss you mom nakupenda sana mama 🥰🥰 Mungu akupunguzie adhabu
Nyimbo Ni ujumbe Mkubwa! Tuwathamini Mama zetu na Tuwaombee kwa Mungu Waishi Maisha marefu Duniani.Tuendelee kushukuru Mungu kwa kuwaweka hai mama zetu mpak leo Amina.EE! MUNGU MBARIKI MAMA YANGU APATE MIAKA MINGI DUNIANI🙏🙏
❤❤❤❤❤nakupenda mama yangu mungu azidi kukulinda na kukupa afya njema❤
Mungu watie nguvu wasie na mama nauenderee kutulindia mama. Zetu
Bwana yesu asifiwe ,wimbo nzuri ingawa sina mama lakini wimbo umenifunza jambo mutumishi mungu akubariki unapoendelea na huduma❤
Wimbo huu unanipa hamasa ya kuendelea kumpenda sana mama yangu na kumuombea uzima
Asante sana bahati bukuku inyimbo imeniliza mama yu pohai nafika myaka 24 bado sijamuona mamayangu 🥺🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉❤❤❤😢😢😢
NAKUPENDA❤️❤️❤️❤️ SANA PASTOR BAHATI BUKUKU MUNGU AKUTUNZE MIAKA MINGI SANA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kabisa, hii ni wimbo nzuri ina kumbusha jukumu ya kila aliye zaliwa hasa wale ambao mama ame fanya yote ili aelimishwe
Hongela mama kwa wimbo mzuri MUNGU akubaliki sana😍😍😍😍
Thank God for my mum ...
She's a special gift for us as family ❤
More life mum❤
I'll not settle untill i see you more happy ❤
Ameeeeeeen 🙏🙏
Huu wimbo nikiusikia unanitia Sana machungu mungu ampunzishe mama angu kwa amani
On behalf of my ancestors, family, friends, church mates and my wicked landlord I would like to say that this is a certified master piece which even the children yet unborn shall listen to.
Hongera Sana wimbo huu ubarikiwe ❤
sina laku sema kuhusu maman, naku takiya maisha marefu ❤️❤️❣️❣️🤜🤛
❤❤❤ l iove you and your voice bahati bukuku wacha tutunze wakina mama,
Nampenda,namuheshimu na namtunza mama yangu.
Awwwh this song , picha ya mama
Mungu awarehemu wamama wote waliotangulia mbele ya haki daima tutawaombea tunawakumbuka sana
Wimbo umenigusa sana tuwaheshimu mama zetu
we kenyans love you mom bahati bukuku mama yetu ni wewe❤
Mama ni wathamani sana, Hakika Mungu akubariki Mama yetu Bahati
Hakika dada bahati nampenda sana mana huu wimbo Wawa umenigusa japo Mimi nashukru mungu mana wazizi wote ninao ila unaniuma kwakuwa wanangu kunasiku watakuja kukuuliza baba yako mana amewaacha wakiwa wadogo sana inauma kwakweli.mungu akupe maisha marefu dada bahati.
Mama yangu amekuwa zaidi ya mzazi kwangu, she is a friend and also the first destiny helper in my life❤❤❤💕💕💕
Ujawai kukosea nyimbo inauzunisha sana,tumeielewa umetukumbusha kuhusu wajari wazazi wakiwa hai❤❤