Bahati Bukuku - Picha ya Mama (Official Music Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 10. 2023
  • Music Video by Bahati Bukuku performing "Picha ya Mama" track number (2) from the Ep (DAWA YANGU).
    Stream Picha Ya Mama - ziiki.media/PichaYaMama-Bahat...
    For Skiza - Sms “Skiza 7302993 to 811”
    Vodafone Users - Sms “11296931 to 15577”
    Follow now Bahati Bukuku on Social Media
    Instagram: / bahatibukuku_tz
    Digital Distribution by Ziiki Media.
    All Rights Reserved (2023)
  • Zábava

Komentáře • 2,1K

  • @mr.robert2125
    @mr.robert2125 Před 5 měsíci +136

    Mama ni mtu wa umuhimu kwa maisha ....wimbo mzuri kama mama ni wa muhimu kwako tumpe likes mtumishi wa mungu

  • @BeverlyMuhonja-sk9ed
    @BeverlyMuhonja-sk9ed Před měsícem +11

    Kama upo m mama yako kwa xaxa shukru God ❤❤❤❤😢😢😢😢😢

  • @habilmeshack9462
    @habilmeshack9462 Před 29 dny +7

    Kiukwel namshukuru mungu kwakua mama angu bado yuko hai ila huuwimbo unanigisa sana nikijalibu kuvutapicha kwawatu ambao hawana mama nawaombea sana mungu aendelee kuwapa nguvu nafalaja maana najua mnapitia kipindi kigum sana

  • @tumwagileyona1214
    @tumwagileyona1214 Před měsícem +8

    Hongera sana Bahati kwa wimbo wenye ujumbe mzuri. Umeniliza wimbo huu maana cna picha ya mamangu mwee😭

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa Před 8 měsíci +635

    Tuwapende mama zetu. Like comment ikiwa utampenda mama akiwa hai

  • @henrygwalema1860
    @henrygwalema1860 Před 8 měsíci +169

    Wimbo mzuri sana hongera, ila naomba kutoa maoni kidogo,
    Nyimbo nyingi ukizisikiliza kwa umakini zimekuwa na maudhui ya kuwatofautisha hadhi hawa wazazi wetu wawili, na wakati mwingine hata zinazomtaja baba ni zile za wababa waliokataa watoto kwa lengo la kumtetea mama pekee yake, ningependa wababa walioshindwa majukumu wasitumike kutoa taswira ya baba kutopewa heshima sawa na mama, tutumie taswira za baba zetu wale waliotunza familia zao kumpa heshima baba sawa na mama.

  • @annatarimo2590
    @annatarimo2590 Před 6 měsíci +46

    Eee Mwenyenzi Mungu nakuomba endelea kutulindia mama zetu ambao Bado wapo hai

  • @TabbyIvy
    @TabbyIvy Před 8 měsíci +184

    Wangapi wanalia na mimi tafadhali nipee like moja tuu😢😢😢😢😢😢

  • @dominicdomii3200
    @dominicdomii3200 Před 8 měsíci +420

    Kenyans lets gather here...let's show love for our mum Bahati bukuku

  • @moseskamalamo4669
    @moseskamalamo4669 Před 7 měsíci +30

    Pumzika kwa aman mama yangu kipenzi wimbo umenigusa kweli

  • @Baudouin-Tv
    @Baudouin-Tv Před 2 měsíci +6

    My best gospel i love you maman ahsante kwa nyimbo nzuri ya elimu kwa sisi bado maman zetu wangali hai like kwa maman bukuku FROM CONGO SHABIKI WAKO NAMBA MOJA 🇨🇩🇨🇩💯💯

  • @user-mv6im2gr4k
    @user-mv6im2gr4k Před 4 měsíci +8

    Pia mimi sina picha yake sikumpata nae baba kafa mwaka wa 2023 pia picha yake sina lkn nikikuona naona kama ww ndiye mamangu kulingana na stori ninapatiwa na watu vyenye alikuwa you look like my mom❤❤

  • @faithkatuta421
    @faithkatuta421 Před 2 měsíci +9

    Mama n mtu muhimu sana kwa life ya mtu,,,, if ur mim is alive give her red love❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Memphispaltrow
    @Memphispaltrow Před měsícem +8

    Ee mungu tunakuomba uwape maisha marefu kina mama🙏🥰

  • @Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi
    @Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi Před 5 měsíci +10

    2024 wangapi wanakumbuka hii

  • @vickieeddie2230
    @vickieeddie2230 Před dnem

    Daah hii nyimbo imefanya nimempende mama yangu maradufu nakupenda mama yangu Mungu akuweke Kwa ajili yangu mama

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 Před 8 měsíci +59

    Wanaokubari kazi za mama huyu bahati bukuku tujuane mwe mama tuwatunze sana mama zetu kwa wale wako hai funzo hili sikia fanyia kazi❤❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @BahatiJacinta-bx5ih
    @BahatiJacinta-bx5ih Před 8 měsíci +76

    Wimbo umeniumiza sana,hongera kwa wale Bado mama zenu wako,wimbo mzuri sana usimyime bahati bukuku likes

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z Před 4 měsíci +11

    Ubarikiwe mtumishi umenikumbusha mama sikupiga naye picha aaaaaaah 😭😭😭😭😭😭😭 niacheni nilieee Mimi 😭😭😭

  • @AnthonyKikuni
    @AnthonyKikuni Před 16 dny

    Asante kwa nyimbo nzuri sana ,Mungu asifiwe kwa ukubwa wake ... Napenda mama ngu mpenzi Faida Matungulu Victorina

  • @AlexNzioka-Sir
    @AlexNzioka-Sir Před 8 měsíci +282

    Hongera kwa wale bado mama zenu wako hai. Wengine hatuna picha ya mama. Wapi Likes za bahati bukuku jameni. Wimbo mzuri sana

    • @jeannettenyabitanga9999
      @jeannettenyabitanga9999 Před 8 měsíci +4

      Namupenda sana mama yangu mungu nilindiye❤❤❤🙏🏽

    • @user-sn2ef2qt8r
      @user-sn2ef2qt8r Před 8 měsíci +8

      Pole Nani kama nyie nampenda mama angu adi basi niliweka vocha kabla ya kumpigia yoyete unaanza na mama angu weeeee poleni wapenzi ambao mmepoteza mama zenu ni mipango ya mungu

    • @isaacnuni3994
      @isaacnuni3994 Před 8 měsíci +2

    • @mwajabually5321
      @mwajabually5321 Před 8 měsíci +3

      saba yan wimbo unaliza huu

    • @evaabdalah9003
      @evaabdalah9003 Před 8 měsíci +2

      Kweli kabisa kaka yangu pole Sana pia

  • @salvadorblaiseselemani3572
    @salvadorblaiseselemani3572 Před 8 měsíci +18

    Mwenyezi Mungu akubariki sana na zaidi mama Bahati, wimbo huu unatowa shauri kubwa kwetu sisi Wakristu, ila kuna tatizo kubwa kuhusu kinamama wengine ambao ni wachawi ama walozi, tumeonywa kiroho, na pia Roho Mtakatifu katufungulia ya kwamba kinamama wengine wana roho mbaya sana na zaidi kuliko hata Shetani, sababu wako kwenye uchawi, vipi mtumishi wa Bwana, tufanye jee hili tuweze kuwapa nafasi zao maishani mwetu huku wao wanatamani kututoa kama vile sadaka zinatolewa madhabahuni, umetushauri nini mtumishi wa Mungu ?

    • @oscarmario466
      @oscarmario466 Před 5 měsíci +1

      Pole sana umeongea kwa hisia hiyo changamoto ni kubwa sana hasa mama akiwa na roho mbaya hua ni hatari sana

    • @fistonaginambi1126
      @fistonaginambi1126 Před 4 měsíci +1

      Ce que la parole de Dieu nous dis d'honorer nos parents il y a la bénédiction de longue vie sur la terre. Accomplissons notre devoir d'enfants Dieu s'en charge de nous proteger de la mort prématurée ou quelconque sacrifie diabolique. L'amour est une arme plus forte que nous ne Sousponons même pas sa puissance de protection. Si Dieu ne garde pas, si la parole de Dieu ne nous protège pas, celui qui protège fais un travail vin. Que Dieu vous donne le discernement.
      Merci.

    • @Bintiade1922
      @Bintiade1922 Před 4 měsíci

      Bible inasema tusiwaache wachaw kuishi

  • @RibiehTv
    @RibiehTv Před 2 měsíci +9

    You are not alone,,,simfahamu Mama mm, she passed away when I was one and half year...sina picha na hata sauti yake siifahamu mimi.
    Mke wangu sasa ndo kama Mamangu.❤

  • @julietsaisi335
    @julietsaisi335 Před 6 měsíci +19

    When l listen to this song l remember my late mum,my mum died when l was 6,for those who still have parents cherish your mums ,continue resting in peace mum

  • @lucymwari8612
    @lucymwari8612 Před 8 měsíci +20

    Nampenda sana mamangu mungu ampe maisha marefu ❤️❤️

  • @luciemichael3728
    @luciemichael3728 Před 3 měsíci +5

    Miaka saba sasa tangu mama angu anitoke lakini kupitia hii nyimbo nimemkumbuka sana mama yangu,endelea kupumzika kwa amani mama yangu

  • @mirriamkaleli5308
    @mirriamkaleli5308 Před 6 měsíci +8

    Who else is listening this song more than once ?those who still have their moms, let's remember them

  • @estherkithuku2656
    @estherkithuku2656 Před 7 měsíci +8

    Natafuta picha ya mama pia...continue resting on peace my beloved mum

  • @shaluamkumbo9880
    @shaluamkumbo9880 Před 8 měsíci +16

    Nice song from Bahati Bukuku. Umenifanya niendelee kum miss mama yangu mpendwa. RIP my mum. Wapendeni akina mama zenu still wakiwa hai

  • @faniahassani2238
    @faniahassani2238 Před 8 měsíci +14

    😭😭😭😭pumzika kwa amani mama yangu,wimbo umeniumiza sana

  • @sharlenwandera2257
    @sharlenwandera2257 Před 3 dny

    Mm nampenda mama becoz bila yy singekuwa hai,Asante xna kwa kunilea mpaka nikafika hivi Mama n mama

  • @user-ku8zn7bp5u
    @user-ku8zn7bp5u Před měsícem +3

    Mama ñi mtu muhimu sana jmn Nan i kama mama ubarikiwe my mother popote ulipo na wamama wengine wote Mungu awabariki sana jmn

  • @lucianachappa1213
    @lucianachappa1213 Před 8 měsíci +106

    ❤❤❤❤🙏🏼 Nampenda mama yangu 🙏🏼 Ahsante kutukumbusha kuwatunza mama zetu, barikiwa mtumishi wa MUNGU ❤️🙏🏼

    • @adrerarauliani3518
      @adrerarauliani3518 Před 6 měsíci +1

      Mopl

    • @adrerarauliani3518
      @adrerarauliani3518 Před 6 měsíci

      Nampenda sana mama yangu tuwatuze hata kwakidogo maana ni Mungu wetu wapili,ndio mana wanatupa baraka

    • @adrerarauliani3518
      @adrerarauliani3518 Před 6 měsíci

      Pole kwa kukosa mama mi ninae namuombea sana wazazi wangu. Pia Mungu awape maisha marefu🙏🙏🙏❣️❣️❣️

  • @buildology101
    @buildology101 Před 8 měsíci +12

    Barikiwa sana mama. Umepigwa vita sana lakini Mungu ni mkuu. Wimbo mtamu hakika!

  • @ElizabethJulius-oo5ez
    @ElizabethJulius-oo5ez Před 4 měsíci +5

    Nikiskiliza nalia sina picha ya mama kwel 2024 ni miaka kum tangu ututoke

  • @user-th3hh9jw4o
    @user-th3hh9jw4o Před 4 měsíci +3

    Ma mère 😭😭😭 long vie à nos maman que Dieu les garder pour que nous aussi nous puissions prendre soin de eux Nani kama maman eshima kwa maman🙏🙏 merci beaucoup ma mère chérie que la grâce te localiser et que tu vives longtemps

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Před 8 měsíci +67

    kwenye hii dunia akiondoka mama yako mzazi, ndio utajuwa nobody love you more than your mama... maisha hayawezi kuwa na furaha ukweli furaha yako inakua ya kuigiza tu lakini ndani ya moyo unalia kila wakati🥹🙏🏾💖💖💖 kwa wale wote ambao mama zao wapo hai jitahidini sana kuwapenda na kuwathamini mama zenu,,, hiyo ndio zawadi pekee ambayo Mungu bado amewatunukia lakini pia tusisahau kuwaombea wale wote ambao mama zao wamekwisha kutangulia mbele za haki wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani

    • @devotajulius7572
      @devotajulius7572 Před 8 měsíci +2

      Amen .Kuna wamama wengine wanatelekeza watoto wao wanalelewa na watu kuja

    • @mwajabually5321
      @mwajabually5321 Před 8 měsíci +1

      mimi ndo najua ivo tangu mama afe aisee waliokua wanajdai wananipenda leo imebadi story wanakua kama awanijui example mamkubwa

    • @mwajabually5321
      @mwajabually5321 Před 8 měsíci +3

      yaani raha ya dunia ni mama

    • @esterpaul6314
      @esterpaul6314 Před 8 měsíci +1

      Ohhhhh!! Mama yng nakupenda MUNGU naomba mafanikio mama yng ale matunda zaid ya hapa

    • @mariaerasto8085
      @mariaerasto8085 Před 8 měsíci

      ​@@mwajabually5321 Mama ndio Kila kitu,

  • @user-yg9yl8vn9u
    @user-yg9yl8vn9u Před 6 měsíci +27

    nampenda Sana mama Ila wimbo huu umenikumbusha kupiga naye picha listening from Tanzania

  • @YvetteNikuze
    @YvetteNikuze Před 15 dny

    Mama yangu nakupenda sana Mungu akutunze uendeleye kuishi myaka mingi nakupenda m'y Mom💯❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lindaasys5286
    @lindaasys5286 Před 6 měsíci +5

    I love you so much mamaa. May the Lord grant you good health and long life where you are. You've struggled for us a lot and all I ask from God always is life for you ❤

  • @james008BOND7
    @james008BOND7 Před 8 měsíci +16

    Naomba mbingu zitamke ushindi wa kishindo kwenye huduma ya mama yetu @bahati bukuku🙏🙏🙏huu ni wimbo ulio na funzo ndani yake hususan kwetu Youth🙏

  • @user-hd6hr1dk8y
    @user-hd6hr1dk8y Před 8 měsíci +37

    Nakupenda mama Mungu akupe maisha marefu hapa dunian, pia Mungu awape pumziko la milele wa mama wote waliotangulia mbele za haki.

    • @user-hr9hd1rf3x
      @user-hr9hd1rf3x Před 8 měsíci

      Amen barikiwa

    • @user-ry1ke6zd3d
      @user-ry1ke6zd3d Před 7 měsíci

      Greatiful, Mum live long, thanks for struggling with brewing to make us the way we are today, May God grant you many more blessed years.

  • @faithi7216
    @faithi7216 Před 4 měsíci +2

    When i listen to this song i remember my late mum she dei when am gulf countries 😭😭😭😭😭😭those ppls have your both parents apparently, mum and dad rip.

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Před 15 dny

    Amen 🙏🙏 nakukumbuka Sana mama angu Jana umetimiza wiki tatu kwanye nyumba Yako ya milele

  • @Kevinmusau1
    @Kevinmusau1 Před 8 měsíci +27

    Am so happy just by seeing this song. We had missed you so much. Please don’t go again. We love you ❤

  • @FavourAgnes897
    @FavourAgnes897 Před 5 měsíci +7

    Weeh 😭😭😭my mum Elizabeth I love ❤❤you where you are ,,💕my prayers is that you may live upto bonuses of the Lord (this song is so touching)

  • @FredyMudi
    @FredyMudi Před měsícem

    Ewe mungu wetu endelea kunitunzia mama yangu ❤❤❤❤mama ote

  • @jardinemwasi8123
    @jardinemwasi8123 Před měsícem +1

    My blessed mum. Barikiwa sana Mungu atusaidie tuwaheshimu mama zetu. Tuwapende na tusikose kupiga picha nao. Zaidi ya hayo tujifunze kuwasikiliza tusipuuze maneno yao. From the land of Kenya 🇰🇪 .

  • @happysaimon7964
    @happysaimon7964 Před 8 měsíci +10

    Miss you mama yangu😢😢😢, Endelea kupumzika kwa amani🙏🙏🙏

  • @user-kl2ro1ki3o
    @user-kl2ro1ki3o Před 8 měsíci +11

    Always mi favourite ❤❤❤❤❤❤I love ur voice ,be blessed

  • @user-bd9cg6zr8h
    @user-bd9cg6zr8h Před 3 měsíci +2

    Jehovah God I thank you for my mother's life, I know am not the perfect daughter but I ask this of you, keep my mother safe for me😢may our relationship grow from where it is now🙏 we've had our differences but my Lord my father protect this mother and daughter bond🙏...Dad I look for your pic Everytime I think of you,but unfortunately I can't find one the only image I have is in my mind😢😢RIP Dad😢😢

  • @faithogake4355
    @faithogake4355 Před měsícem

    Pumzika kwa amani mama yangu nakupenda sana mama bukuku mungu akulinde Wimbo umeniguza

  • @fridahkikuvi2696
    @fridahkikuvi2696 Před 8 měsíci +98

    Thank God for my MAMA BEING ALIVE TODAY AND MY DAD, keep them healthy in Jesus Name 🙏 ❤❤❤❤❤❤

  • @salomegety8420
    @salomegety8420 Před 8 měsíci +22

    Watching this song while crying bc l lost my mum at my early age so it's so pain full be blessed Bahati Bukuku

  • @BenjaminnyenyeziDieuveut
    @BenjaminnyenyeziDieuveut Před 19 dny +1

    Nice song,,you are blessed bukuku

  • @ElizabethEmmanuel-gv6ko

    Bahati hapa umeimba kwa kweli huu wimbo unanikumbusha mbali sana pia umenikumbusha kupiga picha na mama yangu

  • @stellabellaa
    @stellabellaa Před 8 měsíci +7

    Napenda nyimbo zako, daima hugusa moyo wangu.

  • @MwendwaGalahenga
    @MwendwaGalahenga Před 8 měsíci +31

    Mungu akubariki kwa wimbo mzuri unaomheshimisha Mama pumzika kwa amani Mama yangu kipenzi nakupenda 😢😢

  • @AnithaMahundi-ye3pc
    @AnithaMahundi-ye3pc Před 14 dny

    Nashukuru mungu mamangu yupo hai na nampenda kuliko roho yangu ❤❤❤❤ mama

  • @boscomuhagama4929
    @boscomuhagama4929 Před měsícem

    Amina sana bahati bukuku nakufuatiria sana ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri!❤❤❤❤

  • @user-ez7ec4rb5t
    @user-ez7ec4rb5t Před 4 měsíci +4

    Ukovizuri bahati kwa wimbo mzuri tunakupata mozambip sana

  • @Iamcocosun254
    @Iamcocosun254 Před měsícem +4

    Mimi nina umri wa miaka 31 nilimuona mama nikiwa 5 years on a sick bed 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ARAFUMINSWAI
    @ARAFUMINSWAI Před měsícem +1

    We acha tu kwa kweli hii nyimbo himenikuxa sana Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana

  • @metrinekhilwanyi2670
    @metrinekhilwanyi2670 Před 2 měsíci +1

    To my mom in heaven,I love you so much❤

  • @tracemsolla7604
    @tracemsolla7604 Před 7 měsíci +4

    🙏❤️Mwenyenzi mungu uwalinde wakina mama wote duniani

  • @deemusique2426
    @deemusique2426 Před 6 měsíci +3

    Sina picha yake kabisa,nimejaribu kuitafuta lakini...ni sawa tu ilikuwa nikae bila yeye,najua ulienda juu ya sababu zako,ni mpango wa Mungu

  • @GraceChiramato
    @GraceChiramato Před měsícem +1

    Mwenyezi mungu ilaze roho yake na jina jina lako lihimidiwe amina

  • @AshuraKarabaki
    @AshuraKarabaki Před měsícem

    Pumzika kwa Amani Allah akupunguzie adhabu za kabuli mama yangu

  • @jacklinejarenga3659
    @jacklinejarenga3659 Před 8 měsíci +10

    Live Long MUM I thank God for you ❤❤..much love from Kenya nakupenda sana Bukuku ❤❤

  • @Estherm309
    @Estherm309 Před 8 měsíci +13

    Happy long live to all mother's in the world 🌍🌍 may Almighty Father give me a humble heart and divine favor I remember my grandmother for caring me Rest in peace my grandmother I m strong because of you

  • @gnasnassary9475
    @gnasnassary9475 Před 2 měsíci

    Tushow love ❤ kwa mama zetu wakiwa hai tusije kumbuka shuka wakati pamekucha

  • @ZawadiZabron
    @ZawadiZabron Před měsícem +1

    Hongera mama angu Bahati bukuku kwa wimbo Mzuri hakika umetugusa wengi Sana mungu akupe maisha marefu ❤❤❤ this song

  • @cynthiamarube9216
    @cynthiamarube9216 Před 8 měsíci +4

    Kwa kweli sina picha ya mama RIP my mum 😭huu wimbo umenota machozi barikiwa sana kwa kutupea uchumbe mzuri sana🙏🙏

  • @MonicaLuhangija
    @MonicaLuhangija Před 4 měsíci +3

    Mungu azidi kumpa maisha marefu nampenda Sana mama💟

  • @betricembokigwe7763
    @betricembokigwe7763 Před 8 měsíci

    Jamani jamani nimejikuta natokwa na machozi japo mama Angu yupo hai aiseee wimbo mzr ujumbe mzr Asante kwa kutukumbusha umuhimu wa mama zetu.Mungu wabariki mama waliotangulia mbele za haki na walinde mama wote waliohai .mda wote nasikiliza huu wimbo Mungu nisaidie pia nisamehe nilipo enda kinyume na maagizo ya mama Angu.

  • @ChekaLikombe
    @ChekaLikombe Před 2 měsíci +1

    Eee mwenyez mungu ilaze roho ya mama yangu mahal pema peponi amina

  • @nurulumwesa5805
    @nurulumwesa5805 Před 8 měsíci +5

    I miss you mom nakupenda sana mama 🥰🥰 Mungu akupunguzie adhabu

  • @TEBEKATV1___
    @TEBEKATV1___ Před 6 měsíci +4

    Nyimbo Ni ujumbe Mkubwa! Tuwathamini Mama zetu na Tuwaombee kwa Mungu Waishi Maisha marefu Duniani.Tuendelee kushukuru Mungu kwa kuwaweka hai mama zetu mpak leo Amina.EE! MUNGU MBARIKI MAMA YANGU APATE MIAKA MINGI DUNIANI🙏🙏

    • @GiftAbraham-oo4py
      @GiftAbraham-oo4py Před 4 měsíci +1

      ❤❤❤❤❤nakupenda mama yangu mungu azidi kukulinda na kukupa afya njema❤

  • @user-ey3jv6fk9t
    @user-ey3jv6fk9t Před 6 měsíci

    Mungu watie nguvu wasie na mama nauenderee kutulindia mama. Zetu

  • @evalyneundisa7596
    @evalyneundisa7596 Před měsícem +1

    Bwana yesu asifiwe ,wimbo nzuri ingawa sina mama lakini wimbo umenifunza jambo mutumishi mungu akubariki unapoendelea na huduma❤

  • @JudithMsemwa-gk3in
    @JudithMsemwa-gk3in Před 8 měsíci +3

    Wimbo huu unanipa hamasa ya kuendelea kumpenda sana mama yangu na kumuombea uzima

  • @user-xh4go2tp7w
    @user-xh4go2tp7w Před 7 měsíci +2

    Asante sana bahati bukuku inyimbo imeniliza mama yu pohai nafika myaka 24 bado sijamuona mamayangu 🥺🥺🥺🥺🥺🥺🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉❤❤❤😢😢😢

  • @obadiadaniel7274
    @obadiadaniel7274 Před 23 dny +1

    NAKUPENDA❤️❤️❤️❤️ SANA PASTOR BAHATI BUKUKU MUNGU AKUTUNZE MIAKA MINGI SANA🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nasibumalimingi9067
    @nasibumalimingi9067 Před 26 dny

    Kabisa, hii ni wimbo nzuri ina kumbusha jukumu ya kila aliye zaliwa hasa wale ambao mama ame fanya yote ili aelimishwe

  • @rosepeter9809
    @rosepeter9809 Před 8 měsíci +4

    Hongela mama kwa wimbo mzuri MUNGU akubaliki sana😍😍😍😍

  • @Lynn_Makau
    @Lynn_Makau Před 8 měsíci +17

    Thank God for my mum ...
    She's a special gift for us as family ❤
    More life mum❤
    I'll not settle untill i see you more happy ❤

  • @user-fz4hf7wu1c
    @user-fz4hf7wu1c Před 7 měsíci

    Huu wimbo nikiusikia unanitia Sana machungu mungu ampunzishe mama angu kwa amani

  • @nicky-eu8ln
    @nicky-eu8ln Před 8 měsíci +22

    On behalf of my ancestors, family, friends, church mates and my wicked landlord I would like to say that this is a certified master piece which even the children yet unborn shall listen to.

  • @user-hq5iq5bp8h
    @user-hq5iq5bp8h Před 2 měsíci +3

    Hongera Sana wimbo huu ubarikiwe ❤

  • @AbduluMasimangoMerci-fu3mw
    @AbduluMasimangoMerci-fu3mw Před měsícem

    sina laku sema kuhusu maman, naku takiya maisha marefu ❤️❤️❣️❣️🤜🤛

  • @bridgitnaliaka1794
    @bridgitnaliaka1794 Před 4 měsíci +2

    ❤❤❤ l iove you and your voice bahati bukuku wacha tutunze wakina mama,

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 Před 8 měsíci +8

    Nampenda,namuheshimu na namtunza mama yangu.

  • @hellennthambi8379
    @hellennthambi8379 Před 7 měsíci +1

    Awwwh this song , picha ya mama

  • @hellenmichael1261
    @hellenmichael1261 Před měsícem

    Mungu awarehemu wamama wote waliotangulia mbele ya haki daima tutawaombea tunawakumbuka sana

  • @user-kr4rf9ud8g
    @user-kr4rf9ud8g Před 4 měsíci +2

    Wimbo umenigusa sana tuwaheshimu mama zetu

  • @achosisharon8578
    @achosisharon8578 Před 8 měsíci +4

    we kenyans love you mom bahati bukuku mama yetu ni wewe❤

  • @MarthaSimbeye-ev9gx
    @MarthaSimbeye-ev9gx Před 3 měsíci

    Mama ni wathamani sana, Hakika Mungu akubariki Mama yetu Bahati

  • @RodaMwikalila-un6us
    @RodaMwikalila-un6us Před 8 měsíci

    Hakika dada bahati nampenda sana mana huu wimbo Wawa umenigusa japo Mimi nashukru mungu mana wazizi wote ninao ila unaniuma kwakuwa wanangu kunasiku watakuja kukuuliza baba yako mana amewaacha wakiwa wadogo sana inauma kwakweli.mungu akupe maisha marefu dada bahati.

  • @mercyosimbo1
    @mercyosimbo1 Před 8 měsíci +4

    Mama yangu amekuwa zaidi ya mzazi kwangu, she is a friend and also the first destiny helper in my life❤❤❤💕💕💕

  • @mkisifredrick7697
    @mkisifredrick7697 Před 8 měsíci +3

    Ujawai kukosea nyimbo inauzunisha sana,tumeielewa umetukumbusha kuhusu wajari wazazi wakiwa hai❤❤