Bahati Bukuku ft Bony Mwaitege - Dawa Yangu (Official Video)
Vložit
- čas přidán 7. 04. 2024
- Music Video by Bahati Bukuku featuring Bony Mwaitege performing "Dawa Yangu" from the Ep (DAWA YANGU).
The music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Fahim Rasham.
Stream/Download ‘Dawa Yangu’ EP - smartklix.com/DawaYanguEP
Follow now Bahati Bukuku on Social Media
Instagram: Bahatibukuku_tz
#BahatiBukuku #DawaYangu - Zábava
Nipe like za Kenya 🇰🇪 na Uganda 🇺🇬
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Upeleke wapi
Ambao mnakubali Bahati Bukuku akiwa Boni mwaitege tujuane Kwa Like
Wanyakyusa wawili. Neema ya YESU iwalinde mzidi kuimba injili
J'aime bien
👌👌👌🙏🙏🙏
Mungu ni Mwema sn❤
🥰🙏
Dawa yangu ni Bwana Yesu🙏🙏🙏😊I love you from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤🎉🎉🔥🔥📌👍
Dawa yangu ni Yesu.mume wangu amenisubir nitok supermarket ili anionesh iyi song❤nipe like from France 🇫🇷
Wanawo juwa kuwa inchi Yangu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ipo kwenyi vita njooni tu ungane kwa ajili yaku ombeya inchi Yangu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 🇨🇩 na Africa nzima wa Africa sote ni wamoja gonga link APA kama una amini ilo good song na Big up saana kwa ndugu Zangu wote wa Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 MUNGU awabriki sana wa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tuna wapenda saana jamani
🇹🇿🤝🇨🇩💪💪💪
@freretoms5119
Naipenda inchi yangu ya Congo 🇨🇩 nawapenda wa Congo piya ndugu zangu hakika tushikamane tuombeye amani ya Congo 🇨🇩 🤝🤝 mimi piya ni mzaliwa wa Congo 🇨🇩 ila nimekomaliya Burundi 🇧🇮 na sasa niko Saudi Arabia 🇸🇦 MUNGU asimame na sisi wa Congo African yotwe kwa ujumla na tupendane tuwe na umoja beberu mzungu hawezi pata na fasi ya kupenya tukishikaman pamoja na MUNGU yote yanawezekana. ❤❤❤❤
MUNGU yupo na Congo mpaka sasa Naamini Ipo siku AMANI NA UPENDO UTATAWALA
@@alex_vincent Amen Amen hakuna kitu kinaco kuwa na mwanzo kikose mwisho. Na haya yatapita tu yaliyo pita yalikuwa makubwa kuliko haya. Na mbele ni pazuri tumutangulize MUNGU mbele na tuombe sana. na tuace kujipendekeza kwa hawa wazungu jamani wazungu niwezi hawana jema na mtu mweusi mu African misaada yao na kusomba watu wakiwapeleka ulaya sii kwa wema ao upendo lahasha wanataka mbinu zao ili waibe mali na baraka za African. So wa African tuamke tuamke tena jamani African bila mzungu tunaweza tunaco kila kitu MUNGU alitupa kila hitaji letu kama Bin Adam kila taifa aliwapa sawasawa na gisi walivyo kwa kiyasi cao lakini sisi wa African alitupendeleya sana ndomana wazungu wana wivu na mali za African. Samahani kwa kutoka inje ya mada,na waraka mkubwua 😔😔😔😔
@@GatekaNene AMINA
Mungu awape Amani watu Wa Mungu.
Zile ndoa ambazo Zina kutoelewana yafaa waskie hii song I believe it will change everything.kama wanisupport nipe like
Wakenya Kwa nyumba❤❤❤
Likes zikam..
Wow wow ❤❤
wapi likes za hawa mashujaa wetu Bahati na Bonny🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪
Wow what a great job, mwaka huu lzima huu uimbwe kwa harusi yangu from Kenya 🇰🇪 wapi like
Watu chukueni dawa iyo ambayo ni Yesu hamtojutia kamwe, ombeni, fungeni na aminini kuwa mmepokea. Mauwa kwenu Bahati na Boni
❤❤I have found my wedding song in Jesus's Name Amen, God bless you my sister & brother for this a touching holy spirit song🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇴
Wait ,,i thought bahati bukuku was announced dead through an accident,,how comes now ??
🎉🎉🎉
Congratulations
@@MargaretAwinja-ls7hx my dear those are fake youtubers who are just looking for subscribers, the woman of God Still a live in Jesus's Name
@@donniexjuddex7499 what a hell 😟😟 its not gud at all,,
Pp
P
P
P
from kenya ujumbe special kwa wenye wako kwa ndoa gonga like tukisonga
Waliopokea ujumbe na kuielewa hii song gonga like apa
Najivuna ❤❤❤
Moto sana kenya
Watasema sana
❤❤❤❤❤that is why I 💕 gospel music I will sing forever for Jesus. Am Danwhy Agwata gospel minister from Kenya. Also am a song writer. Siri yangu ni Yesu
When you hear bahati bukuku and bonny mwaitege its 🔥🔥🔥🔥🔥
Feeling blessed from kenya.....
Team kenya pita like
This song i will dance 🪩 at my son's wedding markus 💍💍 by grace of God 🎉🎉🎉🙏🙏🙏all is about Jesus ❤🇰🇪🇩🇪
Amen
Amen
Wakenya mpoooooo wimbo ya harusi yangu imepatikana Sasa,yesu wewe u mkubwa,wewe ndwe dawa yangu barikiwa kutoka Kenya 💪💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏🙏
This song is Soo good...wakenya tuko wapi. Jamaniiiiiii...🔥🔥🔥🔥..na anasikia vile nasikia walaiii....tamuuu... someone feel tagged ❤️❤️❤️
I know,tamuuu ajab yaani naona ameniimbia mimi
I leave this message here for future reference that God Works for those believes in him😊💪
Asante Mungu Kwa Kuwapa Hekima Ya Kutuleteya Ngoma Nzuri Kam Hii🎉🎉🎉🎉
Wakenya let's show Bukuku some love🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ambao mnakubali Bahati Akiwa na Bony👍tujuane wakutoka🇧🇮🇷🇼like zenu
👍
Mungu awaongezeye Hekima nyingi,, ili mutunge nyimbo nzuri zakuwafariji wakristo wote Kwa jumla na wapagani kwa upekee 🕊️🇨🇩♥️📖🕊️🇨🇩♥️📖
Tuokuwa kuwa tumemmiss Babati Bukuku naomba like zenu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
From Kenya, Blessings come down my life like thunder while listening to this song after Picha ya Mama that left me burning my cheeks with hot tears. Be blessed ministers,May God be on your side always😊😊
Wapi kelele za mtumishi bahati wewe.. dawa ni yesu❤❤❤❤
Mi niko Kenya 🇰🇪 ila mzaliwa burundi 🇧🇮 comment yangu nasema mrudi studio hii nyimbo nzuli sana Mungu awabariki sana inaenda kuandika history kubwa duniani I love it by the way ❤❤❤❤
Uongoooo studio ama wameharibika hawa
Why do you feel there's need to introduce yourself
Jamani Nyimbo nzuri sana ❤❤❤❤bwana Yesu awabariki sana Nyimbo ya harusi nzuri tena saaanaa ❤hongereni sana
Mungu wangu nipe like za 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo jamani ❤❤
I just love this woman of God so much...na kama ipo daaawa ya ndoa naomba nipewe bas ❤
Woman of God? who is not of God??
@@ngangajeremiah9912 wewe uko na mambo yako!! Ulikuwa unataka nimwite woman of satan ama nini inakuwasha?? Mwanzo wewe hata ni mwanaume bro sijui jina woman of God inakuwashia nini
Dawa yangu ni Yesu, hacheni tupewe
Dawa ya Ndoa ni Yesu.....................Hapo nimekubali kwa 100%
Nani pia alikuwa akingojea video ya huu wimbo much love from 🇰🇪🇰🇪
Zambia 🇿🇲 listening to Gods love songs rich with His grace and blessings. Thank you mama Bahati and Bon
Ubarikiwe mama yangu kwa messege❤❤❤ na nikwel dawa yoote ni yesu na hilizi nimaombi❤❤❤❤❤
🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲 Zambia loves you ✌️✌️🙏🙏🙏
Kila kolabo ya bahati na mwaitege ina kuwaga ❤, nipeni likes 100 🙏
Wimbo mzuri kutoka kwa wasanii tajika ulimwenguni ❤ nawapenda sana Bahati na Boonny ❤😊
Wazee wa maana hawa ❤❤❤❤ tujuane bc
👇🏿
Hawa ndo wa kongwe like kwaoo jaman
Bukuku,u are the dawa of Africa tazama wimbo yako ni zambia 🇿🇲
Waaaah.....This is wonderful job....may God bless you Bukuku and may your enemies be ashamed
Ndiyo Dawa yetu sisi wa Kristo ni Yesu,, ❤❤, hatuna hirizi yoyote ila Yesu,,,, 📖🕊️♥️🇨🇩♥️🇨🇩📖♥️
You're blessed, mom 🎉.
More success and breakthrough!!.
From Israel 🇮🇱.....
Mama na Baba mmeiimba vyema hii nyimbo
Nakupenda sana mama bahati bukuku, uwaga nazipenda sana nyimbo zako yani mungu aendele kukuongoza ili utubariki na nyimbo za injili.
Dawa n Yesu naamin ata mm nitafanikiwa kwa mambo yangu
Kwa Kweli dawa ni Yesu ❤❤❤❤❤❤kazı NZURI sana mama Angu
Si dawa yako tu mtumishi mbali nidawa yetu sote wakristo waenda mbinguni wachamungu ubalikiwe sana mtumishi kwaujumbe mzuri mungu azidi kukutumia
❤❤❤❤Amen watumishi wangu mbarikiwe sana keep up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I love it that it's a nice love song for us born agains, for sure, our secret is Jesus ❤, thanks Ministers, Much love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬❤
Not only for the believers but everyone-Gospel is meant for all
God is our final answer, God is good. Be blessed
Usiku huu wa kuamkia tarehe 10.04.2024 nimeota ndoto kwamba nimemtembelea mch. Bahati Bukuku. Alitupokea vizuri sana na tukawa tuna mazungumzo yanayohusu ufalme wa Mungu. Mch. Bahati alikuwa mchangamfu sana lakini pia alionekana amekonda sana kimwili. Nilipoamka na kuingia youtube ndipo nikakutana na huu wimbo. Mimi siyo shabiki au follower wake!
Praise the Lord, umenijenga sana❤❤
Quelle profondeur de ce duo. Si vraiment Jésus est le fétiche pour être sauvé alors qu'on nous le donne. Que Dieu vous protège chers Bonny et soeur Bahati. Nous vous suivons depuis mbok'elengi
Waooo nice song, congratulations 🎉🎉🎉
Special dedication to my lovely loving husband. Dawa yangu ni Yesu..... Best results ever 🙌🙌
Mbeya home sweet like zijae apa🎉
Baby tena,na mbingu imemuhishimisha na sio mungu tena😮daaah!!!
Uko sahihi mtumishii wa Mungu , mwenyezi Mungu azidii kukupa afya uendelee kutufunzà mandikoo yake tu.
Dawa yangu ni yesu❤
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪, huu wimbo 🔥🔥🔥🔥🔥 siri ni Yesu
wedding song for me
❤❤❤na humiwa kila siki ngisi na bandilisha mwibo huu ee kweli mama
Wow very powerful song full of message dawa ni Yesu irisi maombi powerful ❤❤❤❤❤❤🎤🎤🎤🎤✨️✨️✨️✨️✨️🔥🔥🔥🔥
From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi watumishi nipewe likes tukifuatana
❤❤❤
Mungu njo muweza wayote mama hongera kwanyimbo zuri zakutufariji Sisi wenye kuteswa🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Congo njo nyumbani.
Mungu akubariki kila wakati.Nyimbo zako zina ujumbe mzuri sana.Endelea kufanya kazi ya Mungu
Sifakwamungu mungu awabaliki❤❤❤
❤❤❤na humiwa kila siki ngisi na bandilisha mwibo huu ee kweli mama 😢😢😢😢😢😢😢😢
Tunataka hio dawa, nyimbo safi sana❤
Bukuku kumbe yupo...tangu dunia Haina huruma uliacha kutuonea huruma ulipotea ila nafurahia🌎
Mbn ana nyimbo jrb kuchek na picha ya mama, wimbo wke huo
Wapi likes za Bahati Bukuku na Bonny Mwaitege
This song reflects my life directly. Dawa yangu ni yesu
Iam happy for both of you Bukuku and Bonny welcome back once more, this song is the best indeed May God Bless u all❤
Dawa yangu ni yesu sifa kwa Mungu❤
GOD AS AM LISTENING TO THESE BRING BACK THE FATHER OF MY KIDS AMEN
Bahati bukuku ilikuwa umenyamaza sana wakenya tumekumisi sana wapi like ya wakenya
dawa yangu ni yesu ❤️❤️❤️
Mnifikishe 20 likes🔥
Greatest love from team🇰🇪🇰🇪
I will be happy if you feature embarambamba.yule kaka ndipo asipotee bure❤
Nimemiss kuona wimbo wenu wapamoja jmn sifa kwa mungu ❤❤❤❤
Ndio Huu Wimbo Sasa, Si Baadaye Ni Sasa, Wapi Likes 🎉❤
Nakupenda sana dada Bukuku ubarikiwe mno hii nyimbo haipiti siku sijaisikiliza
My wedding song am waiting
Likes zangu leo mbingu imenifurahisha❤❤❤
Song for mababu na bibi waliokadani ya ndoa for long 🎉🎉🎉
Yes verry good 🙏🙏🙏 le vraie médecin c'est Jésus-Christ il guérit tout , il repart tout fessant lui seulement confiance amen amen ❤❤❤ très bien dit belle chanson soyez toujours béni dans le seigneur amen amen
Dawa yangu ni yesu
Wow aim blessings true this song 🙏🙏🙏 Dawa ya Amani ya ndoa yangu n yesu tuu
Irizi yetu ni yesu mamangu kweli
@Bahati bukuku you are ablessed woman of God with pure talent...this is master piece❤
Dawa Yanga ni nyimbo nzuri tangu nilipoisikiliza kupitia audiomack mwaka Jana mwezi wa sita
You are our gospel legends wapi like za kenya
Asanteni sana Muzazi Wangu nakupenda sana kwawimbo muzuri
More blessing to you madam BAHATI BUKUKU.
Hawa wawili Wana Jambo😂❤ Anyway Naomba like ya Kenya ❤
God bless you my Sister Bahati, and my brother mwaitege,,,, 📖💯🇨🇩🕊️📖💯🇨🇩🕊️
Hakika Siri kubwa ipo kwa Yesu. Hirizi yangu mimi ni Yesu tu
Kila la heri kwa wanadoa Mungu alinde ndoa zenu.
Wow! Your voice,,always melodious to my ears and heart ...the words in this song❤.Ni Yesu tu🎉