Jamani mwenzenu mimi ni muhanga wa kutenda wema, nililea ndugu zangu tuliochangia mama, mama yetu alifariki kuwaacha wadogo, nikawalea, nikasomesha, wakazaa nikalea na watoto wao ,yalionikuta Mungu ndie shahidi, nilipofulia wakaungana wakaniibia kila kitu, na watoto wao pia nilisomesha hadi vyuo, ila jamani myasikie kwa wengine usiombe, nimetukanwa wakanichangia wote matusi ,eti unringa sana wewe ,yaani nilipofulia wale watoto niliowasomesha na kuwatunza ,wakanikimbia na kunitukana. Mwenzenu wema umeniponza ,Mungu aliponikumbuka tena, waliposikia wakaanza kujileta tena. Wimbo huu na ule wa rose muhando, unanihusu.mbzrikiwe sana waimbaji na watunzi. 08.06.24.
Dada bahati napenda nyimbo zako tango zamani hadi Sasa nanyi mwemdeleye kusonga mbere musiludi nyuma Mlipendeza sana wa mama Mungu awabariki kwa kazi yake
Cheeeeeeers. Madam Bahati Bukuku am your fan and ever a fan of your wonderful music. Congrats to Madam Salome too. The two of you look and sound like the perfect sisters. May the Lord bless your endeavor of preaching the word through song and praise. Be Blessed
Bahati has such a lovely voice.... In my father's house, we hear Bahati as early as 5am,my father loves her songs so so much.....you two look lovely. Love from Kenya 🇰🇪
Bukuku May the almighty God bless you abundantly. You are such an inspiration to the Gospel fraternity. I'm happy you have a road construction company that has employed Civil Engineers.
Hongereni sana waimbaji wazuri Mungu awabariki sana kweli malipo ni Kwa Mungu na si Kwa mwanadam, jaman bahati iyo sauti yako sijui ulichanganya na nn walai inanikosha sana
Hizi nyimbo sa nitia moyo natena sina mafunzo mazuri kama mtu wakweleawa na eleawe mungu yuko na wewe mutumishi wa mungu
Jamani mwenzenu mimi ni muhanga wa kutenda wema, nililea ndugu zangu tuliochangia mama, mama yetu alifariki kuwaacha wadogo, nikawalea, nikasomesha, wakazaa nikalea na watoto wao ,yalionikuta Mungu ndie shahidi, nilipofulia wakaungana wakaniibia kila kitu, na watoto wao pia nilisomesha hadi vyuo, ila jamani myasikie kwa wengine usiombe, nimetukanwa wakanichangia wote matusi ,eti unringa sana wewe ,yaani nilipofulia wale watoto niliowasomesha na kuwatunza ,wakanikimbia na kunitukana. Mwenzenu wema umeniponza ,Mungu aliponikumbuka tena, waliposikia wakaanza kujileta tena. Wimbo huu na ule wa rose muhando, unanihusu.mbzrikiwe sana waimbaji na watunzi. 08.06.24.
Kama Kuna nyimbo za kubariki na kutia moyo na mafundisho Kwa ujumla ndo huu wimbo barikiweni sana Watumishi wa Mungu
🇯🇲is the best
❤❤kbisaa
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Wimbo huu nakupenda sana mwaaah,nahisi uimbwe harusini mwangu
Dada Bahati, napenda sana sauti yako. Ubarikiwe sana, utukufu umurudiliye Mungu
Nimeipenda
Barikiwa sana mtumishi. wimbo mzuri 🙏
Barikiwa Sana watumishi
Mavazi 🔥🔥🔥 song mwaaah mom Bukuku unacheza tamu I like the way you enjoy the music
The love i have for you mama Bahati❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Bukuku i wish one day i will meet you😍😘 i love all you sons 🌹🌹 love from Kenya💗💗💗💗💗💗
This song imeweza yani nilikuwq na huzuni mwingijust listened to it ikanipea nguvu asante kwa wimbo huu
Mmependeza sana 💕💕💕
Mbarikiwe Salome kwa wimbo mzuri,mungu aikuze huduma yako mmependeza
MUNGU akubariki sana dada yangu dunia Haina jema wanadamu wanavunja moyo saana
Ama kweli ukingoja shukran utachelewa
Dada bahati napenda nyimbo zako tango zamani hadi Sasa nanyi mwemdeleye kusonga mbere musiludi nyuma Mlipendeza sana wa mama Mungu awabariki kwa kazi yake
❤malipo utapata kwa Mungu
Sifa ya mwanadamu ww uwe chini yeye Awe juu nyimbo yenye upako na nguvu za Mungu
Dada bahati na dada salome mbarikiwe mno Mungu akawakumbuke
Wala usiyasikize maneno yao..Wacha waone ukibarikiwa mum from one Glory to another ❤ 🙌 ♥ 💖
Maman Mimi nakupenda saana
Ubarikiwe dada yangu .Mungu awatunze
Mmependeza dada bahati, kwakweli kwayesu kunalipa
Mungu awapari kwa kipaji yenu naguo mulinzozivyaa nimenzipenda sana
Bravo bravo Bahati!Sauti nzuri Sana SHABASH!
Mungu was mbinguni azidi Lulu bariki ,nime barikiwa sana
❤nakupenda sana wewe ni kiooo Cha jamiii
Cheeeeeeers. Madam Bahati Bukuku am your fan and ever a fan of your wonderful music. Congrats to Madam Salome too. The two of you look and sound like the perfect sisters. May the Lord bless your endeavor of preaching the word through song and praise. Be Blessed
Bukuku hunibariki sana kweli
Kwa Mungu yote salama,dada zangu barikiweni zaidi,hongera.
Amina Amina jinalabwa nayesu lisifiwe❤❤❤🇨🇬🇨🇬🇨🇬 Congo Brazzaville
Hongera sana jmn daaa sina shaka na kazi zako dadaangu hakika unahubiri
Wimbo mzuri. Kutoka Kenya 🇰🇪 nawapenda.
Asante sana Watumishi wa Mungu kwa kuokoa Roho za watu zilizojeruliwa na wanadamu.
Wimbo mzuri,
Nawapenda sana wote. Mum BAHATI BUKUKU NAOMBA UNILEE KWA HII HUDUMA...
Shikamoo Mama,ebu mwambie Bahati bukuku Atoe video ya wimbo Wa Mwalimu wa Ndoa🤓❤️ tafathali 🙏
Ameni mbarikiwe sana watumishi Mungu
♥️♥️♥️♥️♥️💞👣👣🚴🏌️
Kabisa tenda wema nendazako, maana unaowatendea mema ndio wanaokulipa kwa mabaya,ungu akubariki sana 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Amen amen mubarikiwe sana watumishi wa Mungu
Bahati has such a lovely voice.... In my father's house, we hear Bahati as early as 5am,my father loves her songs so so much.....you two look lovely. Love from Kenya 🇰🇪
God bless you siz
@@mercymsanzu6944 l
Amina kazi njema bahati🇨🇩🤝🙏🌒🌅
Waalai wanadamu wanashangaza,
namufanisha dada salome na shushu vile
Mungu awabariki mama zangu mnafanya kaz nzuri hakika
Asante dada Bahati na wakina mama watumishi wa mungu mmpendeza sana, Mungu ni mwema.
Bukuku May the almighty God bless you abundantly. You are such an inspiration to the Gospel fraternity. I'm happy you have a road construction company that has employed Civil Engineers.
Tenda wema wende zako usingoze malipo❤is very song
Malkia mwenyewe Bahati mbarikiwe kwa nyimbo nzuri Mungu azidi kuwainua
Hongereni sana waimbaji wazuri Mungu awabariki sana kweli malipo ni Kwa Mungu na si Kwa mwanadam, jaman bahati iyo sauti yako sijui ulichanganya na nn walai inanikosha sana
God bless you Bahat thank u
Wow... what a lovely message to us may God bless you Bahati🌹🌹.
Mwanadamu ni msaulifu kweli.. Mungu tusaidie... barikiwa dada bahati...na Salome ...mmeimba vizuri
Good nice bahati mungi awatie nguvu
Woow watu wa tanzania naomba subscription zenyu tafadhali nawapenda sana toka hapa kenya😍😍
Salome na bahati my role model good work keep it up
Songa mbele , wao ni wanadamu....
Forgive them and go go go
amen ,wimbo no 1 african swahili land gospel
The love I have for Bahati aki, her voice ❤️❤️❤️
Wow powerful very true songs mbele,hakuna kurudi nyuma👏👏👏👏👏👏 encouraging 👍
hongera sana kwa wimbo mzuri
Wwwow ❤amazing work 1.7million views in 1 year great collabo❤
God bless you servants of God
Asantee dada bukuku nakupenda sanaa🙏🙏
Mama bukuku nakupenda jinsi ulivo surely mungu azidi kukutendea
Barikiwa mtumishi Kwa wimbo we ujumbe mzuri nakupata nikiwa zambia mongu
Hongera bahati hujawai feliii mungu amekutoa mbalii sanaaa
Aminaaa MUNGU awabrk Zaid atufundishe kuish vzl n wanadam wngn
Mmeimba vizur sana Mungu awabariki kina mama wapendwa wazuri zuri mmependeza kwa Kila kitu mavaz mpka sauti zenu
Jaman salom Mungu akup mafanikio mmependez nyimbo inaujumb kiujumula me nawap 💯 bahati bukuku napend vois Yako jaman mama mdg you Good
❤❤❤ number one lover of bahati bukuku song ❤❤❤❤❤❤
Napenda sana nyimbo za bahati bukuku
Nimependa sana huu wimbo nimeenjoy mnavyocheza na kuimba,Mungu awabariki sana❤
Waoooooooo mungu awabariki wimbo mzuri nanyi wazuri mmependeza Sana mungu awatuze kwa ujumbe mzuri
Am blessed with you bukuku God bless you
We mama mungu awe nawe na akubariki sana
Hogera bahati God bless you
Barikiwa sana 🙏 nakusikiliza kutoka Mombasa Kenya ❤️🤗🤗
Amen am blessed with bahati bukuku I love you mum
Mungu azidi kuwainua watumishi,nabarikiwa sana na wimbo huu
As ate kwawimbo zuri.Sana mung u akubariki my sits as 🙏🙏🙏🙏💃💃💃💃💃💃💃💃
HONGERENI SANA WATUMISHI WA MUNGU KAZI NZURI
Mahali Kuna bukuku nabarikiwa TU Bure nice song keep up you-all
Mungu ni mwenyenguvu awabariki sana 3:43
Such a nice song be blessed big up from🇰🇪🇰🇪
Jaman dada Bahati umechangamka sana hadi raha 🔥 Mmependeza sana mmeitendea haki hii nyimbo Mungu awatunze nimebarikiwa yapo sana hayo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Are Salome Ntalimbo and Bahati Bukuku TWIN sisters???? Much love 💕 from Kenya. Mbarikiwe watumishi!
Hongera sana mama kwa wimbo huu Mungu akubariki sana
ameen.
Sauti y bukuku n tamu
Hiyo niu kweli dada buku🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙌🙌🙌🙌ku barikiwa mtumishi wamngu mngu awalinde nafamilia zenyu
Eei Bahati 🥰so lovely with the other lady..wimbo mzuri sana .Songa mbele Wala usurudi nyuma
Awwwwh 💕💕💕💕💕💕💕💕💕🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hi. bahati bukuku nice song 😘😘😘😘🙏💯
Kuwa ndani ya YESU KRISTO ni raha Sana aisee asikwambie mtu.
Mungu awazidishiye wapendwa
Beautiful song praises be to God 🙏
Aki mama Salome I love u for free tuned from kenya 🇰🇪 God bless u abudantly
Vizuri sana
Wimbo umenibariki san... Mungu awazidishie mm namkubali san bukuku ktk nyimbo zako
Dada Bahati haujawahi kufell, this is so blessing Dada Salome I love the pronunciation
Yaan nawapenda
Nitazidi kumpenda bahati bukuku
Woiye nampenda bahati bukuku sana may God bless you my sister
Nashukuru kwa ile mwimbo hambao mahani zina mahana
Utukufu kwa mungu aliye juu kwaajili ya uumbaji wake aliye juu
Songa mbele... Aaaaah, hii nzuri tu