Maggie Muliri Ft Bahati Bukuku - Nitafika Tu (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2019
  • Karibu Kutizama Wimbo Wangu Huu Mpya Unaokwenda Kwa Jina La Nitafika Tu Uliombwa Na Mimi Maggie Muliri Kwa Ushirikiano Na Bahati Bukuku Chini Ya Director Einxer Na Audio Ilifanyika Chini Ya IKI Production .Naomba Unisaidie Kushare Video Hii Kwa Watu Wengi Uwezavyo.Kumbuka Pia Kusubscribe Channel Hii.#MaggieMuliri#BahatiBukuku#Nitafikatu.Channel Administered by Huru Digital
    Instagram: / hurudigital
  • Hudba

Komentáře • 919

  • @FridahNjangi
    @FridahNjangi Před 3 měsíci +22

    Nani ako nami apa 2024❤❤

  • @danterey
    @danterey Před 5 lety +54

    Kama unaamini UTAFIKA kama mimi gonga like.

  • @zeshsulesh6084
    @zeshsulesh6084 Před 6 měsíci +15

    Any Muslim here ambao tunaupenda huu wimbo gonga like,Tutafika tu,jibu nikufika

  • @naftalimimbi2674
    @naftalimimbi2674 Před 4 lety +185

    Kama unakubali nyimbo hii gonga like twende sawa.

  • @madammartha
    @madammartha Před 10 měsíci +12

    Hata kama unaona huu mwaka wa 2023 malengo yako hayajatimia,,,jua jibu la maisha yako utafika kwa Jina la Yesu Kristo Amen

    • @adrerarauliani3518
      @adrerarauliani3518 Před 7 měsíci

      Kweli inabidi kujipa moyo pia kuomba Mungu anajibu .pia malengo yatatimia kwa jina la yesu.

  • @lucyrichard3923
    @lucyrichard3923 Před 5 lety +273

    Mlobarikiwa na huu wimbo zaidi yangu pia mko humu kwani??####nitafika katika jina la yesuu

  • @justinasyokau2020
    @justinasyokau2020 Před 5 lety +10

    Congratulation wimbo mzuri umenitia moyo

  • @SCOVIAVILLAKWOBA
    @SCOVIAVILLAKWOBA Před 3 měsíci +2

    Najua nitafika hata mm kwa jina la Yesu🙏

  • @benminaj
    @benminaj Před 5 lety +214

    Kenyans in the room.......like hapa

  • @rodenyirene8082
    @rodenyirene8082 Před 3 lety +108

    Huu wimbo unanikumbusha mbali...wakati safari yangu ilikuwa ready ya kwenda canada ...gafla n kaibiwa passport 😭😭😭 nina imani nitafika...ndio corona ilitokelezea border zikafungwa ndio nilijua Mungu ana sababu ya Kila kitu maisha n mwangu

    • @truphenanerea8423
      @truphenanerea8423 Před rokem +2

      Aki mungu ana kusudi Kwa Kila jambo 🙏🙏

    • @Mutabazi22
      @Mutabazi22 Před rokem +3

      Omg 😱 I’m really sorry 😢 to hear that you know that is the work of devil 👿 because when the good things happened to you he can’t stay like that he will need to get people in problems but as we have Jesus and he is everything to us so we are a winner

    • @suzanalucasemanuel7006
      @suzanalucasemanuel7006 Před rokem +1

      Jibu la Maisha yangu ni kufika naomba nishike mkono baba

    • @fennyodera2828
      @fennyodera2828 Před rokem

      pole sana

    • @raelmochache7075
      @raelmochache7075 Před rokem

      Hpe ulikua sababu

  • @IreneNyagaya
    @IreneNyagaya Před měsícem +2

    Huu wimbo inanikumbusha the day my baby daddy told me ninunue ata nguo nibadilishe maana hiyo moja nimevaa sana na ilipata nyumba yangu pia ilichomeka😢😢Leo I can testify jibu ni kufika Tu🙏

  • @drsmartdanial3735
    @drsmartdanial3735 Před 5 lety +15

    Mimi nilikuwa namusubilia wimbo huu wa BAHATI BUKUKU Ingawa nacherewa lakini musinichukiye sana kabsa nipeni likes hapa ingawa niko,wamarekani 💪💪💪💪💪💪💪💪❤❤❤❤❤❤

  • @purityseleta3477
    @purityseleta3477 Před 2 lety +45

    Great song
    Thank you for taking care of chibalonza's daughter ' wonder' magy muliri.......we are happy to see her growing well ......🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @jeannettekeza6434
    @jeannettekeza6434 Před 5 lety +69

    Yani nikiona jina la Bahati bukuku hata kama sija sikia wimbo Nina juwa tu nita faridjiwa tu nakupenda bure my dada ❤️❤️🥰🥰

    • @mariekapongo2041
      @mariekapongo2041 Před 5 lety +1

      Namimi pia, minapataka faraja tosha kupitiya bahati bukuku the servant of our living God. Mungu azidi kukutumiya dada hilikwinuwa mwoyo hiliyo pondeka

    • @ladyannmusic5763
      @ladyannmusic5763 Před 5 lety +1

      Waaah nampenda saana bahati

    • @phellowmmbunitv6077
      @phellowmmbunitv6077 Před 5 lety +1

      Bahati Bukuku kiboko yao... Nampenda Sana pia

    • @makokokabwe4250
      @makokokabwe4250 Před 5 lety

      hajawahi kukosea kabisa

    • @jisukali3678
      @jisukali3678 Před 4 lety

      Jeannette keza wewe kama mimi tu

  • @judym912
    @judym912 Před 10 měsíci +2

    Nitafika tuuu haki wimbo naupenda sna mungu awabariki sna

  • @DaisyZainab-cc6sg
    @DaisyZainab-cc6sg Před 20 dny +1

    Nani ako hapa 2024 gonga like unipitie nifike 1k😊

  • @lilianiq8416
    @lilianiq8416 Před 5 lety +4

    Nahitaji msaada wako bwana nifike niendapo, ni kufika nikufikaweeee, ntafika kwa jina la yesu. Kenyan nabarikiwa nikiwa apa iraq mungu ni mwema

  • @marionoyalo6628
    @marionoyalo6628 Před rokem +6

    Amen.. Hakika hata safari iwe ndefu.. Tutafika katika Jina la yesu christo

  • @christinapaschal3190
    @christinapaschal3190 Před 2 lety +2

    My sister asante Asante sana aaa maana umenitiamoyo nikiwanashida huu wimbo unanitiamoyo 👋👋👋👋👋

  • @lovenesssarungi2193
    @lovenesssarungi2193 Před rokem +2

    Nimesikiliza huu wimbo zaidi ya mara kumi na tano

  • @alicemucharia6538
    @alicemucharia6538 Před 5 lety +60

    Nitafika tu .my tomorrow is greater in Jesus Name

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 Před 3 lety +14

    *Jibu langu lipo Mungu yu pamoja nami 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 In God we trust* Niko hapa baada ya kumzika MAGUFULI nafarijika kwa nyimbo 😢😢😢😢😢😭😢😢😢

  • @jacquelinembanda
    @jacquelinembanda Před 5 lety +132

    Sijapata like hata moja ngonga hapa🙏🏽

  • @fatumanaliaka2210
    @fatumanaliaka2210 Před 3 lety +6

    Ameeeeen in Jesus name amen 🙏🙏🙏🙏 nitafika japo majaribu ni mengi lakini naamini kwamba Bwana utanifusha na utanishindia na kuniwesesha vyema Kwa yote katika Jina La YESU KRISTO ameeeeen Hallelujah 🙌 ameeeeen 🙏🙏 Mwenyezi Mungu aendelee kuwapikania kuwa dia nguvu vyema na kuwashindia na kuwawesesha vyema kwa yote na kuwainua katika Jina La YESU KRISTO Aliye Bwana na Mwokozi wetu amen 🙏🙏🙏

  • @annab9243
    @annab9243 Před 2 lety +24

    6 months ago I had lost my job. God ministered to me through this song na leo hii Niko na kazi and am trusting God for greater job. Glory to God.

  • @Health-living36
    @Health-living36 Před rokem +5

    Nitafika tu Eeh mungu wangu nisaidie, nitangulie baba, fungua njia, ondoa vikwazo vyote, fungua milango baba😭😭🙏🙏🙏❤️❤️❤️

  • @salomefelix2052
    @salomefelix2052 Před 2 lety +2

    KUUUMBEEEH TUMBONI MWAKE AMEMBEBA SAMWELIIII,,Mungu awatunze MAGGIE NA BAHATI.

  • @sharlynombeva1004
    @sharlynombeva1004 Před 2 lety +2

    I'm going through hard 😪😔life here in gulf,bt this song gives me hopes that all will be well en it will come to an end,I no I will go bck to my country 🙏when I'm safe in Jesus Name 🙏

  • @evewesco
    @evewesco Před rokem +5

    My baby was going through a surgery I was weak and crying everytime this song encouraged me and glory be to God the surgery was a success.

  • @violetseje7089
    @violetseje7089 Před rokem +5

    "Ata giza liwe kubwa nuru nayo iko" ... Amen 🙏

  • @margaretwamwana1788
    @margaretwamwana1788 Před rokem +1

    My role model,,, soon will be together in christ🙏Am blessed

  • @pstrebeccahnduku
    @pstrebeccahnduku Před rokem +1

    Nimekufuatilia sana mum na nimekupenda buuure. Msalimu sana mama Bukuku kipenzi changu....

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 3 lety +3

    Mungu awabariki yani nyimbo zenu nzuri uluma ya MUNGU nitafika tuuu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @eleanorahchao3858
    @eleanorahchao3858 Před 5 lety +4

    Tumaini langu iko mwaka kesho nitafaniwa tu Mungu Asante kwa kunifikisha mahali nilipo you made a way for me thanks for everything I really do appreciate it Your Blessings and mercies upon my life jibu la Maisha yangu iko

  • @getrudelewa5297
    @getrudelewa5297 Před 2 lety +1

    Naamini nina Imani nitafika tuu,Amen

  • @ChristineKhaemba-z7y
    @ChristineKhaemba-z7y Před 18 dny

    Amen 🙏🙏 nitaolewa hata kama nahisi kuchelewa😭😭 nitafika in Jesus name

  • @phellowmmbunitv6077
    @phellowmmbunitv6077 Před 5 lety +6

    Bahati Bukuku umebarikiwa na umepata kibali machoni pa wanadamu na Mungu

  • @judithadede3394
    @judithadede3394 Před 3 lety +4

    Nikufika..huruma za mungu Bado zinanitafuta..💖💖💖💖

  • @valentineindeke1904
    @valentineindeke1904 Před 2 měsíci

    No matter the roadblocks ahead nitafika kwa imani God help me walk this journey. Above all God is Faithful

  • @velmawandera5471
    @velmawandera5471 Před 2 lety +1

    nina imani nitafika jibu nikufika 🙏🙏🙏🙏listening in saudi arabia

  • @evalynesamuel5439
    @evalynesamuel5439 Před 4 lety +4

    No temptation has overtaken you that is not common to God. God is faithful and he will not let you be tempted beyond your ability bt with the temptation he will also provide the way to escape that you may be able to endure it#1corintians 10:13#

  • @malikiawafamilia6760
    @malikiawafamilia6760 Před 5 lety +3

    Ingelikuwa nyimbo yakumutkana mungu ningepata likes 100000,twende,wakombolewa

  • @AnnChebii-s1s
    @AnnChebii-s1s Před 17 dny

    Hii wimbo ilitia nguvu Nikikemboi kwa contract.. Team strong wataelewa... Tutafika inshallah

  • @user-xi7uu6ou3p
    @user-xi7uu6ou3p Před 9 měsíci +1

    Yaan dada bahati nakupenda had nakupenda tena ,❤

  • @meredouble9897
    @meredouble9897 Před 5 lety +21

    Kesho yangu itafika tu... nimebarikiwa sana na huu wimbo 🙏🏾🙏🏾❤️

  • @loyceemacy9185
    @loyceemacy9185 Před 5 lety +7

    Barikiwen jamani nimebarikiwa sana

  • @GladysGisacho
    @GladysGisacho Před 10 měsíci

    Niko na imani nitafika mahali nilikuwa ninaenda Kwa jina la yesu 🙏

  • @rehemasuleiman3419
    @rehemasuleiman3419 Před rokem

    Bado nina pumzi tumaini bado lipo......Thanking for the gift of life...Jibu ni KUFIKA!!

  • @milkagakungi5368
    @milkagakungi5368 Před 2 lety +8

    Delay is not denial,kucheleweshwa sio kunyimwa ,Niko na Imani nitafikaa❤️

  • @winniengesa9421
    @winniengesa9421 Před 5 lety +24

    Nitafika tuu....jibu langu lipo... I'm blessed Women of God

  • @jasronotindo2113
    @jasronotindo2113 Před 4 lety

    Nitafika hata majaribiyo yakiwa mengi nitafika kwa jina LA yesu kristu

  • @susansuziest691
    @susansuziest691 Před rokem +1

    B blessed 💞 Wana Gulf tutafika tuu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @queenanglethebossladymybra3304

    Bahati bukuku you are one in millonea God bless you more than today

  • @isayakimanga283
    @isayakimanga283 Před 5 lety +7

    uhafifu wa mbaramwezi haufanyi usiku kukwama___________YESU NDIYE MUNGU pia nimwaminifu sana

  • @saumuhare5154
    @saumuhare5154 Před 10 měsíci

    Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana sauti zenu nzuri zakupendeza mungu awe nanyi nyote❤❤❤❤❤

  • @JohnLobulu-r9l
    @JohnLobulu-r9l Před 6 dny

    Hata na mimi nitafika tyy kwenye kwenye uzima wa afya eee mungu angu nmechoka na magonjwa nifkishe na mimi kwenye uzimaa 😭😭😭

  • @edithayouma1528
    @edithayouma1528 Před 5 lety +15

    Massage nzuri sana, thanks may almighty God uplift you sanaaa,, haijalishi hali ninayo pitia.Amen🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪mpoooo???

  • @liliankitundu
    @liliankitundu Před 2 lety +4

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kazi Nzuri Sana...

  • @SamuelkimaniMuthoni-ql2bm
    @SamuelkimaniMuthoni-ql2bm Před 6 měsíci +1

    God is good kwa imami tu tafika tu

  • @PatieRehema
    @PatieRehema Před 2 měsíci

    Yes, nitafika kwa neema Mungu,God is good nitafika

  • @eng.moseso.ongudipe2844
    @eng.moseso.ongudipe2844 Před 3 lety +25

    Bahati bukuku has a blessed voice. The voice can make satan vanish like passing wind. Kudos the daugher of Kabarage Nyerere.

  • @beatriceumuhevyi188
    @beatriceumuhevyi188 Před rokem +2

    Mungu atukuzwe na Yesu kristo awasaidie ba dada zetu, mumeimba vizuri saana mwimbo huyu umenisaidia kuomba, Aksante sana Bahati na Maggie Mungu awabaliki tena, you are very beautiful ladies, be blessed

  • @puritytrixie6799
    @puritytrixie6799 Před 9 měsíci

    😊😊😊😊from kenya here.....wimbo za 🇹🇿 Tz gospel are the best!!

  • @nkundimanafiston5478
    @nkundimanafiston5478 Před 4 lety

    Nyimbo nzuri yani sauti yako Bahati inanifanya kuwa mpole 🇧🇮burundi

  • @chanellenibikora9791
    @chanellenibikora9791 Před 5 lety +8

    Amen mbarikiwe sana nitafika tuu kwa jina la YESU

  • @linetynanjala5
    @linetynanjala5 Před 3 lety +3

    Nitafika! Kutapambazuka katika Jina la Yesu

  • @SteveNyombo
    @SteveNyombo Před rokem +2

    Mimi wimbo uyu umenifuraisha na Kuni USA kabisa ,na Amini ni tafika kwa safari ya uduma yangu

  • @doctorharrietndalo8243
    @doctorharrietndalo8243 Před rokem +1

    Mungu nikumbuke vile ulikumbuka Sarah jameni

  • @mashnjo8271
    @mashnjo8271 Před 5 lety +38

    Why would some one give thumb down to such a beautiful song.

  • @jilliankarisa544
    @jilliankarisa544 Před 5 lety +59

    😔😔😔😔😔😔😔 mwenye kusema bahati alikufa si aje asikie hii. Be blessed ladies 🙏🙏

  • @nasorohamistenbi958
    @nasorohamistenbi958 Před 2 lety +1

    Mama unanbaliki sana unafaya sana Iman izindu

  • @mbavuevelyne4728
    @mbavuevelyne4728 Před rokem

    Nimebarikiwa Sanaa jamani 🙏🙏🙏nitafika tuu na tayari nimepokeya yangu neema 2023 🤲🙏

  • @rosettematenga1727
    @rosettematenga1727 Před 5 lety +3

    Mubarikiwe sana tumebarikiwa Mungu awachie nguvu mumekuta kwa sauti naBukuku Mungu awafunulie mtowe zingine nyimbo nyingi yani mumewazidi wote.

  • @kenmutai3992
    @kenmutai3992 Před 2 lety +12

    KENYA 🇰🇪 IS PROUD OF YOU AND INDEED PROUD OF TANZANIAN MUSIC

  • @honorathamosses4
    @honorathamosses4 Před 4 lety +2

    Asante kwa nyimbo hii yenye kutia moyo,
    Nitafika tu.

  • @FrolianPaul
    @FrolianPaul Před 13 dny

    Dada bahati ni mengi mnoo tena mnooo shetani amekaa upande wangu hata nifanyaje Nina watoto watoto watatu wawili wakiuje mmoja kike huyu mmoja baba ake amelogwa jla hawa wawili ninao nauza bar 😭😭😭😭wanangu walee ni Binti wa miaka 25

  • @ngakanimapendo1464
    @ngakanimapendo1464 Před 4 lety +11

    Au Canada 🇨🇦 dans le métro 🚈, nabirudika. Yes Lord malgré milima na mabonde nitafika tuuuu baba❤️❤️❤️❤️. Que Dieu vous bénisse abondamment 🙏🙏

  • @alhandroraj8009
    @alhandroraj8009 Před 5 lety +7

    If your name is Maggy, you are a great lady, hard working so blsd problem is if married husbands dont help them they live to eat their sweat

  • @mpuna
    @mpuna Před 3 lety

    Amen najua nami nitafika niendako, waaaaoooooo mmenibariki na huu wimbo

  • @beatricemissana696
    @beatricemissana696 Před 4 lety

    Kweli kabisa hata Mimi nitafika tu asante ujumbe mzuri sana kwangu!!!

  • @godfreydanford9908
    @godfreydanford9908 Před 5 lety +14

    Tutafika tu maana binadamu si chochote kwetu

  • @nyotamabanga8873
    @nyotamabanga8873 Před 5 lety +12

    Bahati and Maggie God bless you, ladies of God. I don't care what people are saying, Everything with God is possible doesn't matter what the problem is bigger I will be there in the power of Jesus Christ Amen Amen and Amen

  • @user-zz3nr4te8c
    @user-zz3nr4te8c Před 10 měsíci +1

    Wimbo huu hunifariji na kunitia moyo

  • @daudimhoha894
    @daudimhoha894 Před 2 lety +1

    Mungu.ni.mwema.sikuzote

  • @angelamuli6445
    @angelamuli6445 Před 5 lety +10

    Bahati and Maggie I love you soo much, nice song.

  • @faithowen687
    @faithowen687 Před 5 lety +8

    Nina Imani.... Nitafika tu kwa uwezo wa MUNGU🙏

  • @surmarlenefaila9748
    @surmarlenefaila9748 Před 2 lety

    Amina tafika tu ata kama majaribu ni mingi nina imani kama tafika👏

  • @joshuabaharia93
    @joshuabaharia93 Před 4 lety +1

    Hakika tutafika saf sana mabest

  • @lupirahwololo7554
    @lupirahwololo7554 Před rokem +3

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾Nitafika never giving up I love this Blessed Week Ahead

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 Před 2 lety +3

    Jibu la moyo wangu ni kufika tu
    Mbarikiwe kwa wimbo mzuri

  • @patientmusahada9324
    @patientmusahada9324 Před rokem +1

    Tuache dhambi kusudi tufike mbinguni.

  • @eliudwafula2014
    @eliudwafula2014 Před rokem

    Hata mimi naamini #Nitafika maishani mwangu, licha ya ugumu nina imani kwamba nitafika

  • @claudineeshtermatondomaton2836

    J écoute toujours cette chanson soyez bénis abondamment couple muliri👏👏👏💎💎💎💎❤🔥🙏🔥🔥🔥🔥🔥🙏🔥🙏

  • @angelinaelishachisongela7859

    Kweli tunafarijika.amani ya BWANA WETU YESU KRISTO IWE NANYI

  • @rehemahance1802
    @rehemahance1802 Před 4 lety

    Aisee nikisiliza natafakaliii aiseee nitafika tuuu sister bahati mungu akubalik mnoo namungu andelee kukuinua sana nakila maadui walopanga njamaa yakukukwangamiza wasikuone wewe wawewanaona moto haloo mbalikiwe watumish hakika nitafika tuu

  • @hebronmwagodi3671
    @hebronmwagodi3671 Před 4 lety +44

    Wow!!! An encouraging song...may our Kenyan so called Gospel musicians learn how TRUE GOSPEL songs should be!!!

  • @user-tr4wh2ix8y
    @user-tr4wh2ix8y Před 10 měsíci +3

    Nitafika Tu🙏🙏

  • @Annabelah848
    @Annabelah848 Před 2 měsíci +1

    Am here 2024 hoping for the best 🙏

  • @evanccast6228
    @evanccast6228 Před 4 lety

    Dada yangu baati bukuku nakupenda sana nakuembea Mungu akupe nguvu na uwezo mkubwa uweze kufika heri ya chirsmc

  • @nereahwakesho3221
    @nereahwakesho3221 Před 5 lety +7

    Nina Imani ntafika ninako enda, Amen asanteni sana