JOEL LWAGA ft. BOAZ DANKEN - NI NEEMA (Official Video)
Vložit
- čas přidán 30. 09. 2023
- NI NEEMA is the second release from the most expected upcoming album GOOD TO GO from JOEL LWAGA, In English it simply means “IT IS BY GRACE”
It’s a wake up call to remind people of God on Humility
“When I look back from where God took me from, everything I am and everything I have today, i realize that i didn’t do anything on what it takes to achieve all those things…it’s underserving favor of God…I just realized that I’m a zero qualifications man whom God has just favored!…”
Ni Neema is an appreciation to God, and a song of realization that His goodness and mercy is the source of all…
Produced by: Emmanuel Gripa
Mixing and Mastering: Dickson Gripa DG
Video: Director Joma
Stylist: Wekisha Designs - Hudba
Huu wimbo unanigusa totally, maana mm ni mmoja ambae ninaishi kwa sababu ya neema
Kama umebarikiwa na huu wimbo kama Mimi tafadhali like zikuwe nyingi nyingi hapa😩😩🫂🫂🙌🙌🙌🙌🙌🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎
Vita ilikuwa siyo ya kitoto kupoteza fedha na familia kwa wakati mmoja lkn neema ya mungu iliniluzuku nikaludi tena mjini kwa kasi ya kimbunga cha motooo💥yaani fire by force thank you GOD sikusitaili ila NEEMA YAKO🙏🏻
Amen 🙏🙌
Tanzanians are so blessed with good singers❤❤
Glory to God❤❤
Ni neema Tu Za Mungu mwenyewe
Hakika ni NEEMA ya MUNGU tu 🙏🙏🙏
Jaman jaman nyie achen....Huu wimbo unanpa amani sana jaman Mungu huyu....Aliponitoa moaka hapa nilipo kweli n neema na sikustahili😭😭😭😭😭😭😭😭...Yesu alkufa msalabani kwaajili ya kubeba mizigo yangu
Hakika tupo Kwa neema
Enyewe sistahili. Ni neema imeniweka hapa.
The Grace of God 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni neema yake Yesu sikustahili
Hakika ni neema tuu mim kuwa kama nilivyo atukuzwe Mungu wangu milele yote❤❤❤❤
Ndagha fijo.Mungu azidi kuwapaka mafuta yake Mabichi
For sure huu wimbo umegusa maisha yangu nausikiliza nakutafakari hata masaa manne matano
Ni neema yake Yesu...si kustahili
Huu wimbo haujawahi kuisha bila chozi kunitoka, kweli ni NEEMA tu ya YESU, mbarikiwe sana❤
hakika ni neema nimekumbuka nilikotoka mpaka machozi yamenitoka hakika sikustahili 😭😭😭😭😭
Ni neema🙏
KWELI 😢😢😢 SIKU STAHILI...
NI NEEMA YAKE YESU KRISTO TU
Kweli sikustahili mimi..ni Neema! Amen
Yani kama mimi nimdhambi sana hata sifai kuchaguliwa ila NEEMA ya Mungu Imenibeba ,,MUNGU we mkali sana ahsante kwa yote
Only to cry😢😢😢😢😢😢,I can't find where to start talking about My God's grace to me,guys God bless you for this song,Only for neema yamungu,from Rwanda 🇷🇼
ni neema tu mbali na magumu tunayopitia bado tupo hai sikustahili mimi Ahsante yesu❤
Mungu awabariki sana watumishi wimbo unamafuta huu! Hakika ni neema ya Mungu imenizingira kila kona ya maisha yangu asante Yesu kwa kunifia msalabani
Hakika ni Neema ya MUNGU ndio inayotuweka hai mbalikiwe watumishi wa Mungu 💕💕💕
Kweli ni neema ya Mungu imenibeba
Wimbo mzuri sana Mungu awabariki sana
Ni kwa neema yake oliyotokana na kifo cha Yesu Msalabani ili sisi (mataifa) tulioitwa najisi, wasiotahiliwa kwa jinsi ya mwili, tupate urith pamoja na Kristo.
Sisi tuliokuwa mbali hapo kwanza tumekuwa karibu kwa Damu yake Kristo Efeso 2:13
Lakini pia Kolsai 1:13 Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Kwa neema yake hata nguvu za giza hazina uwezo juu yetu.
May the Lord Bless you
God bless you my dear freind. I like it so much
Ni kweli ni neema ya Yesu inatifanikisha. Best collabo nimeipenda
Ni neema 🙌🙌who else is declaring this 🔥🔥🔥
Aamen... story of my Life
Hakika hawa wakaka n mafundi wa nyimbo za injili hakika mwenyez Mungu azid kuwainua kwa kiwango Cha juu Sana katika uinjilishaji wa nyimbo z injili🙏
Ameen😥😥 nyimbo imemfanya nilie sana
Ni neema imenifikisha hapa mungu wangu 🙏 Mungu naomba uzidi kunipambania katika maisha yangu 🙏 nipatie ninacho stairi katika maisha yangu
I real appreciate you brother good job, and nice song YES IT IS GRACE AND MERCY OF GOD🎉🎉🎉🎉🥳🥳👏👏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika namshukuru Mungu wangu Sana " kwa neema yake hd kufika mwisho w mwaka mm pamoja na familia yangu n neema tu " Sina Cha kumpa Mungu wangu Zaid y neno asantee🙏
Ni neema imeniweka hpa hakika
Wimbo huu ni ushuhuda mkubwa sana kwangu...ni neema ya Mungu mpk hapa nilipofikia...uhimidiwe JEHOVAH
Ni Neema tuu ya MUNGU ❤❤❤ be blessed my brothers
N neema y mungu we are alive brethren
Indeed its God's grace🙌, ni neema tu
Nyie watumishi mnajua sana mmebarikiwa hakika ni neema tu
Dah nimelia,mimi ndie niliyependelewa tu na Mungu
Much love from Kenya 🇰🇪❤️❤️🙏❤❤
kwa kweli ni neema,,mimi sikustahili,,,naupenda wimbo huu,,,mungu azidi kuinua kazi unazofanya joel,,,
Nimebarikiwa sana hatukustahili heshima, kibali bali ni neema tuu
❤❤❤❤ Woow kweli ni Neema Barikiwa Sanaa Watumishi wa Bwana Yesu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💓💘💘
It's been 5yrs raising my son as a single mom and I can say ts been the Grace of God.... this song hits differently any time i play it🎉❤
Sikustahili,,Ni neema yako Yesu
Ooo wow hakika ni Neema tu imenifikisha nilipo
Ni Neema kuuona tena mwaka 2024, Ahsante Yesu.
Sikustahili ila ni neema yake Mungu, what a touching song?
Amen and amen. Mungu wetu ni mwaminifu sana na anatupenda, anatujali na kutupigania sana inatupasa tumwamini tu, tusitie shaka. Yeremia 29:11. Barikiwa mtumishi
🧡🧡🧡🧡🧡🙏🙏🙏
#GLORY
#JESUS
Mungu ni mwema.kwel ni neema sikustahili 🙏🙏🙏
NANI MWINGINE AMEWEKWA KWA NEEMA KAMA MIMI A LIKE COMMENT YANGU😩😩😩😩🫂🫂🫂🫂🍎🍎🍎
Ni NEEMA imeniweka Hapa🙏🏽
Ni NEEMA TU MY SISTER IMETUWEKA HAPA. JINA LA YESU LIHIMIDIWE MILELE NA MILELE
Jaman ni neema tu imeniweka hapa sikustahili
Ni neema ya bwana sister
Ni Neema tu singefika hapa leo
Ni Neema ya MUNGU imenifikisha hapa sikustahili kabisa😢🤲🤲
Kweli sikustahili kabisa, hata kuwepo hai leo ni neema yako Yesu
Oooh!!! good song, nimebarikiwa snaaaa kweli ni mwema yako Yesu Hongereni Sana Loel and Donken.
Amina nimebarikiwa na wimbo Mungu akupe kibari uwingiapo na utokapo
Wokovu ni neema, maani, furaha, afya n.k Hakika ni kwa neema tu!.
Mbarikiwe sana
Jamani wimbo mzuri huu
Wow ni neema ❤
Hakika nineematuu
This song hits different kila ukitafakari maisha yako na namna ambavyo Mungu amekua anatutetea
Ni Neema tuuu imeniweka hapa Nilipo,🙏thats it ✅Endelea kubarikiwa na kutubariki Joel
Yote haya ni neema yako baba nakushukuru Jehova n neema yako Ndio man Niko hapa
Ni Neema Baba.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😢😢😢 Sijastaili Ila Neema Yako Tu Bwana Yesu ❤
Mungu aendelee kuwatunza watumishi🙏🙏🙏
Kwakweli sikustahili ni NEEMA tu.
Milly Chebby made me like this song and it’s a deep testimony
Ni kwa Neema ya Yesu ndiomana Niko hahi leo. Si kwamba Mimi ni mzuri zaidi ya wengine 🙏🙏🙏😭❤️❤️
Ni kweli ni kwa neema ya Mungu nimefanyika mwanae,me nimesamehewa dhambi zangu zote😅😅😅 nimekombolewa mimi🙏🙏sihesabiwi dhambi milele kwa kulipiwa deni langu la dhambi na mwokozi wanguuu.NAJIVUNIA YESU WANGU
Ni neema tu inatufanya tuwe apa barikiwa sana mtumishi wa Mungu uzidi fanya makubwa zaidi
Ni Neema tuu❤❤
Hakika ni Neema yake Yesu tuuu ❤❤❤❤
Ni neema.
Hakika ni neema tunapoeenda kumaliza mwaka huu hadi Muda tuna uzima tele
Asante MUNGU BABA kwa NEEMA zone ktk maisha ya familia yangu na mimi!! I am truly blessed asanteni watunzi na waimbaji!!!
I can't get enough of this song akiiii, wueeeee. Jinsi nilivyo ni kwa neema❤️❤️❤️❤️❤️Thank you Jesus 🙏🙏🙏🙏
Why do I feel like song haijaisha..especially the chorus..so powerful..
Hakika ni NEEMA kuu yako Mungu wangu ulikonitoa ni mbali usingekuwa ni wewe Mungu wangu maadui wangeniangamiza Asante Mungu wangu kwa NEEMA yako juu yangu na usiniache Mungu wangu
Hata sasa ninaishi ni Neema tu yake Yesu😢😢huyu Yesu jaman😭😭
💧💧💧😢😢😢😢 NINAPO SIKILIZA HUU WIMBO NAWAZA UTUMISHI ALIONIPA YESU NIHAKIKA NI NEEMA YAKE TU JESUS I GIVE YOU GLORY
Ni Neema Yake Yesu kwa Kweli Asante Wakuu Kwa Wimbo
When excellence meets anointing, this is what you get! Beautiful testimony in a song❤
💯💯♥️♥️😩
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🙏🙏
Nikwa neema tu yako Yesu tumefika hapa tulipo
Ni Neema tu. ♡
SI KUSTAHILI....NI NEEMA NA REHEMA YAKO YESU KRISTO
Sikustahili ni neema imeniweka hapa❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Afu wimbo kama mfupi..au mimi tu naona😢... Blessed be you 🙏
Mubarikwe sana watumishi wa Mungu kwa wimbo huu ambao umenikumbusha Maradona neema ya Mungu.mimi nilitoka kijijini mbali lakini kw neema ya Mungu ninaishi marekani.sifa ni za Mungu sote.
Ni Neema mahali nime fika licha ya changa moto
Jmn mungu amtie nguvu mtumishi wake amenibariki sana kupitia wimbo huu😊
This song made me realize truly what God has done for me were it not for His grace I would have died long ago
I will never ever be the same again in the Name of Jesus Christ
When you depend on God for everything,this song must bring tears to your eyes!
For sure🙌🏻🙌🏻😭😭
So TRUE ❤
Amen 😢
Sikustahili, sikustahili, sikustahili 🙏
😊😊hii I swear inanigurumisha kichwa kama gari,,,when i wake up in the morning it's the kind of jam I want to always,,,,play
Mungu awabariki mnooo