SAKATA LA UKIMWI KWA MUIGIZAJI LULU, DAKTARI AFUNGUKA UKWELI WOTE, MANGE KIMAMBI ACHAFUA HALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 165

  • @asajileadamson3426
    @asajileadamson3426 Před rokem +7

    Nimependa jinsi ulivyojibu kulingana na maswali ya mwandishi your the professional doctor big up bro

  • @zamri2407
    @zamri2407 Před rokem +5

    Umepata funzo kubwa sana si kidogo tume jifunza mengi tulikuwa hatujuwi shukran kwa mtangazaji na kwa doctor

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před rokem +1

    Dr. Isaac Maro ni Muungwana sana pia ni mweledi lakini huwezi kuona akijisifu kuhusu hilo wala kujitunisha kifua, ila wengine sasa...!
    Namkubali sana Dr. ISAAC MARO

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před rokem +9

    Dr uko vizuri Mungu akubariki kwa Elimu unayoitoa

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Před rokem +4

    Asante Dr issack maro, nimejifunza mengi hapa

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 Před rokem +6

    Mwanangu Lulu Muache huyo kimambe akuchafulie tu jina lakini Mungu hata kuacha kamwe

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před rokem +10

    watanzania munapenda sana kufuatiliana maisha shem on you

    • @stellanyello1955
      @stellanyello1955 Před rokem

      Tena sana watu badala ya kutafuta pesa umbea tu wamaisha ya watu pumbavu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +2

    Nakupenda dokta upo vizur kazi nzur

  • @CatherineJoachim-fr7yx
    @CatherineJoachim-fr7yx Před rokem +2

    Asante kwa mafundusho mazuri doctor,Ubarikiwe 🙏

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 3 měsíci

    Asante sana Dr umefundisha vinzuri na majibu vinzuri nimekupenda sana hongera

  • @vero57
    @vero57 Před rokem +4

    Darasa zuri sanaa leo, 👍👌👏👏👏

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Dr. Tuñashukru kwa elimu uliyotupa.👍👍🙏🙏🙏🙏❤❤

  • @elizabethmgina945
    @elizabethmgina945 Před rokem +4

    Mungu akutie nguvu wa jina wangu elizabeth michael

  • @annamakome2979
    @annamakome2979 Před rokem +12

    mnanikasirisha sana kusema kuwa huyo mwehu ni dada wa taifa, tafuteni jina linalomfaa

    • @nurukwilabya2790
      @nurukwilabya2790 Před rokem +3

      Jina zuri ni Fala wa Taifa, au malaya wa Taifa

    • @shaniahrachma7767
      @shaniahrachma7767 Před rokem +2

      ​@@nurukwilabya2790 kabisaa dada haezi kuchafulia wadogo zake jina huyo ni malaya wataifa

    • @user-li7dc6ho5w
      @user-li7dc6ho5w Před rokem

      @@nurukwilabya2790 KABISAAAAAA

  • @roseeuphrase3853
    @roseeuphrase3853 Před rokem +1

    Doctor umeelezea vizuri sana.
    U = U

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Před rokem +15

    Mungu akutunze mdogo wangu Lulu/ Elizabeth Michael 🙏🙏

  • @stellakondo391
    @stellakondo391 Před rokem +1

    Hakika we ni Doctor unaelimisha vzr sana. Yaani hata mwenye mwenye ugonjwa wa ukimwi au mwenye maambukiz ya virus vya ukimwi akikusiliza atajiona yeye yupo kawaida Kwa maelezo Yako asante doctor.

    • @janerosempeta5662
      @janerosempeta5662 Před rokem

      So bad to judge someone! Better she knows her status what about you?

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 17 dny

    Siri huwa inafichwa Dt hatoi siri ya mgonjwa

  • @BettyKereth-ov2bp
    @BettyKereth-ov2bp Před rokem +4

    Somo zuri sana.thanks

  • @khaledoman8266
    @khaledoman8266 Před rokem +1

    Asante sana kwakutufuza🇧🇮🇴🇲🙏

  • @kiatu
    @kiatu Před rokem +4

    Ahsante sana doc. Inaelekea baado elimu ya VVU na UKIMWI inatakiwa katika jamii. Ikipatikana nafasi fanya kipindi kingine kuhusu PEP na PreP(katika mazingira ya occupational exposure, rape, discordant couples, nk).

  • @grace-ru4sq
    @grace-ru4sq Před rokem +6

    jmn muacheni lulu aliyopitia yanamtosha ata akiwa nao si yeye aah mnakera😒

    • @EdithTelemark
      @EdithTelemark Před 4 měsíci

      Kama anao wengine una wakera nini walimwengu daah! Aachwe Na Maisha yake.

  • @hadiaomar4531
    @hadiaomar4531 Před 3 měsíci

    Allah akuhifadhi,fact

  • @ShayoLuke-pf9rm
    @ShayoLuke-pf9rm Před rokem +5

    Elimu nzuri doctor ❤

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 Před rokem +2

    Niliwahi kusikia eti ukinywa soda ndani ya dakika 1 ukapima virusi havionekani asante dockt

  • @ainsesseverest1136
    @ainsesseverest1136 Před rokem +4

    Yahan mkimjadili mange ni sawa na kujadili mtu ambaye hajuh hata nini anafanya nini maisha yake ni magumu kuliko huo mwili wake wenye vindimu 2 nyuma na mapapai mawili kifuani hanaga jipya zaid ya kuharibia watu furahaa zao wivu umemnyonyaaaaa nais Mange yeye ndiye mwenye ukimwi

  • @zawadimhando-3596
    @zawadimhando-3596 Před rokem +2

    Naogopa sana maralia kuliko ukimwi.alafu hakuna jipya .ht Kama lulu anao Nini shida yaani?

  • @jennymtunguja
    @jennymtunguja Před rokem +3

    Huyu daktari anaitaji pongezi

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +2

    Mwenyezi Mungu tunusuru

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před rokem +2

    Hilo Mange linamuenea wivu mrembo Lulu sababu kaolewa na tajiri kuliko yeye anaishi na mzungu masikini na wamepanga inaonekana anawachokoza matajiri waliomzidi sababu ya wivu kama ilivyokuwa kwa mrembo Zari

    • @meryevance6744
      @meryevance6744 Před 4 měsíci

      Kwani yy km anahakimwi itapigika huyo lulu na kulukaluka.kwake nawanaume na km magizo kampenda wamekubaliana kwa kufata mashariti na ushauri mbona kawaida tu

  • @zamri2407
    @zamri2407 Před rokem +1

    Thanks doctor

  • @mwanaidwakanai1125
    @mwanaidwakanai1125 Před rokem

    Asante sana doctor kiukweli nimeelimika

  • @queenhenagu3496
    @queenhenagu3496 Před rokem

    Dk Isack maro🥰🥰nimeelewa ngoja nkaeleweshe jamii na mm 🥰

  • @EuniceWai-cq3gi
    @EuniceWai-cq3gi Před rokem +2

    Mange mbona chokochoko ivyo maisha y lulu inakuusu nini

  • @rosaliembarikiwa592
    @rosaliembarikiwa592 Před rokem +8

    Sasa hali ya Lulu inamuhusu nini Mange?🤔

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 4 měsíci +1

    Muandishi wa habari mungalie unaye muhoji sio unampelekea unae muhoji maic bila kumuangalia

  • @ShomarSalum
    @ShomarSalum Před 2 měsíci

    Hv uyoo mange wanamuogop nn kwann wasimfunge

  • @gracejoseph9451
    @gracejoseph9451 Před rokem +1

    Asante doctor

  • @zuenafrancis9923
    @zuenafrancis9923 Před rokem +9

    Saa Kama ana ukimw inawaus Nini? Kuchafua tu Jin la mwenzenu.

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 Před rokem +1

      Nimtihan jamani yani anamshupalia mtu utafikiri anamsaidia kitu hata kama akiwa nae anamsaidia nini jamani

  • @dominicmwailubi5310
    @dominicmwailubi5310 Před rokem +4

    Eti dada wa taifa🤔labda la nyokoo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Ndio tuliambiwa tofauti

  • @user-es1tg5zu3d
    @user-es1tg5zu3d Před 9 měsíci

    Kajifunzeni kwa TR msigwa iyo hbr ilishaisha

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před rokem +3

    Ewe Allah tuepushe na laana hizi yaraby

  • @edgamjena-xr5xb
    @edgamjena-xr5xb Před rokem +3

    Ila mange anachafua hali ya hewa jmn duu

  • @annastaziakabupu-nq2ty

    Pongezi zikufikie Doctor Kwa ujuzi mzuri wa kujibu maswali kutoka Kwa mtangazaji.

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před rokem +1

    Huyo mange kimavi baba yake alijiua sababu aliambukizwa ukimwi na wale wanaume wengi waliombaka

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 Před 4 měsíci +1

    Sasa kwani Lulu anakataaje hana ukimwi wkt kazaa kwa operation

    • @kiazikitamu3985
      @kiazikitamu3985 Před 4 měsíci +1

      Kuzaa kwa operation ni dalili ya ukimwi?? Naomba unifafanulie nimezaa watoto 3 kwa operation na sina ukimwi

    • @anithasemwano8276
      @anithasemwano8276 Před 4 měsíci

      YAANI WEWE NI MTU HATARI SANA KWAMI KILA ANAEJIFUNGUA KWA OPERATION NI MGONJWA WA HIV?

    • @user-mq6gb1zw8s
      @user-mq6gb1zw8s Před 4 měsíci

      Jaman kuzaa kwa operation sio ndo anaukimwi mpotezee wakina kimambi weng

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před rokem

    Gonjwa la ukimwi mm nitasema mitihan kuna watu humu wahuni vibaya sana hapati ukimwi, lakin ana weza kuruka siku mtu ana unasa mm nimesha waona Wengi sana Wamepata wakat sio kawaida kuchupachupa ila kinga bora kuliko tiba

  • @DainesMwapela-mr4wc
    @DainesMwapela-mr4wc Před rokem

    SI kweli hata utumie dawa vip kipimo hakitoacha kusoma kama ni positive na ukimwi ulianza Kwa Tz mwka 1961 huko Kagera mpo wa Tz.

  • @user-es1tg5zu3d
    @user-es1tg5zu3d Před 9 měsíci

    Dawa ipo sema cyo ya mzungu kama mulivyokalili ,Ila watu wanapona nyi pigeni ela za misaada

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 4 měsíci

    Mange kimambi atabakia kuwa Dada wa Taifa tu, kwa sababu anafichua mambo kibao ktk Nchi ya TZ , t

  • @bahatigeorge6155
    @bahatigeorge6155 Před 6 měsíci

    Samahani dk size Maro kwanin daw za ukimwi huwa namba tofauti tofauti kwa mfano l.75 nyingine l.124

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Kweli wa ukwelini

  • @UmmratyJuma
    @UmmratyJuma Před 4 měsíci

    Huyo anae sem anampenda je anayo fanya akifanyia wazazi wako utampenda

  • @user-uj8mn5fo7j
    @user-uj8mn5fo7j Před rokem +3

    Mimi naomba kuuliza jee inamaana mwenye virus vya ukimwi hawezi kumuambukiza mtu maradhi ya ukimwi mpaka awe na hayo maradhi yenyewe ya ukimwi???

    • @fatumayusuph8859
      @fatumayusuph8859 Před rokem

      Apana ukiwa na virusi vya ukimwi au ukimwi huku unatumia dawa kuna uwezekano wa kutoambukiza mwngine

  • @ray.ray808
    @ray.ray808 Před 4 měsíci

    Ndugu mtanganzaji umesahau swali 1 la msingi sana , kuhusu mwanaume kutahiliwa na swala la ukimwi kuna uwezekano wa kupata au ni imani tu ya wazungu waliotuaminisha kwamba wanaume wa watahile ili kupunguza maabukizi au kuambukizwa.?

  • @timotheontibayaga-lq2xx
    @timotheontibayaga-lq2xx Před rokem +8

    Sasa mange anaakili kumujadili mang ni kupoteza mda maki mangi hana akili

    • @bukeyegunaguje2524
      @bukeyegunaguje2524 Před rokem

      Point...

    • @samirazuberi186
      @samirazuberi186 Před rokem +1

      Mange yule ana laana.. Kwanza kwanini anafwatilia mambo ya watu ambayo hayamhusu.. Sasa nauliza ukijua nimeathirika ama sija athirika unanufaika na nini?

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 3 měsíci

    Tokta kala kiapo hawezi kusema ushuzi wenu kwani ukimwi unawapata watu Gani???

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 3 měsíci

    Kwani mnatutanganzia ili Nini pia ugonjwa ni siri ya mtu ninavyojua huyo mpuuzi wenu wa taifa ana shida Gani? Kafikia huko aliambia atanganze wagonjwa ? Awe nao aswe nao inamhusu Nini sikujua km ana shida kubwa hivyo dah kumchafulia mtu jina katumwa

  • @kennedymaster2000
    @kennedymaster2000 Před rokem +1

    Kwenye ngumi za uso hapo docter nimekukubali

  • @marthabura2266
    @marthabura2266 Před rokem

    Mtangazaji unakosea kumtaja huyo dada SIdhani kama maadili ya uadishi kama inaruhusu.

  • @DorisiLukinja
    @DorisiLukinja Před měsícem

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Ndio mwanamke ndo wanasemaga yupo kwenye hatar zaidi

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 4 měsíci

    Sio kwenda jela njo umaanisha kwamba unaweza ambukizwa virusi vya ukimwi labda kama mfungwa mwengine,aliye asirika,alitumiya vifaa mbali mbali kunyowa sehema fluni za mwili.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +3

    Nimejifunza kitu❤

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem +1

    DOKTA MIMI NAZANI HIYO SHERIA HAIPO TU KWA UGONJWA WA UKIMWI BALI NI KILA UGONJWA ; WEWE KAMA DOKTA HURUHUSIWI KABISA KUUTANGA AU KUWAFAHAMISHA WATU WENGINE BILA RIZAA YA MGONJWA. HIYO NI HAKI YA MGONJWA.

    • @abubakarbwika8397
      @abubakarbwika8397 Před rokem

      @Valena Komba !! Yataka ukumbuke kwamba kinacho ongelewa hapo ni ugonjwa wa Ukimwi !! Sasa tatizo lako liko wapi ??? Can you please follow up the interview keenly before you comment anything .

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Ndio tushawai sikia Kuna mmoja anawo mmoja hana na mmoja hajapata

  • @dozzyfire
    @dozzyfire Před rokem

    Ataka Lulu akawa kwel qna virusi vya UKIMWI awawezi kusema co kila mtu abaki na maisha yake2

  • @JorbboyShabani-zs2um
    @JorbboyShabani-zs2um Před rokem +1

    Mange kimavi mjinga sana yan

  • @navukalunavatanzi6227

    Kwanza mnamjadili vipi mtu. Ni wangapi mastaa wameathirika

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 Před rokem

    Hili lidada mnaliita lataif wapi nalichukia 🤔kwanini aingilie life la mtu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Mtangazaji nakipendaga pia

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem +1

    Paka miezi mitatu

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Před rokem +1

    Kwani mkimtazama mage na lulu nani ataonekana amehasirika minaona mage kaanaishi kwa matumain si kwa kukonda kule😂

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Ndio asajile uwa anatowaga maelezo mazur

  • @momforone7946
    @momforone7946 Před 4 měsíci

    Dr. lay back sana na bonge ya brain. Mtangazaji nashauri usimsogezee mic karibu hivyo wakati mnashare. Hadi kajishika pua basi tu yuko polite hana makuu Dr wa watu. Mwingine angeisukuma😂

  • @rukiajuma8893
    @rukiajuma8893 Před 4 měsíci

    Mimi naomba namba yake ya sim naumwa nataka ushauli kwake au yuko hosptal gani?

  • @NifashaSamiraSSS-yv5et

    Unazani kusema ukimwi ovio kwa mtu nivema

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Před rokem +2

    Pole Lulu wangu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Dokta nimekupata sana

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Kwel swali la mwisho muhimu na imetokea hiyo

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Ndio inatakiwa atumie Kila siku au kwa mujibu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Wengine wanasemaga hivyo eti ukitumia dawa vizur havionekan

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem

    Maswali mazuri sana big up somo zuri

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Před rokem +2

    Bonge la presenter

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we Před rokem +1

    Ila huyu mange nahisi atakuwa siyo binadamu wa kawaida litakuwa ni jini hili.

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Tulifundishwa hivyo kuwa vitaanza kuonyesha baada ya miezi mitatu ndo Mana wanashaul baada ya miezi mitatu ukapime

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Před rokem

    Mange ni choko tu . Sasa mange na lulu nani kaathirika kwa mtazamo .C mange mange acha kufuatilia maisha ya watu acha wivu .mange ww ni mpuuzi tu mbea mkubwa mange😂

  • @maisaalawy8549
    @maisaalawy8549 Před rokem

    Ulaya ushasahulika watu wanaishi more than 40 years kama unatumia dawa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Siku hizi wanazaa watoto wazima

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před rokem +3

    Ila mange anapenda sana kuingilia maisha binafsi ya mtu,ana mambo ya kiswahili halafu anajiita msomi,mfuuuu,msomi si angepataga kazi,sijuagi hata wapi aliwahigi kuajiliwa😏😏

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 Před rokem

    Mbona kajbu.inamana vitapungua virus soooo hawataviona cz vimepunguza

  • @pendomasag-ki2bi
    @pendomasag-ki2bi Před rokem

    Huu niujinga kukaa nakuja dili maisha yamtu kwani ukimwi niogonjwa mgeni kwetu mbona kawaida tu

  • @faidhacute
    @faidhacute Před rokem +2

    Hata kama akiwa na ukimwi hvo daktar hawez kusema

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před rokem

    Haters 😊 the sone something to nandy

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před rokem

    Hizi ndizo baadhi ya aina za content ambazo mnatakiwa kuzirusha, jamii yetu ina uhitaji mkubwa sana wa Elimu ya afya, uchumi na biashara, michezo na mengineyo mengi, JITOFAUTISHENI NA WENGINE, UDAKU IWE NI SEHEMU TU YA SEGMENTS, JITENGENEZENI MUWE MOJA YA VYANZO VYA KUAMINIKA VYA HABARI MBALIMBALI.

  • @shimafuad6868
    @shimafuad6868 Před rokem +3

    Magonjwa ni Siri ya MTU BINAFSI hata kama anao hapaswi kutangaziwa BILA idhini yake huyo aliemtangazia amefanya kosa kubwa ni dhambi. Na ndio mana madokta hawaruhusiwi kutoa Siri ya mgonjwa wewe kama nani umuanike mwenzio mambo yake ya Siri. Tujifunze kujipunguzia wenyewe mizigo ya dhambi zisokua za lazima

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b Před 4 měsíci

      Xaan jaman mwisho.mtu.aanakufa ghafla.kwa mawazo

    • @User7700
      @User7700 Před 4 měsíci

      Acha watupe udaku weweeee tuwajue wenye virusi mastar bwana kaa kwa kutulia basi😂

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Kweli kabisa kujifunguaa kwa upasuaji inategemea

  • @dotytydo2342
    @dotytydo2342 Před rokem

    Sasa watu wanashtuka na saratani nyinyi mwaongelelea homa

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před 4 měsíci

      Mwenzangu waambie hao kuna magonjwa ya kutisha duniani ukimwi unasubiri

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před rokem

    Lulu Hana yule yule mtu si mnamjuwa