ITAKUTOA MACHOZI: MFANYA KAZI WA NDANI AMNYONGA MTOTO WA MIEZI 6/UCHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • #JamiiYetuLeo #SyliClassicTv #syliclassictv

Komentáře • 1,3K

  • @maelaalisa2102
    @maelaalisa2102 Před 4 lety +12

    🇧🇮 kwakweri huyu Maman mwongo 🙆wafanya kazi sisi munadusemea uwongo sana Mungu anawaona bandungu muaje wongo

    • @aishamkumba9857
      @aishamkumba9857 Před 4 lety +2

      Wee mama acha kusema uongo kiasi hicho ujue mungu anakuona yaani unamuhoji mtt kupita kiasi hicho wewe huna roho mtakatifu bali unaroho mtaka bifu tuu

    • @danimaiko6715
      @danimaiko6715 Před 3 lety

      @@aishamkumba9857 hahahahahahah uyu kweli loho mtaka bifu duuuh

  • @mwajabumussa4860
    @mwajabumussa4860 Před 4 lety +6

    Jamani poleni sana mungu atulindie wanetu khaa

  • @hamidamnyika5287
    @hamidamnyika5287 Před 4 lety +8

    Kwakweli mungu ndiye anajua Ila Kama wamemsingizia hukumu ni hapa hapa...

  • @divine6145
    @divine6145 Před 4 lety +8

    Watu wanavomsema huyu mama muongo unadhani walikuwepo .....
    Mungu atulindie wanetu
    Pole Sana mama Abby na familia

  • @eshynassor5666
    @eshynassor5666 Před 4 lety +6

    Mwenyezi Mungu ndie Mlinzi wa watoto na Wajukuu zetu

  • @golethmalipa7545
    @golethmalipa7545 Před 4 lety +6

    Inasikitisha jaman pole sana mama mzazi wa marehem mwenyezi mungu akutangulie na akuongezee nguvu katika kipindii hiki kigumu jaman

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 Před 4 lety +6

    Mungu ampumzishe kwa A man mtoto mzuri

  • @rehemakabali9327
    @rehemakabali9327 Před 4 lety +16

    kah!!! machozi yananitoka hapa yaan nimechoka had akili, poleni sana wafiwa,mungu awatie nguvu make peke yenu hamuwez, apumzke kwa amani mtoto jaman,

  • @yshamwilima3301
    @yshamwilima3301 Před 4 lety +8

    Innalilah wainailah rajuun,bibi mtu sijakuelewa sioni uchungu ndani yako ,pole sana mama wa mtoto mshukuru mungu kwa kila jambo

    • @faithpanga3591
      @faithpanga3591 Před 4 lety +1

      Msipende kujudge, uchungu wa mtu siyo usoni ni moyoni.

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 Před 4 lety +44

    Yaani imeniuma kuliko.. Mungu tu ndo mlizi kwa wtt wetu, maana navuta picha itakuwaje na hy maisha bila wadada wa kz na cc tunahangaika na haya maisha 😭😭😭😭😭

  • @mwanahamisiadinani433
    @mwanahamisiadinani433 Před 2 lety +8

    Mungu simama mwenyewe kwa nguvu zetu hatuwezi. Ubaki kuwa mlinzi wa Watoto wetu

  • @msafiribakari5941
    @msafiribakari5941 Před 4 lety +8

    Jinsi ilivyo hii story huyu mama ndio anamashetani pole kwa mfanyi kazi Mungu atakulinda kwenye siri iliofichika

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 Před 4 lety +26

    Mie nataman nijue ukwel kutok kwa madakitar ndio watoaj majib ya mwisho ya vpimo, kwan mwil Wa mtt haukupimw, ukute kafa kwel kwa uwezo Wa Mungu au vyyte vile, ila naumia kazaliw cku moja na mie trh, mwezi jmn 😭😭😭mtangazaj utupe mrejesho Wa hil tukio tujue imekuwaje kifo chake

  • @kwimanizyampemba2044
    @kwimanizyampemba2044 Před 4 lety +3

    Hakika.mungu akumbuke watoto wetu ,pollen sana

  • @hamidamnyika5287
    @hamidamnyika5287 Před 4 lety +39

    Mama kamkuta kalala na anahema Sasa imekuwaje amemuua jaman tumuogope mungu..hapo Kuna uongo mungu yupo na atampigania huyo binti.....

    • @naimaalkiyumi2273
      @naimaalkiyumi2273 Před 4 lety +3

      Umeona eeh kwa maelezo ya huyu mama watamfunga mdada wa kazi bure sababu mama mtoto kamkuta mtot mapigo ya moyo yanapiga inakuwaje dada kamnyonga?Mungu atatenda haki kati yao

    • @mwajumahalinga1808
      @mwajumahalinga1808 Před 3 lety

      Mama huyo nimwongo Mara ya kwanza kauliza mama wa mtoto alikua anahema, tumwigope mungu,

    • @danimaiko6715
      @danimaiko6715 Před 3 lety +1

      Watapata zambi awa hiyo nimipango ya mungu uyo kamkuta mwanae anaheam sasa kamnyonga saangap

    • @nestertz9677
      @nestertz9677 Před 3 lety

      @@naimaalkiyumi2273 a

    • @joachimrichard3087
      @joachimrichard3087 Před 3 lety

      Acha unafiki je angekua wako

  • @Yusufuabdulrahmani-bt8hh
    @Yusufuabdulrahmani-bt8hh Před 8 měsíci +1

    Sisi ni miliki ya mungu kwake tutarudi huyu mama akamatwe maelezo yake hayaeleweki,mungu awajaze subra wafiwa,mama anafitinisha,

  • @imaryvitandavizurisanaimar7920

    Kwa maelezo ya Bibi mtot anaonekana,siku zake tu zilifika,na mungu alimpenda zaid

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg Před měsícem +1

    Jmn tuwaombeen sana wadada wa kazi maan hii ni kweli maan wengi ni ajent wa kuzm na mda anauwa hajielewagi

  • @annayohana3310
    @annayohana3310 Před 4 lety +4

    Duh! Iko kazi inauma sana, sana, mungu atusaidie.

  • @yehovaniceeliamringi3714
    @yehovaniceeliamringi3714 Před 3 lety +1

    Pole wanawake wafanyakazi . Mungu atusaidie luwalinda watoto wetu

  • @giftkisika6025
    @giftkisika6025 Před 4 lety +8

    Watu mnapenda kukoment hata mjamaliza kusikiliza bibi alimrekodi yule binti mabinti wa kazi ni shida tena msiwatetee nikuomba mungu atulindie familia zetu

  • @joysorewitindi8542
    @joysorewitindi8542 Před 4 lety +2

    Pole Sana mamy Mungu awe nawe na hakufariji

  • @gaudensiamganga1695
    @gaudensiamganga1695 Před 4 lety +20

    Pole sana ndg na jamaa, imeniuma sn jamani daah watu wamekuwa wakatili mno

  • @joannembaja6053
    @joannembaja6053 Před 4 lety +2

    Mungu ndiye ajuaye ukweli..tumuombee huyo dada asaidiwe.Mungu atamkoboa

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 Před 4 lety +9

    Wewe mama wacha maswali mengi uji uhuwa watoto mungu ndiye ajuaye kifo cha mtoto

  • @armphib9332
    @armphib9332 Před 2 lety

    #@Omwami Wafula.Mwenyezi Mungu tupe sisi wanadamu roho za utu!!

  • @mariamumilaji842
    @mariamumilaji842 Před 2 lety +3

    Kwakweli inabidi tuwe wangalifu na wafanyakazi japo ni sehemu kubwa ya maisha yetu.lnasikitisha sana

  • @vedastinakamgisha1545
    @vedastinakamgisha1545 Před 2 lety +1

    Pole sana mungu amlaze mtoto wamalaika maala pema peponi amina

  • @joymgawe6535
    @joymgawe6535 Před 3 lety +5

    Mungu achilia ulinzi kwa watoto wetu

  • @deboramichael2445
    @deboramichael2445 Před 2 lety +2

    Jamani pole sana mama mungu atakujalia

  • @sergekakule9492
    @sergekakule9492 Před 3 lety +4

    Mungu asaidiye watoto wetu

  • @tushemerirwevanisi8156
    @tushemerirwevanisi8156 Před 4 lety +2

    Huyu mama hata macho yake yana oneshauongo ya mwanzo hayafanani na yamwisho na yana iya inasema usimuhukumu mwenziyo kabura haujahukumiwa acha mungu afanye kazi zake

    • @marrybonephacy5245
      @marrybonephacy5245 Před 4 lety

      Kwanza hy mama anaonekana mchawi kabixaa mwone kwanza macho yk yalivo makavu

  • @tianitinnytiano4143
    @tianitinnytiano4143 Před 4 lety +6

    May the baby soul rest in peace but uyo mama anakaa asemi ukweli Mungu tuh ndie ajua yalietokea

  • @doreenmasinde9452
    @doreenmasinde9452 Před 2 lety +5

    May God protect our children

  • @homeboytv8233
    @homeboytv8233 Před 4 lety +18

    Hii story mama unae toa maelezo mbna huelewek yaaan mtu amezibw pumz alaf akafa..alaf baada ya dkk 45 anampelek kumlaz kitandani anapumua kwa mbali.. HUYO HOUSEGIRL APATIWE UTETEZI... hii story kam ya kutengenezw ivii...

    • @mariamkitundu4406
      @mariamkitundu4406 Před 4 lety +1

      labda haelewi anasema nn

    • @lyslinejepchirchir7559
      @lyslinejepchirchir7559 Před 4 lety +1

      Mimi pia naona hii story si kweli

    • @gracekangethe8034
      @gracekangethe8034 Před 4 lety +1

      Amesema alipofika kutoka kazini alipata mtoto anapumua vizuri sasa imekuwa aje alienda kumwangalia akapata amefariki? Naona kama vile huyu mama amepanga hii stori... Mfanya kazi apewe haki!!!!!

  • @patriciaboniphace7141
    @patriciaboniphace7141 Před 3 lety +5

    Mungu tumaomba utulindie watoto wetu jamani pekeyetu hatuwezi kwakweli watoto wetu wanawakat mgumu sana Roho mtakatifu atulindie watoto wetu jaman nawaza nafika mbali

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 4 lety +3

    Mungu wangu dunia ndo ishaisha

  • @deograsiamoyo4975
    @deograsiamoyo4975 Před 3 lety +2

    kupitia hii story naamini yesu magumu ninayoputia na uzao wa tumbo la mama yangu mungu utarnda kututendea hautatuacha tukiangamia

  • @asmarashid743
    @asmarashid743 Před 4 lety +21

    Mungu ndo ajuaye Kilakitu

    • @pascolukas2490
      @pascolukas2490 Před 4 lety

      Ila kweli kanyongwa,fanyeni uchunguzi kiundani zaidi

  • @saidntisi5994
    @saidntisi5994 Před 4 lety +1

    Tujihadhar san na hawa waschn wa kazi maan tunawachukua bila hata kujua maisha ya familia zao,,wengine ndokama hawa wanaotumwa damu za watt wadog,Ya allah tulindie wene2 maan wengin ndokama hivi unatoka asbh unarud jion yote nikutafuta rizq

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 Před 3 lety +4

    Innalillh waina ilah rajiun 😭pole sana

  • @danfordjackline9426
    @danfordjackline9426 Před 4 lety +1

    Mama katoka kazin kakuta mtt mzima amelala na anapumua,Mara katoka kazin kakuta mtt kafa,na mtu akipandisha mashetan yy hawez kujijua mpk mtu aliyepemben yake aeleze,Ila ukwel wa hili ni mungu analijua,ingawa inauma sana!pole kwa familia!

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 Před 4 lety +15

    Jamani Huyo binti anahitaji maombezi kumbe ni mashetani yalimua mtoto siyo Dada wa kazi wewe mama usimsingizie roho wa mungu. ukweli ataongea nani?jamani maombi maombi ni muhimu sana tuwe karibu na wadada wa kazi tusiwaache wenyewe tuwachunguze kabla ya kuwa ajri. Sawa jamani.R.I.P.

    • @zoeyzozo6181
      @zoeyzozo6181 Před 4 lety

      Kasema ni mashetani km kujitetea tuu

    • @iddyjory7046
      @iddyjory7046 Před 2 lety

      Hee ww Dada huyo ni muuhaji hakuna cha shetani ,,angekua wako ungesema hivo??

  • @salomengalya3822
    @salomengalya3822 Před 2 lety

    Pole dada pia muombee malaika mungu ampumzshe salama amina

  • @maureenruto5500
    @maureenruto5500 Před 2 lety +3

    May God comfort you ...may the innocent soul continue resting peace

  • @wahidabogoyo8909
    @wahidabogoyo8909 Před 4 lety +4

    Mungu amlaze mahali pem pepon amin

  • @jamil1547
    @jamil1547 Před 4 lety +21

    Tanzania ziwekwe daycare kila mtaa na bei nafuu na serikali isaidie kuwawezesha watakao anzisha hizo daycare za mitaani

    • @shabaniguma8696
      @shabaniguma8696 Před 3 lety +1

      Thubutu mambo ya maana haya wahusu watoto wao wana uangalizi mzuri

    • @jumazuber2101
      @jumazuber2101 Před 3 lety

      @@shabaniguma8696 ukweli anaujuwa mungu pekeeake

  • @justinashayo3743
    @justinashayo3743 Před 4 lety +3

    Uuuuuu !!!! Dunia imeisha

  • @ressynakato3619
    @ressynakato3619 Před 2 lety +10

    Rest in peace 😭 beautiful angel

  • @mellaniabruno9339
    @mellaniabruno9339 Před 4 lety +19

    Tobahh that's why niliamua kuacha kazi nilee mtoto angu mwenyewe kwa kweli inauma sana

    • @wisebless5302
      @wisebless5302 Před 4 lety +1

      Yani mwenyewe niliachaga kazi kabisa nileee watoto na nimefanikiwa Bora kujiajiri sitaki kabisa hao wadada

    • @hajramiraji4678
      @hajramiraji4678 Před 4 lety

      Safi sana maana hiyo ndio kazi zetu wamama basi tu tunataka makubwa lakini ni vyema mama siku zote kuwa na watoto wetu karibu

    • @johnignas179
      @johnignas179 Před 4 lety

      Sawa kabisa dada maana mtoto wa miezi hata mwaka bado unamuachiaje mdada na hapo labda mdada alitoka nakumuacha mtoto peke yake mzazi mwenye uchungu awezi muacha mtoto kichanga mungu awape nguvu

  • @mariamukajiru2302
    @mariamukajiru2302 Před 4 lety +5

    Munguu wanguu najisikia kuumwa, Mungu tusaidie.

  • @tatunasoro838
    @tatunasoro838 Před 2 lety +1

    Mungu amlaze pema mungu ametoa namungu ametwaa

  • @upendokereti5027
    @upendokereti5027 Před 4 lety +9

    Ee Mungu ukawe mlinzi wawatoto wetu

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 Před 4 lety +4

    Jmn kiukweli mm sielewi wangefanya vipimo ili tujue lkn hivi inakuwa mbele nyuma mbele nyuma......Tumuachie mungu yy ndiye hakimu wa haki

    • @fransiscodeocharles6945
      @fransiscodeocharles6945 Před 3 lety

      Ni Uongo!!! Kwann mama yake alimkuta mzima? Cha msingi madaktari wazibitishe hili

  • @saymonguga1471
    @saymonguga1471 Před 4 lety +4

    Daaaaaaah inaumaaa sana mungu amuweke huyu MTT mahal pema pepon

  • @tarahjangassa4770
    @tarahjangassa4770 Před 2 lety +1

    mungu amlaze Mahali Pema peponi

  • @dianamasaka9129
    @dianamasaka9129 Před 4 lety +4

    Wadada wa kazitunakazi kwelkwel kilakitu ni sisi mungu tuangalie

    • @faymahamisi5726
      @faymahamisi5726 Před 3 lety

      Kweli mungu awalinde kila kitu nyiye namabos Wana loo mbaya wengine wanawake yada wadada wakazi ishi nao vizuri yeye unamtesa unategemeya nini kinacho fata kisasi cha kukuumiza na wewe

    • @user-ct1wn3zm6s
      @user-ct1wn3zm6s Před měsícem

      Kwakwer tunapitia kipind kigum san

  • @hgcbj635
    @hgcbj635 Před 2 lety

    Mwenyezi mungu aturindiy watoto

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 Před 4 lety +4

    Jamani binadamu atuna huruma kiumbe cha mungu akijui chochote unaenda kukifanyia unyama hali yakua akiwezi kujitetea jmn inauma sana

  • @shemamihambo-pn9bz
    @shemamihambo-pn9bz Před 11 měsíci

    Poleni cana wafiwa marehemu apumzike mahara peponi amen

  • @ematuku7013
    @ematuku7013 Před 4 lety +6

    Huyu bibi aangaliwe vizul anachanganya maneno mwazo amemkuta anapumua mala kamkuta kafa daaa wafanyakazi kazi wanaya

  • @user-wk7xn8cf6z
    @user-wk7xn8cf6z Před 6 měsíci +1

    Ila jamani Mambo mengine yanasababishwa n mabosi kunyanyasa wafanya kzi ndiy maana watu awtaki kufanya kazi za ndani mupunguze midomo uyo dada mungu amlinde

  • @magrethmanintveld2486
    @magrethmanintveld2486 Před 4 lety +4

    Mungu wangu Ni malaika wa Mungu jamani, ungemrekod ingekuwa vizuri Ni ushaidi tosha

  • @fadhilarashid6396
    @fadhilarashid6396 Před 4 lety

    Pole mama kwa kufiwa mungu akujaze matumain ktk kipindi hiki kigumu lkn wewe mama maelezo yako yanatuchanganya hayana ukweli wowote

  • @faridashayo7761
    @faridashayo7761 Před 4 lety +77

    Eee mungu wewe ndio mlinzi wa watoto wetu

  • @VioletAnyango-ei8vy
    @VioletAnyango-ei8vy Před 4 měsíci

    ❤poie Kwa hiyo msiba ya Mtoto mudogo kweii inauma Sana poien sana

  • @zaharajuma5019
    @zaharajuma5019 Před 4 lety +11

    Ivi mnaamini haya maneno yahuyu mama maana kesi zakusingiziwa ni Kama dili tz mutu anaweza akakutungia kesi nawatu wakaamini

    • @fadhilalukindo1659
      @fadhilalukindo1659 Před 4 lety +1

      Kiukweli mungu ndio ajuaye sirini,lakni anachanganya maneno huyu mama,ila kama amemshurutisha akubali maneno yake ni dhambi,mana hiyo nikesi kubwa,na kufa usingizin ni jambo la kawaida mbona hata wakubwa wanakufa

    • @neemamogolo3709
      @neemamogolo3709 Před 4 lety

      Kabisa

    • @joharychaima1274
      @joharychaima1274 Před 4 lety

      Mi cjamuamn kabisa....

    • @fadhilalukindo1659
      @fadhilalukindo1659 Před 4 lety

      @@joharychaima1274 umeonaeee,hata kama kuna ukweli lakin kuna uwoga flan ametishiwa

    • @fatimaabdulla6967
      @fatimaabdulla6967 Před 4 lety

      At list wangeonyesha majibu ya dactari yamesemaje na pia wakahoji mdada mwenyewe tusikize atasema nn ila huyu mama muongo kbs

  • @mulikamartin4242
    @mulikamartin4242 Před 3 lety

    Inahuzunisha xana mungu saidia watoto Wetu😎😎😎

  • @rehemaothman2185
    @rehemaothman2185 Před 4 lety +5

    Poleni sana mama mungu akituie nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @vumiliakekani5407
    @vumiliakekani5407 Před 4 lety +1

    Pole sana kwa msiba

  • @mossomar5189
    @mossomar5189 Před 4 lety +20

    Duuh km nikweli mungu tuokoe waja wako,ya Allah, subhanallah

  • @alphonsinesingirankabo6274

    Mungu ailazeroho ya marehemu mahali pema peponi pole sana dada na sikitika sana

    • @user-je1bb5sd3h
      @user-je1bb5sd3h Před rokem

      Poleni nduguzangu Allah awape badala ya uyo Alie potea ddaangu akupe mtto mwema

  • @hellenswai8423
    @hellenswai8423 Před 4 lety +3

    uyu mama anajichanganya,mwanzoni kasema mamaake alivyokuja alimcheki akakuta anahema vizuri,

    • @edinaboss1835
      @edinaboss1835 Před 3 lety

      Uyu bibi muongo kama anajifanya mjuaj vile

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c Před 5 měsíci

    Poleeni sana,let's pray without ceasing.

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 Před 4 lety +23

    Kwanza uyu bibi kasema mama wa mtoto kaludi kamkuta kalala na alimtazama kama anavyo mtazamaga yupo sawa sasa uyo mfanya kazi kazi kmnyonga mda gani mbona ma mtu alivyo ludi kazini alikua amelala na anapumua vzr kama alivyo sema uyu bibi mdogo

    • @user-dx5gh8me9o
      @user-dx5gh8me9o Před 9 měsíci

      Ata mm nmeelewa hivyo ambavyo umeelewa ww huyu dada wa kazi alimnyonga saa ngap

    • @AminaBakari-gy8wz
      @AminaBakari-gy8wz Před 8 měsíci

      Inaonekana mama hamjui malehemu

    • @JamilaMansoor-kk4mr
      @JamilaMansoor-kk4mr Před 8 měsíci

      Mmmmmmmh mungu amtetee huyu dada wa kazi 🤔🤔🤔🤔🤔

    • @JOHNCENA-lc2ju
      @JOHNCENA-lc2ju Před 7 měsíci

      @@AminaBakari-gy8wz wazo lako nilakweli

    • @JOHNCENA-lc2ju
      @JOHNCENA-lc2ju Před 7 měsíci

      Essa velha está nós estressar porquê a empregada que matou a criança como que ela mata e depois contar?

  • @alphonsinesingirankabo6274

    Musikuwe na patiya bafanya kazi ba cunge watoto wenu mama mufanye angalisho pole sana dada

  • @franciscahmasai9703
    @franciscahmasai9703 Před 4 lety +7

    Jamani inasikitisha sana mwenyezi Mungu atusaidie.

  • @safrinecheboi3763
    @safrinecheboi3763 Před 4 lety +2

    Acha uongo we mama....Muogope Mungu

  • @annasamo7063
    @annasamo7063 Před 4 lety +10

    Huyu mama Hana uchungu na huu msiba na simwelewi pia

    • @Lee_Stanley
      @Lee_Stanley Před 3 lety

      Nakusupport Sana make anavyoeleza...yupo tu kwenye dunia yake.

  • @irinetto9206
    @irinetto9206 Před 4 lety +2

    Inauma sanaaaaaaa jaman

  • @fatumamkuzi1475
    @fatumamkuzi1475 Před 4 lety +3

    Hata sielewi mm
    Mama mtoto ali kuja muona mzima jamani Mungu atusamehe madhambi yetu

    • @edinaboss1835
      @edinaboss1835 Před 3 lety

      Kwel bana maana mama mtoto alisema alimkuta mtoto mzima akamsilizia vizr akaona yuko vzr sasa imekuwaje!! Duh

    • @joycekialo1626
      @joycekialo1626 Před 3 lety

      Poleni sana

  • @reginakitungulu8830
    @reginakitungulu8830 Před 4 lety +1

    Poleni saaana jaman tujuwe tuko siku za mwisho tuombe sana maana inatisha hii!!!.

  • @erastofrancis684
    @erastofrancis684 Před 4 lety +4

    Wallah ningekua Mimi nae angekufa , maana hata maandiko yanasema anae UA kwa upanga nae afe kwa upanga

    • @RehemaElias-el3jg
      @RehemaElias-el3jg Před měsícem

      Jmn j yani munge muombea mtto tu wala msingempeleka polis

  • @magdalenamrugala749
    @magdalenamrugala749 Před 2 lety

    Jaman mungu akupe nguvu madame kwa msiba uyo malia ukumu yake nikubwa mbele ya mungu

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Před 4 lety +13

    Mama muongo jamani mwachie mungu utapata zambi bureeee

    • @shifaazawadi4438
      @shifaazawadi4438 Před 4 lety +3

      Kweli huyu mama nimuongo kbsa cz ameseme kua mama alikuja mkuta anapumua mara abadilishe alikuja mkuta amekufa hajielewi huyu mama

    • @judithmelvinealuchio8968
      @judithmelvinealuchio8968 Před 4 lety +6

      yakikupata ndio utajuwa unaweza changanyikiwa my friend don't joke

    • @fabiolafabulauwimana4020
      @fabiolafabulauwimana4020 Před 4 lety +5

      @@shifaazawadi4438 kasikilize vizuri hajabadirisha maneno sema wewe ndo unataka kuabadilisha alisema mwanzo mama anafika alikuta mtoto kalala akamusikiliza akasikia anapimiwa baada ya mda ndo akashituka akajiuza mbona mtoto analala sana kurundi kumwangaria akakuta amefariki

    • @happybakari643
      @happybakari643 Před 4 lety +2

      Angekuwa muongo asinge jua kama aliwah kumkabanwa na recod isinge sikika

    • @homeboytv8233
      @homeboytv8233 Před 4 lety +2

      Kabis ni muongo..eti anasema alimziba pumzi mtot akafa alaf baada ya dkk 45 anampelek kumlaz mtot kitandani eti anapumua kwa mbal kwa shidaa.... HUYOO HOUSEGIRL APEWE UTETEZI

  • @joharychaima1274
    @joharychaima1274 Před 4 lety +3

    Jaman vitu vingine tumuachie mungu,msipende kuhukumu watu ovyo,mbona mm baba ang alitoka nyumban mzima akarudi marehemu tena ghafla...tena barabaran😢,vitu vingine tuachen bhana...

  • @madamekomba7899
    @madamekomba7899 Před 4 lety +3

    Eee Mwenyezi Mungu,wape nguvu wafiwa

  • @maryachieng885
    @maryachieng885 Před 11 měsíci +1

    Poleni sana kwa familia wenye walipata mkasa..

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 Před 4 lety +14

    Hajanyongwa huyo amekufa kwa uwezo wa mungu wengi wanakufa bila kuumwa waweza kulala na usiamke

  • @ibrahimyohanalusana5997
    @ibrahimyohanalusana5997 Před 3 lety +1

    Mungu atusaidie sana

  • @doreenandrew3063
    @doreenandrew3063 Před 4 lety +10

    Mmmh hayo maelezo siamini hata kidogo khaaaaa 😭😭😭 Mungu atafanya jambo.. hebu tusikie hiyo record

    • @luciahomwono4148
      @luciahomwono4148 Před 4 lety

      Huyu mama mie ananichanganya, sipendi uongo kabisa, amefanya nisisubscribe. Mara mama ya mtoto alikuja akapata mtoto anapumua huo muda wote, mara mama akaja akaambia msichana beba mtoto... nkt. I hate uongo kabisaaaa, God knows if the lady killed that kid.

  • @teresiahwatetu4447
    @teresiahwatetu4447 Před 2 lety

    Woooow aki dunia kuisha abi rip byeer

  • @dionestermwinuka7520
    @dionestermwinuka7520 Před 4 lety +13

    Kuna kitu kinaitwa Silence Death Syndrome. Inatokea kwa watoto chini ya watoto wa Mwaka mmoja.polen.

  • @genovevalaurent6393
    @genovevalaurent6393 Před 4 lety +2

    Mwenyez mungu anilinde nalea mtt mdogo miez 5

  • @jumaali2888
    @jumaali2888 Před 4 lety +3

    Huyu bibi muongo ,eti mkristo,ushindwe kwa jina la Yesu

    • @johnignas179
      @johnignas179 Před 4 lety

      Anaonekana muongo kweli maneno ya kupangwa maana mama alimkuta anapumua ila mungu afichwi ao wanasiri hao

    • @dukesonorori1707
      @dukesonorori1707 Před 4 lety

      Huyu mkiristo bandia hangesema na amehaidi kutosema mama shetani

  • @sabinadamas972
    @sabinadamas972 Před 3 lety +1

    Uwiiiiiiii,jamani mungu tunusuru.

  • @happyjuma3166
    @happyjuma3166 Před 4 lety +8

    Mh jamani mwogopeni mngu kama mtoto alinyongwa mbona mama alimkuta anapumua kila mtu kapangiwa kifo chake kwavile huyo dada alibaki nae ndokawa muuwaji mbona hakuumua izo sikunyingine chunguza vidhuli nasio kumuhukumu mtu nabibi hana ata maumivu inamana nimwongo naasingizia loo mtakatfu jaman kina mama mnao mabinti kwaiyo msihukum mtoto wamwana mke mwenzenu

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 Před 3 lety +2

    R.l.P.Mtoto na Malaika wa Mungu.Poleni Wafiwa.

  • @aminajohn5472
    @aminajohn5472 Před 4 lety +3

    So sad

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 Před 3 lety +2

    Dah inauma