HAWA NDIO WATOTO WA MANGE KIMAMBI NA BABA ZAO /JE ALIWAI KUOLEWA ?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 02. 2022
  • #Mangekimambi
  • Zábava

Komentáře • 133

  • @mwasamiladldm7557
    @mwasamiladldm7557 Před 2 lety +26

    Watanzania hatumpendi mange kimambi ni mchonganishi,mfitini,anaulimbukeni sana.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 11 měsíci +1

      Hata watanzania wanaokaa huko marekani awampendi wanamuogopa Sana kwa kuharibu Sana Mambo ya watu

    • @nusurapemba
      @nusurapemba Před 3 měsíci

      ​😢
      😢😮😢😮😢😢😢😮😢😮😮😮
      😢😢😮😮😮😮😮😢😮😮😢😢😢😮😢😢😮😮😢😢😮😢😢😮😮😢😮😢😮😮😢😮😮😮😮😮😮😮😢😮😮😢😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😮😢😮😢😮😮😮😢😮😢😮😮
      😢😢😢😢😮😢😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😮😮😮😢😢😮😢😮😢😮😮😢😢😢😢😮😢😮😮😮😮😮😢😢😮😮😢😮😮😮😢😮😢😮😮😮😮😮😮😮😮😮😢😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮0
      😢😢
      😢
      😢😢😢😢
      😢😢😢
      😢😢😢
      😢
      😢
      😢😢
      😢😢😢
      😢

  • @alimashabani2252
    @alimashabani2252 Před 2 lety +10

    Istolia chafu yaumalaya kazikumukashifu zari yemwenyewe maisha yake feki

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +18

    Mtangazaji una kithembe, tafuta mume uolewe acha mambo ya utangazaji!!!!!!

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 3 měsíci +1

    Mna vivu tatizo watanzania hampendi mtu akisema ukweli acheni roho mbaya dada huyu ni mkweli sana watanzania wenyewe ndio mnampa umbeya wenyewe

  • @tunsumemwaki8625
    @tunsumemwaki8625 Před 2 lety +25

    Dada wa taifa lipi?? Yaani tz tuwe na dada wa taifa asiyejitambua Kama huyu?? Mvunja ndoa za watu mwehu mkubwa huyu

    • @devothamedia5177
      @devothamedia5177  Před 2 lety

      😆😆😆😆😆😆😆mnamkataaa leo😆😆😆😆😆🙆

  • @randx1158
    @randx1158 Před 2 lety +6

    Awache umalaya afuate mtoto wake n wache kudharau watu juu hata bwana zake n walewale

  • @judithjulius6848
    @judithjulius6848 Před 2 lety +8

    Ana tabia mbaya sana dada huyo

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 Před 2 lety +2

    Yeeeth guyth....

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 2 lety +8

    Anapenda vibabu vya kidhungu halaf havijamsaidia lolote sasa hiv Umbea ndo unamlisha Mange 😁😁😁😁😁😁

  • @milahakizimana2397
    @milahakizimana2397 Před 2 lety

    Waongoooo sanaa sanaa khaaaa

  • @MajinjaMajinja
    @MajinjaMajinja Před 3 měsíci +1

    Si kweli hakuna anae mpenda akifika Tanzania amekwisha

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 10 měsíci +4

    Hatumpendi Ana domo kari la uchonganishi

  • @bonvivant3930
    @bonvivant3930 Před 2 lety +11

    Pia sio kweli mange alipata mimba akiwa anasoma marekani, hajawahi kusoma huko, alikwenda for the first time kuishi baada tu, yakuolewa.

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 2 lety +1

      Alisoma wacha kumjua zaidi anavio jijua

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 Před 2 lety +2

      Kasoma huko bwana kasoma na aunt yangu

    • @hido-xb7bq
      @hido-xb7bq Před 10 měsíci +2

      Cassandra kazaliwa marekani

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 10 měsíci

      Ni kwl kabisa unachosema mtt wa kwanza kamzalia tz na Frank ambae yupo uingereza, Kusoma Labda Yale madarasa ya lugha na lzm hata km unajua English usome, Alf ndio uanze shule kwlkwl, Mangi kifupi ajasomaaaa,

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 10 měsíci

      @@hido-xb7bq kazaliwa upareni

  • @winydavid9373
    @winydavid9373 Před 2 lety +5

    Kumbe yeye mwenyewe hovyo , nikajuwa ni mtu wa maaaaaaaana sana ! Kumbe Hana lolote!

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Před 2 lety +2

    Asante watoto wa Raisi wetu

  • @fatmashaaban444
    @fatmashaaban444 Před rokem

    Yes guys

  • @masoudkatiba1484
    @masoudkatiba1484 Před 2 lety +2

    Huyo sio dada wa taifa msitutukanishe, mavi kunuka huyo.

  • @zahrasalim5533
    @zahrasalim5533 Před 2 lety +1

    Uuuuwiiii migu hizo🤣🤣🤣

  • @jan6703
    @jan6703 Před rokem

    Yeth guyth 😊😊😊

  • @shemsashaaban1643
    @shemsashaaban1643 Před 2 lety +2

    Umeboa kweli, huyu muhuni umemwita dada wa taifa?? taifa gani ??? Kazi matusi, acha ujinga hata Mimi watoto wangu handsome, athante thana guyth

  • @munam7104
    @munam7104 Před rokem +1

    Nataka kumwambia ache kusaka watu ovyo ovyo kwa sababu kila nyumba ina fiwa ulimwengu mzima yani hukuna family yoyote isokuwa na makosa nikupeana ushauri na kutiana kuliko kufedheheshana

  • @joycekunyanja1027
    @joycekunyanja1027 Před 2 lety +7

    Mbona yake hasemagi.ana mambo yaovyo kweli

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 Před 2 lety

      Mambo yake yote mbona anajisemaga labda kama ni mgeni nae

  • @nyanziratatou5404
    @nyanziratatou5404 Před 2 lety +4

    Watoto wazuri mashaAllah.

  • @nathankihiyo6194
    @nathankihiyo6194 Před 2 lety +2

    Sasa mbona mmesahau kumtambulisha Yule mtoto aliezaa na babaake?🤣

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Před 4 měsíci +1

    Mange you have beautiful and handsome children, proud mama. ❤

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 Před 2 lety +2

    Yeth guys!!!

  • @SimonHaule-tp3ny
    @SimonHaule-tp3ny Před 2 měsíci

    Kumbe kazaa na schoolmate wangu frank mgoyo.😂

  • @jawahirkahinmadar1459
    @jawahirkahinmadar1459 Před 2 lety +6

    Mnge ungejaribu kubadili staili yako ya nywele hazi kupendezi uko kama mdoli fulani

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Před 2 lety +3

    Watu wenye kithembe kwa ujeuri basi mnaongoza😃😃🤣🤣

    • @devothamedia5177
      @devothamedia5177  Před 2 lety +1

      Eh kweliii aisee basi namimi naanza kuwa jeurii sasa lol sikujua kumbe ndo tunavyotakiwa kuwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nafwaaa

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před 2 lety

      Hahaha jmn si kweli

    • @maureenotmar7659
      @maureenotmar7659 Před rokem

      Hawezi kuwa kweli maana naambiwaga tu weeee mjeuri mmmmmh kumbe ni sifä

  • @iddahmponzi8492
    @iddahmponzi8492 Před 2 lety +1

    Yethi guythi

  • @mdta8161
    @mdta8161 Před 2 lety +2

    Mashallah wazuri wanae

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 3 měsíci

    Mannge hana shida kabisa mnamchukia bure tu, Ni msema kweli,mnamwonea bure mtoto wawatu. WATANZANIA MKIAMBIWA UKWELI MNACHUKIA, .ISHINI BAS KWAKUPELEKWA KAMA MAGUNIA NDIO MNNAPENDA.HAMTAKI UKWELI KABISA. KUTUMIA UONGO WA TZ NDIO MNAPENDA. POLEN SANA WATANZANIA

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 Před rokem +1

    Amezaa Na wazungu.na anahustle Na umbeya kwani.hawa wazungu Ni mafukara

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 Před rokem +1

    Huyu mange hovyo hâta Ku shughuli kiq mtot ,hii ,mdomo tu

  • @julietymgallah3534
    @julietymgallah3534 Před rokem +1

    Dada mtangazaji kuwa makin, hiv ww povu la mangi kimambi unakijuw kweli, dada umelikokoga mwenyew, atakunyoosha

  • @stelabrent6056
    @stelabrent6056 Před 2 lety +2

    sio kwathababu ni sababu 😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣wanathumbua omi dimpo njoo ufundishe mtu kiswahili huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jescaraymond3825
    @jescaraymond3825 Před rokem

    Hujui kiswahili khaa

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 měsíci

    Mimi sipendi na WATOTO wake hata akizaa na kitu gani ni choice zake hazinihusu Sema ww u nampenda mm mtanzania mimi simpendi

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 6 měsíci

    Ni Mapepe sana Mange Ndiyo maana Alizaa

  • @AnnSanga-eo6ii
    @AnnSanga-eo6ii Před 3 měsíci

    Huyo nikahaba sio mwana michezo alafu huyo mtoto wakwanza amezaa na baba yake

  • @user-qx2bh3gr1f
    @user-qx2bh3gr1f Před 3 měsíci

    Mi namkubali dd wataifa anasema kweli

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 Před 2 lety +1

    Nimependa huyo wa kike

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m Před 3 měsíci

    Mm nilifikiri mange kimambi ni mwanamke ambae ana figa kumbe hamna lote 😂😂😂

  • @zairaisaid6389
    @zairaisaid6389 Před 2 lety +3

    Daa aisee dada mtata uyooo apana ila wadada kama hawa wangekuwa japo ata 2 wa3 ivii dunia ingechangamka sana nazan ongera yake kwa kujiamini kiasi hicho

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 Před 2 lety +2

    Thatha thiku ya haruthi yethi gayithi mudhungu 🙌🙌🙌 mm nimeengoy

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 Před 2 lety +1

      🤣🤣🤣Masanja nyoko you made my day hujatulia.

    • @masanjaabasi8970
      @masanjaabasi8970 Před 2 lety +1

      @@souvenirweber7169 😆😆😆 nimesikia thatha mie 😆😆

    • @devothamedia5177
      @devothamedia5177  Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 Před 2 lety

      Anasema gaidh😂😂😂

    • @swaumuramathani9
      @swaumuramathani9 Před 2 lety

      Wale wanaomuita mnge dd wa taifa hawana akil Ana jipya gani Hana adabu hata kidogo kila kitu yy tu simpendi

  • @judithhmakao
    @judithhmakao Před rokem

    Sawa hayo ndo maisha yake so mbaya

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 Před rokem

    Kazi yake ni udaku na amezaa na wanaume tofauti

  • @alecynakaonga7920
    @alecynakaonga7920 Před 2 měsíci

    Kumbe hana wazazi alafu anatukana wazazi wetu anarana mangi

  • @winydavid9373
    @winydavid9373 Před 2 lety

    We nawe acha kusema habari za mambe , za kwako zikoje,?

  • @rehemahamadi3382
    @rehemahamadi3382 Před 3 měsíci

    Matusi pia ana matusi sana huyu dada.si dada wa taifa kama ulivyomuita

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 Před rokem +1

    Please huyu mwanamke hana sifa

  • @radgabbelege7234
    @radgabbelege7234 Před 2 lety

    Thatha huyo kathandra kwa thatha anaishi wapi tho tunaweza kumjua thababu anaonekana anapenda thana thambutha hahahahah hakunaga raha kama kumsikiliza mtu mwenye kithethe yaan shule ya thekondari na mthingi ana miaka thaba hahahahahahahah

  • @DainesJohn-fv3sf
    @DainesJohn-fv3sf Před 24 dny

    Naomba no ya mange

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před 3 měsíci

    WEWE MANGI AMELANIWA NA FAMILIAYAKE

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 4 měsíci

    Mimi nilijuwa wawili wa mzungu

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 Před 3 měsíci +1

    Nyinyi msiompenda mage sisi tunampenda sana ni kweli

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 Před rokem

    Ampende Nani ?

  • @kiatu
    @kiatu Před rokem

    Oh mtoto wake anathoma?

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Před rokem

    Unatukera kumwita huyo kahaba mcheza na heshima za watu mitandaoni na mtukana matusi mitandaoni mtu wa hovyo kabisa eti dada wa taifa ni taifa gani hilo?

  • @allyahmushi125
    @allyahmushi125 Před 2 lety

    Sante

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂😂😳😳😳

  • @aishaomary7984
    @aishaomary7984 Před rokem

    Frank mgoleeee mkulyaaaaa unooooo wakwetuuuu

  • @syliviakente9460
    @syliviakente9460 Před rokem

    Shelia mwandishi rudi shule unachoeleza sio kweli

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 4 měsíci

    Wanawe wazuri

  • @ashurajuma9086
    @ashurajuma9086 Před 2 lety +1

    haijanishtua mimi mwenyewe nimezaaa na mchina

  • @rubyrung8808
    @rubyrung8808 Před 10 měsíci

    Mange kumbe mzungu waki africa😂😂😂😂

  • @AnnSanga-eo6ii
    @AnnSanga-eo6ii Před 3 měsíci

    Ana lana huyo

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety +1

    .

  • @zinabal-dubae3551
    @zinabal-dubae3551 Před 2 lety +1

    Foster mom

  • @ashurajuma9086
    @ashurajuma9086 Před 2 lety +1

    kitu kidogo mnapenda kutangazaaa wee,,maisha yake yanahusu nini jamani,,dada mwenyewe kahangaikaaa weeee mpaka sasa kapoa,,msitupotezeee M.B zetu

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 2 měsíci

    Wewe mtu wa ajabu sana Tanzania imekosa madada hadi
    chizi huyo ndio akawa dada wa taifa? Swallow thy nonsense.

  • @khanifakhalfan9500
    @khanifakhalfan9500 Před 2 lety +3

    Unaongea sanaa

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 6 měsíci

    Mkorofi tu huyo

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před 2 lety +3

    Mange hakwenda kuisoma bwana Kuna ishu iliomkimbiza Tz na kufika kule kujiandikisha kama mkimbizi wakati kwa umri wake hakujawahi kutokea vita nchini kwetu mpaka akjifanye mkimbizi huko America.

    • @annaeriksson8555
      @annaeriksson8555 Před 2 lety +2

      Umeonaeee, kuna story ya huku Tz inayomfanya asije.

    • @lucyalto7320
      @lucyalto7320 Před 2 lety

      Kasoma marekani bhana aliporudi tz Kwa rikizo ndo akakutana na frank akampa mimba ya huyo mtoto wa kwanza baadaye frank alipata mwanamke mwingine akahamia naye uingereza mange naye akaja akapataga mzungu wake waliishi tz watoto walipokuwa wakubwa ndo akahamia nao marekani kuhusu kushindwa kurudi huku ni baada ya kujiingiza Kwa siasa na kuanza kuongelea vibaya viongozi ndio maana hawezi kurudi huku

    • @evalynembuna4867
      @evalynembuna4867 Před rokem +1

      Dada hizo yes guys zimezidi zinabore

    • @fathimamct232
      @fathimamct232 Před rokem

      @@evalynembuna4867 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AnnSanga-eo6ii
    @AnnSanga-eo6ii Před 3 měsíci

    Matako ya baba yako mengi

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 3 měsíci

    Dada wa taifa sio la Tanzania labda dada wa taifa la wajinga kama wewe mpumbavu mwenzie acha unafiki wewena kithethe chako. Mange dada wa taifa la wadangaji huko aliko mshenzi huyo.

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 Před 11 měsíci

    Thatha wewe thi utheme vidhuri

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před rokem

    Dada wa thaifa

  • @pieremchome5202
    @pieremchome5202 Před 2 lety +1

    Mange kimambi kumbe ni mbibi jamani,MTU ana mtoto wa miaka 20.?du