KILIMO CHA ALIZETI (S01 E02)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2018

Komentáře • 50

  • @habibarajabu3537
    @habibarajabu3537 Před 5 lety +5

    RAJABU LUWONGO Mungu akufanyie wepesi katika shughuli zako za kilimo my Daddy

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +2

    Mama wa BIMA YA MAZAO ni mkenya , kingereza kingi yuko kibiashara sana.... kunautapeli hapa katikati 😂😂😂😂

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Před 3 lety +6

    Brother kwakuwa umepanga kusaidia watu kuna baadhi ya mambo uongeze mfano aina za mbegu nzuri kwa zao huska na ufanisi wake kulingana na hali ya hewa ya maeneo tofauti hatua za kilimo cha zao husika japo mengi ni common but idadi ya mbegu inter raw spacing and intra raw spacing mbolea kwa kila hatua I mean summary yote itasaidia then izo shuhuda zpate nafasi pamoja na mawasiliano ya wataalam wa zao husika ni nzuri but it is great job be blessed brother

    • @amonzachary2718
      @amonzachary2718 Před 2 lety

      Umetisha boss inaonekana uko na professional kwenye agricultural sector big up

  • @anthonykikoli8785
    @anthonykikoli8785 Před 2 lety +1

    nimeipenda sana kila siku nitaifatilia

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +2

    Hapa naona kunawafanyabiashara ya mbegu na tapeli wa BIMA ya mazao 😂😂😂😂😂
    Namm natafuta shamba nakuja huko

  • @alphoncenestorybishirangon1836

    Safi sana. Ila niombe kwa awamu nyingine jitahidini kupata wakulima wenye elimu ya kutosha ya kanuni bora za kilimo cha Alizeti 🌻. Alizeti huwa haipunguziwi miche, hii ni tafsiri kuwa hajafuata utaalam wa kupanda kwa nafasi na vipimo maalum. Na kama shirika alilolitaja ndo wamemwelekeza kupanda hivyo baada ya wiki 4 aanze kung'oa nyingine basi walikosea na wamempa hasara. Huwezi nunua mbegu bora ukaipanda kwa lengo la baadaye ung'oe miche mingine.
    Tuwatumie maafisa kilimo waliopo kwenye maeneo yetu.

    • @theLIFEtheLIGHT123
      @theLIFEtheLIGHT123 Před rokem

      Samahani, naomba kupata mawasiliano yako niweze kupata ABC za KILIMO CHA ALIZETI. *Stay blessed*

  • @yusuphmussa554
    @yusuphmussa554 Před 4 lety +1

    Tatizo hiyo sunflower haijapandwa vizur panda kwa mstar spacing katika mazao in nzuri zaid na inatoa vzur mbigu nzuri ila mnaipanda vibaya......

  • @nyamahembasarya9858
    @nyamahembasarya9858 Před rokem

    Navojua mm alizeti ikibeba kubwa utapata kidogo lkn yakiwa ya kawaida unapata zaidi kwa sabu punje zinakuwa nyingi

  • @glovekamuntu2162
    @glovekamuntu2162 Před 6 lety +1

    Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo.
    Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 Před 2 lety

    Mbona nikila haya mafuta natapika yaani yamenishinda kabisa au yanachakachukiwa vibaya

  • @deogratiusyudatadei5658

    Hiyo ni mbegu gani jamani naomba ukijua najinsi yakuipata

  • @monicajoseph4748
    @monicajoseph4748 Před 4 lety

    Naitaji iyo mbegu naipataje

  • @japhethalfred3569
    @japhethalfred3569 Před 4 lety

    Japheth wa tarime , Mara tunaomb mbegu ili kuzigawa kwawakulima katika kata ya manga

  • @jasamkileo628
    @jasamkileo628 Před 3 lety

    jina la mbegu mtuambie

  • @yusuphulameck6548
    @yusuphulameck6548 Před 3 lety

    Dodoma mpo sehemu gani

  • @cheskomsigwa8604
    @cheskomsigwa8604 Před 4 lety

    waelimishaji vipi.mbona nambazenu za sm hamzitoi kwann

  • @esthertarcian4287
    @esthertarcian4287 Před 2 lety

    Soil test mnafanya

  • @alfatarimo1466
    @alfatarimo1466 Před 3 lety

    Moshi mko sehem gan

  • @raginauthor1881
    @raginauthor1881 Před 5 lety +1

    Dodoma ofisi zipo maeneo gani?

  • @gracianpanza4069
    @gracianpanza4069 Před 3 lety

    Kilimo cha alizeti kinahitaji mbolea ipi?

  • @jorgejorge5210
    @jorgejorge5210 Před 6 lety +1

    gunia la alizeti litakua linauzwa bei gani pamoja na mashudu ili ukitoa gharama zako uweze kubakiwa na faida ya shs 900,000

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 6 lety

      Kilo ni TSh. 700 nakuendelea, inategemea na eneo, hii ni bei ya msimu huu 2018

    • @jorgejorge5210
      @jorgejorge5210 Před 6 lety

      sina hakika na hesabu zenu maana kama kilo ni shs 700 maana yake gunia la kilo 100 = 70000.utahitajika uvune gunia wastani wa gunia 21 kwenye heka moja ili utoe gharama na upate faida ya shs 900,000.wakati mmesema mavuno ni gunia 12 mpaka 15..muda mwingine tuambiane ukweli kama kilimo kiko kwenye damu utalima tu bila kujali ni faida kiasi gani utapata kuliko kuongeza faida za uwongo kuvutia wakulima.

    • @makoye8388
      @makoye8388 Před 2 lety

      Kilimo Cha Utube ni tofauti kabisa na uhalisia.

  • @aswilekibona9861
    @aswilekibona9861 Před 2 lety

    Tabora mbegu zake zinaoatikana wap?

  • @ezekielmbwilo7615
    @ezekielmbwilo7615 Před 6 lety

    mbegu hizi za alizeti zinapatikana wapi

  • @ezekielmbwilo7615
    @ezekielmbwilo7615 Před 6 lety

    Nimekuwa nafuatilia sana vipindi vyenu vinavyo tuelimisha sana vijana, nilikuwa nauliza nitaipstaje mbegu bora ya hybrid ya hysum 33 ya alizeti , hususani sisi tulio mikoani kama mm niliyeko sumbawanga Rukwa.Kama utakuwa na mawasiliano na haowasambazaji wa alizeti tupatie mawasilano yao.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 6 lety

      Mr Ezekiel tuma ujumbe mfupi +255 713 588 410 utahudumiwa

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 5 lety +2

      solomon
      Contact details
      SDC
      0715 751 133
      0787 751 133
      David Yamagaji
      Contact details
      By Trade
      0756 850 726

  • @hamoudsaid4865
    @hamoudsaid4865 Před 5 lety +3

    NAOMBA NIFAHAMU HEKA 1 YA ALIZETI NDEGE WAKISHAMBULIA SANA UNAWEZA KUTOA GUNIA?

  • @athanielkabadi1014
    @athanielkabadi1014 Před 4 lety +1

    Poa

  • @julianasabrere6198
    @julianasabrere6198 Před 2 lety

    Kwenye gunia moja la alizeti unatoa mafuta lita ngapi?

  • @racheldaniford3432
    @racheldaniford3432 Před 6 lety +1

    nahitaji hizo mbegu za alizeti chotara ntapataje na bei zenu pia nataka kujua

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 5 lety

      solomon
      Contact details
      SDC
      0715 751 133
      0787 751 133
      David Yamagaji
      Contact details
      By Trade
      0756 850 726

    • @sarahkanon5391
      @sarahkanon5391 Před 3 lety

      @@kilimobiashara9361 ok

  • @glovekamuntu2162
    @glovekamuntu2162 Před 6 lety

    Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo.
    Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.

  • @glovekamuntu2162
    @glovekamuntu2162 Před 6 lety +2

    Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo.
    Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.

  • @glovekamuntu2162
    @glovekamuntu2162 Před 6 lety +1

    Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo.
    Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 6 lety

      tuma ujumbe mfupi kwenda kwenye namba iliyo kwenye video utajibiwa

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 5 lety

      wasilina na hawa watu kupata taarifa na upatikanaji
      solomon
      Contact details
      SDC
      0715 751 133
      0787 751 133
      David Yamagaji
      Contact details
      By Trade
      0756 850 726

    • @sarahkanon5391
      @sarahkanon5391 Před 3 lety

      @@kilimobiashara9361 ok

    • @gaudancetumaini118
      @gaudancetumaini118 Před 2 lety

      Tanga ofsini zipo maeneo gan