Tanzania kuwekeza kwenye zao la Alizeti
Vložit
- čas přidán 25. 04. 2022
- Serikali ya Tanzania imeanza kuwekeza kwenye zao la Alizeti ili kuimarisha uzalishaji wa ndani na kukabiliana na uhaba wa mafuta ya kupikia kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo janga la Corona na Vita Vvya Urusi na Ukraine
Mkoa wa Dodoma unategemewa zaidi katika uzalishaji wa mafuta ya alizeti, mwandishi wa BBC Humphrey Mgonja akiwa mkoani humo ameandaa taarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #dodoma
2022 bei ya alizeti mbovuu wakulima hatunifaiki namazao yetu kabisa serkali iangalie hilii