@@samuelolesabaya59 vita haviishi kua makini na hilo vimeruhusiwa na baba yangu Mimi ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini Tena
Unaota ndoto ya mchana wewe watu wote wenye Akili wanachambua habari kama wanaelekea kuangukia put. Iran waache vita kwa sababu alieuliwa sio baba yako.
@@mwawekomiuda9779 dawa ya makosa ni kusamee sio kulipiza kisasi na wewe ujui kitu sisi ni waalimu wako. Nyamaza na uzee wako uelimishwe kisasi ni kasi ya mungu pekee wewe mwanadamu unaweza nini? Ila ni mdomo TU
Netanyahu ni mwendawazim pia, alisema vit vitachukua mda mfipi kuisha, Hamas ni wanaume, kila upande wamezingirwa laki israel inajiuliz silaha zinapita wap, na mbona hamas hawaishiw n silha!! .
Namkubali sana ben pool mdogo wangu nakukubali sana na leo nimefurahi sana kukuona live na BBC
Waah mungu asaidie hizi vita siishe maisha ya watu wanatexeka pamoja na watot
@@samuelolesabaya59 vita haviishi kua makini na hilo vimeruhusiwa na baba yangu Mimi ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini Tena
Kagame, museven, wazungu na wachina ndio wanaitafuna DRC, pole sana raia wa kongo..
Muimu ni Iran waache vita na Iran haiwezi kushinda Israel
Unaota ndoto ya mchana wewe watu wote wenye Akili wanachambua habari kama wanaelekea kuangukia put. Iran waache vita kwa sababu alieuliwa sio baba yako.
@@mwawekomiuda9779 dawa ya makosa ni kusamee sio kulipiza kisasi na wewe ujui kitu sisi ni waalimu wako. Nyamaza na uzee wako uelimishwe kisasi ni kasi ya mungu pekee wewe mwanadamu unaweza nini? Ila ni mdomo TU
@@mwawekomiuda9779 vita haviishi vimeruhusiwa na baba yangu mungu ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini na hilo
Warabu hata wajikusanye wote hao akina Irani nawaambia mapema hwana ubavu wa kupambana na Mzee netanyahu
Ndiiioo nitazipiga hesabu zangu vizuri Sana na zitafanikiwa sana vivaaa netanyauuu🎉🎉🎉 viva israel😊😊😊
🎉
Netanyahu ni mwendawazim pia, alisema vit vitachukua mda mfipi kuisha, Hamas ni wanaume, kila upande wamezingirwa laki israel inajiuliz silaha zinapita wap, na mbona hamas hawaishiw n silha!!
.
Kunguru wana hasara zaidi kuliko faida, ila ktk mfumo wa kimazingira haitakiwi tuwapoteze wote, kinachotakiwa ni kuwapunguza
Me diafoni platnumz katey nikuondolewe huku kwetu chama muizi kwetu tz ccm inapaswa itoke maana Wana kula inji
Wewe msoma habari unamsifu muuwaji ana Akili kweli? Wewe ulitakiwa kusema ana hofu sio Akili.
Tunataka wachambuz kama Rabi, anaonekana mwenye kujiamin ktk maelezo yake.
MUNGU NA AWAEPUSHE RAIA WAKAE ENEO TOFAUTI NA SEHEMU YA MAPIGANO - NDILO ninalowaombea Rais wema
Huyu mtangazaji wa BBC maswali anaandikiwa au ni ya kwake? 😮
Haokunguru sjui imekuaje wamewaondoa wale kunguru Wenye rangi nyeupe kifuani
Jamani kunguru wamekosa nn dhambi kwa mwenyezi Mungu mnapata😢