Matangazo ya Dira ya Dunia TV Ijumaa 02/08/2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Komentáře • 22

  • @kwadumikomaenterprises1131
    @kwadumikomaenterprises1131 Před měsícem +2

    Namkubali sana ben pool mdogo wangu nakukubali sana na leo nimefurahi sana kukuona live na BBC

  • @samuelolesabaya59
    @samuelolesabaya59 Před měsícem +2

    Waah mungu asaidie hizi vita siishe maisha ya watu wanatexeka pamoja na watot

    • @mutiembingi-le6kz
      @mutiembingi-le6kz Před měsícem

      @@samuelolesabaya59 vita haviishi kua makini na hilo vimeruhusiwa na baba yangu Mimi ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini Tena

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před měsícem +2

    Kagame, museven, wazungu na wachina ndio wanaitafuna DRC, pole sana raia wa kongo..

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Před měsícem +3

    Muimu ni Iran waache vita na Iran haiwezi kushinda Israel

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před měsícem +1

      Unaota ndoto ya mchana wewe watu wote wenye Akili wanachambua habari kama wanaelekea kuangukia put. Iran waache vita kwa sababu alieuliwa sio baba yako.

    • @mutiembingi-le6kz
      @mutiembingi-le6kz Před měsícem

      @@mwawekomiuda9779 dawa ya makosa ni kusamee sio kulipiza kisasi na wewe ujui kitu sisi ni waalimu wako. Nyamaza na uzee wako uelimishwe kisasi ni kasi ya mungu pekee wewe mwanadamu unaweza nini? Ila ni mdomo TU

    • @mutiembingi-le6kz
      @mutiembingi-le6kz Před měsícem +1

      @@mwawekomiuda9779 vita haviishi vimeruhusiwa na baba yangu mungu ambaye ndie baba yenu mmemkataa na kumdharau narudia haviishi kua makini na hilo

    • @masweto
      @masweto Před měsícem

      Warabu hata wajikusanye wote hao akina Irani nawaambia mapema hwana ubavu wa kupambana na Mzee netanyahu

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Před měsícem +1

    Ndiiioo nitazipiga hesabu zangu vizuri Sana na zitafanikiwa sana vivaaa netanyauuu🎉🎉🎉 viva israel😊😊😊

  • @muthomimunyua9062
    @muthomimunyua9062 Před měsícem

    🎉

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před měsícem +1

    Netanyahu ni mwendawazim pia, alisema vit vitachukua mda mfipi kuisha, Hamas ni wanaume, kila upande wamezingirwa laki israel inajiuliz silaha zinapita wap, na mbona hamas hawaishiw n silha!!
    .

  • @BONBRT-l4m
    @BONBRT-l4m Před měsícem

    Kunguru wana hasara zaidi kuliko faida, ila ktk mfumo wa kimazingira haitakiwi tuwapoteze wote, kinachotakiwa ni kuwapunguza

  • @Diafoniplatnumzkatey-l1y

    Me diafoni platnumz katey nikuondolewe huku kwetu chama muizi kwetu tz ccm inapaswa itoke maana Wana kula inji

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Před měsícem

    Wewe msoma habari unamsifu muuwaji ana Akili kweli? Wewe ulitakiwa kusema ana hofu sio Akili.

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před měsícem

    Tunataka wachambuz kama Rabi, anaonekana mwenye kujiamin ktk maelezo yake.

  • @Alansaoden
    @Alansaoden Před měsícem

    MUNGU NA AWAEPUSHE RAIA WAKAE ENEO TOFAUTI NA SEHEMU YA MAPIGANO - NDILO ninalowaombea Rais wema

  • @realswahilicultural8140
    @realswahilicultural8140 Před měsícem

    Huyu mtangazaji wa BBC maswali anaandikiwa au ni ya kwake? 😮

  • @hakambashe8421
    @hakambashe8421 Před měsícem

    Haokunguru sjui imekuaje wamewaondoa wale kunguru Wenye rangi nyeupe kifuani

  • @iddsimba3849
    @iddsimba3849 Před měsícem

    Jamani kunguru wamekosa nn dhambi kwa mwenyezi Mungu mnapata😢