Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda Mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na ulithi uzima WA milele na uende Mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kuna Utofauti wa Mashine, Kuna ambazo hutumia Karanga zilizomenywa Tayari....Lakini hii hapa niliuliza pia, wakasema Ukimenya zinanata kwenye vyuma coz itaanza kutengeneza Peanut Butter... ndio maana wanashindilia pia na Hayomataka ili itoe mafuta tuu!
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda Mbinguni hebu MWAMINI YESU na Uokoke na ulithi uzima WA milele na uende Mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mashallah.pigeni kazi ndugu zangu mwanamke kujituma
Mungu akubariki nakukubali kinoma
Wow kazo mzuri hio. Naomba video ya peanut butter asanteni. Pia naomba kujua hio machine yakutengeneza mafuta inapatikana wapi
Mansha'Allah 👍
Good work
Kazi jema
Woow nayataka ayoo
Wao natural kabisa
Bei gn
Mashaallah ni zury ssa doo ya litre kumi unapata mafuta litter ngapi
Ubarikiwe sio mchoyo
Hapo ni tabora sehemu gani ika?
Napataje haya mafuta da ika
❤️❤️❤️❤️
ika tunaomba darasa la kutengeneza tomato Ika
Wanauzaje ayo mafuta
🔥🔥
By the way it's health
Usafi hapo ni zero ni hatari kwa sumu kuvu aise
Nawaza tu... Kwa nini wasitumie karanga zilizomenywa?
Kuna Utofauti wa Mashine, Kuna ambazo hutumia Karanga zilizomenywa Tayari....Lakini hii hapa niliuliza pia, wakasema Ukimenya zinanata kwenye vyuma coz itaanza kutengeneza Peanut Butter... ndio maana wanashindilia pia na Hayomataka ili itoe mafuta tuu!
Ni mazur mno kwa wali unachambuka sana mnapatikana wap?
We won't your nomber prees
Wanapatikana wapi?
😋😋😋😋😋😋
Asante kwa video nzuri hio,naweza pata wapi machine kama hii???tafadhali jibu
Sijui kwakweli… kama nilivyosema mimi nilienda tuu mashineni
Mashineni wapi au mkoa gan
@@ikamalle mashine ipo sehemu gani niende naweza jifunza mengi
Tunayapataje ika?
Insta unatumika jina gani
HII MASHINE INAUZWA WAPI?
Mafuta lita 20 yanapatikana kwa karanga kiasigani
Wasiliana na huyu 0752413459
Ika naomba pia kama una namba ya mtu mwenye mashine ya kutengeneza Peanut Butter vizuri
czcams.com/video/SjCfE6ispEI/video.html (angalia hiyo video)
@@ikamalle nakupenda jmn mungu akulnde
Amina....
Where cn I get the machine