kilimo hai ( organically)nasisitiza ili tuvuke malengo tupo iringa ifunda tunaandaa a lot of compost and vermcompost kwa ajili ya vitalu vyetu next year tumefurahishwa na TAHA piga kazi
Habari yako kaka naomba kuuliza hivi utaratibu ukoje wa kuwaona TAHA yani kama ndio unataka kulima ndio unaanza kabisa inakuwaje labda kwa nyinyi ambao ni wenyeji
safi sana nimepata elimu Mpya katika kilimo cha mboga mboga
Natamani kuwa mwanachama wa taha nipo monduli arusha
Nice thanks taha
Hii Chanel ni poa sana
Najifunza na kutekeleza
Hongera
najifunza mengi kwenye chanel yenu asanteni
kilimo hai ( organically)nasisitiza ili tuvuke malengo tupo iringa ifunda tunaandaa a lot of compost and vermcompost kwa ajili ya vitalu vyetu next year tumefurahishwa na TAHA piga kazi
Habari yako kaka naomba kuuliza hivi utaratibu ukoje wa kuwaona TAHA yani kama ndio unataka kulima ndio unaanza kabisa inakuwaje labda kwa nyinyi ambao ni wenyeji
ifunda kibaoni au
shukrani
Karibu uendelee kutazama vipindi vingine