UMWAGILIAJI WA MATONE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2018

Komentáře • 15

  • @stevenkileo948
    @stevenkileo948 Před 5 lety +4

    Asante kwa elimu nzuri je kama mtu anaitaji kufungiwa driip irrigation system mnamfungia kwa gharama gan

  • @Kilimota-Tv
    @Kilimota-Tv Před 2 lety

    Maafisa ugani mbona tupo tu tumemaliza chuo SUA Ila serikali inatukaushia haitaki kutuajiri tupo Tu kitaa tunasahau Hadi taaluma yetu maana tumejiingiza kwenye Mambo mengine nje ya taaluma Ila kuweza kuishi Ila maafisa ugani tupo mm mmoja wapo

  • @mouslymously5168
    @mouslymously5168 Před 5 lety +1

    Tunashukur kwa elimu...japo bad kuna maeneo had leo maafsa haw bad hawajafka hivyo bad tupo nyuma kwa kuipata elim hii ya umwagiliaj...

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 5 lety +1

      Ungependa kufahamu Nini zaidi

    • @mouslymously5168
      @mouslymously5168 Před 5 lety +1

      @@kilimobiashara9361 kitu cha kwanza nnachopenda kukifaham ni jinsi ya kuplan na kudesign hii system nikimaansha vfaa vnavyohitajika ili kukamilisha system nzima... pili kupata somo la mbolea la mazao ntayohitaji kupanda shamban kwangu..

    • @kilimobiashara9361
      @kilimobiashara9361  Před 5 lety +1

      Yote haya yasingeweza kuwekwa katika kipindi cha dakika 30, hivyo tunashauri utembelee mtaalamu yeyote alie karibu akuhudumie vizuri zaidi

    • @charlespaul4058
      @charlespaul4058 Před 5 lety +1

      Mnatoa elimu nzuri sana ila tutapata wapi hizo pipe za kumwagilia na pia wekeni namba zenu ili tuweze kuwasiliana hata kimsaada wa kufanya kilimo cha kisasa

    • @mouslymously5168
      @mouslymously5168 Před 5 lety

      @@kilimobiashara9361 au kama lipo group la watsap bas tunaomba kuunganishwa...0653562247 ili tuwez kupat elim borà na yeny ùfanisi ķwa harak..

  • @SuperBablii
    @SuperBablii Před 4 lety

    Naamini hii ni video ya uhamasishaji. Naomba mtengeneze video za kiufundi. Unajikuta unasikiliza maneno meeeengi sana lakini ujazo wa content inayoendana na subject huipati vya kutosha. Boresheni darasa

  • @mcajoma8499
    @mcajoma8499 Před 2 lety

    Naomba contact please